MSUMBIJI: IS IMEKIRI KUHUSIKA KWENYE SHAMBULIO LILILOUA WATU 7
- Shambulio hilo lilitokea siku ya Jumatano kwenye kijiji cha Lidjungo huko Nangade
- Hii ni mara ya pili kwa kikundi hicho kukiri kuhusika kwenye mashambulio Nchini humo
Soma https://jamii.app/ISAttackInMoz
#JFLeo
- Shambulio hilo lilitokea siku ya Jumatano kwenye kijiji cha Lidjungo huko Nangade
- Hii ni mara ya pili kwa kikundi hicho kukiri kuhusika kwenye mashambulio Nchini humo
Soma https://jamii.app/ISAttackInMoz
#JFLeo
RAIS MAGUFULI AMZAWADIA TAUSI RAIS KENYATTA
- Amemzawadia Tausi wanne kama kumbukumbu ya Uhusiano, Urafiki na Ujirani mwema baina ya Nchi hizo mbili
- Rais Kenyatta alifika wilayani Chato Julai 5, kwaajili ya ziara binafsi ya siku 2
Soma https://jamii.app/KenyattaApewaTausi
#JFLeo
- Amemzawadia Tausi wanne kama kumbukumbu ya Uhusiano, Urafiki na Ujirani mwema baina ya Nchi hizo mbili
- Rais Kenyatta alifika wilayani Chato Julai 5, kwaajili ya ziara binafsi ya siku 2
Soma https://jamii.app/KenyattaApewaTausi
#JFLeo
WAZIRI LUGOLA ARUHUSU MABASI YA ABIRIA KUSAFIRI SAA 24
- Amewataka makamanda wa Polisi kutozuia mabasi kwa kisingizio cha kuhofia majambazi
- Amesisitiza mabasi yanayotoka Kanda ya Ziwa kutozuiwa Morogoro na yanayotoka Dar kutozuiwa Shinyanga
Soma https://jamii.app/MabasiKusafiriSaa24
#JFLeo
- Amewataka makamanda wa Polisi kutozuia mabasi kwa kisingizio cha kuhofia majambazi
- Amesisitiza mabasi yanayotoka Kanda ya Ziwa kutozuiwa Morogoro na yanayotoka Dar kutozuiwa Shinyanga
Soma https://jamii.app/MabasiKusafiriSaa24
#JFLeo
Mchezo wa #AFCON2019 kati ya #Madagascar na #DR Congo umekwenda mapumziko kwa timu hizo kutoka suluhu ya bao 1 kwa 1
> Je, unaweza kubashiri timu gani itaibuka na ushindi katika kipindi cha pili?
> Je, unaweza kubashiri timu gani itaibuka na ushindi katika kipindi cha pili?
IRAN KUVUNJA MKATABA WA NYUKLIA
- Imesema itaanza kuvunja mkataba huo na kupunguza uzingatiaji wake baada ya kila siku 60
- Itafanya hivyo iwapo mataifa yaliyosaini mkataba huo hayatachukua hatua za kuilinda dhidi ya vikwazo vya Trump
Soma https://jamii.app/IranKurutubishaUranium
- Imesema itaanza kuvunja mkataba huo na kupunguza uzingatiaji wake baada ya kila siku 60
- Itafanya hivyo iwapo mataifa yaliyosaini mkataba huo hayatachukua hatua za kuilinda dhidi ya vikwazo vya Trump
Soma https://jamii.app/IranKurutubishaUranium
INDIA: WATU 29 WAFARIKI NA ZAIDI YA 20 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI
- Ajali hiyo imetokea leo asubuhi ambapo basi hilo limepinduka karibu na mji wa Agra, Kaskazini mwa India
- Inadaiwa dereva wa basi hilo la ghorofa moja alikuwa amesinzia
Soma https://jamii.app/BusCrashKills29-India
- Ajali hiyo imetokea leo asubuhi ambapo basi hilo limepinduka karibu na mji wa Agra, Kaskazini mwa India
- Inadaiwa dereva wa basi hilo la ghorofa moja alikuwa amesinzia
Soma https://jamii.app/BusCrashKills29-India
DKT. BASHIRU: JIMBO LA HAI SI NGOME YA CHADEMA
- Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema hayo jana wakati akieleza sababu ya ziara yake Mkoani Kilimanjaro
- Amesema katika ziara yake ameanzia Hai kimkakati na mahesabu yametumika kuamua
Soma https://jamii.app/BashiruJimboMbowe
- Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema hayo jana wakati akieleza sababu ya ziara yake Mkoani Kilimanjaro
- Amesema katika ziara yake ameanzia Hai kimkakati na mahesabu yametumika kuamua
Soma https://jamii.app/BashiruJimboMbowe
SINGIDA: WATU 7 WAKIWEMO WAFANYAKAZI 5 WA AZAM TV WAFARIKI AJALINI
- Wafanyakazi wengine watatu wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea wakati wakielekea Chato mkoani Geita
- Ni baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na Lori
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWafarikiAjalini
- Wafanyakazi wengine watatu wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea wakati wakielekea Chato mkoani Geita
- Ni baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na Lori
Zaidi, soma https://jamii.app/WafanyakaziAzamWafarikiAjalini
SHAMIMU NA MUMEWE WARUDISHWA RUMANDE, MAHAKAMA BADO INASUBIRI RIPOTI YA MKEMIA MKUU
- Jamhuri imesema inasubiri majibu ya ripoti hiyo ili iwasilishe kama kielelezo Mahakamani hapo
- Kesi imeahirishwa hadi Julai 22, 2019 kwa ajili ya kutajwa
Zaidi, soma https://jamii.app/ShamimuMumeweWasotaRumande
- Jamhuri imesema inasubiri majibu ya ripoti hiyo ili iwasilishe kama kielelezo Mahakamani hapo
- Kesi imeahirishwa hadi Julai 22, 2019 kwa ajili ya kutajwa
Zaidi, soma https://jamii.app/ShamimuMumeweWasotaRumande
LIGI KUU BARA 2019/20 KUANZA AGOSTI 23. SIMBA NA YANGA KUKUTANA JANUARI 04, 2020
- Pazia la ligi hiyo litafunguliwa kwa mchezo mmoja kati ya Simba SC na JKT Tanzania
- Bodi ya Ligi nchini imesema Msimu huu imezingatia ratiba za Kimataifa
Zaidi, soma https://jamii.app/LigiKuuBara2019-20
- Pazia la ligi hiyo litafunguliwa kwa mchezo mmoja kati ya Simba SC na JKT Tanzania
- Bodi ya Ligi nchini imesema Msimu huu imezingatia ratiba za Kimataifa
Zaidi, soma https://jamii.app/LigiKuuBara2019-20
THE HAGUE: ALIYEKUWA KIONGOZI WA WAASI CONGO, BOSCO NTAGANDA ATIWA HATIANI
- Ni kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita wa mwaka 2002 na 2003 katika eneo la Ituri
- Ntaganda(45) maarufu ''Terminator'' anakabiliwa na kifungo cha maisha
Ziadi, soma https://jamii.app/BoscoNtagandaAtiwaHatianiICC
- Ni kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita wa mwaka 2002 na 2003 katika eneo la Ituri
- Ntaganda(45) maarufu ''Terminator'' anakabiliwa na kifungo cha maisha
Ziadi, soma https://jamii.app/BoscoNtagandaAtiwaHatianiICC
MAHUSIANO: Mtoa mada ndani ya JamiiForums anawashauri Wanaume kwamba “unapotaka kuoa hakikisha unaoa Mwanamke ambaye unamzidi Elimu, Kipato na Mali kwa wakati huo”
- Anasema kuwa kuoa Mwanamke aliyekuzidi vitu hivyo utateseka kwenye ndoa na maisha yako yatakuwa mafupi kwani utakufa kwa msongo wa mawazo
Je, una maoni gani kuhusu suala hili?
Kutoa maoni, Tembelea > https://jamii.app/MwanamkeVsKipato
- Anasema kuwa kuoa Mwanamke aliyekuzidi vitu hivyo utateseka kwenye ndoa na maisha yako yatakuwa mafupi kwani utakufa kwa msongo wa mawazo
Je, una maoni gani kuhusu suala hili?
Kutoa maoni, Tembelea > https://jamii.app/MwanamkeVsKipato
FAMILIA YA ALLAN KILUVYA, ANAYEDAIWA KUTEKWA YAJITOKEZA KUOMBA MSAADA
- Imeomba msaada kwa Rais Magufuli, Serikali na Watanzania kusaidia kumpata ndugu yao
- Imedai gari lililomteka ni Land Cruiser lenye namba T 810 BQS, rangi ya kijivu
Zaidi, soma https://jamii.app/FamiliaAllanYaombaMsaadaKumtafuta
- Imeomba msaada kwa Rais Magufuli, Serikali na Watanzania kusaidia kumpata ndugu yao
- Imedai gari lililomteka ni Land Cruiser lenye namba T 810 BQS, rangi ya kijivu
Zaidi, soma https://jamii.app/FamiliaAllanYaombaMsaadaKumtafuta