UCHUMI: SERIKALI YAJIPANGA KUNUNUA NDEGE YA MIZIGO
> Serikali imesema ndege hiyo ya mizigo itatumika kusafirisha mazao yanayoharibika kwa haraka(mandunda & mboga) kwenda nje ya nchi
> Serikali yaanza kusaka masoko ya mazao hayo
Zaidi, soma => https://jamii.app/TanzaniaNdegeMizgo
#JFUchumi
> Serikali imesema ndege hiyo ya mizigo itatumika kusafirisha mazao yanayoharibika kwa haraka(mandunda & mboga) kwenda nje ya nchi
> Serikali yaanza kusaka masoko ya mazao hayo
Zaidi, soma => https://jamii.app/TanzaniaNdegeMizgo
#JFUchumi
TANZIA: RUGE MUTAHABA AFARIKI DUNIA
> Mkurugenzi huyo wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group amefariki dunia baada ya kuugua muda mrefu
> Rais Magufuli atuma salamu za pole
Zaidi, soma => https://jamii.app/RIPRuge
#RIPRuge
> Mkurugenzi huyo wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group amefariki dunia baada ya kuugua muda mrefu
> Rais Magufuli atuma salamu za pole
Zaidi, soma => https://jamii.app/RIPRuge
#RIPRuge
HADHARA CHARLES NJEJE MWANAMKE MPIGA DANADANA ALIYEMKUNA RAIS TRUMP
> Moja ya video yake aliyorekodiwa akiwa nchini Malawi imesambaa kwenye mitandao hadi kumfikia Rais wa Marekani, Donald Trump
> Trump kupitia ukurasa wake wa Twitter akiandika "Amazing" akimanisha 'Inashangaza'
#JFMichezo
> Moja ya video yake aliyorekodiwa akiwa nchini Malawi imesambaa kwenye mitandao hadi kumfikia Rais wa Marekani, Donald Trump
> Trump kupitia ukurasa wake wa Twitter akiandika "Amazing" akimanisha 'Inashangaza'
#JFMichezo
UFAHAMU KUHUSU CHAJA ZA SIMU
> Umeshawahi kutumia chaja moja ikawa inachaji simu upesi na nyengine ikawa inachaji kidogo dogo?
> Hili linatokana na kuchajia chaja ambayo ina Ampere ndogo. Ampere ndio inayokujulisha kiasi gani cha umeme kinaingia kwenye betri na kifupi chake ni herufi A
> Kabla hujanunua chaja kwanza angalia betri yako inataka Ampere ngapi
Zaidi, soma - https://jamii.app/UfahamuChajaSimu
#JFTeknolojia
> Umeshawahi kutumia chaja moja ikawa inachaji simu upesi na nyengine ikawa inachaji kidogo dogo?
> Hili linatokana na kuchajia chaja ambayo ina Ampere ndogo. Ampere ndio inayokujulisha kiasi gani cha umeme kinaingia kwenye betri na kifupi chake ni herufi A
> Kabla hujanunua chaja kwanza angalia betri yako inataka Ampere ngapi
Zaidi, soma - https://jamii.app/UfahamuChajaSimu
#JFTeknolojia
UFAHAMU KUHUSU CHAJA ZA SIMU
> Umeshawahi kutumia chaja moja ikawa inachaji simu upesi na nyengine ikawa inachaji kidogo dogo?
> Hili linatokana na kuchajia chaja ambayo ina Ampere ndogo. Ampere ndio inayokujulisha kiasi gani cha umeme kinaingia kwenye betri na kifupi chake ni herufi A
> Kabla hujanunua chaja kwanza angalia betri yako inataka Ampere ngapi
Zaidi, soma - https://jamii.app/UfahamuChajaSimu
#JFTeknolojia
> Umeshawahi kutumia chaja moja ikawa inachaji simu upesi na nyengine ikawa inachaji kidogo dogo?
> Hili linatokana na kuchajia chaja ambayo ina Ampere ndogo. Ampere ndio inayokujulisha kiasi gani cha umeme kinaingia kwenye betri na kifupi chake ni herufi A
> Kabla hujanunua chaja kwanza angalia betri yako inataka Ampere ngapi
Zaidi, soma - https://jamii.app/UfahamuChajaSimu
#JFTeknolojia
ZIFAHAMU FAIDA TATU(3) ZA KULALA BILA NGUO
> Kupata usingizi wa kutosha, hupunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya ngozi na husaidia kulinda sehemu za siri zisipate maambukizi ya fangasi
Zaidi, soma => https://jamii.app/FaidaKulalaUtupu
> Kupata usingizi wa kutosha, hupunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya ngozi na husaidia kulinda sehemu za siri zisipate maambukizi ya fangasi
Zaidi, soma => https://jamii.app/FaidaKulalaUtupu
NIGERIA: RAIS MUHAMMADU BUHARI ACHAGULIWA TENA, WAPINZANI WAKATAA MATOKEO
> Rais Buhari ametangazwa kuibuka mshindi kwa kupata kura 15,191,847 (56%) huku mpinzani wake wa karibu Atiku Abubakar akipata 11,262,978 (41%)
Zaidi, soma => https://jamii.app/BuhariReelected
#JFInternational
> Rais Buhari ametangazwa kuibuka mshindi kwa kupata kura 15,191,847 (56%) huku mpinzani wake wa karibu Atiku Abubakar akipata 11,262,978 (41%)
Zaidi, soma => https://jamii.app/BuhariReelected
#JFInternational
NDUGU WAPOTEZA MAISHA BAADA YA KUPIGWA SHOTI YA UMEME
> Wasichana, Zulfa Chami (24) na Zuhura Chami (28) wamepoteza maisha, baada ya kupigwa shoti ya umeme kwenye kamba ya nguo katika eneo la Pasua, Manispaa ya Moshi wakati wakianika nguo
Soma - https://jamii.app/WafarikiShotiUmeme
> Wasichana, Zulfa Chami (24) na Zuhura Chami (28) wamepoteza maisha, baada ya kupigwa shoti ya umeme kwenye kamba ya nguo katika eneo la Pasua, Manispaa ya Moshi wakati wakianika nguo
Soma - https://jamii.app/WafarikiShotiUmeme
FIFA YAMFUNGIA MAISHA MWAMUZI KUTOKA TANZANIA
> Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Duniani imemfungia maisha Oden Charles Mbaga kwa kujihusisha na rushwa ya upangaji matokeo
> Atakiwa kulipa faini ya Tsh milioni 468 ndani ya siku 30
Soma https://jamii.app/FIFAYamfungiaMbaga
#JFMichezo
> Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Duniani imemfungia maisha Oden Charles Mbaga kwa kujihusisha na rushwa ya upangaji matokeo
> Atakiwa kulipa faini ya Tsh milioni 468 ndani ya siku 30
Soma https://jamii.app/FIFAYamfungiaMbaga
#JFMichezo
BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI LAANZA VIKAO VYAKE
> Bunge la Afrika Mashariki limeanza vikao vyake vya wiki 2 Zanzibar
> Baadhi ya ajenda zitakazojadiliwa ni kupambana na rushwa, utawala bora, ukuzaji wa lugha ya Kiswahili, usawa wa kijinsia
Soma - https://jamii.app/BungeEAC
> Bunge la Afrika Mashariki limeanza vikao vyake vya wiki 2 Zanzibar
> Baadhi ya ajenda zitakazojadiliwa ni kupambana na rushwa, utawala bora, ukuzaji wa lugha ya Kiswahili, usawa wa kijinsia
Soma - https://jamii.app/BungeEAC
RAIS WA IRAN AKATAA OMBI LA KUJIUZULU LA WAZIRI
> Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema, Rais Hassan Rouhani amekataa ombi la kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Nje Mohammad Javad Zarif
> Zarif alitangaza kujiuzulu wadhifa wake na kueleza shukrani zake kwa watu wa Iran na wafanyakazi wenzake, huku akiomba radhi kwa kushindwa kufanya vizuri kazi zake
#JFInternational
> Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema, Rais Hassan Rouhani amekataa ombi la kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Nje Mohammad Javad Zarif
> Zarif alitangaza kujiuzulu wadhifa wake na kueleza shukrani zake kwa watu wa Iran na wafanyakazi wenzake, huku akiomba radhi kwa kushindwa kufanya vizuri kazi zake
#JFInternational
WAZIRI MWAKYEMBE ALIAGIZA JESHI LA POLISI KUMCHUKULIA HATUA DUDUBAYA KWA KUMDHIHAKI RUGE
> Pia ameagiza BASATA limchukulie hatua msanii huyo
> Asema anachokifanya si sahihi, mchango wa Ruge ni mkubwa na hata yeye kaumia
Soma > https://jamii.app/MwakyembeVsDudubaya
#RIPRuge
> Pia ameagiza BASATA limchukulie hatua msanii huyo
> Asema anachokifanya si sahihi, mchango wa Ruge ni mkubwa na hata yeye kaumia
Soma > https://jamii.app/MwakyembeVsDudubaya
#RIPRuge
PAKISTAN YASHAMBULIA NA KULIPUA NDEGE VITA MBILI ZA INDIA
> Shambulio hilo limetekelezwa kwenye Jimbo linalogombaniwa la Kashmir na kuwakamata Marubani 3
> Siku 3 zilizopita India ilifanya shambulio kwenye maeneo ya Pakistan
Soma > https://jamii.app/PakistanVsIndiaJets
#JFInternational
> Shambulio hilo limetekelezwa kwenye Jimbo linalogombaniwa la Kashmir na kuwakamata Marubani 3
> Siku 3 zilizopita India ilifanya shambulio kwenye maeneo ya Pakistan
Soma > https://jamii.app/PakistanVsIndiaJets
#JFInternational
LESENI ZA MIGODI MIKUBWA KUANZA KUTOLEWA NCHINI
> Serikali kupitia Wizara ya Madini inakamilisha taratibu za utoaji wa Leseni kwa Migodi mikubwa hapa nchini
> Aidha, kipaumbele ni katika uongezaji thamani madini ikiwemo ujenzi wa vinu
Soma - https://jamii.app/LeseniMigodiMikubwa
#JFLeo
> Serikali kupitia Wizara ya Madini inakamilisha taratibu za utoaji wa Leseni kwa Migodi mikubwa hapa nchini
> Aidha, kipaumbele ni katika uongezaji thamani madini ikiwemo ujenzi wa vinu
Soma - https://jamii.app/LeseniMigodiMikubwa
#JFLeo
WALIOIGIZA SAUTI YA KENYATTA NA KUFANYA WIZI WAKAMATWA
> Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 7 wanaodaiwa kuigiza sauti ya Rais Uhuru Kenyatta na Maafisa wa Serikali katika kumuibia pesa M/kiti wa Sameer Africa, Naushad Merali
Soma - https://jamii.app/WeziMeraliWakamatwa
#JFInternational
> Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 7 wanaodaiwa kuigiza sauti ya Rais Uhuru Kenyatta na Maafisa wa Serikali katika kumuibia pesa M/kiti wa Sameer Africa, Naushad Merali
Soma - https://jamii.app/WeziMeraliWakamatwa
#JFInternational
ELIMU YA URAIA: JESHI LA POLISI LINA UHUSIANO NA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI?
> Jeshi la Polisi lina jukumu la kuhakikisha kuwa shughuli zote za kisiasa zinafanyika kwa uhuru na kwa kudumisha amani na utulivu wa Taifa bila ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Jeshi la Polisi lina jukumu la kuhakikisha kuwa shughuli zote za kisiasa zinafanyika kwa uhuru na kwa kudumisha amani na utulivu wa Taifa bila ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
ELIMU YA URAIA: JESHI LA POLISI LINA UHUSIANO NA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI?
> Polisi wana jukumu la kuhakikisha kuwa shughuli zote za kisiasa zinafanyika kwa uhuru na kwa kudumisha amani na utulivu wa Taifa bila ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Polisi wana jukumu la kuhakikisha kuwa shughuli zote za kisiasa zinafanyika kwa uhuru na kwa kudumisha amani na utulivu wa Taifa bila ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
CHANGAMOTO KUBWA ZINAZOJITOKEZA KWENYE BIASHARA
> Ukosefu wa uadilifu na udanganyifu katika kampuni, huleta tabia ya kutoaminiana katika biashara au ujasiriamali
> Usimamizi mbovu wa fedha, mikopo, rasilimali, matumizi ya hovyo, madeni yasiyo ya lazima na maamuzi mabaya
> Mabadiliko ya taratibu za uendeshaji wa biashara za mara kwa mara. Mahala ambapo hapana taratibu nzuri na thabiti siku zote si rafiki kiuwekezaji
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/ChangamotoBiashara
#JFBiashara
> Ukosefu wa uadilifu na udanganyifu katika kampuni, huleta tabia ya kutoaminiana katika biashara au ujasiriamali
> Usimamizi mbovu wa fedha, mikopo, rasilimali, matumizi ya hovyo, madeni yasiyo ya lazima na maamuzi mabaya
> Mabadiliko ya taratibu za uendeshaji wa biashara za mara kwa mara. Mahala ambapo hapana taratibu nzuri na thabiti siku zote si rafiki kiuwekezaji
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/ChangamotoBiashara
#JFBiashara
KENYA: MWANAFUNZI AFARIKI BAADA YA KUPIGWA NA KIRANJA
> Mwanafunzi wa Sekondari ya St. Joseph Nyabigena amefariki huku chanzo kikidaiwa ni kupigwa na kiranja
> Kiranja huyo anadaiwa kumpiga marehemu kofi na kisha teke la tumbo
Soma - https://jamii.app/KiranjaAuaMwanafunzi
#JFInternational
> Mwanafunzi wa Sekondari ya St. Joseph Nyabigena amefariki huku chanzo kikidaiwa ni kupigwa na kiranja
> Kiranja huyo anadaiwa kumpiga marehemu kofi na kisha teke la tumbo
Soma - https://jamii.app/KiranjaAuaMwanafunzi
#JFInternational