Mdau wa JamiiForums.com anasema wakati wa Uchaguzi taarifa za Wagombea husambaa kwa kasi Mitandaoni, zingine zikiwa sahihi na zingine si sahihi, hali inayoweza kuwachanganya Wananchi kimaamuzi.
Anahoji, Je, taarifa za Wagombea unazoziona Mtandaoni huwa unaziamini au unazihakiki kwanza kabla ya kufanya maamuzi?
Shiriki Mjadala https://jamii.app/WagombeaMtandaoni
#JamiiForums #Accountability #Misinformation #Disinformation #ElectionInformation2025 #MisDis2025 #TaarifaZaUchaguzi2025
Anahoji, Je, taarifa za Wagombea unazoziona Mtandaoni huwa unaziamini au unazihakiki kwanza kabla ya kufanya maamuzi?
Shiriki Mjadala https://jamii.app/WagombeaMtandaoni
#JamiiForums #Accountability #Misinformation #Disinformation #ElectionInformation2025 #MisDis2025 #TaarifaZaUchaguzi2025
KAGERA: Mdau wa JamiiForums.com ametoa wito kwa Mamlaka kufuatilia uanzishwaji wa kambi ya maandalizi Shuleni kwa madarasa yenye mitihani (Kidato cha 2 & 4) akidai kuna michango ambayo inafanywa kuwa ya lazima ambapo wale wasiotoa wanawekwa pembeni hali inayofanya baadhi ya Wanafunzi kuikimbia shule kwa kukosa michango hiyo.
Zaidi https://jamii.app/WanafunziKambiKujisomea
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #JFMdau2025
Zaidi https://jamii.app/WanafunziKambiKujisomea
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #JFMdau2025
❤1
DAR: Mdau wa JamiiForums.com anadai maeneo mengi ya #Kariakoo ikiwemo Mataa ya Uhuru kuna kundi la Watu linafanya uonevu wa kukamata Bodaboda na kuwalazimisha watoe Tsh. 10,000 hadi Tsh. 20,000 nje ya utaratibu wa Faini za Kiserikali pindi wanapowakamata wakiwatuhumu kuwa na makosa mbalimbali.
Anaeleza kama hakutakuwa na utaratibu wa kudhibiti tabia hiyo, itafika hatua Wanaoonewa watachoka na kunaweza kutokea madhara makubwa, kwani wanaokamatwa wengine hawana makosa lakini wanaingia katika mtego huo, hivyo ameshauri Serikali ichukue hatua kudhibiti usimamizi ili Haki itendeke.
Zaidi soma https://jamii.app/UsalamaBodaboda
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #JFHuduma #JFMdau2025
Anaeleza kama hakutakuwa na utaratibu wa kudhibiti tabia hiyo, itafika hatua Wanaoonewa watachoka na kunaweza kutokea madhara makubwa, kwani wanaokamatwa wengine hawana makosa lakini wanaingia katika mtego huo, hivyo ameshauri Serikali ichukue hatua kudhibiti usimamizi ili Haki itendeke.
Zaidi soma https://jamii.app/UsalamaBodaboda
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #JFHuduma #JFMdau2025
❤1