MAREKANI: WANASAYANSI WAFANIKIWA KUONDOA VVU KWA PANYA
> Watafiti nchini Marekani wamesema wamefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi kutoka kwenye vinasaba (DNA) vya panya 9 kati ya 23
> Kutokana na mafanikio hayo endapo mamlaka za chakula na dawa zitathibitisha tiba hiyo kwa binadamu inaweza kuanza kutumika mapema mwaka ujao
Soma - https://jamii.app/TibaVVUPanya
> Watafiti nchini Marekani wamesema wamefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi kutoka kwenye vinasaba (DNA) vya panya 9 kati ya 23
> Kutokana na mafanikio hayo endapo mamlaka za chakula na dawa zitathibitisha tiba hiyo kwa binadamu inaweza kuanza kutumika mapema mwaka ujao
Soma - https://jamii.app/TibaVVUPanya
MICHEZO: Timu ya Taifa ya #Nigeria yafanikiwa kusonga mbele katika hatua ya robo fainali baada ya kuinyuka timu ya Taifa ya #Cameroon kwa mabao 3 kwa 2
#AFCON2019 #JFLeo
#AFCON2019 #JFLeo
Mchezo wa #AFCON2019 kati ya #Misri na #SouthAfrika maarufu kama #Bafanabafana umekwenda mapumziko kwa timu hizo kutoka suluhu ya bao 0 kwa 0
> Je, unaweza kubashiri timu gani itaibuka na ushindi katika kipindi cha pili?
> Je, unaweza kubashiri timu gani itaibuka na ushindi katika kipindi cha pili?
#AFCON2019: Timu ya Taifa ya #SouthAfrica maarufu ‘#Bafanabafana’ imefanikiwa kuingia hatua ya robo fainali baada ya kuifunga timu ya Taifa ya #Egypt goli 1-0
- Katika hatua ya robo fainali, South Africa itakutana na #Nigeria iliyofanikiwa kuitoa #Cameroon
#JFLeo #EGYRSA
- Katika hatua ya robo fainali, South Africa itakutana na #Nigeria iliyofanikiwa kuitoa #Cameroon
#JFLeo #EGYRSA
#CopaAmerica2019: #Argentina imeibuka mshindi wa tatu katika michuano hiyo baada ya kuifunga #Chile goli 2-1
> Katika mchezo huo, Lionel Messi wa Argentina na Gary Medel wa Chile walipewa kadi nyekundu
> Mchezo wa Fainali utafanyika kesho kati ya #Brazil na #Peru mida ya saa 5 za usiku kwa saa za Afrika Mashariki
> Katika mchezo huo, Lionel Messi wa Argentina na Gary Medel wa Chile walipewa kadi nyekundu
> Mchezo wa Fainali utafanyika kesho kati ya #Brazil na #Peru mida ya saa 5 za usiku kwa saa za Afrika Mashariki
MSUMBIJI: IS IMEKIRI KUHUSIKA KWENYE SHAMBULIO LILILOUA WATU 7
- Shambulio hilo lilitokea siku ya Jumatano kwenye kijiji cha Lidjungo huko Nangade
- Hii ni mara ya pili kwa kikundi hicho kukiri kuhusika kwenye mashambulio Nchini humo
Soma https://jamii.app/ISAttackInMoz
#JFLeo
- Shambulio hilo lilitokea siku ya Jumatano kwenye kijiji cha Lidjungo huko Nangade
- Hii ni mara ya pili kwa kikundi hicho kukiri kuhusika kwenye mashambulio Nchini humo
Soma https://jamii.app/ISAttackInMoz
#JFLeo
RAIS MAGUFULI AMZAWADIA TAUSI RAIS KENYATTA
- Amemzawadia Tausi wanne kama kumbukumbu ya Uhusiano, Urafiki na Ujirani mwema baina ya Nchi hizo mbili
- Rais Kenyatta alifika wilayani Chato Julai 5, kwaajili ya ziara binafsi ya siku 2
Soma https://jamii.app/KenyattaApewaTausi
#JFLeo
- Amemzawadia Tausi wanne kama kumbukumbu ya Uhusiano, Urafiki na Ujirani mwema baina ya Nchi hizo mbili
- Rais Kenyatta alifika wilayani Chato Julai 5, kwaajili ya ziara binafsi ya siku 2
Soma https://jamii.app/KenyattaApewaTausi
#JFLeo
WAZIRI LUGOLA ARUHUSU MABASI YA ABIRIA KUSAFIRI SAA 24
- Amewataka makamanda wa Polisi kutozuia mabasi kwa kisingizio cha kuhofia majambazi
- Amesisitiza mabasi yanayotoka Kanda ya Ziwa kutozuiwa Morogoro na yanayotoka Dar kutozuiwa Shinyanga
Soma https://jamii.app/MabasiKusafiriSaa24
#JFLeo
- Amewataka makamanda wa Polisi kutozuia mabasi kwa kisingizio cha kuhofia majambazi
- Amesisitiza mabasi yanayotoka Kanda ya Ziwa kutozuiwa Morogoro na yanayotoka Dar kutozuiwa Shinyanga
Soma https://jamii.app/MabasiKusafiriSaa24
#JFLeo
Mchezo wa #AFCON2019 kati ya #Madagascar na #DR Congo umekwenda mapumziko kwa timu hizo kutoka suluhu ya bao 1 kwa 1
> Je, unaweza kubashiri timu gani itaibuka na ushindi katika kipindi cha pili?
> Je, unaweza kubashiri timu gani itaibuka na ushindi katika kipindi cha pili?
IRAN KUVUNJA MKATABA WA NYUKLIA
- Imesema itaanza kuvunja mkataba huo na kupunguza uzingatiaji wake baada ya kila siku 60
- Itafanya hivyo iwapo mataifa yaliyosaini mkataba huo hayatachukua hatua za kuilinda dhidi ya vikwazo vya Trump
Soma https://jamii.app/IranKurutubishaUranium
- Imesema itaanza kuvunja mkataba huo na kupunguza uzingatiaji wake baada ya kila siku 60
- Itafanya hivyo iwapo mataifa yaliyosaini mkataba huo hayatachukua hatua za kuilinda dhidi ya vikwazo vya Trump
Soma https://jamii.app/IranKurutubishaUranium
INDIA: WATU 29 WAFARIKI NA ZAIDI YA 20 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI
- Ajali hiyo imetokea leo asubuhi ambapo basi hilo limepinduka karibu na mji wa Agra, Kaskazini mwa India
- Inadaiwa dereva wa basi hilo la ghorofa moja alikuwa amesinzia
Soma https://jamii.app/BusCrashKills29-India
- Ajali hiyo imetokea leo asubuhi ambapo basi hilo limepinduka karibu na mji wa Agra, Kaskazini mwa India
- Inadaiwa dereva wa basi hilo la ghorofa moja alikuwa amesinzia
Soma https://jamii.app/BusCrashKills29-India
DKT. BASHIRU: JIMBO LA HAI SI NGOME YA CHADEMA
- Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema hayo jana wakati akieleza sababu ya ziara yake Mkoani Kilimanjaro
- Amesema katika ziara yake ameanzia Hai kimkakati na mahesabu yametumika kuamua
Soma https://jamii.app/BashiruJimboMbowe
- Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema hayo jana wakati akieleza sababu ya ziara yake Mkoani Kilimanjaro
- Amesema katika ziara yake ameanzia Hai kimkakati na mahesabu yametumika kuamua
Soma https://jamii.app/BashiruJimboMbowe
SINGIDA: WATU 7 WAKIWEMO WAFANYAKAZI 5 WA AZAM TV WAFARIKI AJALINI
- Wafanyakazi wengine watatu wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea wakati wakielekea Chato mkoani Geita
- Ni baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na Lori
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWafarikiAjalini
- Wafanyakazi wengine watatu wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea wakati wakielekea Chato mkoani Geita
- Ni baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na Lori
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWafarikiAjalini