BIASHARA YA HOSTELI, FAIDA NA CHANGAMOTO ZAKE
> Ni biashara ambayo ili kuifanyia kazi haraka itategemea na wingi wa wanachuo katika chuo unachokilenga katika biashara yako
> Usafi na ubora ni muhimu kuzingatia hasa Huduma za maji na choo, gharama isiwe kubwa sana, na umeme usiwe wa kusumbua
> Changamoto zake ni kama nyumba ya kupanga na pale ambapo unawekeza pesa nyingi halafu chuo kinakuja kujenga hosteli zake
Soma - https://jamii.app/BiasharaHosteli
#JFBiashara
> Ni biashara ambayo ili kuifanyia kazi haraka itategemea na wingi wa wanachuo katika chuo unachokilenga katika biashara yako
> Usafi na ubora ni muhimu kuzingatia hasa Huduma za maji na choo, gharama isiwe kubwa sana, na umeme usiwe wa kusumbua
> Changamoto zake ni kama nyumba ya kupanga na pale ambapo unawekeza pesa nyingi halafu chuo kinakuja kujenga hosteli zake
Soma - https://jamii.app/BiasharaHosteli
#JFBiashara
IRAN YAITUHUMU MAREKANI KUTAKA SERIKALI YAKE
> Rais wa Iran, Hassan Rouhani ameituhumu Marekani kwa kupanga njama ya kutumia shinikizo la kiuchumi kuipindua Serikali hiyo
> Amesema Iran haiko katika vita vya kiuchumi na Marekani
Soma - https://jamii.app/USVsIranGovern
#JFInternational
> Rais wa Iran, Hassan Rouhani ameituhumu Marekani kwa kupanga njama ya kutumia shinikizo la kiuchumi kuipindua Serikali hiyo
> Amesema Iran haiko katika vita vya kiuchumi na Marekani
Soma - https://jamii.app/USVsIranGovern
#JFInternational
ELIMU YA URAIA: JE, POLISI ANAHAKI YA KUKUPIGA UWAPO KIZUIZINI?
> Hana haki ya kukupiga au kukutisha. Kufanya hivyo ni kinyume cha sheria, na taratibu za Askari Polisi
> Una haki ya kumzuia Polisi kukupiga kama kuna uwezekano
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Hana haki ya kukupiga au kukutisha. Kufanya hivyo ni kinyume cha sheria, na taratibu za Askari Polisi
> Una haki ya kumzuia Polisi kukupiga kama kuna uwezekano
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
BAADA YA RAIS MAGUFULI KUHOJI SAKATA LA MO DEWJI, MAMBOSASA ATOA MAJIBU
> Kamanda wa Polisi Dar, Lazaro Mambosasa amesema yeye alishamaliza kazi yake
> DCI anatakiwa kutoa taarifa za uchunguzi zilizowasilishwa kwake.
Zaidi, soma => https://jamii.app/MambosasaAjibu
#JFLeo
> Kamanda wa Polisi Dar, Lazaro Mambosasa amesema yeye alishamaliza kazi yake
> DCI anatakiwa kutoa taarifa za uchunguzi zilizowasilishwa kwake.
Zaidi, soma => https://jamii.app/MambosasaAjibu
#JFLeo
UGANDA: AJUZA WA MIAKA 80 AJIUNGA NA DARASA LA KWANZA
> Mzee huyo wa miaka 80 amesema lengo lake ni kusomea Ualimu
> Amesema ndugu zake wengi wamemtenga hivyo ameazimia kusoma hadi atakapohitimu Chuo Kikuu cha Makelele
Soma > https://jamii.app/80YrsStudentUganda
#JFInternational
> Mzee huyo wa miaka 80 amesema lengo lake ni kusomea Ualimu
> Amesema ndugu zake wengi wamemtenga hivyo ameazimia kusoma hadi atakapohitimu Chuo Kikuu cha Makelele
Soma > https://jamii.app/80YrsStudentUganda
#JFInternational
KAGAME KUWA NA ZIARA YA SIKU 2 NCHINI
> Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais Paul Kagame wa Rwanda anatarajiwa kuwasili nchini leo Alhamisi kwa ziara ya kikazi
> Ziara hiyo inafanyika kufuatia mwaliko wa Rais Dkt. John Magufuli
Soma - https://jamii.app/KagameVisitsTZ
#JFLeo
> Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais Paul Kagame wa Rwanda anatarajiwa kuwasili nchini leo Alhamisi kwa ziara ya kikazi
> Ziara hiyo inafanyika kufuatia mwaliko wa Rais Dkt. John Magufuli
Soma - https://jamii.app/KagameVisitsTZ
#JFLeo
INDONESIA: VIFO KWENYE MAPOROMOKO YA MIGODI VYAONGEZEKA
> Idadi ya vifo kufuatia ajali iliyotokea katika machimbo ya migodi Kaskazini mwa Indonesia imeongezeka na kufikia watu 16
> Watu 18 wameokolewa wakiwa na majeraha makubwa
Soma - https://jamii.app/GoldminesTragedy
#JFInternational
> Idadi ya vifo kufuatia ajali iliyotokea katika machimbo ya migodi Kaskazini mwa Indonesia imeongezeka na kufikia watu 16
> Watu 18 wameokolewa wakiwa na majeraha makubwa
Soma - https://jamii.app/GoldminesTragedy
#JFInternational
KAMATI ZA BUNGE KUANZA VIKAO MACHI 11
> Wabunge watapokea Wasilisho la Mapendekezo ya Serikali kuhusu Mpango na Kiwango cha Ukomo wa Bajeti 2019/2020
> Pia zitafanya ukaguzi wa miradi ya Maendeleo iliyotengewa fedha ktk Bajeti ya 2018/2019
Soma - https://jamii.app/VikaoKamatiBunge
#JFLeo
> Wabunge watapokea Wasilisho la Mapendekezo ya Serikali kuhusu Mpango na Kiwango cha Ukomo wa Bajeti 2019/2020
> Pia zitafanya ukaguzi wa miradi ya Maendeleo iliyotengewa fedha ktk Bajeti ya 2018/2019
Soma - https://jamii.app/VikaoKamatiBunge
#JFLeo
KISUTU: MKURUGENZI WA M HOLDINGS GROUP INAYOMILIKI BANK M AFIKISHWA MAHAKAMANI
> Sanjeev Kumar amefikishwa mbele ya Hakimu Huruma Shaidi na kusomewa mashtaka 29 yakiwemo 12 ya utakatishaji wa fedha
> Akosa dhamana na kupelekwa mahabusu
Soma > https://jamii.app/SanjeevKumarKisutu
#JFLeo
> Sanjeev Kumar amefikishwa mbele ya Hakimu Huruma Shaidi na kusomewa mashtaka 29 yakiwemo 12 ya utakatishaji wa fedha
> Akosa dhamana na kupelekwa mahabusu
Soma > https://jamii.app/SanjeevKumarKisutu
#JFLeo
WABUNGE PETER LIJUALIKALI NA SUSAN KIWANGA WAACHIWA KWA DHAMANA
> Uamuzi huo umetolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro
> Mahakama imewapa dhamana baada ya kutupilia mbali maombi ya Jamhuri ya kupinga dhamana yao
Soma => https://jamii.app/KiwangaLijualikaliDhamana
#JFLeo
> Uamuzi huo umetolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro
> Mahakama imewapa dhamana baada ya kutupilia mbali maombi ya Jamhuri ya kupinga dhamana yao
Soma => https://jamii.app/KiwangaLijualikaliDhamana
#JFLeo
HUAWEI YAPANGA KUFUNGUA KESI DHIDI YA MAREKANI
> Kampuni ya simu ya Huawei ya nchini China itaifungulia kesi Serikali ya Marekani, baada ya kuzuia mashirika yake ya umma kutumia vifaa vyake kwa madai kuwa ni hatari kwa usalama wao
Soma - https://jamii.app/HuaweiCourtUS
#JFInternational
> Kampuni ya simu ya Huawei ya nchini China itaifungulia kesi Serikali ya Marekani, baada ya kuzuia mashirika yake ya umma kutumia vifaa vyake kwa madai kuwa ni hatari kwa usalama wao
Soma - https://jamii.app/HuaweiCourtUS
#JFInternational
VENEZUELA YAMFUKUZA BALOZI WA UJERUMANI
> Venezuela imemfukuza nchini mwake balozi wa Ujerumani Daniel Kriener, huku ikimpa
saa 48 za kuondoka nchini humo kwa madai ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela
Soma - https://jamii.app/BaloziAfukuzwaVenezuela
#JFInternational
> Venezuela imemfukuza nchini mwake balozi wa Ujerumani Daniel Kriener, huku ikimpa
saa 48 za kuondoka nchini humo kwa madai ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela
Soma - https://jamii.app/BaloziAfukuzwaVenezuela
#JFInternational
KIGOMA NA KAGERA WAONGOZA KWA KUCHAFUA NOTI
> Wakazi wa mikoa hiyo wametajwa kuwa viongozi wa kuchafua noti kuliko mikoa yote nchini
> Kufuatia hali hiyo Benki Kuu imeandaa utaratibu wa kuwafundisha watu jinsi ya kutunza fedha
Soma => https://jamii.app/KigomaKageraKichafuaNoti
#JFLeo
> Wakazi wa mikoa hiyo wametajwa kuwa viongozi wa kuchafua noti kuliko mikoa yote nchini
> Kufuatia hali hiyo Benki Kuu imeandaa utaratibu wa kuwafundisha watu jinsi ya kutunza fedha
Soma => https://jamii.app/KigomaKageraKichafuaNoti
#JFLeo
MWILI WA EPHRAIM KIBONDE KUZIKWA JUMAMOSI
> Mwili wa marehemu utawasili leo usiku ktk Uwanja wa ndege wa kimataifa (JKNIA) na utapelekwa Hospitali ya Jeshi, Lugalo
> Taratibu za mazishi zitafanyika nyumbani kwake Mbezi na Jumamosi ataagwa na kuzikwa
#JFLeo #RIPKibonde
> Mwili wa marehemu utawasili leo usiku ktk Uwanja wa ndege wa kimataifa (JKNIA) na utapelekwa Hospitali ya Jeshi, Lugalo
> Taratibu za mazishi zitafanyika nyumbani kwake Mbezi na Jumamosi ataagwa na kuzikwa
#JFLeo #RIPKibonde
JESHI LA POLISI LAUA MAJAMBAZI WATANO DAR ES SALAAM
> Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi watano na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wengine wanne, silaha 4 na risasi 59 katika matukio matatu tofauti
Soma - https://jamii.app/MajambaziWauliwaDar
#JFLeo
> Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi watano na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wengine wanne, silaha 4 na risasi 59 katika matukio matatu tofauti
Soma - https://jamii.app/MajambaziWauliwaDar
#JFLeo
IMANI: TULITUMIA MBINU HIZI KUJIKINGA NA WACHAWI
> Wapo wanaodai walikuwa wakichukua mkaa uliokolea moto na kuuweka kwenye maji na ukishazima wanauweka chini ya mto wa kulalia
Kwa mjadala zaidi, soma => https://jamii.app/KujikingaWachawi
#JFMaisha
> Wapo wanaodai walikuwa wakichukua mkaa uliokolea moto na kuuweka kwenye maji na ukishazima wanauweka chini ya mto wa kulalia
Kwa mjadala zaidi, soma => https://jamii.app/KujikingaWachawi
#JFMaisha
KILI MARATHONI WATAKIWA KULIPA KODI YA MILIONI 536
> Mashindano hayo yalihusisha wakimbiaji zaidi ya 10,000 kutoka mataifa mbalimbali duniani
> TRA Kilimanjaro tayari imewapelekea waandaaji hao ilani ya kuwataka kulipa malimbikizo ya kodi
Soma > https://jamii.app/KodiKiliMarathoni
#JFLeo
> Mashindano hayo yalihusisha wakimbiaji zaidi ya 10,000 kutoka mataifa mbalimbali duniani
> TRA Kilimanjaro tayari imewapelekea waandaaji hao ilani ya kuwataka kulipa malimbikizo ya kodi
Soma > https://jamii.app/KodiKiliMarathoni
#JFLeo
LEO NI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
> Siku hii hutumika kumsheherekea na kumuenzi Mwanamke na nafasi yake katika jamii na maisha yake ya kila siku
> Kauli mbiu ya mwaka huu imelenga kuhimiza umuhimu wa haki sawa katika jamii
Soma > https://jamii.app/IntlWomensDay
#BalanceForBetter
> Siku hii hutumika kumsheherekea na kumuenzi Mwanamke na nafasi yake katika jamii na maisha yake ya kila siku
> Kauli mbiu ya mwaka huu imelenga kuhimiza umuhimu wa haki sawa katika jamii
Soma > https://jamii.app/IntlWomensDay
#BalanceForBetter