MAREKANI: ALIYEKUWA MENEJA WA KAMPENI WA RAIS DONALD TRUMP AFUNGWA JELA
> Paul Manafort(69) amefungwa miezi 47 jela sawa na miaka 3 na miezi 11 baada ya kukutwa na hatia ya kukwepa kodi na udanganyifu wa kibenki
Zaidi, soma => https://jamii.app/ManafortConvicted
#JFInternational
> Paul Manafort(69) amefungwa miezi 47 jela sawa na miaka 3 na miezi 11 baada ya kukutwa na hatia ya kukwepa kodi na udanganyifu wa kibenki
Zaidi, soma => https://jamii.app/ManafortConvicted
#JFInternational
SAME, KILIMANJARO: WATU 5 WAMEFARIKI BAADA YA PETROLI KULIPUKA
> Tukio hili la kusikitisha limetokea katika kijiji cha Marwa huku ikielezwa kuwa Petroli hiyo ilikuwa ndani ya nyumba waliyokuwa wakiishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/PetroliYauaSame
#JFLeo
> Tukio hili la kusikitisha limetokea katika kijiji cha Marwa huku ikielezwa kuwa Petroli hiyo ilikuwa ndani ya nyumba waliyokuwa wakiishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/PetroliYauaSame
#JFLeo
UFARANSA: KADINALI AHUKUMIWA KWA KUSHINDWA KUKEMEA UNYANYASAJI
> Kiongozi wa Kanisa Katoliki Ufaransa, Kadinali Philippe Barbarin amehukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kushindwa kukemea vitendo vya udhalilishaji dhidi ya watoto
Soma - https://jamii.app/KadinaliJelaUdhalilishaji
#JFInternational
> Kiongozi wa Kanisa Katoliki Ufaransa, Kadinali Philippe Barbarin amehukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kushindwa kukemea vitendo vya udhalilishaji dhidi ya watoto
Soma - https://jamii.app/KadinaliJelaUdhalilishaji
#JFInternational
MPANDA & GEITA: JESHI LA POLISI LAZUIA MAADHIMISHO YA WANAWAKE WA ACT NA CHADEMA
> Wametakiwa kuungana na Wanawake wengine katika maadhimisho ya kiserikali
> Imeelezwa kuwa hatua hiyo itazuia matangazo yenye mlengo wa kisiasa
Soma > https://jamii.app/WanawakeACTCDM
#BalanceForBetter
> Wametakiwa kuungana na Wanawake wengine katika maadhimisho ya kiserikali
> Imeelezwa kuwa hatua hiyo itazuia matangazo yenye mlengo wa kisiasa
Soma > https://jamii.app/WanawakeACTCDM
#BalanceForBetter
DR CONGO: SERIKALI YADAIWA KUWA MBIONI KUJENGA SANAMU YA TSHISEKEDI
> Ni ya Etienne Tshisekedi baba wa Rais wa sasa, Felix Tshisekedi aliyefariki dunia mwaka 2017
> Inatarajiwa kugharimu zaidi ya billioni 5 za Kitanzania
Soma > https://jamii.app/TshesekediStatue
#JFInternational
> Ni ya Etienne Tshisekedi baba wa Rais wa sasa, Felix Tshisekedi aliyefariki dunia mwaka 2017
> Inatarajiwa kugharimu zaidi ya billioni 5 za Kitanzania
Soma > https://jamii.app/TshesekediStatue
#JFInternational
HILLARY CLINTON KUTOGOMBEA TENA 2020
> Hillary Clinton ametangaza kuwa hatowania urais ktk uchaguzi ujao wa mwaka 2020 bali ataendelea kuunga mkono na kufanyia kazi kile anachoamini kuwa ni sawa bila ya kushiriki kama mgombea
Soma - https://jamii.app/ClintonOut2020
#JFInternational
> Hillary Clinton ametangaza kuwa hatowania urais ktk uchaguzi ujao wa mwaka 2020 bali ataendelea kuunga mkono na kufanyia kazi kile anachoamini kuwa ni sawa bila ya kushiriki kama mgombea
Soma - https://jamii.app/ClintonOut2020
#JFInternational
MBEGU FEKI ZASABABISHA HALI YA USALAMA WA CHAKULA AFRIKA KUWA MBAYA
> Katibu Mkuu wa Shirikisho la mbegu la kimataifa amesema, kuingia kwa mbegu feki na zisizo na ubora kumefanya hali ya usalama wa chakula Kusini mwa Sahara izidi kuwa mbaya
Soma - https://jamii.app/NjaaAfrikaVsMbeguFeki
#JFLeo
> Katibu Mkuu wa Shirikisho la mbegu la kimataifa amesema, kuingia kwa mbegu feki na zisizo na ubora kumefanya hali ya usalama wa chakula Kusini mwa Sahara izidi kuwa mbaya
Soma - https://jamii.app/NjaaAfrikaVsMbeguFeki
#JFLeo
KATAVI: MWANAHABARI WA MAJIRA ADAIWA KUKAMATWA
> George Mwigulu wa Gazeti la Majira amekamatwa wakati akiupiga picha msafara wa Wanawake wa ACT Wazalendo
> Wanawake hao walikuwa katika shamrashamra za kusheherekea siku ya Wanawake Duniani
Soma > https://jamii.app/MwanahabariKatavi
#JFLeo
> George Mwigulu wa Gazeti la Majira amekamatwa wakati akiupiga picha msafara wa Wanawake wa ACT Wazalendo
> Wanawake hao walikuwa katika shamrashamra za kusheherekea siku ya Wanawake Duniani
Soma > https://jamii.app/MwanahabariKatavi
#JFLeo
MOSHI: RAIA WA LIBERIA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA
> Grace Teta (40), amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kukamatwa Desemba 1, 2013 katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA) akisafirisha gramu 10,064 za #DawaZaKulevya aina ya Heroini
Soma - https://jamii.app/LiberianJailedHeroine
#JFLeo
> Grace Teta (40), amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kukamatwa Desemba 1, 2013 katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA) akisafirisha gramu 10,064 za #DawaZaKulevya aina ya Heroini
Soma - https://jamii.app/LiberianJailedHeroine
#JFLeo
VENEZUELA: UMEME WAKATWA SEHEMU KUBWA YA NCHI
> Rais Nicolás Maduro amewatupia lawama wapinzani wa Serikali yake na kusema wanaijumu nchi
> Wafuasi wake wasema kiongozi wa upinzani, Juan Guaidó anataka kuipindua serikali halali
Soma > https://jamii.app/UmemeWakatwaVenezuela
#JFInternational
> Rais Nicolás Maduro amewatupia lawama wapinzani wa Serikali yake na kusema wanaijumu nchi
> Wafuasi wake wasema kiongozi wa upinzani, Juan Guaidó anataka kuipindua serikali halali
Soma > https://jamii.app/UmemeWakatwaVenezuela
#JFInternational
WANAUME: JINSI YA KUVAA KWA MTOKO WA USIKU
> Vaa fulana (Tshirt) na suruali ya Jeans ila usivae fulana yenye michoro mingi au urembo mwingi usiokuwa na maana na chini unaweza kuvaa raba
> Unaweza kuvaa suruali ya Jeans na shati halafu juu ukaweka koti la kawaida na si lazima liwe koti la suti
> Vaa shati la kawaida na suruali nyeusi ndiyo itapendeza zaidi. Hakikisha unapata kiatu cheusi au rangi ya ugolo na unaweza ukavaa mkanda au usivae
Zaidi, soma - https://jamii.app/VaziUsikuWanaume
#JFUtanashati
> Vaa fulana (Tshirt) na suruali ya Jeans ila usivae fulana yenye michoro mingi au urembo mwingi usiokuwa na maana na chini unaweza kuvaa raba
> Unaweza kuvaa suruali ya Jeans na shati halafu juu ukaweka koti la kawaida na si lazima liwe koti la suti
> Vaa shati la kawaida na suruali nyeusi ndiyo itapendeza zaidi. Hakikisha unapata kiatu cheusi au rangi ya ugolo na unaweza ukavaa mkanda au usivae
Zaidi, soma - https://jamii.app/VaziUsikuWanaume
#JFUtanashati
HIZI NDIO NGUVU 7 ALIZONAZO MWANAMKE
> Kuona ya mbeleni, Nguvu katika kinywa chake, Uwezo wa kuendeleza uumbaji, Nguvu ya ushawishi, Kustahimili na kubeba mazito, Uwezo wa kujadili bei na Uwezo wa kuwaathiri watoto kitabia
Soma > https://jamii.app/NguvuMwanamke
#BalanceForBetter
> Kuona ya mbeleni, Nguvu katika kinywa chake, Uwezo wa kuendeleza uumbaji, Nguvu ya ushawishi, Kustahimili na kubeba mazito, Uwezo wa kujadili bei na Uwezo wa kuwaathiri watoto kitabia
Soma > https://jamii.app/NguvuMwanamke
#BalanceForBetter
MWILI WA KIM JONG II WAWEKWA KAMA KIVUTIO CHA UTALII
> Serikali ya Korea ya Kaskazini imeuweka hadharani Mwili wa Rais wa zamani, Kim Jong-Il kwa ajili ya watalii na raia wake kumtazama na kuna taratibu maalumu za kuzuru eneo hilo
Soma - https://jamii.app/KimHongIIBodyTourism
#JFInternational
> Serikali ya Korea ya Kaskazini imeuweka hadharani Mwili wa Rais wa zamani, Kim Jong-Il kwa ajili ya watalii na raia wake kumtazama na kuna taratibu maalumu za kuzuru eneo hilo
Soma - https://jamii.app/KimHongIIBodyTourism
#JFInternational
CHANGAMOTO ZA MWANAMKE WA KITANZANIA KATIKA UJASIRIAMALI
> Ikiwa ni siku ya Wanawake Duniani, ndani ya JamiiForums zimechambuliwa baadhi ya sababu zinazomfanya mjasiriamali wa kike asifanikiwe
Kwa mjadala, fungua > https://jamii.app/MwanamkeUjasiriamaliChangamoto
#BalanceforBetter
> Ikiwa ni siku ya Wanawake Duniani, ndani ya JamiiForums zimechambuliwa baadhi ya sababu zinazomfanya mjasiriamali wa kike asifanikiwe
Kwa mjadala, fungua > https://jamii.app/MwanamkeUjasiriamaliChangamoto
#BalanceforBetter
MUHEZA, TANGA: WATATU WAFARIKI NA WENGINE 54 KUJERUHIWA BAADA YA LORI KUPINDUKA
> Waliofariki na kujeruhiwa ni Wafanyakazi wa kampuni ya Chai ya East Usambara(EUTCO)
> Ajali hiyo imetokea katika Kijiji cha Shebomeza
Zaidi, soma => https://jamii.app/AjaliVifoEUTCO
#JFLeo
> Waliofariki na kujeruhiwa ni Wafanyakazi wa kampuni ya Chai ya East Usambara(EUTCO)
> Ajali hiyo imetokea katika Kijiji cha Shebomeza
Zaidi, soma => https://jamii.app/AjaliVifoEUTCO
#JFLeo
MIRERANI: WANAWAKE WATAKIWA KUACHA KUFICHA MADINI SEHEMU ZA SIRI
> Wanawake wenye tabia hiyo wetakiwa kuiacha kwani ni hatari kwa afya zao na ni ukwepaji wa kodi
> Watakao kamatwa picha zao zibandikwe ili wasiruhusiwe kuingua mgodini
Soma > https://jamii.app/WanawakeMadini
#JFLeo
> Wanawake wenye tabia hiyo wetakiwa kuiacha kwani ni hatari kwa afya zao na ni ukwepaji wa kodi
> Watakao kamatwa picha zao zibandikwe ili wasiruhusiwe kuingua mgodini
Soma > https://jamii.app/WanawakeMadini
#JFLeo
RASMI: Kocha wa zamani wa vilabu vya Leicester and Chelsea, Claudio Ranieri(67) ameteuliwa kuinoa klabu ya AS Roma hadi mwisho wa msimu huu
- Alifukuzwa kazi katika klabu ya Fulham siku 8 zilizopita baada ya kushinda michezo 3 kati ya 17 tangu awe kocha wa timu hiyo
#JFLeo
- Alifukuzwa kazi katika klabu ya Fulham siku 8 zilizopita baada ya kushinda michezo 3 kati ya 17 tangu awe kocha wa timu hiyo
#JFLeo