Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Akizungumza kwa njia ya Mtandao, Agosti 24, 2025, Mwanasiasa na Kada wa CCM, Humphrey Polepole amesema Mfanyabiashara Rostam Aziz ameuziwa Asilimia 70 ya Mgodi wa Makaa ambao ni Mkubwa Afrika Mashariki na Kati kwa kiwango cha Tsh. Bilioni 5 na kwamba ameshalipa Tsh. Bilioni 2.5.
Zaidi soma https://jamii.app/PolepoleMakaa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa
Zaidi soma https://jamii.app/PolepoleMakaa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa
❤2
Kusoma kwa undani habari hizi na mengine yaliyojiri juma lililopita bofya https://jamii.app/YaliyojiriJumaLililopita
#JamiiAfrica #JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
#JamiiAfrica #JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
👏1
ARUSHA: Jeshi la Polisi limetoa taarifa kuwa linafanya uchunguzi kuhusiana na tukio la Mtu mmoja aitwaye Bakari Halifa Daud (18) Mkazi wa Sombetini kujeruhiwa kwa kupigwa risasi mguuni na Abdulaziz Abubakari (Dogo Janja).
Kamanda wa Polisi Mkoa, SACP Justine Masejo amesema uchunguzi wa awali umebaini tukio hilo lilitokea Agosti 23, 2025 Saa 5:30 Usiku maeneo ya Sombetini na kwamba Jeshi linawashikilia Watu wawili kuhusiana na tukio hilo huku uchunguzi ukiendelea.
SACP Masejo ameongeza kuwa wakati Abdulaziz Abubakari (30), Mkazi wa Levolosi akiwa anashuka kwenye gari alidai kutaka kuvamiwa na Bakari akiwa na mwenzake kwa kutumia silaha ya jadi hali iliyosababisha kutumia silaha aliyokuwa nayo.
Zaidi https://jamii.app/DogoJanjaKumpigaRisasi
#JamiiAfrica #JamiiForums #HumanRights #Accountability #Uwajibikaji
Kamanda wa Polisi Mkoa, SACP Justine Masejo amesema uchunguzi wa awali umebaini tukio hilo lilitokea Agosti 23, 2025 Saa 5:30 Usiku maeneo ya Sombetini na kwamba Jeshi linawashikilia Watu wawili kuhusiana na tukio hilo huku uchunguzi ukiendelea.
SACP Masejo ameongeza kuwa wakati Abdulaziz Abubakari (30), Mkazi wa Levolosi akiwa anashuka kwenye gari alidai kutaka kuvamiwa na Bakari akiwa na mwenzake kwa kutumia silaha ya jadi hali iliyosababisha kutumia silaha aliyokuwa nayo.
Zaidi https://jamii.app/DogoJanjaKumpigaRisasi
#JamiiAfrica #JamiiForums #HumanRights #Accountability #Uwajibikaji
Mdau ikiwa mwenza uliyeachana nae ameshinda kiasi kikubwa cha fedha unaweza kuamua kurudiana nae au utakaza uendelee na Maisha yako?
Shiriki mjadala huu https://jamii.app/TalakaNaEx
#JamiiForums #JamiiAfrica #JukwaaLaMahusiano #Maisha #JFChitChats
Shiriki mjadala huu https://jamii.app/TalakaNaEx
#JamiiForums #JamiiAfrica #JukwaaLaMahusiano #Maisha #JFChitChats
Kupitia Jukwaa la Entertainment ndani ya JamiiForums.com Waadau wanajadili kuhusu nyimbo za Kitanzania ambazo zilifanya vizuri ngazi ya Kimataifa kiasi cha kuweza kuutangaza muziki wa Bongo Fleva kwa kiwango kikubwa.
Unadhani ngoma gani kati ya hizi au kama nyingine ilitoboa zaidi Kimataifa?
Shiriki mjadala huu https://jamii.app/HitKimataifa
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFBurudani #JFEntertainment #JFBongoFleva
Unadhani ngoma gani kati ya hizi au kama nyingine ilitoboa zaidi Kimataifa?
Shiriki mjadala huu https://jamii.app/HitKimataifa
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFBurudani #JFEntertainment #JFBongoFleva