DR CONGO: SERIKALI YADAIWA KUWA MBIONI KUJENGA SANAMU YA TSHISEKEDI
> Ni ya Etienne Tshisekedi baba wa Rais wa sasa, Felix Tshisekedi aliyefariki dunia mwaka 2017
> Inatarajiwa kugharimu zaidi ya billioni 5 za Kitanzania
Soma > https://jamii.app/TshesekediStatue
#JFInternational
> Ni ya Etienne Tshisekedi baba wa Rais wa sasa, Felix Tshisekedi aliyefariki dunia mwaka 2017
> Inatarajiwa kugharimu zaidi ya billioni 5 za Kitanzania
Soma > https://jamii.app/TshesekediStatue
#JFInternational
HILLARY CLINTON KUTOGOMBEA TENA 2020
> Hillary Clinton ametangaza kuwa hatowania urais ktk uchaguzi ujao wa mwaka 2020 bali ataendelea kuunga mkono na kufanyia kazi kile anachoamini kuwa ni sawa bila ya kushiriki kama mgombea
Soma - https://jamii.app/ClintonOut2020
#JFInternational
> Hillary Clinton ametangaza kuwa hatowania urais ktk uchaguzi ujao wa mwaka 2020 bali ataendelea kuunga mkono na kufanyia kazi kile anachoamini kuwa ni sawa bila ya kushiriki kama mgombea
Soma - https://jamii.app/ClintonOut2020
#JFInternational
MBEGU FEKI ZASABABISHA HALI YA USALAMA WA CHAKULA AFRIKA KUWA MBAYA
> Katibu Mkuu wa Shirikisho la mbegu la kimataifa amesema, kuingia kwa mbegu feki na zisizo na ubora kumefanya hali ya usalama wa chakula Kusini mwa Sahara izidi kuwa mbaya
Soma - https://jamii.app/NjaaAfrikaVsMbeguFeki
#JFLeo
> Katibu Mkuu wa Shirikisho la mbegu la kimataifa amesema, kuingia kwa mbegu feki na zisizo na ubora kumefanya hali ya usalama wa chakula Kusini mwa Sahara izidi kuwa mbaya
Soma - https://jamii.app/NjaaAfrikaVsMbeguFeki
#JFLeo
KATAVI: MWANAHABARI WA MAJIRA ADAIWA KUKAMATWA
> George Mwigulu wa Gazeti la Majira amekamatwa wakati akiupiga picha msafara wa Wanawake wa ACT Wazalendo
> Wanawake hao walikuwa katika shamrashamra za kusheherekea siku ya Wanawake Duniani
Soma > https://jamii.app/MwanahabariKatavi
#JFLeo
> George Mwigulu wa Gazeti la Majira amekamatwa wakati akiupiga picha msafara wa Wanawake wa ACT Wazalendo
> Wanawake hao walikuwa katika shamrashamra za kusheherekea siku ya Wanawake Duniani
Soma > https://jamii.app/MwanahabariKatavi
#JFLeo
MOSHI: RAIA WA LIBERIA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA
> Grace Teta (40), amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kukamatwa Desemba 1, 2013 katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA) akisafirisha gramu 10,064 za #DawaZaKulevya aina ya Heroini
Soma - https://jamii.app/LiberianJailedHeroine
#JFLeo
> Grace Teta (40), amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kukamatwa Desemba 1, 2013 katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA) akisafirisha gramu 10,064 za #DawaZaKulevya aina ya Heroini
Soma - https://jamii.app/LiberianJailedHeroine
#JFLeo
VENEZUELA: UMEME WAKATWA SEHEMU KUBWA YA NCHI
> Rais Nicolás Maduro amewatupia lawama wapinzani wa Serikali yake na kusema wanaijumu nchi
> Wafuasi wake wasema kiongozi wa upinzani, Juan Guaidó anataka kuipindua serikali halali
Soma > https://jamii.app/UmemeWakatwaVenezuela
#JFInternational
> Rais Nicolás Maduro amewatupia lawama wapinzani wa Serikali yake na kusema wanaijumu nchi
> Wafuasi wake wasema kiongozi wa upinzani, Juan Guaidó anataka kuipindua serikali halali
Soma > https://jamii.app/UmemeWakatwaVenezuela
#JFInternational
WANAUME: JINSI YA KUVAA KWA MTOKO WA USIKU
> Vaa fulana (Tshirt) na suruali ya Jeans ila usivae fulana yenye michoro mingi au urembo mwingi usiokuwa na maana na chini unaweza kuvaa raba
> Unaweza kuvaa suruali ya Jeans na shati halafu juu ukaweka koti la kawaida na si lazima liwe koti la suti
> Vaa shati la kawaida na suruali nyeusi ndiyo itapendeza zaidi. Hakikisha unapata kiatu cheusi au rangi ya ugolo na unaweza ukavaa mkanda au usivae
Zaidi, soma - https://jamii.app/VaziUsikuWanaume
#JFUtanashati
> Vaa fulana (Tshirt) na suruali ya Jeans ila usivae fulana yenye michoro mingi au urembo mwingi usiokuwa na maana na chini unaweza kuvaa raba
> Unaweza kuvaa suruali ya Jeans na shati halafu juu ukaweka koti la kawaida na si lazima liwe koti la suti
> Vaa shati la kawaida na suruali nyeusi ndiyo itapendeza zaidi. Hakikisha unapata kiatu cheusi au rangi ya ugolo na unaweza ukavaa mkanda au usivae
Zaidi, soma - https://jamii.app/VaziUsikuWanaume
#JFUtanashati
HIZI NDIO NGUVU 7 ALIZONAZO MWANAMKE
> Kuona ya mbeleni, Nguvu katika kinywa chake, Uwezo wa kuendeleza uumbaji, Nguvu ya ushawishi, Kustahimili na kubeba mazito, Uwezo wa kujadili bei na Uwezo wa kuwaathiri watoto kitabia
Soma > https://jamii.app/NguvuMwanamke
#BalanceForBetter
> Kuona ya mbeleni, Nguvu katika kinywa chake, Uwezo wa kuendeleza uumbaji, Nguvu ya ushawishi, Kustahimili na kubeba mazito, Uwezo wa kujadili bei na Uwezo wa kuwaathiri watoto kitabia
Soma > https://jamii.app/NguvuMwanamke
#BalanceForBetter
MWILI WA KIM JONG II WAWEKWA KAMA KIVUTIO CHA UTALII
> Serikali ya Korea ya Kaskazini imeuweka hadharani Mwili wa Rais wa zamani, Kim Jong-Il kwa ajili ya watalii na raia wake kumtazama na kuna taratibu maalumu za kuzuru eneo hilo
Soma - https://jamii.app/KimHongIIBodyTourism
#JFInternational
> Serikali ya Korea ya Kaskazini imeuweka hadharani Mwili wa Rais wa zamani, Kim Jong-Il kwa ajili ya watalii na raia wake kumtazama na kuna taratibu maalumu za kuzuru eneo hilo
Soma - https://jamii.app/KimHongIIBodyTourism
#JFInternational
CHANGAMOTO ZA MWANAMKE WA KITANZANIA KATIKA UJASIRIAMALI
> Ikiwa ni siku ya Wanawake Duniani, ndani ya JamiiForums zimechambuliwa baadhi ya sababu zinazomfanya mjasiriamali wa kike asifanikiwe
Kwa mjadala, fungua > https://jamii.app/MwanamkeUjasiriamaliChangamoto
#BalanceforBetter
> Ikiwa ni siku ya Wanawake Duniani, ndani ya JamiiForums zimechambuliwa baadhi ya sababu zinazomfanya mjasiriamali wa kike asifanikiwe
Kwa mjadala, fungua > https://jamii.app/MwanamkeUjasiriamaliChangamoto
#BalanceforBetter
MUHEZA, TANGA: WATATU WAFARIKI NA WENGINE 54 KUJERUHIWA BAADA YA LORI KUPINDUKA
> Waliofariki na kujeruhiwa ni Wafanyakazi wa kampuni ya Chai ya East Usambara(EUTCO)
> Ajali hiyo imetokea katika Kijiji cha Shebomeza
Zaidi, soma => https://jamii.app/AjaliVifoEUTCO
#JFLeo
> Waliofariki na kujeruhiwa ni Wafanyakazi wa kampuni ya Chai ya East Usambara(EUTCO)
> Ajali hiyo imetokea katika Kijiji cha Shebomeza
Zaidi, soma => https://jamii.app/AjaliVifoEUTCO
#JFLeo
MIRERANI: WANAWAKE WATAKIWA KUACHA KUFICHA MADINI SEHEMU ZA SIRI
> Wanawake wenye tabia hiyo wetakiwa kuiacha kwani ni hatari kwa afya zao na ni ukwepaji wa kodi
> Watakao kamatwa picha zao zibandikwe ili wasiruhusiwe kuingua mgodini
Soma > https://jamii.app/WanawakeMadini
#JFLeo
> Wanawake wenye tabia hiyo wetakiwa kuiacha kwani ni hatari kwa afya zao na ni ukwepaji wa kodi
> Watakao kamatwa picha zao zibandikwe ili wasiruhusiwe kuingua mgodini
Soma > https://jamii.app/WanawakeMadini
#JFLeo
RASMI: Kocha wa zamani wa vilabu vya Leicester and Chelsea, Claudio Ranieri(67) ameteuliwa kuinoa klabu ya AS Roma hadi mwisho wa msimu huu
- Alifukuzwa kazi katika klabu ya Fulham siku 8 zilizopita baada ya kushinda michezo 3 kati ya 17 tangu awe kocha wa timu hiyo
#JFLeo
- Alifukuzwa kazi katika klabu ya Fulham siku 8 zilizopita baada ya kushinda michezo 3 kati ya 17 tangu awe kocha wa timu hiyo
#JFLeo
WATUMIAJI WA INTANETI TANZANIA NI ZAIDI YA MILIONI 23
> Serikali imesema kuwa idadi ya watumiaji wa Intaneti imeongezeka kutoka 520,000 mwaka 2009 na kufikia zaidi ya watu milioni 23 kwa mwaka 2018 ambayo ni sawa na asilimia 43 ya watanzania
Soma - https://jamii.app/WatumiaIntanetiMil23
#JFLeo
> Serikali imesema kuwa idadi ya watumiaji wa Intaneti imeongezeka kutoka 520,000 mwaka 2009 na kufikia zaidi ya watu milioni 23 kwa mwaka 2018 ambayo ni sawa na asilimia 43 ya watanzania
Soma - https://jamii.app/WatumiaIntanetiMil23
#JFLeo
WAHAMIAJI 12 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA PWANI
> Wahamiaji haramu 12 raia wa Ethiopia, wamekamatwa Mkoani Pwani, eneo la Mwidu porini, Chalinze kwa kosa la kutokuwa na kibali kinyume na sheria
> Aidha, watu wengine 14 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani humo kwa makosa mbalimbali ya kiuhalifu ikiwemo wizi wa pikipiki na kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi
#JFLeo
> Wahamiaji haramu 12 raia wa Ethiopia, wamekamatwa Mkoani Pwani, eneo la Mwidu porini, Chalinze kwa kosa la kutokuwa na kibali kinyume na sheria
> Aidha, watu wengine 14 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani humo kwa makosa mbalimbali ya kiuhalifu ikiwemo wizi wa pikipiki na kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi
#JFLeo
TANZIA: DIWANI WA MVULENI, LINDI AFARIKI DUNIA
> Idarous Yusuf Manzi (CUF) amefariki leo, Machi 09 ktk Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar alipokuwa anapatiwa matibabu ya Kifua
> Mazishi yatafanyika kesho, Machi 10 ktk Makaburi ya Kijijini kwao, Kijiweni Mchinga Lindi
#JFLeo
> Idarous Yusuf Manzi (CUF) amefariki leo, Machi 09 ktk Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar alipokuwa anapatiwa matibabu ya Kifua
> Mazishi yatafanyika kesho, Machi 10 ktk Makaburi ya Kijijini kwao, Kijiweni Mchinga Lindi
#JFLeo
CHAMA CHA WAFANYAKAZI WASHAURI PAYE IPITIWE UPYA
> Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU), kimeshauri Serikali kufanya mapitio ya viwango vya kodi ya mtu binafsi kwenye makato ya mshahara ili kuleta unafuu
Soma - https://jamii.app/WafanyakaziMabadilikoPAYE
#JFLeo
> Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU), kimeshauri Serikali kufanya mapitio ya viwango vya kodi ya mtu binafsi kwenye makato ya mshahara ili kuleta unafuu
Soma - https://jamii.app/WafanyakaziMabadilikoPAYE
#JFLeo
RAIS MAGUFULI: MABALOZI KAMA KUNA TATIZO MSIANDIKE MITANDAONI
> Rais Magufuli amewaasa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini kuacha kuandika mitandaoni kama kuna tatizo badala yake wakamuone Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje
Zaidi, soma => https://jamii.app/MagufuliVsMalalamikoMabalozi
#JFLeo
> Rais Magufuli amewaasa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini kuacha kuandika mitandaoni kama kuna tatizo badala yake wakamuone Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje
Zaidi, soma => https://jamii.app/MagufuliVsMalalamikoMabalozi
#JFLeo