JamiiForums
52.9K subscribers
34.3K photos
2.42K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
TABORA: MWENYEKITI WA KITONGOJI AKAMATWA KWA ULAWITI

> Jeshi la Polisi linamshikilia Mwenyekiti wa Kijiji cha Usinge Kati kwa tuhuma za ulawiti, kumuingiza miti na chupa na kuuponda uume wa kijana aliyemtuhumu kwa kutembea na Mke wake mdogo

Soma > https://jamii.app/UlawitiTabora
KIGOMA: WAZIRI MKUU AFUNGA SOKO LA NDUTA, ASEMA LIHAMISHIWE NDANI YA KAMBI YA WAKIMBIZI

> Amesema udhibiti wa Wakimbizi wanaotoka nje ya kambi kwa ajili ya kupata mahitaji ni mgumu sana kwani hawatakiwi kuchanganyika na raia

Zaidi, soma > https://jamii.app/FungaSokoNduta
ELIMU YA URAIA: JE, ASKARI POLISI ANAWEZA KUFANYA CHOCHOTE ATAKACHO?

> Askari Polisi anaweza kufanya kile kinachokubalika kisheria

> Askari wanaongozwa na sheria na kanuni za nchi [Kwa mfano hairuhusiwi Polisi kutukana au kudhalilisha]

Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi

#JFCivic
KENYA: AKAMATWA KWA KUWAZUIA WATOTO WAKE KUPATA ELIMU NA AFYA

> Tumaini Hamisi amekamatwa kwa tuhuma za kuwazuia Watoto wake kupata huduma hizo

> Yeye ni muumini wa Kanisa la Good News International Church na anaamini elimu ni ushetani

Soma => https://jamii.app/WatotoElimuAfya
INDIA: LORI LAGONGANA NA MSAFARA WA HARUSI, 13 WAPOTEZA MAISHA

> Lori hilo lililokuwa kwenye mwendokasi liligongana na msafara wa harusi na kusababisha vifo vya watu 13 na kujeruhi 19 katika jimbo la Racastan Magharibi mwa India

Soma - https://jamii.app/13DeadWeddingConvoy
VINGUNGUTI YANYANG'ANYWA FEDHA ZA UJENZI WA MACHINJIO

> Serikali imeinyang'anya Manispaa ya Ilala, Tsh bilioni 3 ilizoipa kwa ajili ya kutekeleza mradi wa Machinjio ya Kisasa wa Vingunguti, baada ya kushindwa kutekeleza mradi huo kwa wakati

Soma - https://jamii.app/VingungutiKukosaMachinjio
HUAWEI NA MAREKANI ZAENDELEA KUTUNISHIANA MISULI

> Mwanzilishi wa Huawei amesema, hakuna njia ambayo Marekani inaweza kuitumia ili kuivunja kampuni hiyo

> Ren Zhengfei amesema hata kukamatwa kwa binti yake, ni hatua ya kisiasa tu

Soma - https://jamii.app/HuaweiVsUS
WATANZANIA WANACHANGIA HARUSI MILIONI 300, LAKINI SI CHOO CHA SHULE CHA MILIONI 20

> Ndani ya JamiiForums kuna mada inayoelezea suala hili na mleta mada anasema kwake anaona huu kama ugonjwa wa kujitakia

Zaidi kuhusu mada hii, soma > https://jamii.app/MichangoHarusi

#JFHoja
KENYA: MKE AUAWA, MUME AJERUHIWA NA MABINTI ZAO 3 WABAKWA

> Jeshi la Polisi linawatafuta wahuni waliomuua mwanamke mmoja kwa kumkatakata hovyo, kumjeruhiwa vibaya mumewe na kuwabaka mabinti 3 alfajiri ya leo, eneo la Letein

Soma - https://jamii.app/MauajiUbakajiKE
SAKATA LA MAUAJI SIMIYU: IGP AMNG'OA KAMANDA WA POLISI

> IGP Sirro amemuondoa RPC Deusdedit Nsimeki kwa kushindwa kudhibiti matukio ya mauaji ya watoto

> Amesema kuwa amekuwa akilalamikiwa na Wananchi kushindwa kudhibiti uhalifu huo

Soma > https://jamii.app/IGPVsRPCSimiyu

#JFLeo
ATEKETEA KWA MOTO ALIOUWASHA SHAMBANI KWAKE

> Mkazi wa Kijiji cha Kilongo, Muheza mkoani Tanga, Saidi Sekizenge (72), amefariki kwa kuteketea kwa moto akiwa shambani kwake

> Mzee huyo alikuwa akichoma majani yaliyokauka shambani mwake

Soma - https://jamii.app/AteketeaMotoShambani
MBINU ZA KUKUWEZESHA KUFANYA BIASHARA KWA MTAJI MDOGO

> Chagua wazo la biashara unalolipenda na kuliweza vyema

> Anza na unachokijua pasipo kuhusisha mambo mengi mageni kwa kuwa huna pesa za kuyagharamia

> Waambie watu unachokifanya ili kupata wateja na kufahamika na usiogope kueleza kuwa unafanya biashara ya aina fulani

Soma - https://jamii.app/BiasharaMtajiMdogo
MUSEVENI APITISHWA KUGOMBEA TENA URAIS UGANDA

> Kamati kuu ya Chama Tawala nchini Uganda, NRM imemtangaza Rais Yoweri Museveni kugombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2021

> Rais Museveni amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 30

Soma - https://jamii.app/NRMEndorsesMuseveni6thPhase
JE, KUFANIKIWA NI BAHATI AU NI JUHUDI ZA MTU BINAFSI?

> Wapo wanaosema mafanikio mara nyingii huendana na bahati ya mtu kwasababu kuna wengi wamepambana/wanapambana vya kutosha bila kufikia mafanikio mpaka hujikatia tamaa

> Wengine hudai kufanikiwa bali juhudi binafsi za mtu na ndizo humpeleka kwenye mafanikio tarajiwa na wote waliofanikiwa wamepambana vya kutosha

> Mtazamo wako ni upi katika hili?

Tembelea - https://jamii.app/BahatiVsJuhudiKufanikiwa
RAIS MAGUFULI ATEUA MKURUGENZI WA TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA NA MWENYEKITI WA BARAZA LA USHINDANI

> Mkurugenzi mpya wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima ni Dkt. Ng'umbi

> Jaji Magoiga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Ushindani

Soma > https://jamii.app/UteuziTEWW

#JFLeo
WAZIRI MKUU ATOA ONYO KWA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI WA HALMASHAUR, ATAKA WAPATANE

> Amewaonya DC wa Wilaya ya Biharamulo, Sada Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Wende Ng'ahara wanaotuhumiana kwa ushirikina(kurogana)

Zaidi, soma => https://jamii.app/PMVsDCDEDBiharamulo
BARRICK WAAHIDI KUILIPA TANZANIA BILIONI 682.5, ACACIA WAKANA

> Mtendaji Mkuu wa Barrick Gold, Dkt. Willem Jacobs ameahidi kutekeleza malipo hayo

> Acacia ambao wana hisa nyingi ndani ya Barrick Gold leo wamekana kuwa na taarifa

Soma => https://jamii.app/BarrickTzAcacia
CROATIA: MWILI WA BINTI ALIYETOWEKA MWAKA 2000 WAKUTWA KWENYE JOKOFU LA DADA YAKE

> Jasmina Dominic(23) alitoweka mwaka 2000 wakati akiwa Mwanafunzi

> Mwaka 2005 familia yake ilisema aliwaaga anakwenda kufanya kazi kwenye Meli

Zaidi, soma => https://jamii.app/CroatiaMwiliFriji
RAIA WA PERU ALIYEINGIZA DAWA ZA KULEVYA NCHINI AFUNGWA MIAKA 20

> Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama Kuu kwa raia wa Peru, Wallenstein Santillan baada ya kumkuta na hatia ya kuingiza nchini #DawaZaKulevya aina ya Cocaine gramu 1420.78

Soma => https://jamii.app/RaiaPeruHukumu
WAHAMIAJI 22 WAKAMATWA TABORA

> Jeshi la Polisi mkoani Tabora limewakamata wahamiaji haramu 22 ambao walikuwa wakisafiri kutoka nchini Burundi kupitia Kigoma, Tabora na kisha kuelekea nchini Zambia kwa basi

> 9 kati yao ni watoto wadogo

Soma - https://jamii.app/Wahamiaji22WakamatwaTBR