#JFUWAJIBIKAJI: Kulingana na Ripoti ya CAG ya mwaka 2020/21, Serikali za Mitaa 131 zilikusanya Mapato ya Tsh. Bilioni 615.58 sawa na 18% tu ya Matumizi yake ya kawaida
Hii inafanya Mamlaka za Serikali za Mitaa kuendelea kuwa tegemezi kwa Serikali Kuu kwa 82%, hali inayohatarisha ufanisi katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali
Utegemezi wa Fedha unazorotesha utekelezaji wa Mipango ya Halmashauri ya kutoa Huduma kwa Wananchi pale ambapo Fedha hazijatolewa kabisa, zimetolewa pungufu au zimechelewa
#JamiiForums #WAJIBU
Hii inafanya Mamlaka za Serikali za Mitaa kuendelea kuwa tegemezi kwa Serikali Kuu kwa 82%, hali inayohatarisha ufanisi katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali
Utegemezi wa Fedha unazorotesha utekelezaji wa Mipango ya Halmashauri ya kutoa Huduma kwa Wananchi pale ambapo Fedha hazijatolewa kabisa, zimetolewa pungufu au zimechelewa
#JamiiForums #WAJIBU
π7
MWANZA: HAKIMU KESI YA 'MFALME ZUMARIDI' AGOMA KUJITOA
Hakimu Monica Ndyekobora amesema hoja zilizowasilishwa na Upande wa Utetezi za kutokuwa na imani naye hazina mashiko
> Amesema kuwa kesi hiyo itasikilizwa tena chini yake Agosti 10, 2022
Soma https://jamii.app/KesiZumaridi
#SocialJustice
Hakimu Monica Ndyekobora amesema hoja zilizowasilishwa na Upande wa Utetezi za kutokuwa na imani naye hazina mashiko
> Amesema kuwa kesi hiyo itasikilizwa tena chini yake Agosti 10, 2022
Soma https://jamii.app/KesiZumaridi
#SocialJustice
π15π5π2π₯1π€©1
MOROGORO: Donati Phabian amehukumiwa jela miaka 7 kwa kumuua bila kukusudia Alfred Damas, alimchoma kisu alipomkuta amesimama na mtalaka wake huku chanzo kikitajwa ni wivu wa mapenzi
> Baada ya tukio Donati alijipeleka Polisi
Soma https://jamii.app/HukumuYaMauji
#JFMatukio
> Baada ya tukio Donati alijipeleka Polisi
Soma https://jamii.app/HukumuYaMauji
#JFMatukio
π€7π4π1
ZIMBABWE: Mamlaka ya Kudhibiti Dawa imeruhusu uuzwaji wa bangi katika Maduka ya Dawa ambapo pia Wauzaji wa Rejereja na Jumla wanaohitaji kuuza nje ya Nchi watatakiwa kuomba kibali Serikalini
> Mkakati huo ni sehemu ya kuongeza pato Nchini humo
Soma https://jamii.app/BangiZimbabwe
#Livelihoods
> Mkakati huo ni sehemu ya kuongeza pato Nchini humo
Soma https://jamii.app/BangiZimbabwe
#Livelihoods
π22π3π2β€1
'VUMBI LA KONGO' LAPIGWA MARUFUKU
Dawa hiyo imefutiwa usajili Tanzania baada ya kubainika imechanganywa na Dawa ya Nguvu za Kiume iitwayo βViagraβ
> Imeeleza kuwa, hiyo ni kinyume cha Sheria/Miongozo ya usajili wa Dawa za Tiba Asili na Mbadala
Soma https://jamii.app/VumbiLaKongoMarufuku
#JFAfya
Dawa hiyo imefutiwa usajili Tanzania baada ya kubainika imechanganywa na Dawa ya Nguvu za Kiume iitwayo βViagraβ
> Imeeleza kuwa, hiyo ni kinyume cha Sheria/Miongozo ya usajili wa Dawa za Tiba Asili na Mbadala
Soma https://jamii.app/VumbiLaKongoMarufuku
#JFAfya
π20π14π€2π1
#KEMEARUSHWA: Rushwa hukwamisha Uwajibikaji na huwaacha Watu ktk Utawala na Viongozi wasioaminika hivyo kukabiliwa na Unyonyaji na Ufisadi
> Wanaotumia Ofisi au Mamlaka fulani kwa Manufaa ya Binafsi wawajibishwe ili wawe mfano
Soma https://jamii.app/RushwaAdui
#JFUwajibikaji
> Wanaotumia Ofisi au Mamlaka fulani kwa Manufaa ya Binafsi wawajibishwe ili wawe mfano
Soma https://jamii.app/RushwaAdui
#JFUwajibikaji
π₯6π3
Wadau ndani ya JamiiForums wametaja baadhi ikiwemo Kuongea na Simu kwa sauti kubwa ndani ya Daladala, Kupiga Mswaki hadharani na kumuonesha Mtu picha moja tu kwenye Simu yeye anaanza kuangalia na nyingine
#JamiiForums #Maisha #LifeStyle
#JamiiForums #Maisha #LifeStyle
π7π6
MDAU: Siku hizi mtu anaona kuliko kuhoji Kiongozi asipotimiza majukumu yake na kukosa fursa kwa kuonekana mkosoaji, ni bora akubaliane na kila jambo ili apate uteuzi fulani
> Tuwajibishane na kukosoa pale panapostahili kwa manufaa ya Jamii
Soma https://jamii.app/KuhojiUwajibikaji
#JFUwajibikaji
> Tuwajibishane na kukosoa pale panapostahili kwa manufaa ya Jamii
Soma https://jamii.app/KuhojiUwajibikaji
#JFUwajibikaji
π22π±1
KAFULILA, HAPI WATEMWA. CHALAMILA AREJESHWA
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Albert Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera. Chalamila amewahi kuwa Mkuu wa Mikoa ya Mbeya na Mwanza
Mbali na Chalamila, Wakuu wa Mikoa wapya walioteuliwa ni pamoja na Peter Serukamba (Singida), Nurdin Babu (Kilimanjaro) na Fatma Mwasa (Morogoro)
Wengine ni Halima Dengego (Iringa), Dkt. Raphael Chegeni (Mara) na Dkt Yahaya Nawanda (Simiyu), Kanali Ahmed Abbas (Mtwara) na Kanali Laban Thomas (Ruvuma)
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Albert Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera. Chalamila amewahi kuwa Mkuu wa Mikoa ya Mbeya na Mwanza
Mbali na Chalamila, Wakuu wa Mikoa wapya walioteuliwa ni pamoja na Peter Serukamba (Singida), Nurdin Babu (Kilimanjaro) na Fatma Mwasa (Morogoro)
Wengine ni Halima Dengego (Iringa), Dkt. Raphael Chegeni (Mara) na Dkt Yahaya Nawanda (Simiyu), Kanali Ahmed Abbas (Mtwara) na Kanali Laban Thomas (Ruvuma)
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
π20π3π2β€1
MABADILIKO YA VITUO: Anthony Mtaka (Dodoma) amepelekwa Njombe, Queen Sendiga (Iringa) anakuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Waziri Kindamba anahamishiwa Songwe (alikuwa Njombe), Martin Shigella aliyekuwa Morogoro anahamishiwa Geita
Omary Mgumba amehamishiwa Tanga (alikuwa Songwe), Adam Kigoma Malima amehamishiwa Mwanza (alikuwa Tanga) na Rosemary Senyamule wa Geita anaenda Dodoma
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
Omary Mgumba amehamishiwa Tanga (alikuwa Songwe), Adam Kigoma Malima amehamishiwa Mwanza (alikuwa Tanga) na Rosemary Senyamule wa Geita anaenda Dodoma
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
π10π1
WAKUU WA MIKOA 10 WABAKI KWENYE NAFASI ZAO
Amos Makalla (Dar es Salaam), John Mongella (Arusha), Mwamvua Hoza Mrindoko (Katavi), Charles Makongoro Nyerere (Manyara), Zainab Rajab Telack (Lindi) na Juma Homera (Mbeya)
Wengine ni Thobias Andengenye (Kigoma), Sophia Mjema (Shinyanga), Balozi Batilda Salha Burian (Tabora) na Abubakar Kunenge (Pwani)
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
Amos Makalla (Dar es Salaam), John Mongella (Arusha), Mwamvua Hoza Mrindoko (Katavi), Charles Makongoro Nyerere (Manyara), Zainab Rajab Telack (Lindi) na Juma Homera (Mbeya)
Wengine ni Thobias Andengenye (Kigoma), Sophia Mjema (Shinyanga), Balozi Batilda Salha Burian (Tabora) na Abubakar Kunenge (Pwani)
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
π14
UTEUZI MAKATIBU TAWALA: Kamishna Dkt. Mussa Ali Mussa ameteuliwa kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro. Prof. Godius Kahyarara Mkoa wa Geita na Mhandisi Leonard Robert anakuwa Katibu Tawala Mkoa wa Iringa
Wengine ni Toba Nguvila (Kagera), Elikana Mayuganya Balandya (Mwanza), Prof. Siza Donald Tumbo (Shinyanga) na Dkt. John Rogath Mboya (Tabora)
Mbali na Uteuzi, amewahamisha Vituo vya Kazi Makatibu Tawala wa Mikoa 10 na wengine 9 wamesalia kwenye Vituo vyao vya Kazi
Soma - https://jamii.app/KatibuTawala2022
#Governance
Wengine ni Toba Nguvila (Kagera), Elikana Mayuganya Balandya (Mwanza), Prof. Siza Donald Tumbo (Shinyanga) na Dkt. John Rogath Mboya (Tabora)
Mbali na Uteuzi, amewahamisha Vituo vya Kazi Makatibu Tawala wa Mikoa 10 na wengine 9 wamesalia kwenye Vituo vyao vya Kazi
Soma - https://jamii.app/KatibuTawala2022
#Governance
π7
JULAI 28: SIKU YA HOMA YA INI DUNIANI
Homa ya Ini (#Hepatitis) ni Ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya aina mbalimbali
Virusi vinavyosababisha Homa ya Ini vipo katika makundi matano: A, B, C, D na E
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) takriban 90% ya watu waishio na Homa ya Ini hawafahamu kuwa wanaugua Ugonjwa huo
Fahamu zaidi > https://jamii.app/HomaIni2022
#WorldHepatitisDay2022 #JFAfya
Homa ya Ini (#Hepatitis) ni Ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya aina mbalimbali
Virusi vinavyosababisha Homa ya Ini vipo katika makundi matano: A, B, C, D na E
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) takriban 90% ya watu waishio na Homa ya Ini hawafahamu kuwa wanaugua Ugonjwa huo
Fahamu zaidi > https://jamii.app/HomaIni2022
#WorldHepatitisDay2022 #JFAfya
π9
DALILI ZA HOMA YA INI
Baadhi ya dalili ni Homa, Kukosa Hamu ya Kula, Kuharisha, Kichefuchefu, Maumivu ya Tumbo, Macho kuwa ya Njano, Kutapika, Maumivu ya Misuli, Uchovu na Mwili kukosa nguvu
Soma zaidi - https://jamii.app/HomaIni2022
#WorldHepatitisDay2022 #PublicHealth #JFAfya
Baadhi ya dalili ni Homa, Kukosa Hamu ya Kula, Kuharisha, Kichefuchefu, Maumivu ya Tumbo, Macho kuwa ya Njano, Kutapika, Maumivu ya Misuli, Uchovu na Mwili kukosa nguvu
Soma zaidi - https://jamii.app/HomaIni2022
#WorldHepatitisDay2022 #PublicHealth #JFAfya
π9
MAAMBUKIZI YA HOMA YA INI (HEPATITIS)
Mtu anaweza kupata maambukizi ya Homa ya Ini (hutofautiana kulingana na aina ya Kirusi) kupitia Chakula/Maji yaliyochafuliwa na kinyesi cha mtu mwenye maambukizi, kujamiiana bila Kinga na mtu mwenye Ugonjwa na kuchangia matumizi ya vitu vyenye ncha kali
Pia, maambukizi yanaweza kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto wakati wa kujifungua
Zaidi, soma - https://jamii.app/HomaIni2022
#WorldHepatitisDay2022 #JFAfya
Mtu anaweza kupata maambukizi ya Homa ya Ini (hutofautiana kulingana na aina ya Kirusi) kupitia Chakula/Maji yaliyochafuliwa na kinyesi cha mtu mwenye maambukizi, kujamiiana bila Kinga na mtu mwenye Ugonjwa na kuchangia matumizi ya vitu vyenye ncha kali
Pia, maambukizi yanaweza kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto wakati wa kujifungua
Zaidi, soma - https://jamii.app/HomaIni2022
#WorldHepatitisDay2022 #JFAfya
π9
MAJERAHA KUMUWEKA POGBA NJE HADI 2023
Paul Pogba wa Juventus anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa goti, hivyo anaweza kukosa Michuano ya Kombe la Dunia 2022
> Aliumia goti akiwa mazoezini siku chache tangu asajiliwe akitokea Man. United
Soma https://jamii.app/PogbaAumia
#JFSports
Paul Pogba wa Juventus anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa goti, hivyo anaweza kukosa Michuano ya Kombe la Dunia 2022
> Aliumia goti akiwa mazoezini siku chache tangu asajiliwe akitokea Man. United
Soma https://jamii.app/PogbaAumia
#JFSports
π5π2π€―2π’2
#JFAFYA: Takwimu za UNAIDS zinaonesha kuongezeka kwa Maambukizi ya VVU huku ikikadiriwa kuwa kila dakika 2 kwa mwaka 2021, msichana mmoja aliambukizwa VVU
> Pia, kila dakika 1 kwa mwaka huo mtu mmoja alifariki kutokana na magonjwa yanayohusiana na UKIMWI
Soma https://jamii.app/VVUAfrika
> Pia, kila dakika 1 kwa mwaka huo mtu mmoja alifariki kutokana na magonjwa yanayohusiana na UKIMWI
Soma https://jamii.app/VVUAfrika
π9π±5π’5π2
NIGERIA: Raia wamedai kuwa Serikali imetelekeza Vyuo Vikuu vya Umma kwa kuwa Watoto wao wanasoma Vyuo vya Nje ya Nchi hivyo itungwe Sheria itakayodhibiti Maafisa wa Serikali kusomesha Watoto wao nje ya Nchi
> Wahadhiri wa Vyuo Vikuu wapo kwenye mgomo
Soma https://jamii.app/VyuoNigeria
#Governance
> Wahadhiri wa Vyuo Vikuu wapo kwenye mgomo
Soma https://jamii.app/VyuoNigeria
#Governance
π22π2β€1
#TUNISIA: MABADILIKO YA KATIBA YAMUONGEZEA RAIS MAMLAKA
Tunisia imepitisha #Katiba mpya baada ya kura ya maoni ya 30% ya wapigakura
Inampa Rais udhibiti wa Serikali, Amri juu ya Jeshi na uwezo wa kuteua Serikali bila idhini ya #Bunge
Soma - https://jamii.app/KatibaMpyaTuns
#Democracy
Tunisia imepitisha #Katiba mpya baada ya kura ya maoni ya 30% ya wapigakura
Inampa Rais udhibiti wa Serikali, Amri juu ya Jeshi na uwezo wa kuteua Serikali bila idhini ya #Bunge
Soma - https://jamii.app/KatibaMpyaTuns
#Democracy
π16π5
KUCHELEWESHA MALIPO HUSABABISHA MIRADI KUKAMILIKA CHINI YA KIWANGO
Kumekuwepo na ukiukwaji wa Matakwa ya Mikataba katika Miradi ya Maendeleo. Kwa mujibu wa Ripoti ya CAG 2020/21 hii imesababisha hasara kubwa kwa Serikali, hali iliyopelekea kutozwa Riba ya Tsh. Bilioni 6,311.83
Kucheleweshwa kwa malipo ya Wakandarasi kuna athari mbalimbali ikiwemo Miradi kukamilika chini ya kiwango, Kukosekana thamani ya fedha na Wakandarasi kukosa Imani na Serikali kutokana na kuvunjwa kwa vipengele vya Mikataba yao
#JFUwajibikaji
Kumekuwepo na ukiukwaji wa Matakwa ya Mikataba katika Miradi ya Maendeleo. Kwa mujibu wa Ripoti ya CAG 2020/21 hii imesababisha hasara kubwa kwa Serikali, hali iliyopelekea kutozwa Riba ya Tsh. Bilioni 6,311.83
Kucheleweshwa kwa malipo ya Wakandarasi kuna athari mbalimbali ikiwemo Miradi kukamilika chini ya kiwango, Kukosekana thamani ya fedha na Wakandarasi kukosa Imani na Serikali kutokana na kuvunjwa kwa vipengele vya Mikataba yao
#JFUwajibikaji
π12π€¬1