Picha zikionesha matukio tofauti ya Washiriki mbalimbali wa mbio (Fun Run) za Kilometa Tano zilizofanyika leo Aprili 27, 2025 ikiwa ni Siku ya kwanza ya Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ambayo yanafanyika kwa siku tatu Jijini Arusha
Mbio hizo zilizoshirikisha Wadau mbalimbali wanaoshiriki maadhimisho hayo zilianzia Uwanja wa Gymkhana/Mgambo na kuhitimishwa katika eneo hilo hilo
Soma https://jamii.app/WPFD2025Day1
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Mbio hizo zilizoshirikisha Wadau mbalimbali wanaoshiriki maadhimisho hayo zilianzia Uwanja wa Gymkhana/Mgambo na kuhitimishwa katika eneo hilo hilo
Soma https://jamii.app/WPFD2025Day1
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
👍1
Kusoma kwa undani habari hizi na nyingine zilizojiri juma lililopita bofya https://jamii.app/YaliyojiriJumaLililopita
#JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
#JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
👍1
ARUSHA: Leo Aprili 28, 2025 ni siku ya kwanza ya Maadhimisho ya Siku ya Vyombo vya Habari Duniani (#WorldPressFreedomDay2025). Maadhimisho haya yanafanyika kwenye Hoteli ya Gran Melia na yanatarajiwa kufanyika kwa siku tatu
Kwenye Maadhimisho haya Wadau watajadili mada mabalimbali ikiwemo mchango wa Akili Mnemba (AI) kwenye Tasnia ya Habari na Mikakati inayoweza kutumiwa na Watengeneza Maudhui kwenye wakati huu ambapo Teknolojia imekua
Maadhimisho ya WPFD 2025 yanaratibiwa na Taasisi ya JamiiAfrica, Serikali, Shirika la Kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) pamoja na Wadau wengine wa Habari ndani na nje ya Tanzania
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayOne
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Kwenye Maadhimisho haya Wadau watajadili mada mabalimbali ikiwemo mchango wa Akili Mnemba (AI) kwenye Tasnia ya Habari na Mikakati inayoweza kutumiwa na Watengeneza Maudhui kwenye wakati huu ambapo Teknolojia imekua
Maadhimisho ya WPFD 2025 yanaratibiwa na Taasisi ya JamiiAfrica, Serikali, Shirika la Kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) pamoja na Wadau wengine wa Habari ndani na nje ya Tanzania
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayOne
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Katika kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, leo Aprili 28, 2025 JamiiAfrica kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeandaa majadiliano maalum yanayolenga kuchambua Uendelevu wa Vyombo vya Habari Tanzania katika nyakati hizi za Kidijitali
Majadiliano haya yanalenga kuimarisha uhuru wa Vyombo vya Habari, kuchochea ubunifu na uendelevu, pamoja na kuhimiza uandishi wa habari unaotanguliza maslahi ya Umma
#JamiiForums #JamiiAfrica #WPFD2025 #PressFreedom #Democracy
Majadiliano haya yanalenga kuimarisha uhuru wa Vyombo vya Habari, kuchochea ubunifu na uendelevu, pamoja na kuhimiza uandishi wa habari unaotanguliza maslahi ya Umma
#JamiiForums #JamiiAfrica #WPFD2025 #PressFreedom #Democracy
Katika zama hizi za Kidigitali, Mitandao ya Kijamii si tu kwaajili ya kushirikishana taarifa, bali ni Majukwaa ya Biashara, Ushawishi na Maendeleo. Hata hivyo, wabunifu wengi wa Maudhui bado hawajafaidika kikamilifu na fursa hizi
Kwa kutambua hili, Katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yanayoendelea Arusha, JamiiAfrica na Wadau wengine wameandaa mafunzo kwa wabunifu wa Maudhui yatakayohusisha Utengenezaji bora wa Maudhui na ushirikishwaji wa Watu, Mbinu za kupata kipato kupitia Majukwaa ya Kidigitali, Usalama Mtandaoni na matumizi sahihi ya AI
#JamiiAfrica #JamiiForums #WorldPressFreedomDay #PressFreedom #WPFD2025
Kwa kutambua hili, Katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yanayoendelea Arusha, JamiiAfrica na Wadau wengine wameandaa mafunzo kwa wabunifu wa Maudhui yatakayohusisha Utengenezaji bora wa Maudhui na ushirikishwaji wa Watu, Mbinu za kupata kipato kupitia Majukwaa ya Kidigitali, Usalama Mtandaoni na matumizi sahihi ya AI
#JamiiAfrica #JamiiForums #WorldPressFreedomDay #PressFreedom #WPFD2025