MOROGORO: WANAFUNZI 682 WASOMEA KWENYE VYUMBA 7 VYA MADARASA
> Mwanafunzi hao wa Shule ya Msingi Diovuva wamelazimika kusoma kwa kupokezana(zamu)
> Shule hiyo kwa sasa ina vyumba vya madarasa 7 huku uhaba ukiwa ni wa vyumba 6
Zaidi, some => https://jamii.app/MadarasaDiovuva
> Mwanafunzi hao wa Shule ya Msingi Diovuva wamelazimika kusoma kwa kupokezana(zamu)
> Shule hiyo kwa sasa ina vyumba vya madarasa 7 huku uhaba ukiwa ni wa vyumba 6
Zaidi, some => https://jamii.app/MadarasaDiovuva
KESI YA MAUAJI KANISANI: DED ITIGI NA WENZAKE WAOMBA UPELELEZI UHARAKISHWE
> DED Luhende na wenzake 6 wamewasilisha ombi hilo Mahakamani kupitia Wakili Victoria Revocati
> Wajibiwa ni mapema mno kulalamikia upelelezi wa kesi ya mauaji
Soma => https://jamii.app/KesiDEDItigiUpelelezi
> DED Luhende na wenzake 6 wamewasilisha ombi hilo Mahakamani kupitia Wakili Victoria Revocati
> Wajibiwa ni mapema mno kulalamikia upelelezi wa kesi ya mauaji
Soma => https://jamii.app/KesiDEDItigiUpelelezi
NIDA: ASILIMIA 80 YA WATANZANIA HAWANA VYETI VYA KUZALIWA
> Wengi ni Wananchi waishio Tanzania Bara ambao hawasajiliwa wala kuwa na vyeti vya kuzaliwa
> Aidha, kwa upande wa waliosajiliwa na kuwa na vyeti hivyo ni asilimia 13.4%
Zaidi, soma => https://jamii.app/NIDAVyetiKuzaliwa
> Wengi ni Wananchi waishio Tanzania Bara ambao hawasajiliwa wala kuwa na vyeti vya kuzaliwa
> Aidha, kwa upande wa waliosajiliwa na kuwa na vyeti hivyo ni asilimia 13.4%
Zaidi, soma => https://jamii.app/NIDAVyetiKuzaliwa
KIAMBU, KENYA: WAKAMATWA NA MASANDUKU YENYE FEDHA BANDIA
> Jeshi la Polisi linawashikilia Bi. Nancy Muthori na Joseph Muhayo baada ya kuwakamata wakiwa na masanduku hayo
> Wamekamatwa katika Mtaa wa Ruiru wanakoishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/FedhaBandiaKiambu
#JFLeo
> Jeshi la Polisi linawashikilia Bi. Nancy Muthori na Joseph Muhayo baada ya kuwakamata wakiwa na masanduku hayo
> Wamekamatwa katika Mtaa wa Ruiru wanakoishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/FedhaBandiaKiambu
#JFLeo
RWANDA KUZINDUA 'SATELLITE' ITAKAYOZIUNGANISHA SHULE ZA VIJIJINI NA 'INTERNET'
> Satellite hiyo iliyopewa jina la 'Icyerekezo'(uelekeo) imelenga kuwaandaa Vijana na mafunzo ya tehama kwa maisha ya baadaye
Zaidi kuhusu uzinduzi huu, soma => https://jamii.app/RwandaSatellite
#JFLeo
> Satellite hiyo iliyopewa jina la 'Icyerekezo'(uelekeo) imelenga kuwaandaa Vijana na mafunzo ya tehama kwa maisha ya baadaye
Zaidi kuhusu uzinduzi huu, soma => https://jamii.app/RwandaSatellite
#JFLeo
MWANAO AMEWAHI KUKUAIBISHA MBELE ZA WATU?
> Watoto wadogo hukariri yale wanayoyaona na kuyasikia kila siku na wakati mwingine huyasema wakiwa mahali popote hata kama hawajui maana yake
> Je, mwanao amewahi kusema au kufanya jambo mbele za watu mpaka ukapatwa na aibu?
Tembelea - https://jamii.app/KuaibishwaMtoto
#JFHoja
> Watoto wadogo hukariri yale wanayoyaona na kuyasikia kila siku na wakati mwingine huyasema wakiwa mahali popote hata kama hawajui maana yake
> Je, mwanao amewahi kusema au kufanya jambo mbele za watu mpaka ukapatwa na aibu?
Tembelea - https://jamii.app/KuaibishwaMtoto
#JFHoja
WATU 25 WAFARIKI KWENYE AJALI YA MOTO WA TRENI
> Takribani watu 25 wamefariki na 40 kujeruhiwa ktk ajali ya moto uliotokea ktk kituo cha Treni jijini Cairo, Misri
> Kutokana na ajali hiyo Waziri wa Usafiri, Hicham Arafat ameomba kujiuzulu
Soma - https://jamii.app/20DeadStationFire
#JFInternational
> Takribani watu 25 wamefariki na 40 kujeruhiwa ktk ajali ya moto uliotokea ktk kituo cha Treni jijini Cairo, Misri
> Kutokana na ajali hiyo Waziri wa Usafiri, Hicham Arafat ameomba kujiuzulu
Soma - https://jamii.app/20DeadStationFire
#JFInternational
INDIA: BASTOLA FEKI YASABABISHA APOTEZE MAISHA
> Mohammad Palash Ahmed(25), amefariki baada ya kupigwa risasi na Polisi alipoteka Ndege iliyobeba abiria 148 akiwa na bastola feki akitaka nafasi ya kuongea na Waziri Mkuu wa India
Soma - https://jamii.app/KilledToyGun
#JFInternational
> Mohammad Palash Ahmed(25), amefariki baada ya kupigwa risasi na Polisi alipoteka Ndege iliyobeba abiria 148 akiwa na bastola feki akitaka nafasi ya kuongea na Waziri Mkuu wa India
Soma - https://jamii.app/KilledToyGun
#JFInternational
VENEZUELA: RAIS WA MPITO AKABILIWA NA KIFUNGO CHA MIAKA 30
> Kiongozi wa upinzani Venezuela, Juan Guaidó, anaandamwa na kifungo cha miaka 30 baada ya kukiuka agizo la kumtaka asitoke nje ya nchi, lililotolewa na Mahakama ya Juu
Soma - https://jamii.app/GuaidoJail30Yrs
#JFInternational
> Kiongozi wa upinzani Venezuela, Juan Guaidó, anaandamwa na kifungo cha miaka 30 baada ya kukiuka agizo la kumtaka asitoke nje ya nchi, lililotolewa na Mahakama ya Juu
Soma - https://jamii.app/GuaidoJail30Yrs
#JFInternational
SEHEMU YA KIWANDA CHA BORA YATEKETEA KWA MOTO
> Janga hilo limekikumba kiwanda hicho cha Viatu kilichopo maeneo ya TAZARA jijini Dar
> Kikosi cha zima moto tayari kimefika eneo la tukio na kuendelea na juhudi za uokoaji
Zaidi, soma => https://jamii.app/MotoKiwandaBora
> Janga hilo limekikumba kiwanda hicho cha Viatu kilichopo maeneo ya TAZARA jijini Dar
> Kikosi cha zima moto tayari kimefika eneo la tukio na kuendelea na juhudi za uokoaji
Zaidi, soma => https://jamii.app/MotoKiwandaBora
BARIADI: MTU MMOJA AMEFARIKI BAADA YA KUANGUKIWA NA KIFUSI CHA MGODI
> Aidha, watu wengine watatu pia wanahofiwa kufariki katika mgodi huo
> Tukio hilo limetokea katika mgodi wa dhahabu wa Burambaka uliopo katika Kijiji cha Gasuma
Soma => https://jamii.app/MgodiBurambaka
#JFLeo
> Aidha, watu wengine watatu pia wanahofiwa kufariki katika mgodi huo
> Tukio hilo limetokea katika mgodi wa dhahabu wa Burambaka uliopo katika Kijiji cha Gasuma
Soma => https://jamii.app/MgodiBurambaka
#JFLeo
NJOMBE: WATU 4 AKIWEMO MTOTO WA MIAKA 15 KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA MAUAJI
> Mtoto David Kasila mwenye umrinwa miaka pamoja na Mariano Malekela, Edwin Malekela na Kalistus Costa wanatarajiwa kufikishwa mahakamani Machi 4, 2019
Zaidi, soma => https://jamii.app/MtotoMauajiNjombe
#JFLeo
> Mtoto David Kasila mwenye umrinwa miaka pamoja na Mariano Malekela, Edwin Malekela na Kalistus Costa wanatarajiwa kufikishwa mahakamani Machi 4, 2019
Zaidi, soma => https://jamii.app/MtotoMauajiNjombe
#JFLeo
JESHI LA POLISI LINAMSHIKILIA MSANII DUDU BAYA
> Msanii Godfrey Tumaini maarufu 'Dudu Baya' anashikiliwa na Jeshi la Polisi katika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam kwa mahojiano
> Anatuhumiwa kumkashfu na kutoa lugha za kejeli kwa marehemu, Ruge Mutahaba
> Msanii Godfrey Tumaini maarufu 'Dudu Baya' anashikiliwa na Jeshi la Polisi katika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam kwa mahojiano
> Anatuhumiwa kumkashfu na kutoa lugha za kejeli kwa marehemu, Ruge Mutahaba
TRUMP AKATAA KUIONDOLEA VIKWAZO KOREA KASKAZINI
> Rais wa Marekani, Donald Trump alitoka katikati ya mkutano na Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un baada ya Kim kuitaka Marekani kuiondolea nchi yake vikwazo vyote ilivyoiwekea
Soma - https://jamii.app/UsVsNorthKorea
#JFInternational
> Rais wa Marekani, Donald Trump alitoka katikati ya mkutano na Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un baada ya Kim kuitaka Marekani kuiondolea nchi yake vikwazo vyote ilivyoiwekea
Soma - https://jamii.app/UsVsNorthKorea
#JFInternational
MAJARIBIO YA CHANJO YA UKIMWI NCHINI YALETA MATUMAINI
> Utafiti wa awali wa chanjo ya UKIMWI umeonesha kuwa, ina uwezo wa kusisimua na kufanya mwili wa binadamu utengeneze kinga dhidi ya ugonjwa huo
> Chanjo hiyo ilitengenezwa nchini Sweden
Zaidi https://jamii.app/ChanjoUKIMWITanzania
> Utafiti wa awali wa chanjo ya UKIMWI umeonesha kuwa, ina uwezo wa kusisimua na kufanya mwili wa binadamu utengeneze kinga dhidi ya ugonjwa huo
> Chanjo hiyo ilitengenezwa nchini Sweden
Zaidi https://jamii.app/ChanjoUKIMWITanzania
KIWANDA CHA MABEHEWA KUJENGWA NCHINI
> Mkurugenzi wa kampuni ya Kiluwa Group, Mohammed Kiluwa amefanya makubaliano na Kampuni ya Afrika Jambo Group ya Afrika Kusini kujenga kiwanda cha mabehewa nchini kitakachogharimu dola milioni 150
Soma - https://jamii.app/UjenziKiwandaMabehewa
#JFLeo
> Mkurugenzi wa kampuni ya Kiluwa Group, Mohammed Kiluwa amefanya makubaliano na Kampuni ya Afrika Jambo Group ya Afrika Kusini kujenga kiwanda cha mabehewa nchini kitakachogharimu dola milioni 150
Soma - https://jamii.app/UjenziKiwandaMabehewa
#JFLeo
BIASHARA: Wanawake wafanyabiashara ndogo ndogo wakigomea kulipa ushuru wa Tsh. 500
> Wanawake hao wameeleza kuwa hawawezi kulipa ushuru huo kwakuwa tayari wametimiza sharti la kuwa na vitambulisho vya Serikali
#JFBiashara
> Wanawake hao wameeleza kuwa hawawezi kulipa ushuru huo kwakuwa tayari wametimiza sharti la kuwa na vitambulisho vya Serikali
#JFBiashara