MFUMUKO WA BEI MWEZI FEBRUARI WABAKI 3% HUKU VYAKULA VIKISHUKA BEI
- Ofisi ya Takwimu(NBS) imebainisha kuwa asilimia hizo ni sawa na Januari 2019
- Inamaanisha kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma haijabadilika kwa miezi miwili
Zaidi, soma https://jamii.app/MfumukoBei-Feb2019
- Ofisi ya Takwimu(NBS) imebainisha kuwa asilimia hizo ni sawa na Januari 2019
- Inamaanisha kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma haijabadilika kwa miezi miwili
Zaidi, soma https://jamii.app/MfumukoBei-Feb2019
IRAN: WAPENZI WAKAMATWA BAADA YA KUCHUMBIANA HADHARANI
- Ni kwa kukiuka maadili ya kidini ambapo kuonesha hadharani mapenzi kumepigwa marufuku nchini humo
- Polisi imedai kitendo hicho kimechochewa na utamaduni wa mataifa ya Magharibi
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKuchumbianaHadharani-IRN
- Ni kwa kukiuka maadili ya kidini ambapo kuonesha hadharani mapenzi kumepigwa marufuku nchini humo
- Polisi imedai kitendo hicho kimechochewa na utamaduni wa mataifa ya Magharibi
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniKuchumbianaHadharani-IRN
TCRA YAFICHUA ‘MADUDU’ VITUO VYA REDIO KANDA YA ZIWA
> Yawapa miezi 4 kurekebisha mapungufu mbalimbali yaliyobainika walipofanya ukaguzi kwenye vituo takribani 36
> Wafanyakazi hawana mikataba, wana elimu zisizokidhi na baadhi ya vituo havina vyoo
Zaidi, soma https://jamii.app/TCRA-RedioKandaZiwa
> Yawapa miezi 4 kurekebisha mapungufu mbalimbali yaliyobainika walipofanya ukaguzi kwenye vituo takribani 36
> Wafanyakazi hawana mikataba, wana elimu zisizokidhi na baadhi ya vituo havina vyoo
Zaidi, soma https://jamii.app/TCRA-RedioKandaZiwa
COLOMBIA: WATU 14 WAMEFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE
- Imepata ajali jana huko San Carlos de Guaroa ikiwa inatokea San Jose del Guaviare kuelekea Villavicencio
- Ni muda mchache baada ya rubani kutuma ishara ya dharura kwa kituo cha udhibiti
Zaidi, soma https://jamii.app/14WafaAjaliNdege-CLMB
- Imepata ajali jana huko San Carlos de Guaroa ikiwa inatokea San Jose del Guaviare kuelekea Villavicencio
- Ni muda mchache baada ya rubani kutuma ishara ya dharura kwa kituo cha udhibiti
Zaidi, soma https://jamii.app/14WafaAjaliNdege-CLMB
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETHIOPIA YAPATA AJALI, WENGI WAHOFIWA KUFARIKI
- Boeing 737 imepata ajali ikiwa safarini kutoka Addis Ababa, Ethiopia kuelekea Nairobi, Kenya
- Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, ndege hiyo ilikuwa na abiria 149 pamoja na Wafanyakazi 8
Zaidi, soma https://jamii.app/ETHAirlines-Boeing737Crashes
- Boeing 737 imepata ajali ikiwa safarini kutoka Addis Ababa, Ethiopia kuelekea Nairobi, Kenya
- Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, ndege hiyo ilikuwa na abiria 149 pamoja na Wafanyakazi 8
Zaidi, soma https://jamii.app/ETHAirlines-Boeing737Crashes
WATU WOTE KWENYE NDEGE ILIYOPATA AJALI LEO ETHIOPIA WAFARIKI
> Ni 157, idadi ikijumuisha abiria 149 na wafanyakazi 8 wa ndege
> Imetajwa kuwa na raia kutoka nchi 33 tofauti
> Sababu za ajali bado hazijafahamika
Zaidi, soma https://jamii.app/ETHAirlines-Boeing737Crashes
> Ni 157, idadi ikijumuisha abiria 149 na wafanyakazi 8 wa ndege
> Imetajwa kuwa na raia kutoka nchi 33 tofauti
> Sababu za ajali bado hazijafahamika
Zaidi, soma https://jamii.app/ETHAirlines-Boeing737Crashes
ALGERIA: WANAFUNZI WA VYUO WAPEWA LIKIZO YA MAPEMA
- Ni ili kudhoofisha maandamano ya Wanafunzi hao ambao wanapinga Rais Abdelaziz Bouteflika kugombea kwa muhula wa 5
- Likizo hiyo huwa ya wiki 2 kuanzia Machi 21 hadi Aprili 5 kila mwaka
Zaidi, soma https://jamii.app/VyuoVyafungwaMapemaALG
- Ni ili kudhoofisha maandamano ya Wanafunzi hao ambao wanapinga Rais Abdelaziz Bouteflika kugombea kwa muhula wa 5
- Likizo hiyo huwa ya wiki 2 kuanzia Machi 21 hadi Aprili 5 kila mwaka
Zaidi, soma https://jamii.app/VyuoVyafungwaMapemaALG
MANUFAA YA KULA WADUDU KIAFYA NA KIMAZINGIRA
> Wana virutubisho karibu vyote yaani protini, madini mengi na asidi za amino
> Pia wanaweza kula taka, hawatoi gesi zinazoongeza joto duniani, hawahitaji maji mengi wala eneo kubwa la kuwafuga
Zaidi, soma https://jamii.app/FaidaKulaWadudu
> Wana virutubisho karibu vyote yaani protini, madini mengi na asidi za amino
> Pia wanaweza kula taka, hawatoi gesi zinazoongeza joto duniani, hawahitaji maji mengi wala eneo kubwa la kuwafuga
Zaidi, soma https://jamii.app/FaidaKulaWadudu
SERIKALI: WAPINZANI WANAOMTUKANA RAIS KWENYE VIKAO VYA NDANI WAKAMATWE
- Waziri Lugola ametoa agizo hilo kwa Polisi akiwataka washirikiane na Wakuu wa Mikoa na Wilaya
- Asema baadhi ya wapinzani wanatukana, wanabeza na kuchonganisha Wananchi na Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/WapinzaniWanaotukanaWakamatwe
- Waziri Lugola ametoa agizo hilo kwa Polisi akiwataka washirikiane na Wakuu wa Mikoa na Wilaya
- Asema baadhi ya wapinzani wanatukana, wanabeza na kuchonganisha Wananchi na Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/WapinzaniWanaotukanaWakamatwe
SHINYANGA: AUAWA KATIKA UGOMVI WA RABA
> Daniel Gudugudu(30) ameuawa kwa kuchomwa kisu kwenye mkono wa kushoto na Rashid Mustapha(48) huko Nyihogo wilayani Kahama
> Chanzo cha tukio hilo ni ugomvi uliotokana na kudaiana viatu aina ya raba zenye rangi nyeusi
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiKisuSHY
> Daniel Gudugudu(30) ameuawa kwa kuchomwa kisu kwenye mkono wa kushoto na Rashid Mustapha(48) huko Nyihogo wilayani Kahama
> Chanzo cha tukio hilo ni ugomvi uliotokana na kudaiana viatu aina ya raba zenye rangi nyeusi
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiKisuSHY
NHC KUWAFUKUZA WADAIWA SUGU KATIKA MAJENGO YAKE
- Ni kwa wale walioshindwa kulipa kodi ya pango ya jumla ya Tsh. Milioni 44.3
- Ni mpango wa kutaka kumaliza kukusanya kodi ambapo hadi sasa shirika limekusanya zaidi ya Tsh. Bilioni 1.9(73%)
Zaidi, soma https://jamii.app/WadaiwaNHCKuondolewa
- Ni kwa wale walioshindwa kulipa kodi ya pango ya jumla ya Tsh. Milioni 44.3
- Ni mpango wa kutaka kumaliza kukusanya kodi ambapo hadi sasa shirika limekusanya zaidi ya Tsh. Bilioni 1.9(73%)
Zaidi, soma https://jamii.app/WadaiwaNHCKuondolewa
TUNISIA: WAZIRI AJIUZULU KUTOKANA NA VIFO VYA WATOTO
> Waziri wa Afya, Abdurrauf esh-Sherif amejiuzulu baada ya kutokea vifo 11 vya watoto ktk Hospitali ya Serikali mjini Tunis
> Uchunguzi unafanyika kubaini sababu ya vifo hivyo
Soma - https://jamii.app/WaziriAjiuzuluVifoWatoto
#JFInternational
> Waziri wa Afya, Abdurrauf esh-Sherif amejiuzulu baada ya kutokea vifo 11 vya watoto ktk Hospitali ya Serikali mjini Tunis
> Uchunguzi unafanyika kubaini sababu ya vifo hivyo
Soma - https://jamii.app/WaziriAjiuzuluVifoWatoto
#JFInternational
SERIKALI YATAKA TAARIFA ZA WAAJIRI WALIOFUKUZA KAZI WANAWAKE BAADA YA KUPATA UJAUZITO
> Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametaka apewe taarifa hasa za sekta binafsi za waliowafukuza Wanawake kazi au kuwashusha vyeo kwa sababu wamepata ujauzito
Soma > https://jamii.app/UjauzitoKazi
#JFLeo
> Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametaka apewe taarifa hasa za sekta binafsi za waliowafukuza Wanawake kazi au kuwashusha vyeo kwa sababu wamepata ujauzito
Soma > https://jamii.app/UjauzitoKazi
#JFLeo
CHINA, ETHIOPIA ZASITISHA KUTUMIA BOEING 737 MAX 8
> China imeyaamuru mashirika ya ndege ya ndani ya nchi kusimamisha matumizi ya ndege aina ya Boeing 737 MAX 8 kufuatia ajali iliyotokea Ethiopia na nyingine nchini Indonesia
> Shirika la ndege la Ethiopia nalo limetangaza kusitisha safari za ndege zake zote aina ya Boeing 737 Max 8 kuanzia Machi 10 mwaka huu kama tahadhari ya ziada licha ya kuwa bado chanzo cha ajali iliyotokea jana na kuua watu 157 bado hakijafahamika mpaka sasa
Soma - https://jamii.app/ChinaBansBoeing737
#JFInternational
> China imeyaamuru mashirika ya ndege ya ndani ya nchi kusimamisha matumizi ya ndege aina ya Boeing 737 MAX 8 kufuatia ajali iliyotokea Ethiopia na nyingine nchini Indonesia
> Shirika la ndege la Ethiopia nalo limetangaza kusitisha safari za ndege zake zote aina ya Boeing 737 Max 8 kuanzia Machi 10 mwaka huu kama tahadhari ya ziada licha ya kuwa bado chanzo cha ajali iliyotokea jana na kuua watu 157 bado hakijafahamika mpaka sasa
Soma - https://jamii.app/ChinaBansBoeing737
#JFInternational
UINGEREZA: MBUNGE AITUHUMU QATAR KWA KUTOA RUSHWA FIFA
> Taifa la Qatar linatuhumiwa kutoa kiasi cha zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 937 kwa FIFA ili ipewe uenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2022
Zaidi, soma => https://jamii.app/FIFAQatarScandal
#JFLeo
> Taifa la Qatar linatuhumiwa kutoa kiasi cha zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 937 kwa FIFA ili ipewe uenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2022
Zaidi, soma => https://jamii.app/FIFAQatarScandal
#JFLeo
AJINYONGA BAADA YA UGOMVI NA SHANGAZI KUHUSU CHAPATI
> Binti Sharon (20), mkazi wa Kisumu, Kenya, amejinyonga hadi kufa baada ya ugomvi na shangazi yake kuhusu chapati
> Alitumia fedha ya chakula cha familia kujinunulia chapati na maharage
Soma - https://jamii.app/BintiAjinyongaChapati
#JFLeo
> Binti Sharon (20), mkazi wa Kisumu, Kenya, amejinyonga hadi kufa baada ya ugomvi na shangazi yake kuhusu chapati
> Alitumia fedha ya chakula cha familia kujinunulia chapati na maharage
Soma - https://jamii.app/BintiAjinyongaChapati
#JFLeo
MPANDA, KATAVI: WANAFUNZI WALALA BWALONI BAADA YA BWENI KUTEKETEA KWA MOTO
> Ni Wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Msaginya wamelazimika kulala katika bwalo la chakula tangu mabweni yao yateketee kwa moto wiki iliyopita
Zaidi, soma => https://jamii.app/WanafunziWalalaBwaloni
#JFLeo
> Ni Wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Msaginya wamelazimika kulala katika bwalo la chakula tangu mabweni yao yateketee kwa moto wiki iliyopita
Zaidi, soma => https://jamii.app/WanafunziWalalaBwaloni
#JFLeo
MAKAMU WA RAIS KUMUWAKILISHA RAIS KWENYE MKUTANO WA ANS UGANDA
> Samia Suluhu anaondoka nchini leo kuelekea Kampala kwenye Mkutano wa "Africa Now Summit"
> Atazungumzia mada ya Uongozi unaohitajika kuchochea mabadiliko ya Kijamii na Uchumi Afrika
Soma - https://jamii.app/SamiaMkutanoANS
#JFLeo
> Samia Suluhu anaondoka nchini leo kuelekea Kampala kwenye Mkutano wa "Africa Now Summit"
> Atazungumzia mada ya Uongozi unaohitajika kuchochea mabadiliko ya Kijamii na Uchumi Afrika
Soma - https://jamii.app/SamiaMkutanoANS
#JFLeo
MWENDELEZO: KISANDUKU CHA TAARIFA KUTOKA NDEGE YA ETHIOPIA CHAPATIKANA
> Kisanduku(Black Box) cha kurekodia taarifa za ndege wakati wa safari kilichokuwa cha ndege ya Boeing 737 MAX 8 iliyoanguka na kuua watu 157 chapatikana
Soma => https://jamii.app/ETHAirlines-Boeing737Crashes
#JFInternational
> Kisanduku(Black Box) cha kurekodia taarifa za ndege wakati wa safari kilichokuwa cha ndege ya Boeing 737 MAX 8 iliyoanguka na kuua watu 157 chapatikana
Soma => https://jamii.app/ETHAirlines-Boeing737Crashes
#JFInternational