AJALI YAUA TAKRIBAN WATU 18: Watu wapatao 18 wamefariki dunia baada ya basi dogo (Coaster) kugongana na lori la mizigo Mkoani Iringa
Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, ACP Allan Bukumbi amethibitisha ajali kutokea leo Juni 10, 2022
Soma - https://jamii.app/AjaliIringa
#JFLeo
Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, ACP Allan Bukumbi amethibitisha ajali kutokea leo Juni 10, 2022
Soma - https://jamii.app/AjaliIringa
#JFLeo
๐ข27๐6๐2๐ฑ1
#ZIMBABWE: Mamia ya Watumishi wa Umma wa Sekta ya #Afya wamefanya Mgomo kutokana na mishahara midogo na mazingira duni ya Kazi
> Inaelezwa Serikali imetangaza kuongeza mishahara kufikia Mwezi Julai, kiwango ambacho bado wanadai hakiridhishi
Soma - https://jamii.app/MgomoZimbabwe
#JFLeo
> Inaelezwa Serikali imetangaza kuongeza mishahara kufikia Mwezi Julai, kiwango ambacho bado wanadai hakiridhishi
Soma - https://jamii.app/MgomoZimbabwe
#JFLeo
๐10๐ฅ1
SERIKALI YAENDELEZA MARUFUKU YA โLUMBESAโ
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango amezuia vipimo visivyo rasmi ktk ununuzi wa mazao ikiwemo โlumbesaโ
Hii si mara ya kwanza โlumbesaโ kuzuiwa. Waziri Mkuu Majaliwa aliizuia akisema inatumika kuwaibia Wakulima
Soma https://jamii.app/Mpango-lumbesa
#JFLeo
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango amezuia vipimo visivyo rasmi ktk ununuzi wa mazao ikiwemo โlumbesaโ
Hii si mara ya kwanza โlumbesaโ kuzuiwa. Waziri Mkuu Majaliwa aliizuia akisema inatumika kuwaibia Wakulima
Soma https://jamii.app/Mpango-lumbesa
#JFLeo
๐10
RIPOTI MAUAJI WATU 33 MALI: UN wameeleza Wanajeshi wa #Mali na Wanamgambo wa Kundi la Wagner la Urusi ndio waliua raia 33 (29 wa Mauritania, 4 wa Mali)
Tukio hilo la Machi 5, 2022 lilisababisha mvutano kati ya Nchi ya Mali na #Mauritania
Soma > https://jamii.app/RipotiYaUN
#JFLeo
Tukio hilo la Machi 5, 2022 lilisababisha mvutano kati ya Nchi ya Mali na #Mauritania
Soma > https://jamii.app/RipotiYaUN
#JFLeo
๐6๐ค1
Wakiongozwa na Misri, #Israel na #Palestina wamekubaliana kusitisha mapigano katika Ukanda wa #Gaza yaliyofanyika kwa Siku tatu mfululizo
Watu 44 wameuawa ambapo kati yao Watoto ni 15, huku Wapalestina 350 wakijeruhiwa
Soma > https://jamii.app/IsraelGazaChaos
#JFLeo #GazaUnderAttack
Watu 44 wameuawa ambapo kati yao Watoto ni 15, huku Wapalestina 350 wakijeruhiwa
Soma > https://jamii.app/IsraelGazaChaos
#JFLeo #GazaUnderAttack
๐6
TANGA: Miili ya Watu wawili imeokotwa ikiwa imefungwa ndani ya Mifuko ya Sandarusi (viroba) katika Kitongoji cha Dibabara
Mashuhuda wanadai waliona Gari - Toyota Landcruiser eneo la tukio na baada ya kuondoka wakabaini uwepo wa Miili hiyo
Soma > https://jamii.app/TukioTanga
#JFLeo
Mashuhuda wanadai waliona Gari - Toyota Landcruiser eneo la tukio na baada ya kuondoka wakabaini uwepo wa Miili hiyo
Soma > https://jamii.app/TukioTanga
#JFLeo
๐ค14๐4๐ข3
MAREKANI: RAIS BIDEN ASAINI MUSWADA WA KODI, AFYA NA TABIA NCHI KUWA SHERIA
Rais #JoeBiden ametia saini Muswada wa Dola Bilioni 700 ambao unalenga kupambana na Mabadiliko ya #TabiaNchi na gharama za #Afya huku akipandisha kodi kwa Matajiri
Soma - https://jamii.app/BidenSheria
#JFLeo
Rais #JoeBiden ametia saini Muswada wa Dola Bilioni 700 ambao unalenga kupambana na Mabadiliko ya #TabiaNchi na gharama za #Afya huku akipandisha kodi kwa Matajiri
Soma - https://jamii.app/BidenSheria
#JFLeo
๐6๐1
RC TANGA: WALIOWEKA MIILI KWENYE VIROBA WATAKUWA WAZOEFU WA UHALIFU
RC Omari Mgumba amesema Miili ilikunjwa kama ipo ktk viroba vya Kilo 20 na kuongeza kuwa dalili za awali zinaonesha mauaji hayajafanyika Tanga bali pametumika kuitupa Miili
Soma > https://jamii.app/MauajiTanga2022
#JFLeo
RC Omari Mgumba amesema Miili ilikunjwa kama ipo ktk viroba vya Kilo 20 na kuongeza kuwa dalili za awali zinaonesha mauaji hayajafanyika Tanga bali pametumika kuitupa Miili
Soma > https://jamii.app/MauajiTanga2022
#JFLeo
๐5
PWANI: 21 WASHIKILIWA KWA KUHUSIKA NA MTANDAO WA WIZI
Wanaoshikiliwa wanatuhumiwa kwa wizi uliotokea Julai 27, 2022 eneo la Mkenge
Watuhumiwa hao wanadaiwa kuiba Ngโombe 8 na kuumua mmoja wa Walinzi wa Zizi huku wakimjeruhi Mlinzi mwingine
Soma https://jamii.app/WeziMifugo
#JFLeo
Wanaoshikiliwa wanatuhumiwa kwa wizi uliotokea Julai 27, 2022 eneo la Mkenge
Watuhumiwa hao wanadaiwa kuiba Ngโombe 8 na kuumua mmoja wa Walinzi wa Zizi huku wakimjeruhi Mlinzi mwingine
Soma https://jamii.app/WeziMifugo
#JFLeo
UGANDA: Watu 14 wamefariki Dunia ktk Mji wa #Arua baada ya kudaiwa kunywa Pombe aina ya City 5 inayodhaniwa kuwa na sumu
Watu 4 wanashikiliwa kufuatia vifo hivyo, huku Kiwanda kinachotengeneza Pombe kikifungwa hadi uchunguzi utakapokamilika
Soma - https://jamii.app/14PeopleDie
#JFLeo
Watu 4 wanashikiliwa kufuatia vifo hivyo, huku Kiwanda kinachotengeneza Pombe kikifungwa hadi uchunguzi utakapokamilika
Soma - https://jamii.app/14PeopleDie
#JFLeo
๐4
TRA imewataka Wapangaji wa nyumba kuwa Wazalendo na kulipia 10% ya kodi wanazowalipa wenye nyumba ili kulipia kodi ya pango
Agosti 20, 2021 Wananchi walianza ulipaji wa Kodi ya Majengo kupitia manunuzi ya mfumo wa LUKU
Soma https://jamii.app/WapangajiKodi
#JFLeo
Agosti 20, 2021 Wananchi walianza ulipaji wa Kodi ya Majengo kupitia manunuzi ya mfumo wa LUKU
Soma https://jamii.app/WapangajiKodi
#JFLeo
๐ค14๐4
KAMATI YA BUNGE (PIC) YABAINI MATUMIZI MAKUBWA NHIF
- Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imebaini Mfuko wa Taifa wa Bima ya #Afya una matumizi makubwa mno na udhaifu ktk Mifumo ya TEHAMA unaochangia kuwepo kwa udanganyifu
Soma - https://jamii.app/NakisiNHIF
#JFLeo
- Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imebaini Mfuko wa Taifa wa Bima ya #Afya una matumizi makubwa mno na udhaifu ktk Mifumo ya TEHAMA unaochangia kuwepo kwa udanganyifu
Soma - https://jamii.app/NakisiNHIF
#JFLeo
๐5
DODOMA: Jeshi la Polisi limethibitisha kuuawa kwa Nada Songo (45) kwa Risasi baada ya kuwashambulia Askari na Wananchi kwa mishale iliyodhaniwa kuwa na sumu
- Marehemu alikuwa anakaidi kukamatwa kwa tuhuma za kutishia kuua Agosti 27, 2022
Zaidi - https://jamii.app/AuawaNaPolisi
#JFLeo
- Marehemu alikuwa anakaidi kukamatwa kwa tuhuma za kutishia kuua Agosti 27, 2022
Zaidi - https://jamii.app/AuawaNaPolisi
#JFLeo
๐7
KENYA: #RailaOdinga amesema ana ushahidi thabiti kwamba alishinda Urais na ana imani Mahakama ya Juu itakubali ombi lake la kutengua matokeo ya Uchaguzi
Asema uamuzi wa Mahakama unaweza kuwa na athari kubwa ktk michakato ya Uchaguzi Afrika
Soma - https://jamii.app/MatokeoOdinga
#JFLeo
Asema uamuzi wa Mahakama unaweza kuwa na athari kubwa ktk michakato ya Uchaguzi Afrika
Soma - https://jamii.app/MatokeoOdinga
#JFLeo
๐18๐ค1
#SENSA2022: Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi, Anne Makinda amesema Wananchi ambao hawajahesabiwa, wafike Ofisi za Serikali za Mitaa au Watendaji na kuacha Mawasiliano yao
> Taarifa zao zitawezesha Makarani kuwafuata walipo na kuwahesabu
Soma - https://jamii.app/Sensa7
#JFLeo
> Taarifa zao zitawezesha Makarani kuwafuata walipo na kuwahesabu
Soma - https://jamii.app/Sensa7
#JFLeo
๐4โค1
NJOMBE: Mahakama ya Wilaya ya Ludewa imemhukumu kifungo cha Miaka 5 jela John Chale (60) kwa kosa la kumfanyia vitendo vya kishirikina Mpwa wake, Videana Chale(18) na kupelekea kupata ukichaa
Pia, anadaiwa kumiliki Nyoka Nyumbani kwake
Soma - https://jamii.app/JelaUshirikina
#JFLeo
Pia, anadaiwa kumiliki Nyoka Nyumbani kwake
Soma - https://jamii.app/JelaUshirikina
#JFLeo
๐5๐3๐3๐ค2
#MADAGASCAR: POLISI WAUA WATU 18 KWENYE MVUTANO NA RAIA
Takriban Watu 500 wenye visu na mapanga walijaribu kuingia kwa nguvu kwenye kituo cha Polisi ambako washukiwa wa utekaji nyara wa Mtoto mwenye Ulemavu wa Ngozi walikuwa wakishikiliwa
Soma - https://jamii.app/18DeadMDG
#JFLeo
Takriban Watu 500 wenye visu na mapanga walijaribu kuingia kwa nguvu kwenye kituo cha Polisi ambako washukiwa wa utekaji nyara wa Mtoto mwenye Ulemavu wa Ngozi walikuwa wakishikiliwa
Soma - https://jamii.app/18DeadMDG
#JFLeo
๐5
WAZIRI UMMY: NHIF INAKARIBIA KUFA
Waziri wa #Afya amesema Mfuko huo umeelemewa na madeni makubwa ya Matibabu ya Wanachama
Sababu za kuelemewa kuwa ni ongezeko la madai yanayohusu Magonjwa yasiyoambukiza yanayochangia 71% ya vifo Duniani
Soma - https://jamii.app/NHIFDies
#JFLeo
Waziri wa #Afya amesema Mfuko huo umeelemewa na madeni makubwa ya Matibabu ya Wanachama
Sababu za kuelemewa kuwa ni ongezeko la madai yanayohusu Magonjwa yasiyoambukiza yanayochangia 71% ya vifo Duniani
Soma - https://jamii.app/NHIFDies
#JFLeo
๐10๐คฏ3๐1
RIPOTI: BANGI INATUMIWA ZAIDI TANZANIA
Kamishna wa Kinga na Tiba kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya #Tanzania (DCEA), Dkt. Peter Mfisi amesema Dawa ya Kulevya inayotumiwa zaidi Nchini ni Bangi ikifuatiwa na Heroine
Soma > https://jamii.app/RipotiYaBangi
#JFLeo
Kamishna wa Kinga na Tiba kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya #Tanzania (DCEA), Dkt. Peter Mfisi amesema Dawa ya Kulevya inayotumiwa zaidi Nchini ni Bangi ikifuatiwa na Heroine
Soma > https://jamii.app/RipotiYaBangi
#JFLeo
๐7๐ฑ2๐ฅ1๐1๐คฏ1
TANESCO imetangaza mgao wa Umeme katika baadhi ya Mikoa Nchini kwa vipindi tofauti kuanzia Saa 2 asubuhi hadi 4 Usiku
Hii ni kutokana na ukarabati wa mitambo na Kupungua kwa kina cha Maji katika Vituo vya kufua Umeme vya Pangani na Kihansi
Zaidi https://jamii.app/PowerCrisis
#JFLeo
Hii ni kutokana na ukarabati wa mitambo na Kupungua kwa kina cha Maji katika Vituo vya kufua Umeme vya Pangani na Kihansi
Zaidi https://jamii.app/PowerCrisis
#JFLeo
๐คฎ10๐ข7๐4๐3๐ฉ3๐1