KOCHA WA BARCELONA AZUIWA MAREKANI
Kocha Xavi Hernandez amezuiwa kwenda Marekani kutokana na rekodi ya kuingia Nchini Iran zaidi ya mara tatu
Ili kuingia Marekani, yeyote mwenye rekodi kama hiyo anatakiwa kupata kibali maalum
Soma > https://jamii.app/XaviMarekani
#JFSports
Kocha Xavi Hernandez amezuiwa kwenda Marekani kutokana na rekodi ya kuingia Nchini Iran zaidi ya mara tatu
Ili kuingia Marekani, yeyote mwenye rekodi kama hiyo anatakiwa kupata kibali maalum
Soma > https://jamii.app/XaviMarekani
#JFSports
😱12👍7😁7💩7🤔5🎉1
KENYA: MTENGENEZA MAUDHUI YA 'TIKTOK' ALAZWA BAADA YA KULA BUIBUI
Inadaiwa Aq9ine alianza kuumwa kifua huku joto la mwili likifika 48℃ baada ya kula buibui
Baada ya kushambuliwa Mitandaoni amesema akipona, atapika na kula chura na nyoka
Soma - https://jamii.app/TiktokerHospitalized
Inadaiwa Aq9ine alianza kuumwa kifua huku joto la mwili likifika 48℃ baada ya kula buibui
Baada ya kushambuliwa Mitandaoni amesema akipona, atapika na kula chura na nyoka
Soma - https://jamii.app/TiktokerHospitalized
😁10🤔6👍1
MEXICO: Helikopta iliyokuwa ikitumika kusaka wahalifu wakiwemo wa dawa za kulevya imeanguka na kuua watu 14, huku mmoja akijeruhiwa vibaya
Chanzo cha ajali ya ndege hiyo hakijawekwa wazi
Soma - https://jamii.app/HelikoptaMexico
Chanzo cha ajali ya ndege hiyo hakijawekwa wazi
Soma - https://jamii.app/HelikoptaMexico
👍8😁4🤔4👎2🤮1
Huduma ya Intaneti imetoa usaidizi mkubwa katika kutafuta kazi, lakini bado ina safari ndefu kuwa namna ya kutegemewa katika kutafuta kazi kwenye jamii masikini kwani ufikiaji wake ni changamoto
Kwa mujibu wa Takwimu za Benki ya Dunia, ongezeko la 10% la upenyaji wa Intaneti Afrika linaweza kuongeza Pato la mtu mmoja mmoja kwa karibu 2.5%
Soma - https://jamii.app/HudumaIntaneti
#JFData #DigitalRights
Kwa mujibu wa Takwimu za Benki ya Dunia, ongezeko la 10% la upenyaji wa Intaneti Afrika linaweza kuongeza Pato la mtu mmoja mmoja kwa karibu 2.5%
Soma - https://jamii.app/HudumaIntaneti
#JFData #DigitalRights
👍7
WAMAREKANI 61 MARUFUKU KUINGIA IRAN
Iran imetoa orodha ya majina 61 ya Wamarekani ambao hawaruhusiwi kuingi Iran. Sababu kubwa ni kuunga mkono kikundi cha MEK ambacho wanakishutumu kwa ugaidi
Wengi wao ni Maofisa wa Serikali
Soma - https://jamii.app/IranUSA
#JFDiplomasia
Iran imetoa orodha ya majina 61 ya Wamarekani ambao hawaruhusiwi kuingi Iran. Sababu kubwa ni kuunga mkono kikundi cha MEK ambacho wanakishutumu kwa ugaidi
Wengi wao ni Maofisa wa Serikali
Soma - https://jamii.app/IranUSA
#JFDiplomasia
👍14👎1
MDAU: JINSI YA KUTIBU/KUZUIA KISUKARI KWA KUTUMIA LISHE
Saga Karoti, Tango, Kitunguu Maji, Hoho, Nyanya na Limau likiwa na maganda na mbegu zake
> Kunywa mchanganyiko huo kila asubuhi dakika 45 au 60 kabla ya kula kitu kingine
Je, unafahamu lishe gani nyingine?
Soma https://jamii.app/TibaYaKisukari
#PublicHealth #JFAfya
Saga Karoti, Tango, Kitunguu Maji, Hoho, Nyanya na Limau likiwa na maganda na mbegu zake
> Kunywa mchanganyiko huo kila asubuhi dakika 45 au 60 kabla ya kula kitu kingine
Je, unafahamu lishe gani nyingine?
Soma https://jamii.app/TibaYaKisukari
#PublicHealth #JFAfya
👍29❤3🤮3😁2
MANCHESTER UNITED KUMSAJILI LISANDRO
Imefikia makubaliano na Ajax kumsajili Lisandro Martinez (24) kwa £55.3m (Tsh. 151,522,000,000)
Atakuwa beki wa 2 ghali zaidi ktk klabu hiyo baada ya Harry Maguire
Atasaini mkataba wa miaka 5 na kulipwa £120,000 (Tsh. 328,800,000) kwa wiki
#JFSports
Imefikia makubaliano na Ajax kumsajili Lisandro Martinez (24) kwa £55.3m (Tsh. 151,522,000,000)
Atakuwa beki wa 2 ghali zaidi ktk klabu hiyo baada ya Harry Maguire
Atasaini mkataba wa miaka 5 na kulipwa £120,000 (Tsh. 328,800,000) kwa wiki
#JFSports
👍23😁9🔥3💩2
#UKRAINE: Rais Volodymyr Zelensky amewafuta kazi Mkuu wa Idara ya Usalama, Ivan Bakanov na Mwendesha Mashtaka Mkuu, Iryna Venediktova
Amesema hatua hiyo ni kufuatia tuhuma za maafisa wao kushirikiana na #Russia
Soma https://jamii.app/MaafisaUkaine
Amesema hatua hiyo ni kufuatia tuhuma za maafisa wao kushirikiana na #Russia
Soma https://jamii.app/MaafisaUkaine
👍11😢1
CHELSEA YATAKA KUWASAJILI KIMPEMBE NA KOUNDE
Chelsea imetoa ofa ya Paundi Milioni 40 (Tsh. 109,600,000,000) ili kumnasa Beki wa PSG, Presnel Kimpembe (26)
Aidha, imerejea kwenye mazungumzo ya kumsajili Beki wa Sevilla, Jules Kounde (23) anayewaniwa pia na Barcelona
#JFSports
Chelsea imetoa ofa ya Paundi Milioni 40 (Tsh. 109,600,000,000) ili kumnasa Beki wa PSG, Presnel Kimpembe (26)
Aidha, imerejea kwenye mazungumzo ya kumsajili Beki wa Sevilla, Jules Kounde (23) anayewaniwa pia na Barcelona
#JFSports
👍8🥰1
ARSENAL MBIONI KUMSAJILI ZINCHENKO
Arsenal ina tumaini la kumsajili Beki wa Manchester City, Oleksandr Zinchenko (25) wiki hii, baada ya kutoa ofa ya Paundi Milioni 35 (Tsh. 95,900,000,000)
Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta anathamini sana uwezo wa Beki huyo wa Kushoto
#JFSports
Arsenal ina tumaini la kumsajili Beki wa Manchester City, Oleksandr Zinchenko (25) wiki hii, baada ya kutoa ofa ya Paundi Milioni 35 (Tsh. 95,900,000,000)
Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta anathamini sana uwezo wa Beki huyo wa Kushoto
#JFSports
👍9🔥1
Kila Julai 18, Siku ya Mandela au Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela inasherehekewa duniani kote kuenzi mafanikio ya Kiongozi huyo
Kwa mwaka 2022, Maadhimisho haya yanaangazia Usalama wa Chakula na Mabadiliko ya TabiaNchi
Mandela alizaliwa Julai 18, 1918 na kufariki dunia Desemba 5, 2013. Alikuwa Rais wa Afrika Kusini kati ya 1994 - 1999
Soma zaidi - https://jamii.app/Mandela2022
#MandelaDay
Kwa mwaka 2022, Maadhimisho haya yanaangazia Usalama wa Chakula na Mabadiliko ya TabiaNchi
Mandela alizaliwa Julai 18, 1918 na kufariki dunia Desemba 5, 2013. Alikuwa Rais wa Afrika Kusini kati ya 1994 - 1999
Soma zaidi - https://jamii.app/Mandela2022
#MandelaDay
👍9👏1
GHANA: Visa viwili vya Virusi vya #Marburg vimethibitishwa huku Wagonjwa wote wawili wakiripotiwa kufariki kwa Virusi hivyo vilivyo kundi moja na Virusi vya #Ebola
> Hadi sasa Watu 98 wapo karantini kwa kushukiwa kuugua Ugonjwa huo
Soma https://jamii.app/MarburgGhana
#JFAfya #PublicHealth
> Hadi sasa Watu 98 wapo karantini kwa kushukiwa kuugua Ugonjwa huo
Soma https://jamii.app/MarburgGhana
#JFAfya #PublicHealth
👍6😢3🤔1
SUDAN: Idadi ya Watu waliofariki kutokana na ghasia za Kikabila katika Jimbo la Blue Nile imefikia 65 na wengine 150 wamejeruhiwa tangu yalipozuka machafuko
> Chanzo ni mgogoro wa ardhi kati ya Watu wa Kabila la Berti na Haswa
Soma - https://jamii.app/ChaosSudan2022
> Chanzo ni mgogoro wa ardhi kati ya Watu wa Kabila la Berti na Haswa
Soma - https://jamii.app/ChaosSudan2022
👍5😢4
#MANDELADAY: Maadhimisho ya kumuenzi Nelson Mandela yalipitishwa na Umoja wa Mataifa (UN) mnamo Novemba 2009, na Siku ya Mandela imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka tangu 2010
Hatua hiyo ni ishara ya kutambua mchango wake katika nyanja mbalimbali zikiwemo Demokrasia, Amani, Usawa wa Kijinsia, Haki za Binadamu, Haki za Watoto na vita dhidi ya Umasikini
Zaidi, soma > https://jamii.app/Mandela2022
Hatua hiyo ni ishara ya kutambua mchango wake katika nyanja mbalimbali zikiwemo Demokrasia, Amani, Usawa wa Kijinsia, Haki za Binadamu, Haki za Watoto na vita dhidi ya Umasikini
Zaidi, soma > https://jamii.app/Mandela2022
👍13
DE LIGT AKUBALI KUJIUNGA NA BAYERN MUNICH
Juventus imekubali kumuuza Beki wake wa Kati, Matthijs de Ligt (22) kwenda Bayern Munich kwa Paundi Milioni 68 (Tsh. 186,320,000,000)
Atasaini mkataba wa miaka 5 baada ya kukamilisha vipimo vya afya anavyotarajia kufanya leo
#JFSports
Juventus imekubali kumuuza Beki wake wa Kati, Matthijs de Ligt (22) kwenda Bayern Munich kwa Paundi Milioni 68 (Tsh. 186,320,000,000)
Atasaini mkataba wa miaka 5 baada ya kukamilisha vipimo vya afya anavyotarajia kufanya leo
#JFSports
👍2👎1🎉1
WAZIRI UMMY: UGONJWA WA MKOANI LINDI NI HOMA YA MGUNDA
Amesema Vipimo vilivyofanyika vimeonesha Ugonjwa ulioripotiwa siku chache zilizopita Mkoani Lindi ni Homa ya Mgunda (Leptospirosis)
Imeelezwa kuwa, Ugonjwa huo huambukizwa kutoka kwa Wanyama mbalimbali wakiwemo Panya na Swala. Mtu anaweza kuupata kwa kugusa Mkojo, Maji, Udongo au Chakula kilichochafuliwa na mkojo wa Wanyama wenye Maambukizi
Soma - https://jamii.app/HomaMgunda
#JFAfya
Amesema Vipimo vilivyofanyika vimeonesha Ugonjwa ulioripotiwa siku chache zilizopita Mkoani Lindi ni Homa ya Mgunda (Leptospirosis)
Imeelezwa kuwa, Ugonjwa huo huambukizwa kutoka kwa Wanyama mbalimbali wakiwemo Panya na Swala. Mtu anaweza kuupata kwa kugusa Mkojo, Maji, Udongo au Chakula kilichochafuliwa na mkojo wa Wanyama wenye Maambukizi
Soma - https://jamii.app/HomaMgunda
#JFAfya
👍19
SUDAN YAFUNGUA MPAKA WAKE NA ETHIOPIA
Mpaka wa Gallabat ulifungwa Juni 27, 2022 baada ya Sudan kuishutumu Ethiopia kwa kuwanyonga Wanajeshi wake 7
> Hatua hiyo ni baada ya Viongozi wa nchi hizo kukubaliana kutatua mzozo maeneo ya mpakani
Soma https://jamii.app/MpakaSudanEthiopia
#JFDiplomasia
Mpaka wa Gallabat ulifungwa Juni 27, 2022 baada ya Sudan kuishutumu Ethiopia kwa kuwanyonga Wanajeshi wake 7
> Hatua hiyo ni baada ya Viongozi wa nchi hizo kukubaliana kutatua mzozo maeneo ya mpakani
Soma https://jamii.app/MpakaSudanEthiopia
#JFDiplomasia
👍6
DAR: Serikali imekata rufaa kupinga Mahakama ya Kisutu kumfutia Kesi ya Uhujumu Uchumi Jitesh Jayantilal Ladwa (wa Hoteli za Golden Tulip) ikidai Mahakama hiyo haina Mamlaka ya kutoa uamuzi huo
> Alikuwa anakabiliwa mashtaka 24 yakiwemo ya kujihamishia Hisa za Wanahisa wenzake
Soma https://jamii.app/SerikaliRufaa
> Alikuwa anakabiliwa mashtaka 24 yakiwemo ya kujihamishia Hisa za Wanahisa wenzake
Soma https://jamii.app/SerikaliRufaa
👍3
Siku ya Mandela inalenga kuhamasisha watu wote kuchukua hatua na kuleta mabadiliko katika Jamii kwani kila mmoja ana uwezo kufanya hivyo
#MandelaDay
#MandelaDay
👍10🎉2😁1
TETESI: RONALDO ANATAKA KUICHEZEA ATLETICO
Inadaiwa Cristiano Ronaldo anamshawishi Kocha Diego Simeone ili amsajili kwa ajili ya kuichezea Atletico Madrid msimu ujao
> Anataka kuondoka Man. United ili apate nafasi ya kucheza UEFA Champions League
Soma https://jamii.app/UsajiliWaCR7
#JFSports
Inadaiwa Cristiano Ronaldo anamshawishi Kocha Diego Simeone ili amsajili kwa ajili ya kuichezea Atletico Madrid msimu ujao
> Anataka kuondoka Man. United ili apate nafasi ya kucheza UEFA Champions League
Soma https://jamii.app/UsajiliWaCR7
#JFSports
👍8