KAONEKA: KAMA NITARUDIA PAMBANO NA MANDONGA, SITAFANYA MAZOEZI
Bondia Shabani Kaoneka aliyempiga kwa TKO Karim Mandonga amesema yupo tayari kwa pambano la marudio
> Amesema hatafanya mazoezi ili kupambana na Mandonga kwa kuwa udhaifu wake anaujua
Soma https://jamii.app/BondiaKaoneka
Bondia Shabani Kaoneka aliyempiga kwa TKO Karim Mandonga amesema yupo tayari kwa pambano la marudio
> Amesema hatafanya mazoezi ili kupambana na Mandonga kwa kuwa udhaifu wake anaujua
Soma https://jamii.app/BondiaKaoneka
😁37👍3👏1
NDEGE ZISIZO NA RUBANI ZA UKRAINE ZASHAMBULIA MELI ZA URUSI
Mashambulizi hayo yametokea katika Bandari ya Crimea na kujeruhi Watu watano
> Wakazi wa eneo hilo wametakiwa kubaki ndani kwa sababu za kiusalama
Soma https://jamii.app/RussianFleetAttacked
#RussiaUkraineWar
Mashambulizi hayo yametokea katika Bandari ya Crimea na kujeruhi Watu watano
> Wakazi wa eneo hilo wametakiwa kubaki ndani kwa sababu za kiusalama
Soma https://jamii.app/RussianFleetAttacked
#RussiaUkraineWar
👍13
MDAU: JITIHADA HUAMUA KUFANIKIWA AU KUFA KWA BIASHARA
Amefafanua kuwa, kila biashara au fursa ina uwezo wa kutengeneza faida kubwa ikiwa tuu nguvu, ubunifu na mtaji stahiki vitawekezwa kwa wakati sahihi
Soma - https://jamii.app/JitihadaBiashara
#JFBiashara
Amefafanua kuwa, kila biashara au fursa ina uwezo wa kutengeneza faida kubwa ikiwa tuu nguvu, ubunifu na mtaji stahiki vitawekezwa kwa wakati sahihi
Soma - https://jamii.app/JitihadaBiashara
#JFBiashara
👍7🥰1
UTEUZI WA DKT. CHEGENI WATENGULIWA
Rais Samia ametengua uteuzi wa Dkt. Raphael Masunga Chegeni na kumteua Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
Meja Jenerali Mzee alikuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP)
Soma - https://jamii.app/UteuziMara
#Governance
Rais Samia ametengua uteuzi wa Dkt. Raphael Masunga Chegeni na kumteua Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
Meja Jenerali Mzee alikuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP)
Soma - https://jamii.app/UteuziMara
#Governance
👍14😁6
RONALDO AONDOKA OLD TRAFFORD MECHI IKIENDELEA
Cristiano #Ronaldo ameichezea Manchester United mechi ya kirafiki dhidi ya Rayo Vallecano, alitolewa wakati wa mapumziko, akaondoka mechi ikiendelea
> Matokeo ya mchezo huo yalikuwa 1-1
Soma https://jamii.app/CR7Exit
#JFSports
Cristiano #Ronaldo ameichezea Manchester United mechi ya kirafiki dhidi ya Rayo Vallecano, alitolewa wakati wa mapumziko, akaondoka mechi ikiendelea
> Matokeo ya mchezo huo yalikuwa 1-1
Soma https://jamii.app/CR7Exit
#JFSports
😁17👍4👎3🤔2
MYANMAR: Kiongozi wa Kijeshi, Min Aung Hlaing ameongeza muda wa hali ya hatari kwa Miezi 6 huku akisema ni juhudi za kutekeleza mpango wa amani
Jeshi lilitangaza hali ya hatari Februari 2021 baada ya mapinduzi ya Kijeshi
Soma https://jamii.app/HatariMyanmar
#JFDemokrasia
Jeshi lilitangaza hali ya hatari Februari 2021 baada ya mapinduzi ya Kijeshi
Soma https://jamii.app/HatariMyanmar
#JFDemokrasia
🤔4
KENYA: Siku 10 baada ya Serikali kushusha bei ya Unga wa Mahindi kuwa Ksh. 100 (Tsh. 1,960) toka Ksh. 200 (Tsh. 3,920) kwa Kilogramu 2, uhaba wa bidhaa hiyo umekuwa mkubwa Madukani
- Serikali imewaonya wanaoficha na kutangaza msako kuanzia Agosti Mosi
Soma - https://jamii.app/UngaWaUgaliKE
- Serikali imewaonya wanaoficha na kutangaza msako kuanzia Agosti Mosi
Soma - https://jamii.app/UngaWaUgaliKE
👍5
MDAU: WATOTO WANAHITAJI ULINZI KIPINDI HIKI CHA LIKIZO YA SENSA
- Anasema Mitaani pamefurika kila aina ya Makundi na Watu wa rika tofauti. Huu ni muda wa Wazazi/Walezi kuchukua tahadhari ya kulinda Watoto wanapocheza
- Anashauri Wazazi kupangilia muda wao vizuri kwaajili ya usalama wa Watoto, ama kuwakabidhi sehemu salama pindi wasipokuwepo
Soma - https://jamii.app/WatotoSensa
#Malezi #Parenting
- Anasema Mitaani pamefurika kila aina ya Makundi na Watu wa rika tofauti. Huu ni muda wa Wazazi/Walezi kuchukua tahadhari ya kulinda Watoto wanapocheza
- Anashauri Wazazi kupangilia muda wao vizuri kwaajili ya usalama wa Watoto, ama kuwakabidhi sehemu salama pindi wasipokuwepo
Soma - https://jamii.app/WatotoSensa
#Malezi #Parenting
👍15
FAIDA ZA 'KIWIFRUIT' KIAFYA
1. Huimarisha Kinga na kuzuia Magonjwa: Kiwifruit moja huzalisha karibu 80% ya Vitamini C inayohitajiwa na Mwili kwa siku
2. Husaidia kuondoa Shinikizo la Damu na kuboresha Afya ya Moyo: Linaweza kupunguza hatari ya Kiharusi na Ugonjwa wa Moyo
Soma - https://jamii.app/BenefitsKiwi
#JFAfya #Health
1. Huimarisha Kinga na kuzuia Magonjwa: Kiwifruit moja huzalisha karibu 80% ya Vitamini C inayohitajiwa na Mwili kwa siku
2. Husaidia kuondoa Shinikizo la Damu na kuboresha Afya ya Moyo: Linaweza kupunguza hatari ya Kiharusi na Ugonjwa wa Moyo
Soma - https://jamii.app/BenefitsKiwi
#JFAfya #Health
👍12
Mdau wa JamiiForums.com anasema Watu wengi wenye #Biashara na Kampuni hawaajiri Vijana kwa kuhofia kuhujumiwa na huishia kuajiri Watu wa makamo wakiamini hawana Tamaa kama Vijana
Unakubaliana kwa kiasi gani na hoja hii?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VijanaSokoAjira
#JFMaisha
Unakubaliana kwa kiasi gani na hoja hii?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/VijanaSokoAjira
#JFMaisha
👍19👎4
MDAU: FANYA YAFUATAYO KUWAEPUSHA WATOTO WAKO NA JANGA LA AJIRA
1. Tutambue Vipaji na Vipawa vya Watoto mapema na kuviendeleza. Wafundishe Wanao kile ulichonacho. Ikiwa ni Mfanyabiashara anza kumzoesha kusimamia na kuijua #Biashara yako
2. Wakati wa likizo jaribu kumshikiza Mwanao katika maeneo yatakayomsaidia kuwa na ujuzi na Maarifa mbalimbali. Usikomae na 'tuition' tu ikiwa maendeleo yake sio mabaya.
Soma zaidi - https://jamii.app/UjuziWatoto
#Ajira #JFMdau #Maisha
1. Tutambue Vipaji na Vipawa vya Watoto mapema na kuviendeleza. Wafundishe Wanao kile ulichonacho. Ikiwa ni Mfanyabiashara anza kumzoesha kusimamia na kuijua #Biashara yako
2. Wakati wa likizo jaribu kumshikiza Mwanao katika maeneo yatakayomsaidia kuwa na ujuzi na Maarifa mbalimbali. Usikomae na 'tuition' tu ikiwa maendeleo yake sio mabaya.
Soma zaidi - https://jamii.app/UjuziWatoto
#Ajira #JFMdau #Maisha
👍15
Ripoti ya CAG 2020/21 imeonesha kumekuwepo na mianya ya uvujaji wa Mapato ambayo kama yangesimamiwa kwa umakini, yangeweza kuleta tija kwa Jamii
Mawakala kukusanya Mapato na kutoyawasilisha kwenye Halmashauri, ama Halmashauri kutokusanya Mapato kutoka vyanzo mbalimbali ni kiashiria cha Rushwa na Ubadhirifu wa Fedha za Umma
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #KemeaRushwa
Mawakala kukusanya Mapato na kutoyawasilisha kwenye Halmashauri, ama Halmashauri kutokusanya Mapato kutoka vyanzo mbalimbali ni kiashiria cha Rushwa na Ubadhirifu wa Fedha za Umma
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #KemeaRushwa
😁4👍2
Machache ambayo Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezungumza katika Uapisho wa Wakuu wa Mikoa leo Agosti 01, 2022
Soma - https://jamii.app/UteuziWateule
#Governance
Soma - https://jamii.app/UteuziWateule
#Governance
👍6👎1😁1
Nukuu za Rais Samia Suluhu Hassan leo baada ya Uapisho wa Viongozi Ikulu, Dar es Salaam
#JamiiForums #Governance
#JamiiForums #Governance
👍6
MALI YAISHUTUMU UFARANSA KWA UKOLONI MAMBOLEO
Rais Emmanuel Macron alikaririwa akisema Mataifa ya Kanda yalikuwa na jukumu la kuhakikisha Raia wa #Mali wanaweza kuonesha Nguvu ya Umma
Kauli yake ilitafsiriwa kuwa ya kichochezi na Jeshi la Mali
Soma https://jamii.app/ShutumaMali
#JFDiplomasia
Rais Emmanuel Macron alikaririwa akisema Mataifa ya Kanda yalikuwa na jukumu la kuhakikisha Raia wa #Mali wanaweza kuonesha Nguvu ya Umma
Kauli yake ilitafsiriwa kuwa ya kichochezi na Jeshi la Mali
Soma https://jamii.app/ShutumaMali
#JFDiplomasia
👍10