Timu ya Taifa ya #Uganda 'The Cranes' imeondoshwa katika michuano ya #AFCON2019 baada ya kukubali kipigo cha goli 1 kwa 0 kutoka kwa timu ya Taifa ya #Senegal
> #Uganda ndio timu pekee kutoka Afrika Mashariki iliyokuwa imesalia katika michuano hiyo
#JFSports
> #Uganda ndio timu pekee kutoka Afrika Mashariki iliyokuwa imesalia katika michuano hiyo
#JFSports
NEMC: KELELE ZA VIWANDA, NGOMA, MUZIKI, IBADA KUANZA KULIPIWA. WATAKAOKIUKA KUTOZWA FAINI
> NEMC imesema kwa Mtu atakayetaka kufanya shughuli hizo atapaswa kulipa milioni 10
> Watakaokiuka watatozwa faini isiyozidi milioni 50 ama kifungo jela
Soma > https://jamii.app/NEMCVsKelele
> NEMC imesema kwa Mtu atakayetaka kufanya shughuli hizo atapaswa kulipa milioni 10
> Watakaokiuka watatozwa faini isiyozidi milioni 50 ama kifungo jela
Soma > https://jamii.app/NEMCVsKelele
RAIA WA KIGENI MBARONI KWA KUSAFIRISHA DHAHABU BILA KIBALI
> Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia raia wawili wa Uingereza na mmoja wa Ireland kwa kosa la kusafirisha dhahabu gramu 1,044.95 bila kuwa na kibali kutoka Wilaya ya Chunya kuelekea Jijini Dar es salaam
Soma - https://jamii.app/UsafiriDhahabuWageni
> Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia raia wawili wa Uingereza na mmoja wa Ireland kwa kosa la kusafirisha dhahabu gramu 1,044.95 bila kuwa na kibali kutoka Wilaya ya Chunya kuelekea Jijini Dar es salaam
Soma - https://jamii.app/UsafiriDhahabuWageni
JamiiForums
Raia wa kigeni wakaatwa wakisafirisha dhahabu - JamiiForums
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu watatu raia wa kigeni kwa kosa la kusafirisha madini aina ya dhahabu bila kuwa na kibali.
Watuhumiwa hao walikuwa wakitokea Wilaya ya Chunya...
Watuhumiwa hao walikuwa wakitokea Wilaya ya Chunya...
MAREKANI: WANASAYANSI WAFANIKIWA KUONDOA VVU KWA PANYA
> Watafiti nchini Marekani wamesema wamefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi kutoka kwenye vinasaba (DNA) vya panya 9 kati ya 23
> Kutokana na mafanikio hayo endapo mamlaka za chakula na dawa zitathibitisha tiba hiyo kwa binadamu inaweza kuanza kutumika mapema mwaka ujao
Soma - https://jamii.app/TibaVVUPanya
> Watafiti nchini Marekani wamesema wamefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi kutoka kwenye vinasaba (DNA) vya panya 9 kati ya 23
> Kutokana na mafanikio hayo endapo mamlaka za chakula na dawa zitathibitisha tiba hiyo kwa binadamu inaweza kuanza kutumika mapema mwaka ujao
Soma - https://jamii.app/TibaVVUPanya
MICHEZO: Timu ya Taifa ya #Nigeria yafanikiwa kusonga mbele katika hatua ya robo fainali baada ya kuinyuka timu ya Taifa ya #Cameroon kwa mabao 3 kwa 2
#AFCON2019 #JFLeo
#AFCON2019 #JFLeo
Mchezo wa #AFCON2019 kati ya #Misri na #SouthAfrika maarufu kama #Bafanabafana umekwenda mapumziko kwa timu hizo kutoka suluhu ya bao 0 kwa 0
> Je, unaweza kubashiri timu gani itaibuka na ushindi katika kipindi cha pili?
> Je, unaweza kubashiri timu gani itaibuka na ushindi katika kipindi cha pili?
#AFCON2019: Timu ya Taifa ya #SouthAfrica maarufu ‘#Bafanabafana’ imefanikiwa kuingia hatua ya robo fainali baada ya kuifunga timu ya Taifa ya #Egypt goli 1-0
- Katika hatua ya robo fainali, South Africa itakutana na #Nigeria iliyofanikiwa kuitoa #Cameroon
#JFLeo #EGYRSA
- Katika hatua ya robo fainali, South Africa itakutana na #Nigeria iliyofanikiwa kuitoa #Cameroon
#JFLeo #EGYRSA
#CopaAmerica2019: #Argentina imeibuka mshindi wa tatu katika michuano hiyo baada ya kuifunga #Chile goli 2-1
> Katika mchezo huo, Lionel Messi wa Argentina na Gary Medel wa Chile walipewa kadi nyekundu
> Mchezo wa Fainali utafanyika kesho kati ya #Brazil na #Peru mida ya saa 5 za usiku kwa saa za Afrika Mashariki
> Katika mchezo huo, Lionel Messi wa Argentina na Gary Medel wa Chile walipewa kadi nyekundu
> Mchezo wa Fainali utafanyika kesho kati ya #Brazil na #Peru mida ya saa 5 za usiku kwa saa za Afrika Mashariki