DART YAWATAHADHARISHA ABIRIA WAKE
- Ni kutokana na mvua iliyonyesha leo jijini Dar na kusababisha maji kujaa maeneo ya Jangwani
- Abiria wa Mbezi na Kimara wameshauriwa kutumia mabasi hayo hadi Morocco kisha wachukue usafiri mbadala hadi Kivukoni na Gerezani iwapo mvua itaendelea kunyesha
Zaidi, soma https://jamii.app/DARTYatahadharishaAbiria
- Ni kutokana na mvua iliyonyesha leo jijini Dar na kusababisha maji kujaa maeneo ya Jangwani
- Abiria wa Mbezi na Kimara wameshauriwa kutumia mabasi hayo hadi Morocco kisha wachukue usafiri mbadala hadi Kivukoni na Gerezani iwapo mvua itaendelea kunyesha
Zaidi, soma https://jamii.app/DARTYatahadharishaAbiria
MAFURIKO YASABABISHA VIFO VYA WATU 12 AFGHANISTAN
> Mafuriko ya mvua yamesababisha vifo vya watu 12 nchini Afghanistan na uharibifu mkubwa wa mali eneo la Kandahar
> Watu 18 wamejeruhiwa na nyumba laki 5 na elfu 75 zimeharibiwa
Soma - https://jamii.app/12DeadFloods
#JFInternational
> Mafuriko ya mvua yamesababisha vifo vya watu 12 nchini Afghanistan na uharibifu mkubwa wa mali eneo la Kandahar
> Watu 18 wamejeruhiwa na nyumba laki 5 na elfu 75 zimeharibiwa
Soma - https://jamii.app/12DeadFloods
#JFInternational
WATUMIA "EARPHONES" HATARINI KUPATA MATATIZO YA USIKIVU
> Serikali imesema wanaoshinda na spika masikioni (earphones) kwa muda mrefu wapo hatarini kupata matatizo ya usikivu
> Inakadiriwa, watu 466,000,000 duniani wana matatizo ya kusikia
Soma https://jamii.app/EarphonesVsHearing
#JFLeo
> Serikali imesema wanaoshinda na spika masikioni (earphones) kwa muda mrefu wapo hatarini kupata matatizo ya usikivu
> Inakadiriwa, watu 466,000,000 duniani wana matatizo ya kusikia
Soma https://jamii.app/EarphonesVsHearing
#JFLeo
MAANDAMANO YA KUMPINGA RAIS WA ALGERIA YASABABISHA KIFO
> Mtu mmoja amefariki na wengine zaidi ya 180 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga Rais Abdelaziz Bouteflika (82) kuwania kiti cha urais kwa muhula wa tano nchini humo
Soma - https://jamii.app/DeathProtestsAlgeria
#JFInternational
> Mtu mmoja amefariki na wengine zaidi ya 180 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga Rais Abdelaziz Bouteflika (82) kuwania kiti cha urais kwa muhula wa tano nchini humo
Soma - https://jamii.app/DeathProtestsAlgeria
#JFInternational
RAIS MAGUFULI AWAAPISHA PROF. KABUDI NA DKT. MAHIGA
> IKULU: Rais John Magufuli, leo amewaapisha Dkt. Augustine Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Zaidi - https://jamii.app/ViapoMawaziriIkulu
#JFLeo
> IKULU: Rais John Magufuli, leo amewaapisha Dkt. Augustine Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Zaidi - https://jamii.app/ViapoMawaziriIkulu
#JFLeo
WAHUKUMIWA JELA MIAKA 3 KWA KOSA LA UVUVI HARAMU
> Watu 7 Wilayani Ukerewe wamehukumiwa kwenda jela miaka 3 na Mahakama inayotembea (Mobile Court) kwa kosa la kufanya uvuvi haramu
> Wengine 14 wamefikishwa Mahakama hapo kwa kosa hilo hilo
Soma - https://jamii.app/JelaUvuviHaramu
#JFLeo
> Watu 7 Wilayani Ukerewe wamehukumiwa kwenda jela miaka 3 na Mahakama inayotembea (Mobile Court) kwa kosa la kufanya uvuvi haramu
> Wengine 14 wamefikishwa Mahakama hapo kwa kosa hilo hilo
Soma - https://jamii.app/JelaUvuviHaramu
#JFLeo
MAAFISA WA SERIKALI NCHINI CAMEROON WATEKWA
> Afisa mwandamizi ktk ofisi ya Gavana Buea, ametekwa na watu wasiojulikana na kudaiwa fidia ya mamilioni ya Faranga
> Mwingine ni Mkuu wa kikanda wa Wizara ya Mazingira na Ulinzi
Soma - https://jamii.app/CameroonOfficialsKidnap
#JFInternational
> Afisa mwandamizi ktk ofisi ya Gavana Buea, ametekwa na watu wasiojulikana na kudaiwa fidia ya mamilioni ya Faranga
> Mwingine ni Mkuu wa kikanda wa Wizara ya Mazingira na Ulinzi
Soma - https://jamii.app/CameroonOfficialsKidnap
#JFInternational
PEMBA: MELI YA SEASTAR YAPATA HITILAFU, ABIRIA WASHUSHWA
> Abiria wa meli hiyo wameshushwa Wete baada ya kutokea mlipuko mdogo kwenye moja ya mashine zake
> Mpaka sasa haijaelezwa mlipuko huo umesababishwa na nini
Zaidi, soma => https://jamii.app/MeliSeastarPemba
#JFLeo
> Abiria wa meli hiyo wameshushwa Wete baada ya kutokea mlipuko mdogo kwenye moja ya mashine zake
> Mpaka sasa haijaelezwa mlipuko huo umesababishwa na nini
Zaidi, soma => https://jamii.app/MeliSeastarPemba
#JFLeo
KAGERA: RUGE MUTAHABA KUZIKWA, KIJIJINI KIZIRU
> Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group utapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele leo
> Uongozi wa Clouds Media Group watangaza kuzima vituo vyake kwa dakika 3 wakati mwili wa Ruge ukishushwa kaburini
#RIPRuge #RIPRugeMutahaba
> Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group utapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele leo
> Uongozi wa Clouds Media Group watangaza kuzima vituo vyake kwa dakika 3 wakati mwili wa Ruge ukishushwa kaburini
#RIPRuge #RIPRugeMutahaba
UINGEREZA: KIONGOZI WA UPINZANI JEREMY CORBYN APIGWA NA YAI
> Kiongozi wa chama cha Labour alikuwa kwenye ziara ya kutembelea kituo cha Waislamu kilichopo Kaskazini kwa Jiji la London
> Mwanaume Mmoja amekamatwa akihusishwa na tukio hilo
Soma > https://jamii.app/EggCorbyn
#JFInternational
> Kiongozi wa chama cha Labour alikuwa kwenye ziara ya kutembelea kituo cha Waislamu kilichopo Kaskazini kwa Jiji la London
> Mwanaume Mmoja amekamatwa akihusishwa na tukio hilo
Soma > https://jamii.app/EggCorbyn
#JFInternational
ZAMBIA: SERIKALI YAKIFUNGIA KITUO CHA RUNINGA KUFUATIA MALALAMIKO YA CHAMA TAWALA
> Prime Tv imefungiwa kwa siku 30 baada ya kukalamikiwa na chama tawala cha Patriotic Front (PF)
> Chatuhumiwa kuendesha propaganda chafu dhidi ya Serikali
Soma > https://jamii.app/PFvsPrimeTv
#JFLeo
> Prime Tv imefungiwa kwa siku 30 baada ya kukalamikiwa na chama tawala cha Patriotic Front (PF)
> Chatuhumiwa kuendesha propaganda chafu dhidi ya Serikali
Soma > https://jamii.app/PFvsPrimeTv
#JFLeo
KENYA: RUBANI WA RUTO NA RAIA 4 WA MAREKANI WAFARIKI KWENYE AJALI YA NDEGE
> Sababu za ajali hiyo iliyoondoa uhai wa Mario Magonga na Wamarekani hao bado hazijawekwa wazi
> Ndege hiyo ilitoweka kwenye rada wakati ikiwa ziwa Turkana
Soma > https://jamii.app/AjaliRubaniRuto
#JFLeo
> Sababu za ajali hiyo iliyoondoa uhai wa Mario Magonga na Wamarekani hao bado hazijawekwa wazi
> Ndege hiyo ilitoweka kwenye rada wakati ikiwa ziwa Turkana
Soma > https://jamii.app/AjaliRubaniRuto
#JFLeo
BASI LA BM COACH LAPINDUKA LIKIJARIBU KUKIKWEPA KICHWA CHA TREN, DEREVA AJERUHIWA VIBAYA
> Ajali hiyo imetokea Chekelei Wilaya ya Korogwe, Tanga wakati basi hilo likiwa safarini kutoka Arusha - Morogoro
> Abiria wachache wamejeruhiwa
Soma => https://jamii.app/AjaliBMTanga
> Ajali hiyo imetokea Chekelei Wilaya ya Korogwe, Tanga wakati basi hilo likiwa safarini kutoka Arusha - Morogoro
> Abiria wachache wamejeruhiwa
Soma => https://jamii.app/AjaliBMTanga
ELIMU YA URAIA: ASKARI POLISI WANAFANYA KAZI HATARISHI. JE, WANA BIMA?
> Askari wa Jeshi la Polisi la Tanzania hawana bima ya maisha ila wana bima ya afya ambayo haikidhi haja kulingana na hatari zinazowakabili
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace #JFLeo
> Askari wa Jeshi la Polisi la Tanzania hawana bima ya maisha ila wana bima ya afya ambayo haikidhi haja kulingana na hatari zinazowakabili
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace #JFLeo
JE, UNAIJUA SHERIA YA TAKWIMU YA MWAKA 2015 INAYOLALAMIKIWA NA WADAU?
> Inaelezwa kuwa inakinzana na kanuni za uwazi wa taarifa na takwimu pamoja na uendeshaji wa Serikali kwa uwazi
> Sheria hii inaipa namlaka NBS kuwa chombo pekee cha kusimamia na kutoa takwimu
#JFCivicSpace
> Inaelezwa kuwa inakinzana na kanuni za uwazi wa taarifa na takwimu pamoja na uendeshaji wa Serikali kwa uwazi
> Sheria hii inaipa namlaka NBS kuwa chombo pekee cha kusimamia na kutoa takwimu
#JFCivicSpace
HOMA YA DEGEDEGE, VISABABISHI NA WANAOATHIRIKA
> Degedege ni hali ya ghafla ya kutingishika kwa mwili mzima au miguu na mikono, ambayo husababishwa na kukakamaa kwa misuli ya mwili
> Hutokea kwa wastani wa asilimia nne (4%) ya watoto walio kati ya umri wa miezi sita na miaka mitano
> Kama mama au baba aliwahi kuumwa ugonjwa huu basi mtoto ana asilimia 10-20 zaidi ya kuumwa ugonjwa huu
Tembelea - https://jamii.app/UfahamuDegedege
#JFAfya
> Degedege ni hali ya ghafla ya kutingishika kwa mwili mzima au miguu na mikono, ambayo husababishwa na kukakamaa kwa misuli ya mwili
> Hutokea kwa wastani wa asilimia nne (4%) ya watoto walio kati ya umri wa miezi sita na miaka mitano
> Kama mama au baba aliwahi kuumwa ugonjwa huu basi mtoto ana asilimia 10-20 zaidi ya kuumwa ugonjwa huu
Tembelea - https://jamii.app/UfahamuDegedege
#JFAfya
FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA MAPAPAI NA YA KUZINGATIA KATIKA KILIMO CHAKE
> Ekari moja ya papai inachukua miche 1,000 hadi 1,200 kwa maana ya mita 2×2 kutoka mti hadi mti kwa mbegu fupi
> Kuanzia kupanda hadi kuanza kuvuna huchukua miezi 8 hadi 10
> Hali ya hewa inayofaa kwa mipapai ni ya kitropiki ambayo haina baridi kali na joto kiasi
> Udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji kwasababu maji yakisimama kwa saa 48 tu mpapai unaweza kufa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoMapapai
#JFKilimo
> Ekari moja ya papai inachukua miche 1,000 hadi 1,200 kwa maana ya mita 2×2 kutoka mti hadi mti kwa mbegu fupi
> Kuanzia kupanda hadi kuanza kuvuna huchukua miezi 8 hadi 10
> Hali ya hewa inayofaa kwa mipapai ni ya kitropiki ambayo haina baridi kali na joto kiasi
> Udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji kwasababu maji yakisimama kwa saa 48 tu mpapai unaweza kufa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoMapapai
#JFKilimo