#JFDATA: Kwa mujibu wa Shirika la UNICEF, ushahidi katika baadhi ya Nchi unaonesha Watoto wenye Ulemavu wana uwezekano mkubwa wa kutengwa Shuleni kuliko wenzao wasio na Ulemavu
Ili kuwajumuisha Watoto wenye Ulemavu, ni muhimu kuwa na Mikakati ya kupambana na vikwazo vinavyowakwamisha
Fahamu zaidi > https://jamii.app/DataUlemavu
#HakiMtoto
Ili kuwajumuisha Watoto wenye Ulemavu, ni muhimu kuwa na Mikakati ya kupambana na vikwazo vinavyowakwamisha
Fahamu zaidi > https://jamii.app/DataUlemavu
#HakiMtoto
👍8
KENYA: Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limesema Serikali kutowawajibisha Polisi kwa tuhuma za mauaji baada ya uchaguzi wa mwaka 2017, kunaongeza hatari ya kutumia Mamlaka yao vibaya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa wiki ijayo
Soma https://jamii.app/KenyaPolisi
Soma https://jamii.app/KenyaPolisi
👍6
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mashirika (isipokuwa machache) yamekuwa hayafanyi vizuri, na kupelekea mengi kukopa ili kutoa Gawio katika kipindi maalum kwa miaka iliyopita
Katika Ripoti ya 2020/21, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alisema Mashirika 16 yana Madeni zaidi ya Mtaji. Alieleza, yalikuwa na uwiano usioridhisha wa Madeni kwa Mtaji kwa zaidi ya 100%
#JFUwajibikaji
Katika Ripoti ya 2020/21, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alisema Mashirika 16 yana Madeni zaidi ya Mtaji. Alieleza, yalikuwa na uwiano usioridhisha wa Madeni kwa Mtaji kwa zaidi ya 100%
#JFUwajibikaji
👍8
SOMALIA: Waziri Mkuu ametangaza kuteuliwa kwa Mukhtar Robow (Mwanzilishi Mwenza wa Kundi la Al-Shabaab) kuwa Waziri wa Dini
> Hatua hiyo inatajwa inaweza kusaidia kuimarisha vita dhidi ya Waasi na kuzuia vita vya wenyewe kwa wenyewe
Soma https://jamii.app/WaziriSomalia
> Hatua hiyo inatajwa inaweza kusaidia kuimarisha vita dhidi ya Waasi na kuzuia vita vya wenyewe kwa wenyewe
Soma https://jamii.app/WaziriSomalia
👏14👍4🤔1
MADHARA YA KUTUMIA SHISHA
Baadhi yanayoweza kujitokeza kwa mtumiaji; Saratani, Matatizo ya Moyo, Kuharibika Fizi, Fangasi na Kifua kikuu
Kuzaa Njiti (wanaotumia wakiwa wajawazito), Kupoteza Uwezo za Kujamiiana, Kuchakaa kwa ngozi
Soka > https://jamii.app/MadharaYaShisha
#JFAfya
Baadhi yanayoweza kujitokeza kwa mtumiaji; Saratani, Matatizo ya Moyo, Kuharibika Fizi, Fangasi na Kifua kikuu
Kuzaa Njiti (wanaotumia wakiwa wajawazito), Kupoteza Uwezo za Kujamiiana, Kuchakaa kwa ngozi
Soka > https://jamii.app/MadharaYaShisha
#JFAfya
👍9
UTAFITI: KUKOSA USINGIZI HUPUNGUZA NGUVU ZA KIUME
Utafiti huo wa kwenye jarida la habari za #Afya, LiveScience unasema Wanaume ambao hulala chini ya Saa sita wanaweza kutungisha Mimba kwa 31% huku wanaolala kwa Saa tisa wakiwa na asilimia 49
Soma - https://jamii.app/UsingiziKiume
#Afya
Utafiti huo wa kwenye jarida la habari za #Afya, LiveScience unasema Wanaume ambao hulala chini ya Saa sita wanaweza kutungisha Mimba kwa 31% huku wanaolala kwa Saa tisa wakiwa na asilimia 49
Soma - https://jamii.app/UsingiziKiume
#Afya
👍15🤔3💩3👏1
MDAU: JINSI YA KUJIANDAA MWENZA WAKO ANAPOPATA UJAUZITO
- Mnapogundua ana Mimba anzeni kuweka akiba kulingana na uwezo wenu. Kama mnaishi pamoja, Mimba ikifikisha Miezi Minne anzeni kuomba na Mtoto aliye Tumboni
- Mjamzito azingatie vyakula vyote vyenye virutubisho. Kama una kipato kidogo anza kununua vitu vya Mtoto taratibu usisubiri mpaka Mama ajifungue
Zaidi, soma - https://jamii.app/MimbaMaandalizi
#JFMaisha
- Mnapogundua ana Mimba anzeni kuweka akiba kulingana na uwezo wenu. Kama mnaishi pamoja, Mimba ikifikisha Miezi Minne anzeni kuomba na Mtoto aliye Tumboni
- Mjamzito azingatie vyakula vyote vyenye virutubisho. Kama una kipato kidogo anza kununua vitu vya Mtoto taratibu usisubiri mpaka Mama ajifungue
Zaidi, soma - https://jamii.app/MimbaMaandalizi
#JFMaisha
👍14
UCHAGUZI KENYA: Watu wa Jamii ya Washona watapiga kura kwa mara ya kwanza ktk Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, 2022
Kundi la kwanza la Washona liliwasili Kenya likitokea #Zimbabwe takriban Miaka 60 iliyopita na kupewa uraia Mwaka 2020
Soma - https://jamii.app/WashonaElectKE
#KenyaDecides2022
Kundi la kwanza la Washona liliwasili Kenya likitokea #Zimbabwe takriban Miaka 60 iliyopita na kupewa uraia Mwaka 2020
Soma - https://jamii.app/WashonaElectKE
#KenyaDecides2022
👍6
HUDUMA YA INTANETI: GHARAMA ZINAKUATHIRI KWA KIWANGO GANI?
Kutumia Intaneti bado ni gharama kubwa kwa Wananchi katika Nchi nyingi zenye Uchumi wa Chini na Kati
Gharama kubwa za kujiunga zinakwamisha Mamilioni ya Watu kutumia Huduma ya Intaneti kikamilifu
Unatumia kiasi gani kugharamia Huduma hii ili kufanikisha shughuli zako za kila siku?
Zaidi, soma > https://jamii.app/Internet001
#DigitalRights
Kutumia Intaneti bado ni gharama kubwa kwa Wananchi katika Nchi nyingi zenye Uchumi wa Chini na Kati
Gharama kubwa za kujiunga zinakwamisha Mamilioni ya Watu kutumia Huduma ya Intaneti kikamilifu
Unatumia kiasi gani kugharamia Huduma hii ili kufanikisha shughuli zako za kila siku?
Zaidi, soma > https://jamii.app/Internet001
#DigitalRights
👍10
KIFO CHA MWENYEKITI: FAMILIA YADAI KAUAWA, POLISI YAKANUSHA
Mwili wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Byamtemba Mkoani Kagera, Jonathan Bunyaga uliokotwa kando ya barabara ya Bukoba - Mtukula
Ndugu wamedai kubaini majeraha yaliyoonesha alichomwa na kitu chenye ncha kali. Kamanda wa Polisi, William Mwampaghale amesema chanzo cha kifo ni ajali ya pikipiki kugongana
Soma - https://jamii.app/UtataKifoKagera
Mwili wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Byamtemba Mkoani Kagera, Jonathan Bunyaga uliokotwa kando ya barabara ya Bukoba - Mtukula
Ndugu wamedai kubaini majeraha yaliyoonesha alichomwa na kitu chenye ncha kali. Kamanda wa Polisi, William Mwampaghale amesema chanzo cha kifo ni ajali ya pikipiki kugongana
Soma - https://jamii.app/UtataKifoKagera
👍5🤯3
Kwa mwaka 2020/21, Serikali ilishindwa kukusanya 10% ya Bajeti iliyoidhinishwa, ikiwa ni ongezeko la 5% ukilinganisha na mwaka 2019/20. Hii inafanya utekelezaji wa Bajeti kutofikia Malengo yaliyopangwa
Kushindwa kukusanya Mapato kulingana na Bajeti iliyoidhinishwa inadhihirisha Bajeti Iliyopangwa haikuwa na uhalisia, hivyo matarajio ya Wananchi kutofikiwa
#JFUwajibikaji
Kushindwa kukusanya Mapato kulingana na Bajeti iliyoidhinishwa inadhihirisha Bajeti Iliyopangwa haikuwa na uhalisia, hivyo matarajio ya Wananchi kutofikiwa
#JFUwajibikaji
👍7
#JFSPORTS: Kocha wa #ManUnited, Erik ten Hag amekasirishwa na Cristiano Ronaldo kuondoka uwanjani wakati mchezo dhidi ya Rayo Vallecano ukiendelea
> Kocha huyo amesema "Sikubaliani na alichofanya, sisi ni timu unatakiwa kukaa hadi mwisho"
Soma https://jamii.app/CR7AmkeraKocha
> Kocha huyo amesema "Sikubaliani na alichofanya, sisi ni timu unatakiwa kukaa hadi mwisho"
Soma https://jamii.app/CR7AmkeraKocha
👍14👏1
UINGEREZA: Upigaji kura kwa njia ya Mtandao ili kumpata Mrithi wa #BorisJohnson umesogezwa hadi Agosti 11, 2022 kutokana na hofu ya kudukuliwa
Wataalamu wa Mtandao wa Serikali wameibua wasiwasi juu ya uwezekano wa kubadilishwa kwa kura
Soma: https://jamii.app/HofuUdukuzi
#Democracy
Wataalamu wa Mtandao wa Serikali wameibua wasiwasi juu ya uwezekano wa kubadilishwa kwa kura
Soma: https://jamii.app/HofuUdukuzi
#Democracy
👍7👎3
SERIKALI YASITISHA MABADILIKO HUDUMA ZA NHIF
Imesitisha mabadiliko ya utaratibu mpya ulioanza kutumika Agosti 1, 2022 baada ya malalamiko ya Wateja
Mabadiliko yaliweka idadi ya mahudhurio hospitalini na utoaji kibali kwa huduma kama MRI, CT SCAN
Soma https://jamii.app/TamkoLaBima
#JFAfya
Imesitisha mabadiliko ya utaratibu mpya ulioanza kutumika Agosti 1, 2022 baada ya malalamiko ya Wateja
Mabadiliko yaliweka idadi ya mahudhurio hospitalini na utoaji kibali kwa huduma kama MRI, CT SCAN
Soma https://jamii.app/TamkoLaBima
#JFAfya
👍8👎1
MDAU: KWANINI BEI YA MAFUTA INAZIDI KUPANDA NCHINI?
Anasema gharama za maisha zinazidi kupanda kutokana na ongezeko la bei ya mafuta japokuwa Takwimu za Soko la Dunia zinaonesha mafuta yamekuwa yakishuka miezi ya karibuni
Anahoji: Mamlaka inatumia kigezo gani kupandisha bei?
Mjadala > https://jamii.app/KupandaKwaMafuta
Anasema gharama za maisha zinazidi kupanda kutokana na ongezeko la bei ya mafuta japokuwa Takwimu za Soko la Dunia zinaonesha mafuta yamekuwa yakishuka miezi ya karibuni
Anahoji: Mamlaka inatumia kigezo gani kupandisha bei?
Mjadala > https://jamii.app/KupandaKwaMafuta
👍13😢1
DR-CONGO: Serikali imemtaka Msemaji wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa, Mathias Gillmann kuondoka Nchini humo haraka iwezekanavyo
> Ameshutumiwa kwa kutoa "taarifa zisizoeleweka na zisizofaa" kuhusiana na Nchi hiyo
Soma: https://jamii.app/MsemajiUN
#Diplomacy
> Ameshutumiwa kwa kutoa "taarifa zisizoeleweka na zisizofaa" kuhusiana na Nchi hiyo
Soma: https://jamii.app/MsemajiUN
#Diplomacy
👏8👍4😱1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
BONDIA MTANZANIA AINGIA NUSU FAINALI JUMUIYA YA MADOLA
Yusuf Changalawe amemtoa kwa TKO Arthur Lingelier na kutinga Nusu Fainali katika michezo ya Jumuiya ya Madola
Kwa matokeo hayo, Tanzania imepata uhakika wa medali
Soma - https://jamii.app/BondiaMadola2022
#JFSports
Yusuf Changalawe amemtoa kwa TKO Arthur Lingelier na kutinga Nusu Fainali katika michezo ya Jumuiya ya Madola
Kwa matokeo hayo, Tanzania imepata uhakika wa medali
Soma - https://jamii.app/BondiaMadola2022
#JFSports
👍16👏5
57% YA WATOTO WACHANGA NCHINI WANANYONYESHWA INAVYOTAKIWA
Watoto hao ni wenye umri chini ya miezi sita
Vilevile, Tafiti zinaonesha asilimia 43 tu ya Watoto hunyonyeshwa hadi kipindi cha miaka miwili na kuendelea
Soma - https://jamii.app/Unyonyeshaji
#WorldBreastfeedingWeek
Watoto hao ni wenye umri chini ya miezi sita
Vilevile, Tafiti zinaonesha asilimia 43 tu ya Watoto hunyonyeshwa hadi kipindi cha miaka miwili na kuendelea
Soma - https://jamii.app/Unyonyeshaji
#WorldBreastfeedingWeek
👍8
- Mdau wa JamiiForums.com anaomba msaada wa mbinu anazoweza kuzitumia ili kumfanya Mtoto wake mwenye Miaka 8 aache kukojoa Kitandani na kunyonya kidole
- Licha ya kumwamsha Mtoto usiku hata mara mbili ila bado atakojoa. Mtoto anaweza kulala hata nusu saa na akakojoa. Alianza tabia hizi akiwa na Miaka mitatu
Tembelea - https://jamii.app/MtotoKukojoa
#JFMalezi #Malezi
- Licha ya kumwamsha Mtoto usiku hata mara mbili ila bado atakojoa. Mtoto anaweza kulala hata nusu saa na akakojoa. Alianza tabia hizi akiwa na Miaka mitatu
Tembelea - https://jamii.app/MtotoKukojoa
#JFMalezi #Malezi
👍6
RWANDA: MISHAHARA YA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KUONGEZWA KWA 88%
Nyongeza hiyo ni sehemu ya Mikakati inayolenga kuboresha Maslahi ya Walimu na kukuza ubora wa Elimu
Waziri wa Elimu amesema Mishahara ya Walimu wa Shule za Sekondari nayo itaongezeka kwa 40%
Soma - https://jamii.app/WalimuRW
#Governance
Nyongeza hiyo ni sehemu ya Mikakati inayolenga kuboresha Maslahi ya Walimu na kukuza ubora wa Elimu
Waziri wa Elimu amesema Mishahara ya Walimu wa Shule za Sekondari nayo itaongezeka kwa 40%
Soma - https://jamii.app/WalimuRW
#Governance
👍28🥰3