Ripoti ya CAG 2020/21 imeonesha kumekuwepo na mianya ya uvujaji wa Mapato ambayo kama yangesimamiwa kwa umakini, yangeweza kuleta tija kwa Jamii
Mawakala kukusanya Mapato na kutoyawasilisha kwenye Halmashauri, ama Halmashauri kutokusanya Mapato kutoka vyanzo mbalimbali ni kiashiria cha Rushwa na Ubadhirifu wa Fedha za Umma
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #KemeaRushwa
Mawakala kukusanya Mapato na kutoyawasilisha kwenye Halmashauri, ama Halmashauri kutokusanya Mapato kutoka vyanzo mbalimbali ni kiashiria cha Rushwa na Ubadhirifu wa Fedha za Umma
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #KemeaRushwa
π4π2
Machache ambayo Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezungumza katika Uapisho wa Wakuu wa Mikoa leo Agosti 01, 2022
Soma - https://jamii.app/UteuziWateule
#Governance
Soma - https://jamii.app/UteuziWateule
#Governance
π6π1π1
Nukuu za Rais Samia Suluhu Hassan leo baada ya Uapisho wa Viongozi Ikulu, Dar es Salaam
#JamiiForums #Governance
#JamiiForums #Governance
π6
MALI YAISHUTUMU UFARANSA KWA UKOLONI MAMBOLEO
Rais Emmanuel Macron alikaririwa akisema Mataifa ya Kanda yalikuwa na jukumu la kuhakikisha Raia wa #Mali wanaweza kuonesha Nguvu ya Umma
Kauli yake ilitafsiriwa kuwa ya kichochezi na Jeshi la Mali
Soma https://jamii.app/ShutumaMali
#JFDiplomasia
Rais Emmanuel Macron alikaririwa akisema Mataifa ya Kanda yalikuwa na jukumu la kuhakikisha Raia wa #Mali wanaweza kuonesha Nguvu ya Umma
Kauli yake ilitafsiriwa kuwa ya kichochezi na Jeshi la Mali
Soma https://jamii.app/ShutumaMali
#JFDiplomasia
π10
AFRIKA KUSINI: Wanaume 82 wanashikiliwa kwa madai ya kubaka kundi la Wanawake waliokuwa wanarekodi video ya Muziki ktk eneo la Mgodi, Johannesburg
Raia wametoa wito wa kuhasiwa kwa kemikali watuhumiwa watakaopatikana na hatia
Soma - https://jamii.app/UbakajiWaMakundi
#UkatiliKijinsia
Raia wametoa wito wa kuhasiwa kwa kemikali watuhumiwa watakaopatikana na hatia
Soma - https://jamii.app/UbakajiWaMakundi
#UkatiliKijinsia
π€11π4π1π₯°1
MAMA ADAIWA KUMUUA MWANAYE WA MIAKA MITATU KWA FIMBO
Mtuhumiwa (27) alimchapa mwanaye sehemu mbalimbali za mwili, chanzo kikidaiwa ni mtoto kufungua bomba na kuchezea maji ya baridi
Jeshi la Polisi limesema Uchunguzi wa tukio hilo unaendelea
Soma https://jamii.app/AmuuaMwanaye
#HakiMtoto
Mtuhumiwa (27) alimchapa mwanaye sehemu mbalimbali za mwili, chanzo kikidaiwa ni mtoto kufungua bomba na kuchezea maji ya baridi
Jeshi la Polisi limesema Uchunguzi wa tukio hilo unaendelea
Soma https://jamii.app/AmuuaMwanaye
#HakiMtoto
π’15π3π2π€1
VIELELEZO VYA WIZI VYAIBWA KITUO CHA POLISI
Mali zilizokuwa Kituo Kidogo cha Polisi Uchira, Wilaya ya Moshi, Kilimanjaro kama vielelezo zimeibwa
Anayedaiwa kuiba ni mtuhumiwa wa kesi hiyo, alitaka kuharibu ushahidi wa kesi yake
Soma > https://jamii.app/TukioLaWizi
#JFMatukio
Mali zilizokuwa Kituo Kidogo cha Polisi Uchira, Wilaya ya Moshi, Kilimanjaro kama vielelezo zimeibwa
Anayedaiwa kuiba ni mtuhumiwa wa kesi hiyo, alitaka kuharibu ushahidi wa kesi yake
Soma > https://jamii.app/TukioLaWizi
#JFMatukio
π41π5π1
MAREKANI YAMUUA KIONGOZI WA AL QAEDA
Rais Biden amesema Ayman al-Zawahiri ameuawa kwa shambulio la 'Drone' Jijini Kabul Nchini Afghanistan. Inaelezwa, alihusika katika mashambulizi ya Septemba 11, 2001 yaliyoua takriban watu 3,000
Kifo chake kimetajwa kuwa pigo kubwa zaidi kwa Kundi hilo tangu kuuawa kwa Osama bin Laden mwaka 2011
Soma https://jamii.app/ZawahiriKilled
Rais Biden amesema Ayman al-Zawahiri ameuawa kwa shambulio la 'Drone' Jijini Kabul Nchini Afghanistan. Inaelezwa, alihusika katika mashambulizi ya Septemba 11, 2001 yaliyoua takriban watu 3,000
Kifo chake kimetajwa kuwa pigo kubwa zaidi kwa Kundi hilo tangu kuuawa kwa Osama bin Laden mwaka 2011
Soma https://jamii.app/ZawahiriKilled
π18π2π1π1
MDAU: MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA JAMII YENYE MTAZAMO HASI
- Jithamini ujue thamani yako
- Kipaumbele chako kiwe kutenda mema pasipo kujali mtazamo wa wengine
- Ishi kwa tahadhari hususan kwa watu wanaokuzunguka
- Fahamu aina ya watu wanaokuzunguka pamoja na mtazamo wao
- Kuwa mwepesi kusamehe
Msome > https://jamii.app/MaishaYaJamii
#JFMaisha
- Jithamini ujue thamani yako
- Kipaumbele chako kiwe kutenda mema pasipo kujali mtazamo wa wengine
- Ishi kwa tahadhari hususan kwa watu wanaokuzunguka
- Fahamu aina ya watu wanaokuzunguka pamoja na mtazamo wao
- Kuwa mwepesi kusamehe
Msome > https://jamii.app/MaishaYaJamii
#JFMaisha
π11
KENYA: Serikali imetangaza kufungwa ghafla kwa shule zote kuanzia Agosti 2, 2022 kabla ya Uchaguzi Mkuu na kufunguliwa Agosti 11, 2022
> Wanafunzi ambao tayari wameanza mitihani ya katikati ya Muhula wamebaki na sintofahamu
Soma - https://jamii.app/ShuleKenya
#Kenya2022
> Wanafunzi ambao tayari wameanza mitihani ya katikati ya Muhula wamebaki na sintofahamu
Soma - https://jamii.app/ShuleKenya
#Kenya2022
π13π€3
RAIS WA ZAMBIA AWASILI TANZANIA
- Rais Hakainde Hichilema amewasili Nchini kwa ziara ya Kiserikali ya siku 1 na kupokelewa na Rais Samia Suluhu
- Ziara inakusudia kuimarisha zaidi mahusiano mazuri yaliyopo baina ya Zambia na Tanzania
Fuatilia https://jamii.app/Hichilema-TZ
#JFSiasa
- Rais Hakainde Hichilema amewasili Nchini kwa ziara ya Kiserikali ya siku 1 na kupokelewa na Rais Samia Suluhu
- Ziara inakusudia kuimarisha zaidi mahusiano mazuri yaliyopo baina ya Zambia na Tanzania
Fuatilia https://jamii.app/Hichilema-TZ
#JFSiasa
π13
MDAU: WATANZANIA WANASTAHILI UFAFANUZI WA GHARAMA ZA INTANETI KUPANDA
Anasema Watu wengi hawaelewi na bado hawajapata ufafanuzi wa sababu zinazopelekea Vifurushi vya Intaneti kupanda mara kwa mara
Anaeleza, kupanda kwa gharama za Intaneti kuna athari mbalimbali kwa Wananchi ikiwemo kupunguza motisha ya kutafuta maarifa Mtandaoni
Soma - https://jamii.app/Vifurushi05
#DigitalRights
Anasema Watu wengi hawaelewi na bado hawajapata ufafanuzi wa sababu zinazopelekea Vifurushi vya Intaneti kupanda mara kwa mara
Anaeleza, kupanda kwa gharama za Intaneti kuna athari mbalimbali kwa Wananchi ikiwemo kupunguza motisha ya kutafuta maarifa Mtandaoni
Soma - https://jamii.app/Vifurushi05
#DigitalRights
π27π1
Ushiriki wa Umma katika masuala ya Kisiasa na Kidemokrasia ni sehemu muhimu ya Utawala wa Demokrasia
Wahusika wa mchakato wa Kusikiliza, Kuhoji, Kutafakari na Kufanya maamuzi yoyote katika Nchi ni Wananchi wenyewe
Zaidi, soma > https://jamii.app/UshirikiHuru
#Democracy #Governance
Wahusika wa mchakato wa Kusikiliza, Kuhoji, Kutafakari na Kufanya maamuzi yoyote katika Nchi ni Wananchi wenyewe
Zaidi, soma > https://jamii.app/UshirikiHuru
#Democracy #Governance
π2
SERIKALI YAENDELEZA MARUFUKU YA βLUMBESAβ
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango amezuia vipimo visivyo rasmi ktk ununuzi wa mazao ikiwemo βlumbesaβ
Hii si mara ya kwanza βlumbesaβ kuzuiwa. Waziri Mkuu Majaliwa aliizuia akisema inatumika kuwaibia Wakulima
Soma https://jamii.app/Mpango-lumbesa
#JFLeo
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango amezuia vipimo visivyo rasmi ktk ununuzi wa mazao ikiwemo βlumbesaβ
Hii si mara ya kwanza βlumbesaβ kuzuiwa. Waziri Mkuu Majaliwa aliizuia akisema inatumika kuwaibia Wakulima
Soma https://jamii.app/Mpango-lumbesa
#JFLeo
π10
FEDHA ZA UMMA: USIMAMIZI DHAIFU HUPELEKEA MATUMIZI YASIYO NA TIJA
Ripoti ya CAG 2020/21 inaonesha udhaifu katika usimamizi wa matumizi ya Fedha za Umma
Hii imepelekea kuwepo matumizi nje ya Bajeti, matumizi yasiyo na tija na kufanyika malipo bila kudai risiti
#JFUwajibikaji
Ripoti ya CAG 2020/21 inaonesha udhaifu katika usimamizi wa matumizi ya Fedha za Umma
Hii imepelekea kuwepo matumizi nje ya Bajeti, matumizi yasiyo na tija na kufanyika malipo bila kudai risiti
#JFUwajibikaji
π4