SHAMIMU NA MUMEWE WARUDISHWA RUMANDE, MAHAKAMA BADO INASUBIRI RIPOTI YA MKEMIA MKUU
- Jamhuri imesema inasubiri majibu ya ripoti hiyo ili iwasilishe kama kielelezo Mahakamani hapo
- Kesi imeahirishwa hadi Julai 22, 2019 kwa ajili ya kutajwa
Zaidi, soma https://jamii.app/ShamimuMumeweWasotaRumande
- Jamhuri imesema inasubiri majibu ya ripoti hiyo ili iwasilishe kama kielelezo Mahakamani hapo
- Kesi imeahirishwa hadi Julai 22, 2019 kwa ajili ya kutajwa
Zaidi, soma https://jamii.app/ShamimuMumeweWasotaRumande
LIGI KUU BARA 2019/20 KUANZA AGOSTI 23. SIMBA NA YANGA KUKUTANA JANUARI 04, 2020
- Pazia la ligi hiyo litafunguliwa kwa mchezo mmoja kati ya Simba SC na JKT Tanzania
- Bodi ya Ligi nchini imesema Msimu huu imezingatia ratiba za Kimataifa
Zaidi, soma https://jamii.app/LigiKuuBara2019-20
- Pazia la ligi hiyo litafunguliwa kwa mchezo mmoja kati ya Simba SC na JKT Tanzania
- Bodi ya Ligi nchini imesema Msimu huu imezingatia ratiba za Kimataifa
Zaidi, soma https://jamii.app/LigiKuuBara2019-20
THE HAGUE: ALIYEKUWA KIONGOZI WA WAASI CONGO, BOSCO NTAGANDA ATIWA HATIANI
- Ni kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita wa mwaka 2002 na 2003 katika eneo la Ituri
- Ntaganda(45) maarufu ''Terminator'' anakabiliwa na kifungo cha maisha
Ziadi, soma https://jamii.app/BoscoNtagandaAtiwaHatianiICC
- Ni kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita wa mwaka 2002 na 2003 katika eneo la Ituri
- Ntaganda(45) maarufu ''Terminator'' anakabiliwa na kifungo cha maisha
Ziadi, soma https://jamii.app/BoscoNtagandaAtiwaHatianiICC
MAHUSIANO: Mtoa mada ndani ya JamiiForums anawashauri Wanaume kwamba “unapotaka kuoa hakikisha unaoa Mwanamke ambaye unamzidi Elimu, Kipato na Mali kwa wakati huo”
- Anasema kuwa kuoa Mwanamke aliyekuzidi vitu hivyo utateseka kwenye ndoa na maisha yako yatakuwa mafupi kwani utakufa kwa msongo wa mawazo
Je, una maoni gani kuhusu suala hili?
Kutoa maoni, Tembelea > https://jamii.app/MwanamkeVsKipato
- Anasema kuwa kuoa Mwanamke aliyekuzidi vitu hivyo utateseka kwenye ndoa na maisha yako yatakuwa mafupi kwani utakufa kwa msongo wa mawazo
Je, una maoni gani kuhusu suala hili?
Kutoa maoni, Tembelea > https://jamii.app/MwanamkeVsKipato
FAMILIA YA ALLAN KILUVYA, ANAYEDAIWA KUTEKWA YAJITOKEZA KUOMBA MSAADA
- Imeomba msaada kwa Rais Magufuli, Serikali na Watanzania kusaidia kumpata ndugu yao
- Imedai gari lililomteka ni Land Cruiser lenye namba T 810 BQS, rangi ya kijivu
Zaidi, soma https://jamii.app/FamiliaAllanYaombaMsaadaKumtafuta
- Imeomba msaada kwa Rais Magufuli, Serikali na Watanzania kusaidia kumpata ndugu yao
- Imedai gari lililomteka ni Land Cruiser lenye namba T 810 BQS, rangi ya kijivu
Zaidi, soma https://jamii.app/FamiliaAllanYaombaMsaadaKumtafuta
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KWA ASILIMIA 0.2 NDANI YA MWEZI
- Umeongezeka hadi asilimia 3.7 kwa mwezi Juni kutoka asilimia 3.5 kwa mwezi Mei, 2019
- Hali hiyo inamaanisha kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwezi Juni imeongezeka
Zaidi, soma https://jamii.app/MfumukoBeiWaongezeka-Juni2019
- Umeongezeka hadi asilimia 3.7 kwa mwezi Juni kutoka asilimia 3.5 kwa mwezi Mei, 2019
- Hali hiyo inamaanisha kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwezi Juni imeongezeka
Zaidi, soma https://jamii.app/MfumukoBeiWaongezeka-Juni2019
HANDENI, TANGA: MBARONI KWA KUMCHINJA MKEWE
- Juma Hemedi(45) mkazi wa Kwamaraho, anashikiliwa na polisi kwa kumuua mkewe Amina Hussein(38)
- Kamanda Bukombe amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo na amesema polisi inaendelea na uchunguzi
Soma https://jamii.app/AmchinjaMkewe
- Juma Hemedi(45) mkazi wa Kwamaraho, anashikiliwa na polisi kwa kumuua mkewe Amina Hussein(38)
- Kamanda Bukombe amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo na amesema polisi inaendelea na uchunguzi
Soma https://jamii.app/AmchinjaMkewe
MIILI YA WAFANYAKAZI WATANO WA AZAM MEDIA GROUP YAAGWA
- Miili ya Wafanyakazi hao waliofariki jana inaagwa leo katika ofisi za Azam Media zilizopo Tabata jijini Dar
- Viongozi kadhaa wamehudhuria akiwemo Waziri wa Habari, Harrison Mwakyembe
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWaagwa
- Miili ya Wafanyakazi hao waliofariki jana inaagwa leo katika ofisi za Azam Media zilizopo Tabata jijini Dar
- Viongozi kadhaa wamehudhuria akiwemo Waziri wa Habari, Harrison Mwakyembe
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWaagwa
KATIBU MKUU CCM AMUONYA WAZIRI WA VIWANDA
- Dkt. Bashiru Ally amesema Waziri Innocent Bashungwa atatumbuliwa ikiwa atashindwa kutizima azma ya Serikali ya kufufua viwanda
- Amehoji “Barabara zinajengwa unaziona, SGR unaiona, kwa nini hatuoni viwanda vinafufuliwa?”
Zaidi, soma https://jamii.app/BashiruAmuonyaWaziriViwanda
- Dkt. Bashiru Ally amesema Waziri Innocent Bashungwa atatumbuliwa ikiwa atashindwa kutizima azma ya Serikali ya kufufua viwanda
- Amehoji “Barabara zinajengwa unaziona, SGR unaiona, kwa nini hatuoni viwanda vinafufuliwa?”
Zaidi, soma https://jamii.app/BashiruAmuonyaWaziriViwanda
IRAN: TUTAJIBU HATUA YA UINGEREZA KUKAMATA MELI YETU
- Imesema Uingereza kukamata meli yao ya mafuta iitwayo Grace 1, nje ya eneo la Gibraltar hakutapita bila majibu
- Ilikamatwa Alhamisi ikishutumiwa kuvunja vikwazo kwa kupeleka mafuta Syria
Zaidi, soma https://jamii.app/IranKisasiUK
- Imesema Uingereza kukamata meli yao ya mafuta iitwayo Grace 1, nje ya eneo la Gibraltar hakutapita bila majibu
- Ilikamatwa Alhamisi ikishutumiwa kuvunja vikwazo kwa kupeleka mafuta Syria
Zaidi, soma https://jamii.app/IranKisasiUK
RAIS MAGUFULI AZINDUA HIFADHI YA BURIGI-CHATO, AMPONGEZA FARU RAJABU
- Amempongeza Faru huyo kwa kuzalisha Watoto 40 na hivyo kuongeza idadi ya Faru
- Aidha, amesema “Nadhani wajina wangu John(baba wa Faru Rajabu) alikuwa hajitumi vizuri”
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAmpongezaFaruRajabu
- Amempongeza Faru huyo kwa kuzalisha Watoto 40 na hivyo kuongeza idadi ya Faru
- Aidha, amesema “Nadhani wajina wangu John(baba wa Faru Rajabu) alikuwa hajitumi vizuri”
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAmpongezaFaruRajabu
KENYA: MZEE WA MIAKA 60 MBARONI KWA KUMBAKA MTOTO WA MIAKA 9
> Tukio hilo limetokea wakati wakiwa kwenye usafiri maarufu kama ‘Matatu’
> Mtoto alizimia, alipoamka alisimulia kisa hicho
> Mtoto anafanyiwa uchunguzi Kituo cha Afya Kiganjo
Soma https://jamii.app/MzeeMbaroniKwaUnyanyasaji
> Tukio hilo limetokea wakati wakiwa kwenye usafiri maarufu kama ‘Matatu’
> Mtoto alizimia, alipoamka alisimulia kisa hicho
> Mtoto anafanyiwa uchunguzi Kituo cha Afya Kiganjo
Soma https://jamii.app/MzeeMbaroniKwaUnyanyasaji
MSAIDIZI WA BERNARD MEMBE, ANAYEDAIWA KUTEKWA APATIKANA
- Allan Kiluvya amepatikana baada ya kuachwa na wanaodaiwa kuwa watekaji katika eneo la Njia Panda ya Segerea
- Amesema hapo palikuwa sehemu salama kwani aliweza kupata usafiri na kuwa Watu hao walimuacha hapo baada ya kumuuliza wapi wamuache
Zaidi, soma https://jamii.app/AllanApatikanaNjiaSegerea
- Allan Kiluvya amepatikana baada ya kuachwa na wanaodaiwa kuwa watekaji katika eneo la Njia Panda ya Segerea
- Amesema hapo palikuwa sehemu salama kwani aliweza kupata usafiri na kuwa Watu hao walimuacha hapo baada ya kumuuliza wapi wamuache
Zaidi, soma https://jamii.app/AllanApatikanaNjiaSegerea
WAZIRI KALEMANI: CHATO ITAKUWA MIONGONI MWA MAJIJI MAKUBWA
- Amewataka Wawekezaji wa nje na ndani ya nchi kwenda kuwekeza katika Wilaya hiyo akisema kuna fursa
- Amesema licha ya Hifadhi iliyozinduliwa leo pia kuna madini na Ziwa Victoria
Zaidi, soma https://jamii.app/WilayaChatoJiji
- Amewataka Wawekezaji wa nje na ndani ya nchi kwenda kuwekeza katika Wilaya hiyo akisema kuna fursa
- Amesema licha ya Hifadhi iliyozinduliwa leo pia kuna madini na Ziwa Victoria
Zaidi, soma https://jamii.app/WilayaChatoJiji
UBALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA KUTOSHUGHULIKIA MASUALA YA ‘VISA’
- Kuanzia Agosti 01, 2019 maombi ya ‘visa’ za safari au Makazi kwa Watanzania wanaotaka kwenda Norway, yatatumwa na kushughulikiwa katika Ubalozi wa Norway uliopo Nairobi
Zaidi, soma https://jamii.app/NorwegianVisa-Nairobi
- Kuanzia Agosti 01, 2019 maombi ya ‘visa’ za safari au Makazi kwa Watanzania wanaotaka kwenda Norway, yatatumwa na kushughulikiwa katika Ubalozi wa Norway uliopo Nairobi
Zaidi, soma https://jamii.app/NorwegianVisa-Nairobi