FAIDA ZA STRAWBERRY MWILINI
- Husaidia kuimarisha uwezo wa Ubongo katika kuweka na kutunza kumbukumbu
- Yana kiwango kikubwa cha Madini ya Zinc ambayo husaidia kuimarisha #Afya ya Uzazi kwa Mwanaume
-
- Matunda haya yana Vitamini E ambayo hunyoosha mikunjo ya Ngozi na kupunguza mchakato wa kuzeeka
Soma - https://jamii.app/StrawberryFaida
#JFAfya
- Husaidia kuimarisha uwezo wa Ubongo katika kuweka na kutunza kumbukumbu
- Yana kiwango kikubwa cha Madini ya Zinc ambayo husaidia kuimarisha #Afya ya Uzazi kwa Mwanaume
-
- Matunda haya yana Vitamini E ambayo hunyoosha mikunjo ya Ngozi na kupunguza mchakato wa kuzeeka
Soma - https://jamii.app/StrawberryFaida
#JFAfya
π15π₯°1
CHINA YARUSHA MAKOMBORA KARIBU NA TAIWAN
Imerusha Makombora kufuatia ziara ya Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi ktk kisiwa hicho
#Taiwan inadai Makombora yalikuwa 11, pia kulikuwa na Ndege za kijeshi zilizoonekana kuzunguka eneo
Soma https://jamii.app/MakomboraYaChina
#JamiiForums
Imerusha Makombora kufuatia ziara ya Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi ktk kisiwa hicho
#Taiwan inadai Makombora yalikuwa 11, pia kulikuwa na Ndege za kijeshi zilizoonekana kuzunguka eneo
Soma https://jamii.app/MakomboraYaChina
#JamiiForums
π12
RWANDA YATUHUMIWA KUWASAIDIA WAASI WA M23 NCHINI #DRC
Kwa mujibu wa ripoti ya Baraza la Usalama la UN, #Rwanda imefanya uingiliaji wa Kijeshi katika Ardhi ya Congo tangu Novemba 2021
Pia, ilitoa Wanajeshi kwaajili ya operesheni za M23
Soma - https://jamii.app/RWDM23UN
Kwa mujibu wa ripoti ya Baraza la Usalama la UN, #Rwanda imefanya uingiliaji wa Kijeshi katika Ardhi ya Congo tangu Novemba 2021
Pia, ilitoa Wanajeshi kwaajili ya operesheni za M23
Soma - https://jamii.app/RWDM23UN
π8
SUDAN KUSINI: SERIKALI YA MPITO KUBAKI MADARAKANI KWA MIAKA MIWILI ZAIDI
Sudan Kusini ilipaswa kufanya Uchaguzi Februari 2023, lakini hadi sasa Serikali hiyo imeshindwa kutimiza masharti muhimu ya makubaliano ikiwemo kuandaa #Katiba mpya
Soma - https://jamii.app/SudanMpito2
#Democracy
Sudan Kusini ilipaswa kufanya Uchaguzi Februari 2023, lakini hadi sasa Serikali hiyo imeshindwa kutimiza masharti muhimu ya makubaliano ikiwemo kuandaa #Katiba mpya
Soma - https://jamii.app/SudanMpito2
#Democracy
Ukatili/Uonevu Mtandaoni hupenya katika kila nyanja ya maisha ya Mwathirika, na unaweza kusababisha matatizo ya Kisaikolojia na Kijamii
Kuwa "Raia bora wa Mtandaoni" (Good Netizen) ni pamoja na kujua kile kinachofaa kufanya katika mazingira ya Mtandaoni
#JamiiForums #DigitalRights #CyberBullying
Kuwa "Raia bora wa Mtandaoni" (Good Netizen) ni pamoja na kujua kile kinachofaa kufanya katika mazingira ya Mtandaoni
#JamiiForums #DigitalRights #CyberBullying
Mara baada ya kujifungua, Mama na Mtoto wagusane Ngozi kwa Ngozi ili kusaidia Maziwa kutoka
Virutubisho vilivyomo kwenye Maziwa ni:
Maji 87%
Wanga 7%
Mafuta 4%
Protini 1%
Vingine 1% (Vitamini, Madini, Kingamwili, Vimeng'enya, Kiinitete)
Soma > https://jamii.app/KunyonyeshaMtoto
#WBW2022
Virutubisho vilivyomo kwenye Maziwa ni:
Maji 87%
Wanga 7%
Mafuta 4%
Protini 1%
Vingine 1% (Vitamini, Madini, Kingamwili, Vimeng'enya, Kiinitete)
Soma > https://jamii.app/KunyonyeshaMtoto
#WBW2022
π9
#JFDATA: Matumizi ya Intaneti Duniani yaliongezeka maradufu kutokana na Mlipuko wa COVID-19 uliopelekea wengi kuitumia kwa Kazi, Masomo, Huduma muhimu na Mawasiliano
Mwaka 2020, Watumiaji wa Intaneti waliongezeka kwa 10.2% ambayo inatajwa kuwa idadi kubwa zaidi katika kipindi cha miaka 10. Kwa Mwaka 2021, ongezeko hilo lilifikia 5.8%
Fahamu zaidi - https://jamii.app/DataInternet
Mwaka 2020, Watumiaji wa Intaneti waliongezeka kwa 10.2% ambayo inatajwa kuwa idadi kubwa zaidi katika kipindi cha miaka 10. Kwa Mwaka 2021, ongezeko hilo lilifikia 5.8%
Fahamu zaidi - https://jamii.app/DataInternet
π5π1
SENEGAL: Serikali imetia saini Mkataba wa Amani na Waasi wa Chama cha Movement of Democratic Forces of Casamance (MFDC) wanaotaka kujitenga
Mkataba huo unatajwa kuweza kumaliza mzozo uliodumu tokea Mwaka 1982 Nchini humo
Soma https://jamii.app/AmaniSenegal
#Governance
Mkataba huo unatajwa kuweza kumaliza mzozo uliodumu tokea Mwaka 1982 Nchini humo
Soma https://jamii.app/AmaniSenegal
#Governance
π5
Mdau anasema kuficha wazo la #Biashara na huku ukiwa huna mtaji si ufahari ila ni kuendeleza Umasikini
Ameshauri kuwashirikisha Wadau wa maendeleo ili kupata msaada wa hali na mali wa utekelezaji wa wazo hilo na kulipa uhai
Msome - https://jamii.app/BusinessIdea
#JFBiashara
Ameshauri kuwashirikisha Wadau wa maendeleo ili kupata msaada wa hali na mali wa utekelezaji wa wazo hilo na kulipa uhai
Msome - https://jamii.app/BusinessIdea
#JFBiashara
π4
MDAU: NAWEZAJE KUTUMIA KOMPYUTA KUINGIZA KIPATO?
Mdau wa JamiiForums.com anaomba ushauri akisema ameshawahi kuitumia kwenye shughuli za Stationery na ana uwezo wa βVideo productionβ
Je, umewahi kuingiza kipato kupitia Kompyuta? Mshauri Mdau anavyoweza kujiajiri
Mjadala - https://jamii.app/ComputerKujiajiri
#Maisha #JFBiashara
Mdau wa JamiiForums.com anaomba ushauri akisema ameshawahi kuitumia kwenye shughuli za Stationery na ana uwezo wa βVideo productionβ
Je, umewahi kuingiza kipato kupitia Kompyuta? Mshauri Mdau anavyoweza kujiajiri
Mjadala - https://jamii.app/ComputerKujiajiri
#Maisha #JFBiashara
π2π₯1π₯°1
KENYA: Serikali imesema madai ya Naibu Rais, William Ruto kuhusu kuzima Umeme na Mtandao ili kutekeleza wizi wa Kura ni kejeli
Imesisitiza, hakuna nia ya kuingilia mitambo na huduma zinazosaidia uendeshaji wa Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/InterntShutdown
#KenyaDecides #DigitalRights
Imesisitiza, hakuna nia ya kuingilia mitambo na huduma zinazosaidia uendeshaji wa Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/InterntShutdown
#KenyaDecides #DigitalRights
π3
MOROCCO: Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Aziz Akhannouch anakabiliwa na Shinikizo la kujiuzulu kutokana na kupanda kwa gharama za mafuta
Raia wanadai Kiongozi huyo ni sehemu ya tatizo kwani anamiliki moja ya Kampuni kubwa ya Mafuta Nchini humo
Soma https://jamii.app/WaziriMorocco
#Governance
Raia wanadai Kiongozi huyo ni sehemu ya tatizo kwani anamiliki moja ya Kampuni kubwa ya Mafuta Nchini humo
Soma https://jamii.app/WaziriMorocco
#Governance
π1
MABONDIA 19 WA AFRIKA KUPIGANA NUSU FAINALI YA JUMUIYA YA MADOLA
Mabondia hao wanatarajiwa kupanda ulingoni Agosti 6, 2022
Mtanzania Kassim Mbundwike atapigana na Tiago Muxanga wa Msumbiji. Mtanzania Yusuf Lucasi Changalawe atazichapa na Sean Lazerini
Soma https://jamii.app/BoxingInUK
#JFSports
Mabondia hao wanatarajiwa kupanda ulingoni Agosti 6, 2022
Mtanzania Kassim Mbundwike atapigana na Tiago Muxanga wa Msumbiji. Mtanzania Yusuf Lucasi Changalawe atazichapa na Sean Lazerini
Soma https://jamii.app/BoxingInUK
#JFSports
π6β€2π1
USHAURI WA MDAU KUHUSU MAMBO YA KUMFUNDISHA MTOTO WAKO
1) Mkumbushe Wivu utamfanya amchukie Mtu ambaye alipaswa ajifunze kutoka kwake. Mkumbushe Msaada sio Haki yake, asipopewa asinung'unike atafute chake
2) Tumeona mazuri kwa Watu waliokuwa wakiitwa wabaya na tumeona mabaya kwa Watu waliokuwa wakiitwa wazuri, aishi na kila Mtu kwa akili
Soma zaidi - https://jamii.app/JumbeMwanao
#Maisha #JFMdau
1) Mkumbushe Wivu utamfanya amchukie Mtu ambaye alipaswa ajifunze kutoka kwake. Mkumbushe Msaada sio Haki yake, asipopewa asinung'unike atafute chake
2) Tumeona mazuri kwa Watu waliokuwa wakiitwa wabaya na tumeona mabaya kwa Watu waliokuwa wakiitwa wazuri, aishi na kila Mtu kwa akili
Soma zaidi - https://jamii.app/JumbeMwanao
#Maisha #JFMdau
π17π6
MDAU: MAJINA YETU YA ASILI YAMEPOTEZA MVUTO AU TUNAONA AIBU KUYATUMIA?
- Anasema kwa sasa Watanzania wengi wana majina ya kisasa zaidi na tumebakisha majina ya mwisho kuwa ya asili ila ya mwanzo wengi ni ya Kizungu ama Kiarabu
- Je, majina yetu ya asili yamepoteza mvuto ama tunajisikia wa kale pale tunapoyatumia majina hayo?
Mjadala - https://jamii.app/MajinaAsili
#Maisha #JFMdau
- Anasema kwa sasa Watanzania wengi wana majina ya kisasa zaidi na tumebakisha majina ya mwisho kuwa ya asili ila ya mwanzo wengi ni ya Kizungu ama Kiarabu
- Je, majina yetu ya asili yamepoteza mvuto ama tunajisikia wa kale pale tunapoyatumia majina hayo?
Mjadala - https://jamii.app/MajinaAsili
#Maisha #JFMdau
π12π2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Wikiendi hii iwe njema kwako na kwa wote uwapendao
Asante kwa kuwa sehemu ya Familia ya JamiiForums!
Asante kwa kuwa sehemu ya Familia ya JamiiForums!
π26β€10
Ripoti ya CAG 2020/21 ilibaini Matumizi ya bila nyaraka stahiki na toshelezi yalifanywa na Taasisi 48
Ili kuondoa matumizi yasiyo na tija kwa Serikali, Taasisi ya #WAJIBU inashauri Maafisa waliohusika kufanya matumizi hayo kwenye Taasisi za Umma wawajibishwe
#JFUwajibikaji
Ili kuondoa matumizi yasiyo na tija kwa Serikali, Taasisi ya #WAJIBU inashauri Maafisa waliohusika kufanya matumizi hayo kwenye Taasisi za Umma wawajibishwe
#JFUwajibikaji
π1
JAJI MKUU: MAJAJI WAPANGIWE IDADI YA KESI KWA MWAKA
Prof. Ibrahim Juma ametoa ushauri huo akisema utaratibu ambao unatumika ni wa mwaka 1979
Lengo ni Shauri moja liwe Mahakamani ndani ya siku 350 ili kupunguza mrundikano
Soma > https://jamii.app/KesiMahakamani
#JamiiForums
Prof. Ibrahim Juma ametoa ushauri huo akisema utaratibu ambao unatumika ni wa mwaka 1979
Lengo ni Shauri moja liwe Mahakamani ndani ya siku 350 ili kupunguza mrundikano
Soma > https://jamii.app/KesiMahakamani
#JamiiForums
π12
SUDAN KUSINI: Rais Salva Kiir amewafukuza kazi Waziri wa Fedha, Agak Achuil Lual pamoja na Gavana wa Benki Kuu, Moses Makur. Sababu za uamuzi wake hazijawekwa wazi
Gavana wa zamani, Dier Tong ameteuliwa kuwa Waziri wa Fedha
Soma - https://jamii.app/SiasaSudanKusini
#Governance
Gavana wa zamani, Dier Tong ameteuliwa kuwa Waziri wa Fedha
Soma - https://jamii.app/SiasaSudanKusini
#Governance
π8
UCHAGUZI KENYA: Jane Kibe (48) na Peris Wanjiru (35) wamenusurika kifo baada ya kuchomwa visu na kijana mmoja (17) kwa madai ya kukataa kumuunga mkono Baba yake anayegombea Ubunge
Mtuhumiwa ni rafiki wa karibu wa mtoto wa Wanjiru
Soma https://jamii.app/ShambulioVisu
#Democracy
Mtuhumiwa ni rafiki wa karibu wa mtoto wa Wanjiru
Soma https://jamii.app/ShambulioVisu
#Democracy
π9π5