IJUE SHERIA: Je, naweza kumwita Askari Polisi wakati wowote ninapohitaji?
> Unapaswa kuwaita Askari Polisi kwa malalamiko au taarifa zinazohusu uhalifu muda wowote hata usiku wa manane
> Unaweza kuwaita Polisi kwa njia ya simu namba 112
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
> Unapaswa kuwaita Askari Polisi kwa malalamiko au taarifa zinazohusu uhalifu muda wowote hata usiku wa manane
> Unaweza kuwaita Polisi kwa njia ya simu namba 112
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
HALI YA RUGE MUTAHABA: MSAADA WA HALI NA MALI WAHITAJIKA TOKA KWA YEYOTE ATAYEGUSWA
> Mbaki Mutahaba(mdogo wa Ruge Mutahaba) amesema gharama za matibabu ni kubwa mno
> Kwa atayeguswa kuchangia matibabu ya Ruge Mutahaba wameombwa kufanya hivyo kupitia namba 0752 222 210
#JFLEO
> Mbaki Mutahaba(mdogo wa Ruge Mutahaba) amesema gharama za matibabu ni kubwa mno
> Kwa atayeguswa kuchangia matibabu ya Ruge Mutahaba wameombwa kufanya hivyo kupitia namba 0752 222 210
#JFLEO
WATUMISHI 3 WIZARA YA MADINI KUSIMAMISHWA KAZI
> Waziri wa Madini, Doto Biteko amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, kuwasimamisha na kuwachukulia hatua za kinidhamu watumishi 3 kwa kugawa leseni za uchimbaji wa madini bila kufuata utaratibu
Soma https://jamii.app/WatumishiKusimamishwaKazi
> Waziri wa Madini, Doto Biteko amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, kuwasimamisha na kuwachukulia hatua za kinidhamu watumishi 3 kwa kugawa leseni za uchimbaji wa madini bila kufuata utaratibu
Soma https://jamii.app/WatumishiKusimamishwaKazi
KENYA: MBARONI KWA KUTAKA KUMTOROSHA MTOTO HOSPITALINI
> Bonface Murage Wangechi (22) amekutwa hatiani kwa kutaka kumtorosha mtoto wake baada ya kushindwa kulipa fedha za matibabu kwenye Hospitali ya Taifa, kiasi cha Ksh 56,937
Soma - https://jamii.app/ArrestedHospitalBill
> Bonface Murage Wangechi (22) amekutwa hatiani kwa kutaka kumtorosha mtoto wake baada ya kushindwa kulipa fedha za matibabu kwenye Hospitali ya Taifa, kiasi cha Ksh 56,937
Soma - https://jamii.app/ArrestedHospitalBill
IRAN YAZINDUA NYAMBIZI MPYA YENYE MAKOMBORA YA 'CRUISE'
> Rais Hassan Rouhani amezindua Nyambizi ya kisasa (Fateh) yenye uzito wa tani 527 na uwezo wa kubeba makombora ya cruise
> Inaweza kwenda mita 200 chini ya bahari kwa wiki 5
Soma- https://jamii.app/IranCruiseMissile
> Rais Hassan Rouhani amezindua Nyambizi ya kisasa (Fateh) yenye uzito wa tani 527 na uwezo wa kubeba makombora ya cruise
> Inaweza kwenda mita 200 chini ya bahari kwa wiki 5
Soma- https://jamii.app/IranCruiseMissile
DAR: AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMBAKA MWANAMKE WA MIAKA 32
> John Julius mwenye umri wa miaka 33 anatuhumiwa kumbaka Ester Michael(32), Januari 26 2019
> Akana mashtaka na kurudishwa rumande baada ya kushindwa kutumiza masharti ya dhamana
Soma > https://jamii.app/MahakamaniUbakaji32
> John Julius mwenye umri wa miaka 33 anatuhumiwa kumbaka Ester Michael(32), Januari 26 2019
> Akana mashtaka na kurudishwa rumande baada ya kushindwa kutumiza masharti ya dhamana
Soma > https://jamii.app/MahakamaniUbakaji32
MAREKANI: MAJIMBO 16 YAUSHTAKI UTAWALA RAIS TRUMP
> Muungano wa majimbo 16 nchini Marekani yameushtaki utawala wa Rais Donald Trump kuhusu uamuzi wa kutangaza hali ya dharura ili kukusanya fedha za ujenzi wa ukuta mpakani na Mexico
Soma- https://jamii.app/MajimboYamshtakiTrump
> Muungano wa majimbo 16 nchini Marekani yameushtaki utawala wa Rais Donald Trump kuhusu uamuzi wa kutangaza hali ya dharura ili kukusanya fedha za ujenzi wa ukuta mpakani na Mexico
Soma- https://jamii.app/MajimboYamshtakiTrump
UGANDA: KODI YA MITANDAO YA KIJAMII YAPUNGUZA WATUMIAJI MILIONI 5 NDANI YA MIEZI 6
> Kodi hii kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii ilitambulishwa mwezi Julai 2018 imetajwa kupunguza watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini humo
Zaidi, soma => https://jamii.app/UgandaSMTax
> Kodi hii kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii ilitambulishwa mwezi Julai 2018 imetajwa kupunguza watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini humo
Zaidi, soma => https://jamii.app/UgandaSMTax
WANANCHI WA MBEYA WAINGIWA NA HOFU JUU YA MATUKIO YA UBAKAJI
> Wananchi wa Mbalizi Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, wameripoti kuwa, Februari 14 binti wa darasa la 7 alibakwa na mabinti wengine 3 walinusurika kubakwa Jumapili wakiwa Kanisani
Soma - https://jamii.app/UbakajiWatotoMbeya
> Wananchi wa Mbalizi Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, wameripoti kuwa, Februari 14 binti wa darasa la 7 alibakwa na mabinti wengine 3 walinusurika kubakwa Jumapili wakiwa Kanisani
Soma - https://jamii.app/UbakajiWatotoMbeya
KENYA: MUME AUA MKEWE BAADA YA KUKATAA KUMPIKIA UGALI
> Mwanaume mmoja(45) katika Kaunti ya Kakamega amenusurika kifo kwa kunywa sumu baada ya kumuua mkewe kisa kikiwa ni kukataa kumpikia ugali
> Alimvamia mkewe kwa kutumia kisu
Soma - https://jamii.app/ManKillsWifeOverUgali
> Mwanaume mmoja(45) katika Kaunti ya Kakamega amenusurika kifo kwa kunywa sumu baada ya kumuua mkewe kisa kikiwa ni kukataa kumpikia ugali
> Alimvamia mkewe kwa kutumia kisu
Soma - https://jamii.app/ManKillsWifeOverUgali
ELIMU YA URAIA: NINI MAANA YA AMRI NA HATI YA UPEKUZI?
> Amri ya Upekuzi (Search Order) ni kibali kitolewacho na Mkuu wa Kituo cha Polisi
> Wakati Hati ya Upekuzi (Search Warrant) ni kibali kitolewacho na Mahakama
Zaisi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
> Amri ya Upekuzi (Search Order) ni kibali kitolewacho na Mkuu wa Kituo cha Polisi
> Wakati Hati ya Upekuzi (Search Warrant) ni kibali kitolewacho na Mahakama
Zaisi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
UPDATE: Mahakama nchini Kenya yamwachilia huru Boniface Wangeci, baba aliyetaka kumtorosha mtoto wake Hospitali ya Taifa Kenya (KNH) ili kukwepa kulipa pesa ya matibabu kiasi cha Ksh 56,000
> Amepewa miezi 3 kudhihirisha kwa vitendo kuwa hakusudii kujitia hatiani tena
#JFInternational
> Amepewa miezi 3 kudhihirisha kwa vitendo kuwa hakusudii kujitia hatiani tena
#JFInternational
MALKIA WA MENO YA TEMBO NA WENZAKE WAKUTWA NA HATIA
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtia hatiani raia wa China, Yang Feng Glan(66) na wenzake 2 baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa katika kesi yao ya kujihusisha na biashara haramu ya Meno ya Tembo
> Imewahukumu kifungo cha miaka 17 jela kila mmoja
Zaidi, soma https://jamii.app/MalkiaMenoTemboHatiani
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtia hatiani raia wa China, Yang Feng Glan(66) na wenzake 2 baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa katika kesi yao ya kujihusisha na biashara haramu ya Meno ya Tembo
> Imewahukumu kifungo cha miaka 17 jela kila mmoja
Zaidi, soma https://jamii.app/MalkiaMenoTemboHatiani
TANZANIA YAPEWA SIKU 45 KUJIBU KUHUSU MATOKEO YA UCHAGUZI KUPINGWA MAHAKAMANI
> Mahakama ya Afrika ya haki za binaadamu (ACHPR) imeipa siku 45 Serikali ya Tanzania kutoa utetezi wake juu ya, kwanini matokeo ya Urais hayapingwi Mahakamani?
Soma - https://jamii.app/ACHPRVsTZGovernment
> Mahakama ya Afrika ya haki za binaadamu (ACHPR) imeipa siku 45 Serikali ya Tanzania kutoa utetezi wake juu ya, kwanini matokeo ya Urais hayapingwi Mahakamani?
Soma - https://jamii.app/ACHPRVsTZGovernment
KESI YA MWANARIADHA CASTER SEMENYA YAANZA KUSIKILIZWA
> Mwanariadha huyo(SA) anapinga Sheria zinazopendekezwa na Shirikisho la Riadha Duniani kuhusu viwango vya Homoni ya testosterone kwa wanariadha ktk Mahakama ya michezo
Soma - https://jamii.app/SemenyaVsIAAFCourt
> Mwanariadha huyo(SA) anapinga Sheria zinazopendekezwa na Shirikisho la Riadha Duniani kuhusu viwango vya Homoni ya testosterone kwa wanariadha ktk Mahakama ya michezo
Soma - https://jamii.app/SemenyaVsIAAFCourt
IRINGA: SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WAGANGA WA JADI KUPEWA LESENI
> Marufuku hiyo imetangazwa kutokana na ongezeko la waganga wanaoelezwa kuchochea matukio ya uhalifu yakiwemo ya ubakaji na ulawiti kwa watoto wadogo
Zaidi, soma => https://jamii.app/IringaWagangaLeseni
> Marufuku hiyo imetangazwa kutokana na ongezeko la waganga wanaoelezwa kuchochea matukio ya uhalifu yakiwemo ya ubakaji na ulawiti kwa watoto wadogo
Zaidi, soma => https://jamii.app/IringaWagangaLeseni
KIGOMA: WAZIRI MKUU AMSIMAMISHA KAZI MHAZINI WA WILAYA YA KIBONDO
> Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi kwa tuhuma za ubadhilifu wa fedha
> Thomas Chogolo atuhumiwa kwa kutoweka mapato kwenye mfumo wa Serikali
Zaidi, soma => https://jamii.app/MhaziniKibondoVsPM
#JFLeo
> Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi kwa tuhuma za ubadhilifu wa fedha
> Thomas Chogolo atuhumiwa kwa kutoweka mapato kwenye mfumo wa Serikali
Zaidi, soma => https://jamii.app/MhaziniKibondoVsPM
#JFLeo
UTEUZI: RAIS MAGUFULI AMEMTEUA EZEKIEL KASHIMBA KUWA MKURUGENZI MKUU WA PSSSF
> Kabla ya uteuzi alikuwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani wa Shirika la NSSF
> Ameteuliwa kuchukua nafasi ya Eliud Sanga ambaye uteuzi wake umetenguliwa
Soma > https://jamii.app/UteuziPSSSF
#JFLeo
> Kabla ya uteuzi alikuwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani wa Shirika la NSSF
> Ameteuliwa kuchukua nafasi ya Eliud Sanga ambaye uteuzi wake umetenguliwa
Soma > https://jamii.app/UteuziPSSSF
#JFLeo
TANZIA: MENEJA MAWASILIANO WA TFS AFARIKI GHAFLA
> Meneja Mawasiliano wa Wakala wa Huduma za Misitu(TFS), Glory Mziray kufariki dunia leo wakati akizungumza na waandishi wa habari
Zaidi, soma => https://jamii.app/TanziaMenejaTFS
#JFLeo
> Meneja Mawasiliano wa Wakala wa Huduma za Misitu(TFS), Glory Mziray kufariki dunia leo wakati akizungumza na waandishi wa habari
Zaidi, soma => https://jamii.app/TanziaMenejaTFS
#JFLeo
NAPE: NATAMBUA MAUMIVU WANAYOYAPATA WANANCHI KWA BUNGE KUTOKUONESHWA 'LIVE'
> Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa, Michezo na Wasanii, Nape Nnauye amesema anajua kuwa wananchi wanaona jambo hilo halikuwatendea haki
Zaidi, soma > https://jamii.app/NapeBungeLive
#JFLeo
> Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa, Michezo na Wasanii, Nape Nnauye amesema anajua kuwa wananchi wanaona jambo hilo halikuwatendea haki
Zaidi, soma > https://jamii.app/NapeBungeLive
#JFLeo