PEMBA: MELI YA SEASTAR YAPATA HITILAFU, ABIRIA WASHUSHWA
> Abiria wa meli hiyo wameshushwa Wete baada ya kutokea mlipuko mdogo kwenye moja ya mashine zake
> Mpaka sasa haijaelezwa mlipuko huo umesababishwa na nini
Zaidi, soma => https://jamii.app/MeliSeastarPemba
#JFLeo
> Abiria wa meli hiyo wameshushwa Wete baada ya kutokea mlipuko mdogo kwenye moja ya mashine zake
> Mpaka sasa haijaelezwa mlipuko huo umesababishwa na nini
Zaidi, soma => https://jamii.app/MeliSeastarPemba
#JFLeo
KAGERA: RUGE MUTAHABA KUZIKWA, KIJIJINI KIZIRU
> Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group utapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele leo
> Uongozi wa Clouds Media Group watangaza kuzima vituo vyake kwa dakika 3 wakati mwili wa Ruge ukishushwa kaburini
#RIPRuge #RIPRugeMutahaba
> Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group utapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele leo
> Uongozi wa Clouds Media Group watangaza kuzima vituo vyake kwa dakika 3 wakati mwili wa Ruge ukishushwa kaburini
#RIPRuge #RIPRugeMutahaba
UINGEREZA: KIONGOZI WA UPINZANI JEREMY CORBYN APIGWA NA YAI
> Kiongozi wa chama cha Labour alikuwa kwenye ziara ya kutembelea kituo cha Waislamu kilichopo Kaskazini kwa Jiji la London
> Mwanaume Mmoja amekamatwa akihusishwa na tukio hilo
Soma > https://jamii.app/EggCorbyn
#JFInternational
> Kiongozi wa chama cha Labour alikuwa kwenye ziara ya kutembelea kituo cha Waislamu kilichopo Kaskazini kwa Jiji la London
> Mwanaume Mmoja amekamatwa akihusishwa na tukio hilo
Soma > https://jamii.app/EggCorbyn
#JFInternational
ZAMBIA: SERIKALI YAKIFUNGIA KITUO CHA RUNINGA KUFUATIA MALALAMIKO YA CHAMA TAWALA
> Prime Tv imefungiwa kwa siku 30 baada ya kukalamikiwa na chama tawala cha Patriotic Front (PF)
> Chatuhumiwa kuendesha propaganda chafu dhidi ya Serikali
Soma > https://jamii.app/PFvsPrimeTv
#JFLeo
> Prime Tv imefungiwa kwa siku 30 baada ya kukalamikiwa na chama tawala cha Patriotic Front (PF)
> Chatuhumiwa kuendesha propaganda chafu dhidi ya Serikali
Soma > https://jamii.app/PFvsPrimeTv
#JFLeo
KENYA: RUBANI WA RUTO NA RAIA 4 WA MAREKANI WAFARIKI KWENYE AJALI YA NDEGE
> Sababu za ajali hiyo iliyoondoa uhai wa Mario Magonga na Wamarekani hao bado hazijawekwa wazi
> Ndege hiyo ilitoweka kwenye rada wakati ikiwa ziwa Turkana
Soma > https://jamii.app/AjaliRubaniRuto
#JFLeo
> Sababu za ajali hiyo iliyoondoa uhai wa Mario Magonga na Wamarekani hao bado hazijawekwa wazi
> Ndege hiyo ilitoweka kwenye rada wakati ikiwa ziwa Turkana
Soma > https://jamii.app/AjaliRubaniRuto
#JFLeo
BASI LA BM COACH LAPINDUKA LIKIJARIBU KUKIKWEPA KICHWA CHA TREN, DEREVA AJERUHIWA VIBAYA
> Ajali hiyo imetokea Chekelei Wilaya ya Korogwe, Tanga wakati basi hilo likiwa safarini kutoka Arusha - Morogoro
> Abiria wachache wamejeruhiwa
Soma => https://jamii.app/AjaliBMTanga
> Ajali hiyo imetokea Chekelei Wilaya ya Korogwe, Tanga wakati basi hilo likiwa safarini kutoka Arusha - Morogoro
> Abiria wachache wamejeruhiwa
Soma => https://jamii.app/AjaliBMTanga
ELIMU YA URAIA: ASKARI POLISI WANAFANYA KAZI HATARISHI. JE, WANA BIMA?
> Askari wa Jeshi la Polisi la Tanzania hawana bima ya maisha ila wana bima ya afya ambayo haikidhi haja kulingana na hatari zinazowakabili
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace #JFLeo
> Askari wa Jeshi la Polisi la Tanzania hawana bima ya maisha ila wana bima ya afya ambayo haikidhi haja kulingana na hatari zinazowakabili
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace #JFLeo
JE, UNAIJUA SHERIA YA TAKWIMU YA MWAKA 2015 INAYOLALAMIKIWA NA WADAU?
> Inaelezwa kuwa inakinzana na kanuni za uwazi wa taarifa na takwimu pamoja na uendeshaji wa Serikali kwa uwazi
> Sheria hii inaipa namlaka NBS kuwa chombo pekee cha kusimamia na kutoa takwimu
#JFCivicSpace
> Inaelezwa kuwa inakinzana na kanuni za uwazi wa taarifa na takwimu pamoja na uendeshaji wa Serikali kwa uwazi
> Sheria hii inaipa namlaka NBS kuwa chombo pekee cha kusimamia na kutoa takwimu
#JFCivicSpace
HOMA YA DEGEDEGE, VISABABISHI NA WANAOATHIRIKA
> Degedege ni hali ya ghafla ya kutingishika kwa mwili mzima au miguu na mikono, ambayo husababishwa na kukakamaa kwa misuli ya mwili
> Hutokea kwa wastani wa asilimia nne (4%) ya watoto walio kati ya umri wa miezi sita na miaka mitano
> Kama mama au baba aliwahi kuumwa ugonjwa huu basi mtoto ana asilimia 10-20 zaidi ya kuumwa ugonjwa huu
Tembelea - https://jamii.app/UfahamuDegedege
#JFAfya
> Degedege ni hali ya ghafla ya kutingishika kwa mwili mzima au miguu na mikono, ambayo husababishwa na kukakamaa kwa misuli ya mwili
> Hutokea kwa wastani wa asilimia nne (4%) ya watoto walio kati ya umri wa miezi sita na miaka mitano
> Kama mama au baba aliwahi kuumwa ugonjwa huu basi mtoto ana asilimia 10-20 zaidi ya kuumwa ugonjwa huu
Tembelea - https://jamii.app/UfahamuDegedege
#JFAfya
FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA MAPAPAI NA YA KUZINGATIA KATIKA KILIMO CHAKE
> Ekari moja ya papai inachukua miche 1,000 hadi 1,200 kwa maana ya mita 2×2 kutoka mti hadi mti kwa mbegu fupi
> Kuanzia kupanda hadi kuanza kuvuna huchukua miezi 8 hadi 10
> Hali ya hewa inayofaa kwa mipapai ni ya kitropiki ambayo haina baridi kali na joto kiasi
> Udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji kwasababu maji yakisimama kwa saa 48 tu mpapai unaweza kufa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoMapapai
#JFKilimo
> Ekari moja ya papai inachukua miche 1,000 hadi 1,200 kwa maana ya mita 2×2 kutoka mti hadi mti kwa mbegu fupi
> Kuanzia kupanda hadi kuanza kuvuna huchukua miezi 8 hadi 10
> Hali ya hewa inayofaa kwa mipapai ni ya kitropiki ambayo haina baridi kali na joto kiasi
> Udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji kwasababu maji yakisimama kwa saa 48 tu mpapai unaweza kufa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoMapapai
#JFKilimo
FAHAMU KUHUSU CHEMBE YA MOYO NA VISABABISHI VYAKE
> Chembe ya moyo (Angina Pectoris) ni tatizo linalotokea pale moyo unapopata hewa ya Oksijeni kidogo tofauti na mahitaji yake
> Inaelezwa kuwa Watu waliopo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huo ni; Wanaovuta sigara, Wanene kupita kiasi na wenye ugonjwa wa kisukari
> Dalili kubwa ni maumivu katikati ya kifua yanayokua kuelekea kwenye mkono wa kushoto
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UgonjwaChembeMoyo
#JFAfya
> Chembe ya moyo (Angina Pectoris) ni tatizo linalotokea pale moyo unapopata hewa ya Oksijeni kidogo tofauti na mahitaji yake
> Inaelezwa kuwa Watu waliopo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huo ni; Wanaovuta sigara, Wanene kupita kiasi na wenye ugonjwa wa kisukari
> Dalili kubwa ni maumivu katikati ya kifua yanayokua kuelekea kwenye mkono wa kushoto
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UgonjwaChembeMoyo
#JFAfya
NDEGE ZA ISRAEL ZAISHAMBULIA NGOME YA HAMAS
> Ndege za kijeshi za Israel zimeishambulia ngome ya Hamas Kaskazini mwa Gaza
> Hatua hiyo imekuja baada ya Hamas kuulipua upande wa Israel katika eneo la Gaza
Soma - https://jamii.app/IsraelVsHamasGaza
#JFInternational
> Ndege za kijeshi za Israel zimeishambulia ngome ya Hamas Kaskazini mwa Gaza
> Hatua hiyo imekuja baada ya Hamas kuulipua upande wa Israel katika eneo la Gaza
Soma - https://jamii.app/IsraelVsHamasGaza
#JFInternational
MAWAZIRI WA FEDHA AFRIKA WAKUTANA KUJADILI HATUA NA SERA ZA KIUCHUMI
> Mawaziri wa fedha na wataalamu wa nchi za Afrika wamekutana Yaoundé, Cameroon kwenye mkutano wa siku 5, kujadili sera na hatua zinazohitajika kwa ajili ya kuleta mabadiliko chanya kiuchumi
#JFInternational
> Mawaziri wa fedha na wataalamu wa nchi za Afrika wamekutana Yaoundé, Cameroon kwenye mkutano wa siku 5, kujadili sera na hatua zinazohitajika kwa ajili ya kuleta mabadiliko chanya kiuchumi
#JFInternational
PUTIN ASITISHA MKATABA WA UTEKELEZAJI WA SILAHA ZA NYUKLIA
> Rais Vladimir Putin amesaini amri ya kusitisha mara moja utekelezaji wa Mkataba wa Silaha za Nyuklia za masafa ya Kati(INF) hadi Marekani itakapoacha kupuuza wajibu wake
Soma - https://jamii.app/PutinSuspendsNuckearTreaty
#JFInternational
> Rais Vladimir Putin amesaini amri ya kusitisha mara moja utekelezaji wa Mkataba wa Silaha za Nyuklia za masafa ya Kati(INF) hadi Marekani itakapoacha kupuuza wajibu wake
Soma - https://jamii.app/PutinSuspendsNuckearTreaty
#JFInternational
FAHAMU HAYA KUHUSU IPTV (KUANGALIA RUNINGA KWA KUTUMIA INTANETI)
> Hii ni aina ya uangaliaji runinga kupitia mtandao (intaneti) ambapo kituo cha runinga badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa intaneti
> Utahitaji kifaa chenye intaneti na uwezo wa kurusha matangazo ili kuweza kuangalia kama vile simu janja (smartphone), kompyuta au runinga zenye intaneti (smart tv)
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UfahamuTvIntaneti
#JFTeknolojia
> Hii ni aina ya uangaliaji runinga kupitia mtandao (intaneti) ambapo kituo cha runinga badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa intaneti
> Utahitaji kifaa chenye intaneti na uwezo wa kurusha matangazo ili kuweza kuangalia kama vile simu janja (smartphone), kompyuta au runinga zenye intaneti (smart tv)
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UfahamuTvIntaneti
#JFTeknolojia
SERIKALI: MARUFUKU MAGARI YA ABIRIA KUSAFIRISHA MIZIGO NA BARUA
> Ni marufuku kusafirisha vifurushi na barua bila ya kuwa na leseni ya Mamlaka ya Mawasiliano(TCRA)
> SUMATRA imeagizwa kuendesha oparesheni kali ili kudhibiti vitendo hivyo
Soma > https://jamii.app/GvtVsUsafirishajiMizigo
#JFLeo
> Ni marufuku kusafirisha vifurushi na barua bila ya kuwa na leseni ya Mamlaka ya Mawasiliano(TCRA)
> SUMATRA imeagizwa kuendesha oparesheni kali ili kudhibiti vitendo hivyo
Soma > https://jamii.app/GvtVsUsafirishajiMizigo
#JFLeo
MAREKANI: MGONJWA WA PILI WA UKIMWI APONA
> Wanasayansi wamefanikiwa kumtibu mgonjwa wa pili aliyeathirika na VVU tangu ugonjwa huo uanze kuathiri Wanadamu miaka ya 1980
> Mchakato wa kutengeneza tiba hiyo umechukua takribani miaka 12
Soma > https://jamii.app/USTibaHIV
#JFLeo
> Wanasayansi wamefanikiwa kumtibu mgonjwa wa pili aliyeathirika na VVU tangu ugonjwa huo uanze kuathiri Wanadamu miaka ya 1980
> Mchakato wa kutengeneza tiba hiyo umechukua takribani miaka 12
Soma > https://jamii.app/USTibaHIV
#JFLeo
NEC YAONGEZA VITUO 858 VYA KUPIGIA KURA
> Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Semistocles Kaijage leo Machi 5 amesema wameongeza vituo vya kupigia kura 858 na kufanya idadi ya vituo kupanda kutoka 36,549 hadi 37,407
> Ni maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika 2020
Soma - https://jamii.app/OngezekoVituoKura
#JFLeo
> Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Semistocles Kaijage leo Machi 5 amesema wameongeza vituo vya kupigia kura 858 na kufanya idadi ya vituo kupanda kutoka 36,549 hadi 37,407
> Ni maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika 2020
Soma - https://jamii.app/OngezekoVituoKura
#JFLeo
UCHAGUZI YANGA SASA KUFANYIKA MACHI 10, 2019
> Uchaguzi Mkuu wa klabu ya Yanga, uliosimamishwa kutokana na baadhi ya wanachama kufungua kesi Mahakamani, sasa umepangwa kufanyika Machi 10
> Awali, ulipangwa kufanyika Januari 13, 2019
Soma - https://jamii.app/UchaguziYangaMachi10
#JFMichezo
> Uchaguzi Mkuu wa klabu ya Yanga, uliosimamishwa kutokana na baadhi ya wanachama kufungua kesi Mahakamani, sasa umepangwa kufanyika Machi 10
> Awali, ulipangwa kufanyika Januari 13, 2019
Soma - https://jamii.app/UchaguziYangaMachi10
#JFMichezo