KAGAME KUWA NA ZIARA YA SIKU 2 NCHINI
> Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais Paul Kagame wa Rwanda anatarajiwa kuwasili nchini leo Alhamisi kwa ziara ya kikazi
> Ziara hiyo inafanyika kufuatia mwaliko wa Rais Dkt. John Magufuli
Soma - https://jamii.app/KagameVisitsTZ
#JFLeo
> Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais Paul Kagame wa Rwanda anatarajiwa kuwasili nchini leo Alhamisi kwa ziara ya kikazi
> Ziara hiyo inafanyika kufuatia mwaliko wa Rais Dkt. John Magufuli
Soma - https://jamii.app/KagameVisitsTZ
#JFLeo
INDONESIA: VIFO KWENYE MAPOROMOKO YA MIGODI VYAONGEZEKA
> Idadi ya vifo kufuatia ajali iliyotokea katika machimbo ya migodi Kaskazini mwa Indonesia imeongezeka na kufikia watu 16
> Watu 18 wameokolewa wakiwa na majeraha makubwa
Soma - https://jamii.app/GoldminesTragedy
#JFInternational
> Idadi ya vifo kufuatia ajali iliyotokea katika machimbo ya migodi Kaskazini mwa Indonesia imeongezeka na kufikia watu 16
> Watu 18 wameokolewa wakiwa na majeraha makubwa
Soma - https://jamii.app/GoldminesTragedy
#JFInternational
KAMATI ZA BUNGE KUANZA VIKAO MACHI 11
> Wabunge watapokea Wasilisho la Mapendekezo ya Serikali kuhusu Mpango na Kiwango cha Ukomo wa Bajeti 2019/2020
> Pia zitafanya ukaguzi wa miradi ya Maendeleo iliyotengewa fedha ktk Bajeti ya 2018/2019
Soma - https://jamii.app/VikaoKamatiBunge
#JFLeo
> Wabunge watapokea Wasilisho la Mapendekezo ya Serikali kuhusu Mpango na Kiwango cha Ukomo wa Bajeti 2019/2020
> Pia zitafanya ukaguzi wa miradi ya Maendeleo iliyotengewa fedha ktk Bajeti ya 2018/2019
Soma - https://jamii.app/VikaoKamatiBunge
#JFLeo
KISUTU: MKURUGENZI WA M HOLDINGS GROUP INAYOMILIKI BANK M AFIKISHWA MAHAKAMANI
> Sanjeev Kumar amefikishwa mbele ya Hakimu Huruma Shaidi na kusomewa mashtaka 29 yakiwemo 12 ya utakatishaji wa fedha
> Akosa dhamana na kupelekwa mahabusu
Soma > https://jamii.app/SanjeevKumarKisutu
#JFLeo
> Sanjeev Kumar amefikishwa mbele ya Hakimu Huruma Shaidi na kusomewa mashtaka 29 yakiwemo 12 ya utakatishaji wa fedha
> Akosa dhamana na kupelekwa mahabusu
Soma > https://jamii.app/SanjeevKumarKisutu
#JFLeo
WABUNGE PETER LIJUALIKALI NA SUSAN KIWANGA WAACHIWA KWA DHAMANA
> Uamuzi huo umetolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro
> Mahakama imewapa dhamana baada ya kutupilia mbali maombi ya Jamhuri ya kupinga dhamana yao
Soma => https://jamii.app/KiwangaLijualikaliDhamana
#JFLeo
> Uamuzi huo umetolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro
> Mahakama imewapa dhamana baada ya kutupilia mbali maombi ya Jamhuri ya kupinga dhamana yao
Soma => https://jamii.app/KiwangaLijualikaliDhamana
#JFLeo
HUAWEI YAPANGA KUFUNGUA KESI DHIDI YA MAREKANI
> Kampuni ya simu ya Huawei ya nchini China itaifungulia kesi Serikali ya Marekani, baada ya kuzuia mashirika yake ya umma kutumia vifaa vyake kwa madai kuwa ni hatari kwa usalama wao
Soma - https://jamii.app/HuaweiCourtUS
#JFInternational
> Kampuni ya simu ya Huawei ya nchini China itaifungulia kesi Serikali ya Marekani, baada ya kuzuia mashirika yake ya umma kutumia vifaa vyake kwa madai kuwa ni hatari kwa usalama wao
Soma - https://jamii.app/HuaweiCourtUS
#JFInternational
VENEZUELA YAMFUKUZA BALOZI WA UJERUMANI
> Venezuela imemfukuza nchini mwake balozi wa Ujerumani Daniel Kriener, huku ikimpa
saa 48 za kuondoka nchini humo kwa madai ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela
Soma - https://jamii.app/BaloziAfukuzwaVenezuela
#JFInternational
> Venezuela imemfukuza nchini mwake balozi wa Ujerumani Daniel Kriener, huku ikimpa
saa 48 za kuondoka nchini humo kwa madai ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela
Soma - https://jamii.app/BaloziAfukuzwaVenezuela
#JFInternational
KIGOMA NA KAGERA WAONGOZA KWA KUCHAFUA NOTI
> Wakazi wa mikoa hiyo wametajwa kuwa viongozi wa kuchafua noti kuliko mikoa yote nchini
> Kufuatia hali hiyo Benki Kuu imeandaa utaratibu wa kuwafundisha watu jinsi ya kutunza fedha
Soma => https://jamii.app/KigomaKageraKichafuaNoti
#JFLeo
> Wakazi wa mikoa hiyo wametajwa kuwa viongozi wa kuchafua noti kuliko mikoa yote nchini
> Kufuatia hali hiyo Benki Kuu imeandaa utaratibu wa kuwafundisha watu jinsi ya kutunza fedha
Soma => https://jamii.app/KigomaKageraKichafuaNoti
#JFLeo
MWILI WA EPHRAIM KIBONDE KUZIKWA JUMAMOSI
> Mwili wa marehemu utawasili leo usiku ktk Uwanja wa ndege wa kimataifa (JKNIA) na utapelekwa Hospitali ya Jeshi, Lugalo
> Taratibu za mazishi zitafanyika nyumbani kwake Mbezi na Jumamosi ataagwa na kuzikwa
#JFLeo #RIPKibonde
> Mwili wa marehemu utawasili leo usiku ktk Uwanja wa ndege wa kimataifa (JKNIA) na utapelekwa Hospitali ya Jeshi, Lugalo
> Taratibu za mazishi zitafanyika nyumbani kwake Mbezi na Jumamosi ataagwa na kuzikwa
#JFLeo #RIPKibonde
JESHI LA POLISI LAUA MAJAMBAZI WATANO DAR ES SALAAM
> Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi watano na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wengine wanne, silaha 4 na risasi 59 katika matukio matatu tofauti
Soma - https://jamii.app/MajambaziWauliwaDar
#JFLeo
> Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi watano na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wengine wanne, silaha 4 na risasi 59 katika matukio matatu tofauti
Soma - https://jamii.app/MajambaziWauliwaDar
#JFLeo
IMANI: TULITUMIA MBINU HIZI KUJIKINGA NA WACHAWI
> Wapo wanaodai walikuwa wakichukua mkaa uliokolea moto na kuuweka kwenye maji na ukishazima wanauweka chini ya mto wa kulalia
Kwa mjadala zaidi, soma => https://jamii.app/KujikingaWachawi
#JFMaisha
> Wapo wanaodai walikuwa wakichukua mkaa uliokolea moto na kuuweka kwenye maji na ukishazima wanauweka chini ya mto wa kulalia
Kwa mjadala zaidi, soma => https://jamii.app/KujikingaWachawi
#JFMaisha
KILI MARATHONI WATAKIWA KULIPA KODI YA MILIONI 536
> Mashindano hayo yalihusisha wakimbiaji zaidi ya 10,000 kutoka mataifa mbalimbali duniani
> TRA Kilimanjaro tayari imewapelekea waandaaji hao ilani ya kuwataka kulipa malimbikizo ya kodi
Soma > https://jamii.app/KodiKiliMarathoni
#JFLeo
> Mashindano hayo yalihusisha wakimbiaji zaidi ya 10,000 kutoka mataifa mbalimbali duniani
> TRA Kilimanjaro tayari imewapelekea waandaaji hao ilani ya kuwataka kulipa malimbikizo ya kodi
Soma > https://jamii.app/KodiKiliMarathoni
#JFLeo
LEO NI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
> Siku hii hutumika kumsheherekea na kumuenzi Mwanamke na nafasi yake katika jamii na maisha yake ya kila siku
> Kauli mbiu ya mwaka huu imelenga kuhimiza umuhimu wa haki sawa katika jamii
Soma > https://jamii.app/IntlWomensDay
#BalanceForBetter
> Siku hii hutumika kumsheherekea na kumuenzi Mwanamke na nafasi yake katika jamii na maisha yake ya kila siku
> Kauli mbiu ya mwaka huu imelenga kuhimiza umuhimu wa haki sawa katika jamii
Soma > https://jamii.app/IntlWomensDay
#BalanceForBetter
MAREKANI: ALIYEKUWA MENEJA WA KAMPENI WA RAIS DONALD TRUMP AFUNGWA JELA
> Paul Manafort(69) amefungwa miezi 47 jela sawa na miaka 3 na miezi 11 baada ya kukutwa na hatia ya kukwepa kodi na udanganyifu wa kibenki
Zaidi, soma => https://jamii.app/ManafortConvicted
#JFInternational
> Paul Manafort(69) amefungwa miezi 47 jela sawa na miaka 3 na miezi 11 baada ya kukutwa na hatia ya kukwepa kodi na udanganyifu wa kibenki
Zaidi, soma => https://jamii.app/ManafortConvicted
#JFInternational
SAME, KILIMANJARO: WATU 5 WAMEFARIKI BAADA YA PETROLI KULIPUKA
> Tukio hili la kusikitisha limetokea katika kijiji cha Marwa huku ikielezwa kuwa Petroli hiyo ilikuwa ndani ya nyumba waliyokuwa wakiishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/PetroliYauaSame
#JFLeo
> Tukio hili la kusikitisha limetokea katika kijiji cha Marwa huku ikielezwa kuwa Petroli hiyo ilikuwa ndani ya nyumba waliyokuwa wakiishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/PetroliYauaSame
#JFLeo
UFARANSA: KADINALI AHUKUMIWA KWA KUSHINDWA KUKEMEA UNYANYASAJI
> Kiongozi wa Kanisa Katoliki Ufaransa, Kadinali Philippe Barbarin amehukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kushindwa kukemea vitendo vya udhalilishaji dhidi ya watoto
Soma - https://jamii.app/KadinaliJelaUdhalilishaji
#JFInternational
> Kiongozi wa Kanisa Katoliki Ufaransa, Kadinali Philippe Barbarin amehukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kushindwa kukemea vitendo vya udhalilishaji dhidi ya watoto
Soma - https://jamii.app/KadinaliJelaUdhalilishaji
#JFInternational
MPANDA & GEITA: JESHI LA POLISI LAZUIA MAADHIMISHO YA WANAWAKE WA ACT NA CHADEMA
> Wametakiwa kuungana na Wanawake wengine katika maadhimisho ya kiserikali
> Imeelezwa kuwa hatua hiyo itazuia matangazo yenye mlengo wa kisiasa
Soma > https://jamii.app/WanawakeACTCDM
#BalanceForBetter
> Wametakiwa kuungana na Wanawake wengine katika maadhimisho ya kiserikali
> Imeelezwa kuwa hatua hiyo itazuia matangazo yenye mlengo wa kisiasa
Soma > https://jamii.app/WanawakeACTCDM
#BalanceForBetter