FAHAMU KUHUSU KILIMO BORA CHA MAHARAGE
> Katika ekari moja unaweza kupata Kilogramu 600 hadi 1200 za Maharage na ustawi vizuri maeneo yenye mwinuko wa mita 1000 hadi 2000 kutoka katika usawa wa bahari au pungufu ya mita 1000 au zaidi ya mita 2000 kutoka usawa wa bahari
> Maharage huitaji mvua ya kutosha kipindi cha kabla ya uwekaji maua na kipindi cha ukuaji wa vitumba vya Maharage
Tembelea - https://jamii.app/KilimoMaharage
#JFKilimo
> Katika ekari moja unaweza kupata Kilogramu 600 hadi 1200 za Maharage na ustawi vizuri maeneo yenye mwinuko wa mita 1000 hadi 2000 kutoka katika usawa wa bahari au pungufu ya mita 1000 au zaidi ya mita 2000 kutoka usawa wa bahari
> Maharage huitaji mvua ya kutosha kipindi cha kabla ya uwekaji maua na kipindi cha ukuaji wa vitumba vya Maharage
Tembelea - https://jamii.app/KilimoMaharage
#JFKilimo
YA KUFAHAMU KUHUSU KILIMO CHA UFUTA
> Chagua aina ya mbegu inayotoa mazao mengi na bora, inayovumilia mashambulizi ya magonjwa na wadudu, inayokomaa mapema na kutoa mafuta mengi
> Katika kudumisha rutuba ya udongo, tumia kilimo cha mzunguko wa mazao au weka mbolea za asili pale inapobidi
> Dhibiti magugu kwa kupalilia ili kuruhusu ufuta kutumia vizuri unyevu na virutubishi
> Kagua shamba mara kwa mara hasa kwenye maua na mapodo ili kuona dalili za mashambulizi
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/KilimoUfuta
#JFKilimo
> Chagua aina ya mbegu inayotoa mazao mengi na bora, inayovumilia mashambulizi ya magonjwa na wadudu, inayokomaa mapema na kutoa mafuta mengi
> Katika kudumisha rutuba ya udongo, tumia kilimo cha mzunguko wa mazao au weka mbolea za asili pale inapobidi
> Dhibiti magugu kwa kupalilia ili kuruhusu ufuta kutumia vizuri unyevu na virutubishi
> Kagua shamba mara kwa mara hasa kwenye maua na mapodo ili kuona dalili za mashambulizi
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/KilimoUfuta
#JFKilimo
FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA MAPAPAI NA YA KUZINGATIA KATIKA KILIMO CHAKE
> Ekari moja ya papai inachukua miche 1,000 hadi 1,200 kwa maana ya mita 2×2 kutoka mti hadi mti kwa mbegu fupi
> Kuanzia kupanda hadi kuanza kuvuna huchukua miezi 8 hadi 10
> Hali ya hewa inayofaa kwa mipapai ni ya kitropiki ambayo haina baridi kali na joto kiasi
> Udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji kwasababu maji yakisimama kwa saa 48 tu mpapai unaweza kufa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoMapapai
#JFKilimo
> Ekari moja ya papai inachukua miche 1,000 hadi 1,200 kwa maana ya mita 2×2 kutoka mti hadi mti kwa mbegu fupi
> Kuanzia kupanda hadi kuanza kuvuna huchukua miezi 8 hadi 10
> Hali ya hewa inayofaa kwa mipapai ni ya kitropiki ambayo haina baridi kali na joto kiasi
> Udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji kwasababu maji yakisimama kwa saa 48 tu mpapai unaweza kufa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoMapapai
#JFKilimo
FAHAMU MAMBO YA MSINGI KATIKA KILIMO CHA MIHOGO
> Muhogo hustawi vizuri katika maeneo yaliyopo mita 0 – 1500 kutoka usawa wa bahari na maeneo yanayopata mvua ya wastani wa mm 750 - mm 1200 kwa mwaka
> Mbegu ya Naliendele huzaa tani 19 kwa hekta moja, na inaweza kuvunwa kuanzia miezi 9 toka ipandwe na mbegu ya Kiroba huzaa tani 25 – 30 kwa hekta moja, na inaweza kuvunwa kuanzia miezi 9 toka ipandwe
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/KilimoMihogo
#JFKilimo
> Muhogo hustawi vizuri katika maeneo yaliyopo mita 0 – 1500 kutoka usawa wa bahari na maeneo yanayopata mvua ya wastani wa mm 750 - mm 1200 kwa mwaka
> Mbegu ya Naliendele huzaa tani 19 kwa hekta moja, na inaweza kuvunwa kuanzia miezi 9 toka ipandwe na mbegu ya Kiroba huzaa tani 25 – 30 kwa hekta moja, na inaweza kuvunwa kuanzia miezi 9 toka ipandwe
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/KilimoMihogo
#JFKilimo
MAELEZO KUHUSU LISHE KWA MBWA NA UANDAAJI WA CHAKULA CHAKE
> Vyakula vingi vya Mbwa hupatikana madukani kutoka viwandani maana vimefanyiwa utafiti ila hata wewe mmiliki wa Mbwa unaweza kujitengenezea chakula mwenyewe
> La muhimu kuzingatia ni kuwa Mbwa anaweza kukaa muda mrefu bila kula chakula ( Hunger tolerance) lakini hawezi kukaa muda mrefu bila kunywa maji. Akipoteza 1/10 ya maji yake mwilini hupoteza maisha
> Chakula cha Mbwa kinatakiwa kuwa na ladha na harufu ya kuvutia, kiwango kikubwa cha nguvu (wanga) na Protini ya kutosha kuwezesha ukuaji
Fahamu zaidi - https://jamii.app/ChakulaLisheMbwa
#JFKilimo
> Vyakula vingi vya Mbwa hupatikana madukani kutoka viwandani maana vimefanyiwa utafiti ila hata wewe mmiliki wa Mbwa unaweza kujitengenezea chakula mwenyewe
> La muhimu kuzingatia ni kuwa Mbwa anaweza kukaa muda mrefu bila kula chakula ( Hunger tolerance) lakini hawezi kukaa muda mrefu bila kunywa maji. Akipoteza 1/10 ya maji yake mwilini hupoteza maisha
> Chakula cha Mbwa kinatakiwa kuwa na ladha na harufu ya kuvutia, kiwango kikubwa cha nguvu (wanga) na Protini ya kutosha kuwezesha ukuaji
Fahamu zaidi - https://jamii.app/ChakulaLisheMbwa
#JFKilimo
KILIMO: JIFUNZE AINA KUU 5 ZA ZAO LA KAROTI
> Kuna aina kuu 5 za Karoti ambazo ni Nantes, Chantenay Red Core, Oxheart, Cape Market, Flacoro
> Zao hili hustawi vizuri kwenye sehemu zenye joto la wastani (nyuzi joto 15 hadi 27 za Sentigredi)
Zaidi, soma => https://jamii.app/AinaKaroti
#JFKilimo
> Kuna aina kuu 5 za Karoti ambazo ni Nantes, Chantenay Red Core, Oxheart, Cape Market, Flacoro
> Zao hili hustawi vizuri kwenye sehemu zenye joto la wastani (nyuzi joto 15 hadi 27 za Sentigredi)
Zaidi, soma => https://jamii.app/AinaKaroti
#JFKilimo
UNASHAURIWA KUZINGATIA HAYA KATIKA KUFANYA SHUGHULI ZA KILIMO
> Mtoa mada ndani ya JamiiForums anasema ni vizuri sana kujua vipimo halisi vya shamba lako katika vipimo vya mita na si miguu kama wengi walivyozoea kufanya
> Jali kilimo kama ajira au kazi zingine. Usifanye kilimk baada ya kushindwa kazi zingine hapa duniani au kwa ajili ya kujiburudisha tu
> Epuka kufanya kilimo cha simu. Hata kama unaishi mbali ni vizuri kwenda shambani kwako mara kwa mara hasa kwenye hatua muhimu za upandaji na sio kusubiri siku ya kuvuna
> Epuka kilimo cha kutegemea mvua tu. Mazao mengi au karibu yote, yana uhitaji maalumu wa kiwango cha maji hivyo tumia umwagiliaji pia
Tembelea - https://jamii.app/ZingatioKilimo
#JFKilimo
KILIMO: YATAMBUE MAGONJWA YA KUKU NA TIBA ZAKE
> Kuku hushambuliwa na magonjwa mbalimbali ambayo mengine yanatibika na mengine hayana tiba. Baadhi ya magonjwa yasiyotibika ni Mahepe, Gumboro, Mdondo na Ndui ya Kuku
> Japokuwa magonjwa haya hayatibiki lakini unaweza wapatia kuku wako chanjo ili kuzuia maambukizi au kuenea kwa magonjwa haya
Kwa elimu zaidi, soma > https://jamii.app/KukuMagonjwaTiba
#JFLeo #JFKilimo
> Kuku hushambuliwa na magonjwa mbalimbali ambayo mengine yanatibika na mengine hayana tiba. Baadhi ya magonjwa yasiyotibika ni Mahepe, Gumboro, Mdondo na Ndui ya Kuku
> Japokuwa magonjwa haya hayatibiki lakini unaweza wapatia kuku wako chanjo ili kuzuia maambukizi au kuenea kwa magonjwa haya
Kwa elimu zaidi, soma > https://jamii.app/KukuMagonjwaTiba
#JFLeo #JFKilimo
KILIMO: FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA MBOGA MBOGA (FIGIRI)
> Mambo muhimu ya kuzingatia katika kilimo hiki ni kuaanda shamba kwa kulima vizuri na kuondoa nyasi/magugu, kisha kwatua vizuri ili kuulainisha udongo, mwaga mbolea katika shamba na mwagilia maji ili kutengeneza unyevunyevu wa kutosha
>Mwaga mbegu katika bustani kwa kurusha, ili zijichanganye na udogo na kuifanya iote kwa mpangilio na mwagilia bustani kila baada ya siku mbili
Kwa maelezo zaidi - https://jamii.app/KilimoFigiri
#JFKilimo
> Mambo muhimu ya kuzingatia katika kilimo hiki ni kuaanda shamba kwa kulima vizuri na kuondoa nyasi/magugu, kisha kwatua vizuri ili kuulainisha udongo, mwaga mbolea katika shamba na mwagilia maji ili kutengeneza unyevunyevu wa kutosha
>Mwaga mbegu katika bustani kwa kurusha, ili zijichanganye na udogo na kuifanya iote kwa mpangilio na mwagilia bustani kila baada ya siku mbili
Kwa maelezo zaidi - https://jamii.app/KilimoFigiri
#JFKilimo
KILIMO: FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA TANGAWIZI
> Mdau wa JamiiForums anasema zao la tangawizi hupandwa kwa kutumia vipande vya tunguu(mizizi) na nafasi inayotumika kupanda ni Sm 23-30 kwa 15-23 na kina Sm 5-10 katika matuta
> Wiki 1-2 kabla ya kupanda weka mbolea na tandaza nyasi shambani kuhifadhi unyevunyevu
> Tangawizi huweza kuwa tayari kwa kuvunwa kati ya miezi 9-10 baada ya kupanda, majani yake yanapogeuka kuwa njano
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KilimoTangawizi
#JFKilimo
> Mdau wa JamiiForums anasema zao la tangawizi hupandwa kwa kutumia vipande vya tunguu(mizizi) na nafasi inayotumika kupanda ni Sm 23-30 kwa 15-23 na kina Sm 5-10 katika matuta
> Wiki 1-2 kabla ya kupanda weka mbolea na tandaza nyasi shambani kuhifadhi unyevunyevu
> Tangawizi huweza kuwa tayari kwa kuvunwa kati ya miezi 9-10 baada ya kupanda, majani yake yanapogeuka kuwa njano
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KilimoTangawizi
#JFKilimo
KILIMO: FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA VITUNGUU SAUMU
> Vitunguu Saumu ni zao ambalo lipo katika jamii ya vitunguu, linatumika kama kiungo cha chakula na pia, hutumika kama dawa na harufu yake hufukuza wadudu waharibifu shambani
> Mbegu yake ni ile punje inayokuwa imebanguliwa kutoka kwenye tunguu iliyokomaa kabisa na kiasi cha Kilo 300 – 500 hutumika kwa hekari moja
> Hulimwa kiasi cha Mita 1800 kutoka usawa wa Bahari, Mvua kiasi cha MM 1000, Joto kiasi, Udongo tifutifu, mnyevunyevu na usiotuamisha maji
Tembelea - https://jamii.app/KilimoKitunguuSaumu
#JFKilimo
> Vitunguu Saumu ni zao ambalo lipo katika jamii ya vitunguu, linatumika kama kiungo cha chakula na pia, hutumika kama dawa na harufu yake hufukuza wadudu waharibifu shambani
> Mbegu yake ni ile punje inayokuwa imebanguliwa kutoka kwenye tunguu iliyokomaa kabisa na kiasi cha Kilo 300 – 500 hutumika kwa hekari moja
> Hulimwa kiasi cha Mita 1800 kutoka usawa wa Bahari, Mvua kiasi cha MM 1000, Joto kiasi, Udongo tifutifu, mnyevunyevu na usiotuamisha maji
Tembelea - https://jamii.app/KilimoKitunguuSaumu
#JFKilimo
USHAURI WA KANUNI BORA ZA KILIMO CHA MIGOMBA
> Kiasi cha chini cha mvua kifaacho ni 100mm kwa mwezi au 1200mm kwa mwaka. Mwinuko ni kutoka usawa wa bahari hadi mita 1800 juu ya usawa wa bahari. Kiasi cha joto ni nyuzi joto za 25'C hadi 30'C
> Machipukizi mazuri yanayofaa kwa mbegu ni yale yenye majani membamba, Mgomba (shina) wenye afya nzuri na Mgomba wenye sifa ya kuzaa mikungu mikubwa
-
Wakati unaofaa kupanda machipukizi ni mwanzoni mwa msimu wa mvua
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KilimoMigombaNdizi
#JFKilimo
> Kiasi cha chini cha mvua kifaacho ni 100mm kwa mwezi au 1200mm kwa mwaka. Mwinuko ni kutoka usawa wa bahari hadi mita 1800 juu ya usawa wa bahari. Kiasi cha joto ni nyuzi joto za 25'C hadi 30'C
> Machipukizi mazuri yanayofaa kwa mbegu ni yale yenye majani membamba, Mgomba (shina) wenye afya nzuri na Mgomba wenye sifa ya kuzaa mikungu mikubwa
-
Wakati unaofaa kupanda machipukizi ni mwanzoni mwa msimu wa mvua
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KilimoMigombaNdizi
#JFKilimo
USHAURI KILIMO: MATUMIZI SAHIHI YA DAWA HUZUIA MAGUGU KUOTA SHAMBANI
> Uchaguzi wa dawa utategemea aina ya Magugu na hatua yaliyofikia. Mkulima unashauriwa mvua zikinyesha usikimbilie kupanda bali subiri kama wiki 2 au 3 ili majani yaote
> Kwa zao la Mpunga; Kama majani hayajaota shambani, tumia Pendamethatlin au Oxidiazon 250g/lt. Puliza dawa yoyote kati ya hizo baada ya kupanda Mpunga na hakikisha umekausha maji shambani saa 24 kabla ya kunyunyizia dawa
> Iwapo Magugu yameanza kuota tumia Bretilaclo, Pyribenzole, Tiller Gold, Penoxulum (Rainbow), Propanil, Garil, 2,4D Amine, Bentazole 480g/It
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KilimoPaliziMazao
#JFKilimo
> Uchaguzi wa dawa utategemea aina ya Magugu na hatua yaliyofikia. Mkulima unashauriwa mvua zikinyesha usikimbilie kupanda bali subiri kama wiki 2 au 3 ili majani yaote
> Kwa zao la Mpunga; Kama majani hayajaota shambani, tumia Pendamethatlin au Oxidiazon 250g/lt. Puliza dawa yoyote kati ya hizo baada ya kupanda Mpunga na hakikisha umekausha maji shambani saa 24 kabla ya kunyunyizia dawa
> Iwapo Magugu yameanza kuota tumia Bretilaclo, Pyribenzole, Tiller Gold, Penoxulum (Rainbow), Propanil, Garil, 2,4D Amine, Bentazole 480g/It
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KilimoPaliziMazao
#JFKilimo
FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA PILIPILI MTAMA/MANGA
> Zao hili humea katika mazingira ya wastani wa nyuzi joto 24-26, mvua za Milimita 1,500 mpaka 2,000 kwa mwaka na udongo wenye rutuba
> Maua ya kwanza hutokea baada ya miezi 24 tangu kupandwa na matunda yake hukomaa kwa miezi 9 hadi 10
Soma https://jamii.app/PilipiliMtama
#JFKilimo
> Zao hili humea katika mazingira ya wastani wa nyuzi joto 24-26, mvua za Milimita 1,500 mpaka 2,000 kwa mwaka na udongo wenye rutuba
> Maua ya kwanza hutokea baada ya miezi 24 tangu kupandwa na matunda yake hukomaa kwa miezi 9 hadi 10
Soma https://jamii.app/PilipiliMtama
#JFKilimo
FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA ASPARAGUS
> Asparagus ni aina ya mboga ambayo ipo kama vijiti na bei yake huanzia Tsh. 20,000 kwa Kilo moja
> Zao hili humea kwenye ardhi yenye maji mengi na Jotoridi la nyuzijoto 7 hadi 9 na huvunwa kwa miaka hadi 25
Kufahamu zaidi, soma https://jamii.app/KilimoAsparagus
#JFKilimo
> Asparagus ni aina ya mboga ambayo ipo kama vijiti na bei yake huanzia Tsh. 20,000 kwa Kilo moja
> Zao hili humea kwenye ardhi yenye maji mengi na Jotoridi la nyuzijoto 7 hadi 9 na huvunwa kwa miaka hadi 25
Kufahamu zaidi, soma https://jamii.app/KilimoAsparagus
#JFKilimo
KILIMO: FAHAMU KUHUSU MACADAMIA/KARANGA PORI
> Karanga pori ni zao la muda mrefu, mti wake unatokana na jamii ya mimea ya Proteaceae. Aina zote za mmea huu zinafaa kama zao la kilimo, la biashara na chakula
> Zinaota kwenye eneo lenye jotoridi kati ya nyuzi joto 25 na 35. Huhitaji mvua kiasi cha 800mm hadi 1200mm kwa mwaka na hali ya hewa huchangia zaidi katika kupata mazao bora
Zaidi, soma https://jamii.app/MacadamiaKaranga
#JFKilimo
> Karanga pori ni zao la muda mrefu, mti wake unatokana na jamii ya mimea ya Proteaceae. Aina zote za mmea huu zinafaa kama zao la kilimo, la biashara na chakula
> Zinaota kwenye eneo lenye jotoridi kati ya nyuzi joto 25 na 35. Huhitaji mvua kiasi cha 800mm hadi 1200mm kwa mwaka na hali ya hewa huchangia zaidi katika kupata mazao bora
Zaidi, soma https://jamii.app/MacadamiaKaranga
#JFKilimo
FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA UYOGA
- Mdau anasema aina za Uyoga zinazofaa kulimwa #Tanzania ni zile zinazostawi vizuri kwenye maeneo ya joto la wastani wa nyuzi 20c hadi 33c
- Malighafi zitumikazo kuzalisha Uyoga ni mabua, majani ya mpunga, ngano, pumba za mpunga au mahindi, masalia ya miwa baada ya kukamua ambayo hukatwa, huchemshwa na kutandazwa kwaajili ya mbengu kupandwa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoUyoga
#JFKilimo
- Mdau anasema aina za Uyoga zinazofaa kulimwa #Tanzania ni zile zinazostawi vizuri kwenye maeneo ya joto la wastani wa nyuzi 20c hadi 33c
- Malighafi zitumikazo kuzalisha Uyoga ni mabua, majani ya mpunga, ngano, pumba za mpunga au mahindi, masalia ya miwa baada ya kukamua ambayo hukatwa, huchemshwa na kutandazwa kwaajili ya mbengu kupandwa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoUyoga
#JFKilimo