YA KUFAHAMU KUHUSU KILIMO CHA UFUTA
> Chagua aina ya mbegu inayotoa mazao mengi na bora, inayovumilia mashambulizi ya magonjwa na wadudu, inayokomaa mapema na kutoa mafuta mengi
> Katika kudumisha rutuba ya udongo, tumia kilimo cha mzunguko wa mazao au weka mbolea za asili pale inapobidi
> Dhibiti magugu kwa kupalilia ili kuruhusu ufuta kutumia vizuri unyevu na virutubishi
> Kagua shamba mara kwa mara hasa kwenye maua na mapodo ili kuona dalili za mashambulizi
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/KilimoUfuta
#JFKilimo
> Chagua aina ya mbegu inayotoa mazao mengi na bora, inayovumilia mashambulizi ya magonjwa na wadudu, inayokomaa mapema na kutoa mafuta mengi
> Katika kudumisha rutuba ya udongo, tumia kilimo cha mzunguko wa mazao au weka mbolea za asili pale inapobidi
> Dhibiti magugu kwa kupalilia ili kuruhusu ufuta kutumia vizuri unyevu na virutubishi
> Kagua shamba mara kwa mara hasa kwenye maua na mapodo ili kuona dalili za mashambulizi
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/KilimoUfuta
#JFKilimo
TAKUKURU YAOMBA KUMUHOJI MKURUGENZI WA UDART
> Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa imeiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumuhoji Mkurugenzi wa Mradi wa UDART, Robert Kisena (46) na wenzake wawili
> Mahakama imeridhia ombi hilo
Soma - https://jamii.app/TakukuruKumuhojiKisena
> Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa imeiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumuhoji Mkurugenzi wa Mradi wa UDART, Robert Kisena (46) na wenzake wawili
> Mahakama imeridhia ombi hilo
Soma - https://jamii.app/TakukuruKumuhojiKisena
SHILINGI 300 ZINAZOTOZWA KITUO CHA MABASI UBUNGO ZINAFANYA KAZI GANI?
> Ndani ya JamiiForums kuna mada inayohoji matumizi ya fedha hizo ikiwa hali ya vyoo ni mbaya na hakuna sehemu ya kupumzikia abiria wala wanaokuja kuwapokea wapendwa wao
Soma > https://jamii.app/KeroUbungo
#JFHoja
> Ndani ya JamiiForums kuna mada inayohoji matumizi ya fedha hizo ikiwa hali ya vyoo ni mbaya na hakuna sehemu ya kupumzikia abiria wala wanaokuja kuwapokea wapendwa wao
Soma > https://jamii.app/KeroUbungo
#JFHoja
JE, ASKARI POLISI LAZIMA ATEKELEZE KILA AMRI ANAYOPEWA NA MKUU WAKE WA KAZI?
> Ndiyo lakini Askari atakayetekeleza amri iliyokiuka haki za binadamu hataweza kuja kujitetea baadaye
> Utetezi wake utakataliwa na yeye binafsi kuwajibishwa
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
> Ndiyo lakini Askari atakayetekeleza amri iliyokiuka haki za binadamu hataweza kuja kujitetea baadaye
> Utetezi wake utakataliwa na yeye binafsi kuwajibishwa
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
BANGLADESH YAZIMA TOVUTI 20,000 ZA MAUDHUI YA NGONO
> Serikali ya Bangladesh imezima takribani tovuti 20,000 zenye maudhui ya ngono na michezo ya kamari
> Mahakama Kuu iliamrisha tovuti za ngono kupigwa marufuku na kuzimwa
Soma - https://jamii.app/PornSitesBlocked
#JFInternational
> Serikali ya Bangladesh imezima takribani tovuti 20,000 zenye maudhui ya ngono na michezo ya kamari
> Mahakama Kuu iliamrisha tovuti za ngono kupigwa marufuku na kuzimwa
Soma - https://jamii.app/PornSitesBlocked
#JFInternational
MAREKANI KUTOONGEZA VIWANGO VYA USHURU KWA CHINA
> Rais Donald Trump amesema hatotangaza viwango vipya ya ushuru kwa bidhaa za China zenye thamani ya Dola Bilioni 200
> Ilitarajiwa kuongeza ushuru kutoka 10% hadi 25%, Machi Mosi
Soma - https://jamii.app/UsTarrifChineseGoods
#JFInternational
> Rais Donald Trump amesema hatotangaza viwango vipya ya ushuru kwa bidhaa za China zenye thamani ya Dola Bilioni 200
> Ilitarajiwa kuongeza ushuru kutoka 10% hadi 25%, Machi Mosi
Soma - https://jamii.app/UsTarrifChineseGoods
#JFInternational
KAGERA: KESI YA WALIOUA WATU WANNE KWA KUWAKATA MAKOROMEO YAUNGURUMA
> Kesi hiyo inawakabili Alyu Hassan, NgesellaJoseph na Rashid Athumani(aliyekamatwa na simu aina ya Itel iliyokuwa inamilikiwa na mmoja ya watu waliouawa)
Zaidi, soma => https://jamii.app/KesiMauajiKagera
#JFLeo
> Kesi hiyo inawakabili Alyu Hassan, NgesellaJoseph na Rashid Athumani(aliyekamatwa na simu aina ya Itel iliyokuwa inamilikiwa na mmoja ya watu waliouawa)
Zaidi, soma => https://jamii.app/KesiMauajiKagera
#JFLeo
DODOMA: WATUHUMIWA WA UHUJUMU UCHUMI WAFIKISHWA MAHAKAMANI
> Watuhumiwa 5 wa uhujumu uchumi wamefikishwa Mahakamani na kusomewa mashtaka 19 likiwemo la kughushi risiti za EFD na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Shilingi Milioni 700
Soma > https://jamii.app/KesiUhujumuDom
#JFLeo
> Watuhumiwa 5 wa uhujumu uchumi wamefikishwa Mahakamani na kusomewa mashtaka 19 likiwemo la kughushi risiti za EFD na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Shilingi Milioni 700
Soma > https://jamii.app/KesiUhujumuDom
#JFLeo
KENYA: AMUUA KAKA YAKE KWASABABU YA SURUALI
> Mwanafunzi wa darasa la saba(16) anashikiliwa na Polisi baada ya kumuua kaka yake kwa kumchoma kisu wakati wakigombana
> Mtuhumiwa anadaiwa kuvaa suruali ya kaka yake na kugoma kuifua
Soma - https://jamii.app/BrotheKillsBrother
#JFInternational
> Mwanafunzi wa darasa la saba(16) anashikiliwa na Polisi baada ya kumuua kaka yake kwa kumchoma kisu wakati wakigombana
> Mtuhumiwa anadaiwa kuvaa suruali ya kaka yake na kugoma kuifua
Soma - https://jamii.app/BrotheKillsBrother
#JFInternational
MSANII R KELLY AACHIWA KWA DHAMANA
> Nyota wa R&B, R Kelly (52) ameachiwa huru kutoka gerezani Chicago Marekani baada ya kulipa dhamana ya kiasi cha dola 100,000
> Amekana mashtaka 10 ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya wanawake wanne
Soma - https://jamii.app/RKellyFreeBail
#JFSanaa
> Nyota wa R&B, R Kelly (52) ameachiwa huru kutoka gerezani Chicago Marekani baada ya kulipa dhamana ya kiasi cha dola 100,000
> Amekana mashtaka 10 ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya wanawake wanne
Soma - https://jamii.app/RKellyFreeBail
#JFSanaa
MISRI: ADHABU YA KIFO YAGUBIKWA NA UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU
> Wataalam wa Haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, wamelaani kitendo cha kuteswa na kuuawa kwa wanaume 9 nchini Misri
> Walihukumiwa hukumu ya kifo na Mahakama
Soma - https://jamii.app/DeathPenaltyEgypt
#JFInternational
> Wataalam wa Haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, wamelaani kitendo cha kuteswa na kuuawa kwa wanaume 9 nchini Misri
> Walihukumiwa hukumu ya kifo na Mahakama
Soma - https://jamii.app/DeathPenaltyEgypt
#JFInternational
NIGERIA: UPINZANI WAANZA KUPINGA MATOKEO YA URAIS
> Chama kikuu cha upinzani nchini Nigeria PDP kimesema hakitambui matokeo ya urais yanayotangazwa na Tume ya Uchaguzi yanaoonesha kuwa Rais Muhamadu Buhari anaongoza kwa kura
Soma - https://jamii.app/PDPVsResults
#JFInternational
> Chama kikuu cha upinzani nchini Nigeria PDP kimesema hakitambui matokeo ya urais yanayotangazwa na Tume ya Uchaguzi yanaoonesha kuwa Rais Muhamadu Buhari anaongoza kwa kura
Soma - https://jamii.app/PDPVsResults
#JFInternational
UKEREWE: MVUA YAUA WAWILI NA KUHARIBU NYUMBA 16
> Watoto wawili wa familia moja wamefariki huku watu 77 wakazi wa Kijiji cha Mibungonanakwekwe Mwanza, wakikosa makazi baada ya nyumba zao 16 kubomolewa kwa mvua iliyoambatana na upepo mkali
Soma - https://jamii.app/MvuaYauaUkerewe
> Watoto wawili wa familia moja wamefariki huku watu 77 wakazi wa Kijiji cha Mibungonanakwekwe Mwanza, wakikosa makazi baada ya nyumba zao 16 kubomolewa kwa mvua iliyoambatana na upepo mkali
Soma - https://jamii.app/MvuaYauaUkerewe
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA IRAN AJIUZULU
> Mohammad Javad Zarif ametangaza kujiuzulu kwake kupitia akaunti yake ya Instagram
> Zerif alihusika kikamilifu ktk mpango wa kupunguza matumizi ya nyuklia wa Iran uliosainiwa mwaka 2015
Soma => https://jamii.app/ZerifResigns
#JFInternational
> Mohammad Javad Zarif ametangaza kujiuzulu kwake kupitia akaunti yake ya Instagram
> Zerif alihusika kikamilifu ktk mpango wa kupunguza matumizi ya nyuklia wa Iran uliosainiwa mwaka 2015
Soma => https://jamii.app/ZerifResigns
#JFInternational
YA KUFAHAMU KUHUSU BETRI YA SIMU AU TABLET
> Betri yako ikiwa na ujazo mkubwa basi kuna uwezekano mkubwa wa simu yako kukaa na chaji sana. Ujazo wa betri ya simu unapimwa kwa Milli Ampere Hour au kwa kifupi MAH
> Uimara wa betri unatokana na seli zilizotumika kutengenezea betri husika. Seli imara zinaruhusu kuchajiwa mara nyingi bila kuharibika
> Ni vyema ukitaka betri imara ununue kwenye makampuni yanayojulikana na wale wanaonunua Power bank hii pia inawahusu
Soma - https://jamii.app/UfahamuBetriSimu
#JFTeknolojia
> Betri yako ikiwa na ujazo mkubwa basi kuna uwezekano mkubwa wa simu yako kukaa na chaji sana. Ujazo wa betri ya simu unapimwa kwa Milli Ampere Hour au kwa kifupi MAH
> Uimara wa betri unatokana na seli zilizotumika kutengenezea betri husika. Seli imara zinaruhusu kuchajiwa mara nyingi bila kuharibika
> Ni vyema ukitaka betri imara ununue kwenye makampuni yanayojulikana na wale wanaonunua Power bank hii pia inawahusu
Soma - https://jamii.app/UfahamuBetriSimu
#JFTeknolojia
HATARI ANAZOWEZA KUKUTANA NAZO MTOTO MTANDAONI
> Maudhui yasiyofaa kutokana na uwepo maudhui chungu nzima kuanzia nyimbo za ibada hata filamu za utupu
> Kufanya mawasiliano na watu wasiofaa. Wapo watu wasio-waaminifu ambao wanatafuta watoto wadogo kuwalaghai ama kuwarubuni
> Mitandao inaweza kumuharibia mwanao sifa au kitabia kwa kupenda kuwa maarufu na umaarufu huwafanya watoto wapige picha za ajabu na kuweka mtandaoni
Fahamu zaidi - https://jamii.app/HatariMtandaoMtoto
#JFMahusiano
> Maudhui yasiyofaa kutokana na uwepo maudhui chungu nzima kuanzia nyimbo za ibada hata filamu za utupu
> Kufanya mawasiliano na watu wasiofaa. Wapo watu wasio-waaminifu ambao wanatafuta watoto wadogo kuwalaghai ama kuwarubuni
> Mitandao inaweza kumuharibia mwanao sifa au kitabia kwa kupenda kuwa maarufu na umaarufu huwafanya watoto wapige picha za ajabu na kuweka mtandaoni
Fahamu zaidi - https://jamii.app/HatariMtandaoMtoto
#JFMahusiano
MBEYA: BAADA YA KUKAA MOCHWARI KWA MIEZI 8, FAMILIA YAKUBALI KUUZIKA MWILI WA KIJANA WAO
> Familia ya kijana Frank Kapange imekubali kuuchukua mwili wake baada ya kuamuliwa na Mahakama
> Mwili huo umekaa mochwari kwa miezi 8 na siku 22
Soma > https://jamii.app/MwiliFrankKapange
#JFLeo
> Familia ya kijana Frank Kapange imekubali kuuchukua mwili wake baada ya kuamuliwa na Mahakama
> Mwili huo umekaa mochwari kwa miezi 8 na siku 22
Soma > https://jamii.app/MwiliFrankKapange
#JFLeo
AFRIKA KUSINI: MCHUNGAJI ALIYEJINASIBU KUFUFUA MTU, KUSHTAKIWA
> Wakurugenzi wa Makampuni 3 ya mazishi wasema watamshtaki mchungaji Lukau kwa kuwadanganya
> Walilaghaiwa na wasaidizi wa mchungaji huyo hadi na wao wakashiriki
Soma > https://jamii.app/LukauSaga
#JFInternational
> Wakurugenzi wa Makampuni 3 ya mazishi wasema watamshtaki mchungaji Lukau kwa kuwadanganya
> Walilaghaiwa na wasaidizi wa mchungaji huyo hadi na wao wakashiriki
Soma > https://jamii.app/LukauSaga
#JFInternational
ELIMU YA URAIA: JE, NINI KITATOKEA IWAPO ASKARI POLISI ATAKUNYIMA DHAMANA?
> Iwapo Askari Polisi atakunyima dhamana ni lazima auweke uamuzi wake katika maandishi na aeleze sababu za kukunyima dhamana
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Iwapo Askari Polisi atakunyima dhamana ni lazima auweke uamuzi wake katika maandishi na aeleze sababu za kukunyima dhamana
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
KENYA: AKAMATWA KWA KUMTEKETEZA KWA MOTO MKEWE
> Alianza kwa kumkata na panga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kumteketeza kwa moto
> Wawili hao walikuwa ktk mgogoro tangu Mwanaume huyo arejee kutoka Marekani mwezi mmoja uliopita
Soma > https://jamii.app/EldoretMumeAua
#JFLeo
> Alianza kwa kumkata na panga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kumteketeza kwa moto
> Wawili hao walikuwa ktk mgogoro tangu Mwanaume huyo arejee kutoka Marekani mwezi mmoja uliopita
Soma > https://jamii.app/EldoretMumeAua
#JFLeo