ELIMU YA URAIA: SHERIA INASEMAJE KUHUSU KUKAMATWA KWA WATOTO?
> Sheria ya Mtoto inasema kuwa endapo Mtoto atakamatwa na Askari Polisi, ni
jukumu la lazima kwa askari huyo kumtaarifu mzazi au mlezi wa mtoto huyo pasipo kuchelewa
Soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Sheria ya Mtoto inasema kuwa endapo Mtoto atakamatwa na Askari Polisi, ni
jukumu la lazima kwa askari huyo kumtaarifu mzazi au mlezi wa mtoto huyo pasipo kuchelewa
Soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
EWURA: MAFUTA YA DIZELI YAPANDA HUKU PETROLI IKISHUKA
> Bei ya rejareja kwa dizeli imeongezeka kwa Shilingi 51 kwa lita 1 sawa na ongezeko 2.44%
> Aidha, bei ya Petroli imepungua kwa Shilingi 23 kwa lita 1 ambayo ni sawa na 1.07%
Zaidi, soma => https://jamii.app/BeiMafutaMachi
#JFLeo
> Bei ya rejareja kwa dizeli imeongezeka kwa Shilingi 51 kwa lita 1 sawa na ongezeko 2.44%
> Aidha, bei ya Petroli imepungua kwa Shilingi 23 kwa lita 1 ambayo ni sawa na 1.07%
Zaidi, soma => https://jamii.app/BeiMafutaMachi
#JFLeo
UMUHIMU WA KUMSIKILIZA MTOTO WAKO
> Ukimsikiliza mtoto unampa kujua kuwa yeye ni wa thamani kwako na kumfanya aone kwamba unamjali na kujali mawazo yake
> Wataalamu wanaeleza kuwa mzazi akimsikiliza mtoto hujenga mahusiano ya karibu sana na kumfanya mtoto awe muwazi tangu akiwa mdogo
> Msikilize lolote analolizungumza na jali mawazo yake
Zaidi, soma - https://jamii.app/UmuhimuKumsikilizaMtoto
#JFMahusiano
> Ukimsikiliza mtoto unampa kujua kuwa yeye ni wa thamani kwako na kumfanya aone kwamba unamjali na kujali mawazo yake
> Wataalamu wanaeleza kuwa mzazi akimsikiliza mtoto hujenga mahusiano ya karibu sana na kumfanya mtoto awe muwazi tangu akiwa mdogo
> Msikilize lolote analolizungumza na jali mawazo yake
Zaidi, soma - https://jamii.app/UmuhimuKumsikilizaMtoto
#JFMahusiano
UEFA YAKATAA OMBI LA REFA ALIYEOMBA KUTOCHEZESHA MCHEZO KATI YA REAL MADRID NA AJAX
> Mwamuzi Felix Brych aliomba asichezeshe mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya(UEFA)
> Brych alieleza kuwa ana mgogoro na waamuzi wasaidizi wa mchezo huo
#JFMichezo
> Mwamuzi Felix Brych aliomba asichezeshe mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya(UEFA)
> Brych alieleza kuwa ana mgogoro na waamuzi wasaidizi wa mchezo huo
#JFMichezo
BUNGOMA, KENYA: MWALIMU AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMUUA MWANAFUNZI
> Ni Mwalimu wa Bishop Adudo Boys School ambaye alimpiga Mwanafunzi kwa kosa la kutomaliza kazi ya darasani aliyompatia
> Imeelezwa kuwa alimjeruhi kichwani
Soma => https://jamii.app/MwalimuAuaBungoma
#JFInternational
> Ni Mwalimu wa Bishop Adudo Boys School ambaye alimpiga Mwanafunzi kwa kosa la kutomaliza kazi ya darasani aliyompatia
> Imeelezwa kuwa alimjeruhi kichwani
Soma => https://jamii.app/MwalimuAuaBungoma
#JFInternational
KISUTU, DAR: TAKUKURU YAWASILISHA OMBI LA KUTAKA MALINZI AHOJIWE TENA
> Hii ni baada ya shahidi wa 11 katika kesi hiyo kumaliza kutoa ushahidi wake
> Hakimu Kasonde anayesimamia kesi hiyo amekubaliana na ombi hilo
Zaidi, soma > https://jamii.app/MalinziKuhojiwaTena
> Hii ni baada ya shahidi wa 11 katika kesi hiyo kumaliza kutoa ushahidi wake
> Hakimu Kasonde anayesimamia kesi hiyo amekubaliana na ombi hilo
Zaidi, soma > https://jamii.app/MalinziKuhojiwaTena
KENYA: RAIS KENYATTA AWATAKA WANAOMTUHUMU KWA WIZI, WAMRIPOTI KWA DCI
> Rais Kenyatta awataka wanaomtuhumu kwa wizi wa mali za taifa wamripoti kwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai(DCI)
> Awataka waache siasa kwenye vita ya rushwa
Soma > https://jamii.app/KenyattaDCI
#JFInternational
> Rais Kenyatta awataka wanaomtuhumu kwa wizi wa mali za taifa wamripoti kwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai(DCI)
> Awataka waache siasa kwenye vita ya rushwa
Soma > https://jamii.app/KenyattaDCI
#JFInternational
ELIMU YA URAIA: Mfumo wa Kisheria na Uhuru wa Vyombo vya Habari
> Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya mwaka 2016 ndio sheria Mama kwenye tasnia ya habari nchini
> Ndani ya miaka 4 magazeti 6 yamefungiwa kwa muda kati ya miezi mitatu (3) na miaka mitatu.
#JFCivicSpace
> Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya mwaka 2016 ndio sheria Mama kwenye tasnia ya habari nchini
> Ndani ya miaka 4 magazeti 6 yamefungiwa kwa muda kati ya miezi mitatu (3) na miaka mitatu.
#JFCivicSpace
BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA YAIPATIA TANZANIA MKOPO WA KUJENGA BARABARA KIGOMA
> Serikali na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) zimesaini mikataba 2 ya mkopo wa takribani Tsh bilioni 589.3 za ujenzi wa barabara ya Kabingo-Kasulu-Manyovu
Soma - https://jamii.app/AfDBMkopoTanzania
#JFLeo
> Serikali na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) zimesaini mikataba 2 ya mkopo wa takribani Tsh bilioni 589.3 za ujenzi wa barabara ya Kabingo-Kasulu-Manyovu
Soma - https://jamii.app/AfDBMkopoTanzania
#JFLeo
TUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUJINUFAISHA
> Mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram, ukiitumia kwa mlengo chanya inaweza kukutajirisha kwasababu inatumiwa na wengi, imegeuza Dunia kuwa kijiji kimoja na hukukutanisha na watu kiurahisi
> Inakuza watu kiakili kwani kuna kurasa nyingi nzuri zenye mafundisho tofauti ikiwemo ndoa, uchumi, biashara, mahusiano & familia na inaweza kukusaidia kutatua changamoto mbalimbali katika maisha
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/SocialMediaUse
#JFHoja
> Mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram, ukiitumia kwa mlengo chanya inaweza kukutajirisha kwasababu inatumiwa na wengi, imegeuza Dunia kuwa kijiji kimoja na hukukutanisha na watu kiurahisi
> Inakuza watu kiakili kwani kuna kurasa nyingi nzuri zenye mafundisho tofauti ikiwemo ndoa, uchumi, biashara, mahusiano & familia na inaweza kukusaidia kutatua changamoto mbalimbali katika maisha
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/SocialMediaUse
#JFHoja
WAFUNGWA NA MAHABUSU 340 WAKUTWA NA VIRUSI VYA UKIMWI
> Wafungwa na mahabusu 340 kati ya 15,250 ktk Gereza Kuu la Kingolwira Mkoani Morogoro waliopima Virusi Vya UKIMWI, wanaume waliokutwa na maambukizi ni 292 na wanawake ni 48
Soma - https://jamii.app/Wwfungwa340VVU
#JFLeo
> Wafungwa na mahabusu 340 kati ya 15,250 ktk Gereza Kuu la Kingolwira Mkoani Morogoro waliopima Virusi Vya UKIMWI, wanaume waliokutwa na maambukizi ni 292 na wanawake ni 48
Soma - https://jamii.app/Wwfungwa340VVU
#JFLeo
KENYA: WASAFIRI WA NDEGE WAKWAMA UWANJA WA JOMO KENYATTA
> Usafiri wa anga umevurugika nchini Kenya kufuatia mgomo wa wafanyakazi wa Mamlaka ya anga ya nchi hiyo(KAA)
> Wadai kutopendezwa na Bodi ya Menejimenti ya KAA
Zaidi, soma => https://jamii.app/KenyaSafariNdege
#JFInternational
> Usafiri wa anga umevurugika nchini Kenya kufuatia mgomo wa wafanyakazi wa Mamlaka ya anga ya nchi hiyo(KAA)
> Wadai kutopendezwa na Bodi ya Menejimenti ya KAA
Zaidi, soma => https://jamii.app/KenyaSafariNdege
#JFInternational
NDUGU WASUSIA MAJENEZA YENYE MIILI KWENYE MPAKA WA NCHI
> Watu waliokuwa wakisafirisha miili 3 ya marehemu kutokea Afrika Kusini - Msumbiji wamesusia majeneza mpakani baada ya kuambiwa hawana nyaraka stahiki za kuvusha miili hiyo
Soma - https://jamii.app/WasusiaMaitiMpakani
#JFInternational
> Watu waliokuwa wakisafirisha miili 3 ya marehemu kutokea Afrika Kusini - Msumbiji wamesusia majeneza mpakani baada ya kuambiwa hawana nyaraka stahiki za kuvusha miili hiyo
Soma - https://jamii.app/WasusiaMaitiMpakani
#JFInternational
WAFANYAKAZI WA CLOUDS WAPATA AJALI WAKITOKA KUMZIKA RUGE
> Wafanyakazi 6 wa Kampuni ya Clouds Media Group wamepata ajali nje kidogo ya Jiji la Dodoma baada ya gari waliyokuwa wakisafiria kupinduka
> Hakuna aliyepata majeraha makubwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/AjaliWafanyakaziCMG
#JFLeo
> Wafanyakazi 6 wa Kampuni ya Clouds Media Group wamepata ajali nje kidogo ya Jiji la Dodoma baada ya gari waliyokuwa wakisafiria kupinduka
> Hakuna aliyepata majeraha makubwa
Zaidi, soma > https://jamii.app/AjaliWafanyakaziCMG
#JFLeo
OPARESHENI: MAGOGO YA KUKATIA NYAMA BUCHANI KUCHOMWA MOTO
> Operesheni hii imelenga kuwasaidia walaji wa nyama kula nyama isiyo na uchafu wowote
> Wafanyabiashara watakiwa kuyaondoa magogo hayo na kutumia mashine za kukatia nyama
Zaidi, doma => https://jamii.app/MagogoNyamaBucha
#JFLeo
> Operesheni hii imelenga kuwasaidia walaji wa nyama kula nyama isiyo na uchafu wowote
> Wafanyabiashara watakiwa kuyaondoa magogo hayo na kutumia mashine za kukatia nyama
Zaidi, doma => https://jamii.app/MagogoNyamaBucha
#JFLeo
ROMBO: MAITI YA KIJANA YAKUTWA MSITUNI
> Mwili wa Godwin Massawe (25) umepatikana katika msitu wa Katangara huku chini yake kukiwa na Biblia, amevaa rozari shingoni na kupiga magoti
> Alitoweka Januari 20 na mwili wake ulipatikana Machi 1
Soma - https://jamii.app/MwiliKijanaPorini
#JFLeo
> Mwili wa Godwin Massawe (25) umepatikana katika msitu wa Katangara huku chini yake kukiwa na Biblia, amevaa rozari shingoni na kupiga magoti
> Alitoweka Januari 20 na mwili wake ulipatikana Machi 1
Soma - https://jamii.app/MwiliKijanaPorini
#JFLeo
UFAHAMU KUHUSU SHERIA ZA KODI YA MAPATO
> Kodi ya mapato hutozwa kwa mtu ambaye mapato yake yanatokana na vyanzo mbalimbali kama vilivyoainishwa ikiwemo Biashara yoyote na kwa muda wowote inapofanyika, Ajira yoyote afanyayo mtu
> Uwekezaji katika rasilimali kama nyumba, ardhi na hisa, Vyanzo vinginevyo vya mapato vya kutozwa kodi ya zuio (Final Withholding Tax) kama Kodi ya pango, malipo ya gawio kutoka katika kampuni kwa Mtanzania, Riba itokanayo na benki na malipo kutokana na maliasili (Mrahaba)
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/SheriaKodiMapato
#JFSheria
> Kodi ya mapato hutozwa kwa mtu ambaye mapato yake yanatokana na vyanzo mbalimbali kama vilivyoainishwa ikiwemo Biashara yoyote na kwa muda wowote inapofanyika, Ajira yoyote afanyayo mtu
> Uwekezaji katika rasilimali kama nyumba, ardhi na hisa, Vyanzo vinginevyo vya mapato vya kutozwa kodi ya zuio (Final Withholding Tax) kama Kodi ya pango, malipo ya gawio kutoka katika kampuni kwa Mtanzania, Riba itokanayo na benki na malipo kutokana na maliasili (Mrahaba)
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/SheriaKodiMapato
#JFSheria
MZEE AUAWA KWA TUHUMA ZA KUROGA MVUA ISINYESHE
> Wananchi wenye hasira wamemuua Mzee Dimon Senyagwa (85) kwa kumshambulia kwa mawe na silaha za jadi wakimtuhumu kuzuia mvua isinyeshe kwa kutumia ushirikina ili mazao yaliyopandwa yanyauke
Soma - https://jamii.app/MzeeKifoUshirikina
#JFLeo
> Wananchi wenye hasira wamemuua Mzee Dimon Senyagwa (85) kwa kumshambulia kwa mawe na silaha za jadi wakimtuhumu kuzuia mvua isinyeshe kwa kutumia ushirikina ili mazao yaliyopandwa yanyauke
Soma - https://jamii.app/MzeeKifoUshirikina
#JFLeo
KINONDONI, DAR: AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMBAKA MTOTO WA MIAKA 8
> Francis Mwakajila(25) anatuhumiwa kufanya kosa hilo Januari 14, 2019
> Francis amekana kutenda kosa hilo. Ashindwa kukidhi masharti ya dhamana na kurudishwa rumande
Soma => https://jamii.app/KijanaAbakaUbungo
#JFLeo
> Francis Mwakajila(25) anatuhumiwa kufanya kosa hilo Januari 14, 2019
> Francis amekana kutenda kosa hilo. Ashindwa kukidhi masharti ya dhamana na kurudishwa rumande
Soma => https://jamii.app/KijanaAbakaUbungo
#JFLeo