UTEUZI: Balozi Caroline Kitana Chipeta ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague nchini Uholanzi
Kabla hajateuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Balozi Chipeta alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje
Soma - https://jamii.app/UteuziBalozi
#Governance
Kabla hajateuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Balozi Chipeta alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje
Soma - https://jamii.app/UteuziBalozi
#Governance
π4π€―1
KENYA: Mgombea Urais (Chama cha wa Roots), Profesa George Wajackoyah amesema hatashiriki kwenye Mdahalo unaotarajiwa kufanyika Julai 26, 2022 kwa kudai kuwa matokeo ya Mdahalo huo yameshapangwa
> Anakuwa mgombea wa 2 kujitoa baada ya Raila Odinga
Soma https://jamii.app/MdahaloUrais
#Democracy
> Anakuwa mgombea wa 2 kujitoa baada ya Raila Odinga
Soma https://jamii.app/MdahaloUrais
#Democracy
π5
DR-CONGO: Takriban Watu watano wameuawa na wengine 50 kujeruhiwa ktk Siku ya 2 ya maandamano ya kupinga uwepo wa Vikosi vya Kulinda Amani vya Umoja wa Mataifa ktk Mji wa Goma
> Vikosi hivyo vinadaiwa kushindwa kudhibiti Waasi katika eneo hilo
Soma https://jamii.app/DRCProtests
#JFDiplomasia
> Vikosi hivyo vinadaiwa kushindwa kudhibiti Waasi katika eneo hilo
Soma https://jamii.app/DRCProtests
#JFDiplomasia
π13π1
KENYA: Shule ya Mosoriot imefungwa baada ya Mwalimu wa Shule hiyo, Bernard Kirui kubainika aliwaingilia Watoto 3 wa kiume wenye umri wa miaka 11-13
> Inadaiwa Mwalimu alikuwa akilala ktk Bweni la Wavulana licha ya kuwa na chumba alichotengewa
Soma https://jamii.app/WatotoUnyanyasaji
#HakiMtoto
> Inadaiwa Mwalimu alikuwa akilala ktk Bweni la Wavulana licha ya kuwa na chumba alichotengewa
Soma https://jamii.app/WatotoUnyanyasaji
#HakiMtoto
π’10π€5π4π2
UCHAGUZI KENYA: William Ruto amemkosoa Mpinzani wake, Raila Odinga kwa kutoshiriki Mdahalo wa Wagombea Urais akisema kitendo hicho ni kuepuka #Uwajibikaji
Asema Raila si Mgombea halisi, anakimbia Maswali magumu, na hana la kusema kwa Wakenya
Soma - https://jamii.app/RutoDebate
#Kenya2022
Asema Raila si Mgombea halisi, anakimbia Maswali magumu, na hana la kusema kwa Wakenya
Soma - https://jamii.app/RutoDebate
#Kenya2022
π13π6
UPDATE: Waliofariki dunia katika maandamano ya kupinga uwepo wa Walinda Amani wa UN Nchini DR Congo wamefikia 15. Miongoni mwao ni Raia 12 na Walinda Amani 3
Waandamanaji wanadai Walinda Amani wameshindwa kudhibiti waasi hivyo uwepo wao hauna faida
Soma https://jamii.app/ChaosDRC2022
#Governance
Waandamanaji wanadai Walinda Amani wameshindwa kudhibiti waasi hivyo uwepo wao hauna faida
Soma https://jamii.app/ChaosDRC2022
#Governance
π15
#JFDATA: Mashirika mengi bado yanachukulia masuala ya Ulinzi wa Kidigitali kama kitu ambacho si lazima kuwa nacho
Kwa mujibu wa Ripoti ya Acronis (2022), nusu ya Mashirika Duniani hutenga chini ya 10% ya Bajeti yote ya TEHAMA kwenye Usalama wa Kidigitali
86% ya Mashirika Duniani yana wasiwasi kuhusu ongezeko la mashambulizi ya Mtandaoni
Soma zaidi - https://jamii.app/UlinziDigitali7
Kwa mujibu wa Ripoti ya Acronis (2022), nusu ya Mashirika Duniani hutenga chini ya 10% ya Bajeti yote ya TEHAMA kwenye Usalama wa Kidigitali
86% ya Mashirika Duniani yana wasiwasi kuhusu ongezeko la mashambulizi ya Mtandaoni
Soma zaidi - https://jamii.app/UlinziDigitali7
π7
UMOJA WA MATAIFA (UN): Mashambulizi dhidi ya Askari wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa huko DRC yanaweza kuwa Uhalifu wa Kivita
> Hadi sasa, Wafanyakazi watatu wa Umoja wa Mataifa na Raia 12 wa DRC wameuawa katika matukio hayo
Soma https://jamii.app/GhasiaDRC
#JFDiplomasia
> Hadi sasa, Wafanyakazi watatu wa Umoja wa Mataifa na Raia 12 wa DRC wameuawa katika matukio hayo
Soma https://jamii.app/GhasiaDRC
#JFDiplomasia
π6π2
ZAMBIA: Esther Lungu (Mke wa Rais wa zamani) amehojiwa na Wakala wa Kupambana na Utakatishaji Fedha wa Zambia kuhusu umiliki wake wa nyumba 15 zilizopo Lusaka
> Serikali ya Hichilema imekosolewa kuwa inafanya matukio hayo kwa sababu za kisiasa
Soma https://jamii.app/SiasaYaZambia
#Governance
> Serikali ya Hichilema imekosolewa kuwa inafanya matukio hayo kwa sababu za kisiasa
Soma https://jamii.app/SiasaYaZambia
#Governance
π10π3π1
#JFUWAJIBIKAJI: Kulingana na Ripoti ya CAG ya mwaka 2020/21, Serikali za Mitaa 131 zilikusanya Mapato ya Tsh. Bilioni 615.58 sawa na 18% tu ya Matumizi yake ya kawaida
Hii inafanya Mamlaka za Serikali za Mitaa kuendelea kuwa tegemezi kwa Serikali Kuu kwa 82%, hali inayohatarisha ufanisi katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali
Utegemezi wa Fedha unazorotesha utekelezaji wa Mipango ya Halmashauri ya kutoa Huduma kwa Wananchi pale ambapo Fedha hazijatolewa kabisa, zimetolewa pungufu au zimechelewa
#JamiiForums #WAJIBU
Hii inafanya Mamlaka za Serikali za Mitaa kuendelea kuwa tegemezi kwa Serikali Kuu kwa 82%, hali inayohatarisha ufanisi katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali
Utegemezi wa Fedha unazorotesha utekelezaji wa Mipango ya Halmashauri ya kutoa Huduma kwa Wananchi pale ambapo Fedha hazijatolewa kabisa, zimetolewa pungufu au zimechelewa
#JamiiForums #WAJIBU
π7
MWANZA: HAKIMU KESI YA 'MFALME ZUMARIDI' AGOMA KUJITOA
Hakimu Monica Ndyekobora amesema hoja zilizowasilishwa na Upande wa Utetezi za kutokuwa na imani naye hazina mashiko
> Amesema kuwa kesi hiyo itasikilizwa tena chini yake Agosti 10, 2022
Soma https://jamii.app/KesiZumaridi
#SocialJustice
Hakimu Monica Ndyekobora amesema hoja zilizowasilishwa na Upande wa Utetezi za kutokuwa na imani naye hazina mashiko
> Amesema kuwa kesi hiyo itasikilizwa tena chini yake Agosti 10, 2022
Soma https://jamii.app/KesiZumaridi
#SocialJustice
π15π5π2π₯1π€©1
MOROGORO: Donati Phabian amehukumiwa jela miaka 7 kwa kumuua bila kukusudia Alfred Damas, alimchoma kisu alipomkuta amesimama na mtalaka wake huku chanzo kikitajwa ni wivu wa mapenzi
> Baada ya tukio Donati alijipeleka Polisi
Soma https://jamii.app/HukumuYaMauji
#JFMatukio
> Baada ya tukio Donati alijipeleka Polisi
Soma https://jamii.app/HukumuYaMauji
#JFMatukio
π€7π4π1
ZIMBABWE: Mamlaka ya Kudhibiti Dawa imeruhusu uuzwaji wa bangi katika Maduka ya Dawa ambapo pia Wauzaji wa Rejereja na Jumla wanaohitaji kuuza nje ya Nchi watatakiwa kuomba kibali Serikalini
> Mkakati huo ni sehemu ya kuongeza pato Nchini humo
Soma https://jamii.app/BangiZimbabwe
#Livelihoods
> Mkakati huo ni sehemu ya kuongeza pato Nchini humo
Soma https://jamii.app/BangiZimbabwe
#Livelihoods
π22π3π2β€1
'VUMBI LA KONGO' LAPIGWA MARUFUKU
Dawa hiyo imefutiwa usajili Tanzania baada ya kubainika imechanganywa na Dawa ya Nguvu za Kiume iitwayo βViagraβ
> Imeeleza kuwa, hiyo ni kinyume cha Sheria/Miongozo ya usajili wa Dawa za Tiba Asili na Mbadala
Soma https://jamii.app/VumbiLaKongoMarufuku
#JFAfya
Dawa hiyo imefutiwa usajili Tanzania baada ya kubainika imechanganywa na Dawa ya Nguvu za Kiume iitwayo βViagraβ
> Imeeleza kuwa, hiyo ni kinyume cha Sheria/Miongozo ya usajili wa Dawa za Tiba Asili na Mbadala
Soma https://jamii.app/VumbiLaKongoMarufuku
#JFAfya
π20π14π€2π1
#KEMEARUSHWA: Rushwa hukwamisha Uwajibikaji na huwaacha Watu ktk Utawala na Viongozi wasioaminika hivyo kukabiliwa na Unyonyaji na Ufisadi
> Wanaotumia Ofisi au Mamlaka fulani kwa Manufaa ya Binafsi wawajibishwe ili wawe mfano
Soma https://jamii.app/RushwaAdui
#JFUwajibikaji
> Wanaotumia Ofisi au Mamlaka fulani kwa Manufaa ya Binafsi wawajibishwe ili wawe mfano
Soma https://jamii.app/RushwaAdui
#JFUwajibikaji
π₯6π3
Wadau ndani ya JamiiForums wametaja baadhi ikiwemo Kuongea na Simu kwa sauti kubwa ndani ya Daladala, Kupiga Mswaki hadharani na kumuonesha Mtu picha moja tu kwenye Simu yeye anaanza kuangalia na nyingine
#JamiiForums #Maisha #LifeStyle
#JamiiForums #Maisha #LifeStyle
π7π6
MDAU: Siku hizi mtu anaona kuliko kuhoji Kiongozi asipotimiza majukumu yake na kukosa fursa kwa kuonekana mkosoaji, ni bora akubaliane na kila jambo ili apate uteuzi fulani
> Tuwajibishane na kukosoa pale panapostahili kwa manufaa ya Jamii
Soma https://jamii.app/KuhojiUwajibikaji
#JFUwajibikaji
> Tuwajibishane na kukosoa pale panapostahili kwa manufaa ya Jamii
Soma https://jamii.app/KuhojiUwajibikaji
#JFUwajibikaji
π22π±1
KAFULILA, HAPI WATEMWA. CHALAMILA AREJESHWA
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Albert Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera. Chalamila amewahi kuwa Mkuu wa Mikoa ya Mbeya na Mwanza
Mbali na Chalamila, Wakuu wa Mikoa wapya walioteuliwa ni pamoja na Peter Serukamba (Singida), Nurdin Babu (Kilimanjaro) na Fatma Mwasa (Morogoro)
Wengine ni Halima Dengego (Iringa), Dkt. Raphael Chegeni (Mara) na Dkt Yahaya Nawanda (Simiyu), Kanali Ahmed Abbas (Mtwara) na Kanali Laban Thomas (Ruvuma)
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Albert Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera. Chalamila amewahi kuwa Mkuu wa Mikoa ya Mbeya na Mwanza
Mbali na Chalamila, Wakuu wa Mikoa wapya walioteuliwa ni pamoja na Peter Serukamba (Singida), Nurdin Babu (Kilimanjaro) na Fatma Mwasa (Morogoro)
Wengine ni Halima Dengego (Iringa), Dkt. Raphael Chegeni (Mara) na Dkt Yahaya Nawanda (Simiyu), Kanali Ahmed Abbas (Mtwara) na Kanali Laban Thomas (Ruvuma)
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
π20π3π2β€1
MABADILIKO YA VITUO: Anthony Mtaka (Dodoma) amepelekwa Njombe, Queen Sendiga (Iringa) anakuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Waziri Kindamba anahamishiwa Songwe (alikuwa Njombe), Martin Shigella aliyekuwa Morogoro anahamishiwa Geita
Omary Mgumba amehamishiwa Tanga (alikuwa Songwe), Adam Kigoma Malima amehamishiwa Mwanza (alikuwa Tanga) na Rosemary Senyamule wa Geita anaenda Dodoma
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
Omary Mgumba amehamishiwa Tanga (alikuwa Songwe), Adam Kigoma Malima amehamishiwa Mwanza (alikuwa Tanga) na Rosemary Senyamule wa Geita anaenda Dodoma
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
π10π1
WAKUU WA MIKOA 10 WABAKI KWENYE NAFASI ZAO
Amos Makalla (Dar es Salaam), John Mongella (Arusha), Mwamvua Hoza Mrindoko (Katavi), Charles Makongoro Nyerere (Manyara), Zainab Rajab Telack (Lindi) na Juma Homera (Mbeya)
Wengine ni Thobias Andengenye (Kigoma), Sophia Mjema (Shinyanga), Balozi Batilda Salha Burian (Tabora) na Abubakar Kunenge (Pwani)
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
Amos Makalla (Dar es Salaam), John Mongella (Arusha), Mwamvua Hoza Mrindoko (Katavi), Charles Makongoro Nyerere (Manyara), Zainab Rajab Telack (Lindi) na Juma Homera (Mbeya)
Wengine ni Thobias Andengenye (Kigoma), Sophia Mjema (Shinyanga), Balozi Batilda Salha Burian (Tabora) na Abubakar Kunenge (Pwani)
Soma - https://jamii.app/UteuziRC2022
#Governance
π14