Idara ya Ujasusi ya DR-Congo inamshikilia Mwanahabari wa Marekani, Stavros Nicolas Niarchos (33) kwa kudaiwa kukaribia makundi yenye silaha Kusini Mashariki mwa nchi hiyo
> Anadaiwa kuwasiliana na Wanamgambo wa Bakata Katanga
Soma - https://jamii.app/USJournalistDetained
#PressFreedom
> Anadaiwa kuwasiliana na Wanamgambo wa Bakata Katanga
Soma - https://jamii.app/USJournalistDetained
#PressFreedom
👍5
MWANZA: Maombi ya Diana Bundala 'Mfalme Zumaridi' ya kutokuwa na imani na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Monica Ndyekobora yameshindwa kupata majibu baada ya Hakimu huyo kusema alipata changamoto ya kiafya
> Maamuzi yatatolewa Julai 27, 2022
Soma https://jamii.app/KesiYaZumaridi
> Maamuzi yatatolewa Julai 27, 2022
Soma https://jamii.app/KesiYaZumaridi
👍6
UINGEREZA: Hali ya Joto inatarajiwa kuwa Nyuzi Joto 43 kwa siku ya Jumanne Julai 19, 2022 ikiwa ni hali ya joto kali kuwahi kutokea katika historia ya Nchi hiyo
> Mamlaka ya Hali ya Hewa Uingereza imesema leo Julai 18, 2022 hali ya joto ni Nyuzi Joto 40
Soma https://jamii.app/JotoUK
#ClimateChange
> Mamlaka ya Hali ya Hewa Uingereza imesema leo Julai 18, 2022 hali ya joto ni Nyuzi Joto 40
Soma https://jamii.app/JotoUK
#ClimateChange
👍4🔥3👎2
TARIME: Watu 6 waliodaiwa kuwa Majambazi Sugu wa Mifugo wamehukumiwa kwenda jela miaka 70 kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha aina ya bunduki na mapanga
> Washtakiwa hao walifanya fujo Mahakamani hapo kupinga hukumu kabla ya kudhibitiwa
Soma - https://jamii.app/MaraMahakamani
#JFMatukio
> Washtakiwa hao walifanya fujo Mahakamani hapo kupinga hukumu kabla ya kudhibitiwa
Soma - https://jamii.app/MaraMahakamani
#JFMatukio
👍15🥰2😁1
SOMALIA: Ndege ya Shirika la Ndege la Jubba imeanguka wakati ikitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Aden Adde Jijini Mogadishu ilipokuwa ikitokea Baidoa
> Watu 36 katika ndege hiyo wameokolewa
Soma https://jamii.app/NdegeYaanguka
> Watu 36 katika ndege hiyo wameokolewa
Soma https://jamii.app/NdegeYaanguka
👍6👎2😢2
KENYA: Serikali imepunguza bei ya Unga wa Mahindi kuwa Ksh. 100 (Tsh. 1,944) kwa Kilogram Mbili kutoka Ksh. 210 (Tsh. 4,084) iliyokuwa awali
> Hatua hii ni ili kukabiliana na mfumuko wa bei uliotokea hivi karibuni
Soma https://jamii.app/BeiYaUngaKE
#Governance
> Hatua hii ni ili kukabiliana na mfumuko wa bei uliotokea hivi karibuni
Soma https://jamii.app/BeiYaUngaKE
#Governance
👍13😁9🔥1
HOMA YA MGUNDA NI NINI?
Ni Ugonjwa unaoambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu
Homa ya Mgunda 'Leptospirosis' husababishwa na Bakteria aina ya 'Leptospira interrogans'
Baadhi ya dalili zake ni Homa, Maumivu ya Kichwa na Misuli, Uchovu na kutokwa damu puani
Fahamu zaidi - https://jamii.app/UgonjwaHomaMgunda
#JFAfya #PublicHealth
Ni Ugonjwa unaoambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu
Homa ya Mgunda 'Leptospirosis' husababishwa na Bakteria aina ya 'Leptospira interrogans'
Baadhi ya dalili zake ni Homa, Maumivu ya Kichwa na Misuli, Uchovu na kutokwa damu puani
Fahamu zaidi - https://jamii.app/UgonjwaHomaMgunda
#JFAfya #PublicHealth
👍4
IMF YAIDHINISHIA TANZANIA MKOPO WA TSH. TRILIONI 2.4
Bodi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeridhia Mkopo wa Dola za Marekani Bilioni 1.046 (Takriban Tsh. 2,422,536,000,000) kwa #Tanzania katika kipindi cha miezi 40 kusaidia kukabiliana na athari za vita ya Urusi na Ukraine
Vita hiyo imetajwa kukwamisha Uchumi wa Tanzania kuimarika kufuatia mlipuko wa #COVID19
Soma - https://jamii.app/IMF-TZMkopo
Bodi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeridhia Mkopo wa Dola za Marekani Bilioni 1.046 (Takriban Tsh. 2,422,536,000,000) kwa #Tanzania katika kipindi cha miezi 40 kusaidia kukabiliana na athari za vita ya Urusi na Ukraine
Vita hiyo imetajwa kukwamisha Uchumi wa Tanzania kuimarika kufuatia mlipuko wa #COVID19
Soma - https://jamii.app/IMF-TZMkopo
😁21👍7👏1
HOMA YA MGUNDA: BINADAMU ANAPATAJE MAAMBUKIZI?
1) Kugusa mkojo/maji maji mengine ya mwili kutoka kwa wanyama walioambukizwa
2) Kugusa Maji, Udongo au Chakula kilichochafuliwa na mkojo wa Wanyama
3) Kunywa Maji yaliyochafuliwa na Bakteria wa Homa Ya Mgunda
Fahamu zaidi - https://jamii.app/UgonjwaHomaMgunda
#JFAfya #PublicHealth
1) Kugusa mkojo/maji maji mengine ya mwili kutoka kwa wanyama walioambukizwa
2) Kugusa Maji, Udongo au Chakula kilichochafuliwa na mkojo wa Wanyama
3) Kunywa Maji yaliyochafuliwa na Bakteria wa Homa Ya Mgunda
Fahamu zaidi - https://jamii.app/UgonjwaHomaMgunda
#JFAfya #PublicHealth
👍3
Wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) wamekubaliana kuipa Ukraine msaada zaidi wa Kijeshi wa Dola Milioni 508 (Tsh. Trilioni 1.17)
> Pia, Nchi Wanachama zimekubalina kuongeza vikwazo ikiwemo kuzuia dhahabu ya Urusi kuzuiwa kuuzwa Ulaya
Soma https://jamii.app/EUUkraine2022
#RussiaUkraineWar
> Pia, Nchi Wanachama zimekubalina kuongeza vikwazo ikiwemo kuzuia dhahabu ya Urusi kuzuiwa kuuzwa Ulaya
Soma https://jamii.app/EUUkraine2022
#RussiaUkraineWar
👎4👍3
SPURS YAENDELEA KUJIIMARISHA, YAMSAJILI SPENCE
Tottenham imemsajili Beki, Djed Spence (21) kutoka Middlesbrough kwa Paundi Milioni 20 (Tsh. 55,400,000,000)
Spurs tayari imewasajili Ivan Perisic, Fraser Forster, Yves Bissouma, Richarlison na Clement Lenglet (Mkopo)
#JFSports
Tottenham imemsajili Beki, Djed Spence (21) kutoka Middlesbrough kwa Paundi Milioni 20 (Tsh. 55,400,000,000)
Spurs tayari imewasajili Ivan Perisic, Fraser Forster, Yves Bissouma, Richarlison na Clement Lenglet (Mkopo)
#JFSports
👍5
PAKISTAN: Miili 20 imeopolewa na takriban Watu 30 hawajulikani walipo baada ya mashua iliyokuwa imebeba zaidi ya Watu 100 wa ukoo mmoja kupinduka kwenye Mto Indus
> Boti hiyo iliyojaa mizigo ilikuwa ikielekea katika harusi ya kifamilia
Soma https://jamii.app/VifoPakistan
> Boti hiyo iliyojaa mizigo ilikuwa ikielekea katika harusi ya kifamilia
Soma https://jamii.app/VifoPakistan
😢9🤯4👍2👎1
IVORY COAST: Wanaharakati wa Haki za Wanawake wamesema Muswada unaopendekezwa wa kuhalalisha na kurejesha tena ndoa za wake wengi kwa Wanaume ni kurudisha nyuma jitihada za Vita ya Usawa wa Kijinsia
> Ndoa hizo zilipigwa marufuku nchini humo 1964
Soma https://jamii.app/MswadaIvoryCoast
#GenderEquality
> Ndoa hizo zilipigwa marufuku nchini humo 1964
Soma https://jamii.app/MswadaIvoryCoast
#GenderEquality
😁9
Mtazamo hasi kuhusu Wosia unatajwa kusababisha migogoro mingi katika jamii, huku Watoto na Watoto wakiathiriwa zaidi
> Nini Mtazamo wako kuhusu kuandika Wosia? Unafikiri sababu nyingine zinazopelekea watu wachache kuwa na Wosia ni zipi?
> Je, wewe upo tayari kuandika Wosia?
Soma https://jamii.app/ElimuYaWosia
#JFSheria
> Nini Mtazamo wako kuhusu kuandika Wosia? Unafikiri sababu nyingine zinazopelekea watu wachache kuwa na Wosia ni zipi?
> Je, wewe upo tayari kuandika Wosia?
Soma https://jamii.app/ElimuYaWosia
#JFSheria
👍8
ARUSHA: Diwani wa Kata ya Mswakini, Nanga Mollel amethibitisha vifo vya Watoto watano wa Familia moja Wilayani Monduli, ikidaiwa walikuwa wakisumbuliwa na maumivu ya tumbo
Inadaiwa vifo hivyo vimetokea kwa siku tofauti (Julai 5, 16, 17 na 19, 2022)
Soma https://jamii.app/VifoWatotoArusha
Inadaiwa vifo hivyo vimetokea kwa siku tofauti (Julai 5, 16, 17 na 19, 2022)
Soma https://jamii.app/VifoWatotoArusha
😢8👎7👍1
BARIDI KUONGEZEKA IRINGA, NJOMBE NA MBEYA
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, imesema hali ya hewa inatarajiwa kufikia viwango vya 4°C katika Mikoa hiyo
Kwa sasa viwango ni Njombe 15°C, Iringa 20°C na Mbeya 21°C
Soma https://jamii.app/BaridiKuongezeka
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, imesema hali ya hewa inatarajiwa kufikia viwango vya 4°C katika Mikoa hiyo
Kwa sasa viwango ni Njombe 15°C, Iringa 20°C na Mbeya 21°C
Soma https://jamii.app/BaridiKuongezeka
😁20👍16🤔10😢2🔥1
SIRRO ATEULIWA KUWA BALOZI, WAMBURA AWA IGP MPYA
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Camilius Wambura ameteuliwa kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP)
Aliyekuwa IGP, Simon Sirro ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe
Soma https://jamii.app/UteuziIGPMpya
#Governance
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Camilius Wambura ameteuliwa kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP)
Aliyekuwa IGP, Simon Sirro ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe
Soma https://jamii.app/UteuziIGPMpya
#Governance
👍22😁8🤩5🤬3🤔2
SRI LANKA: Usalama umeonekana kuimarishwa eneo la Bunge wakati Wabunge wakijiandaa kupiga Kura itakayoamua nani atakuwa Rais
Miongoni mwa wagombea watatu wa Urais ni Rais wa Mpito, Ranil Wickremesinghe ambaye anaonekana kutoungwa mkono na Wananchi wengi
Soma - https://jamii.app/UraisKuraSL
#Democracy
Miongoni mwa wagombea watatu wa Urais ni Rais wa Mpito, Ranil Wickremesinghe ambaye anaonekana kutoungwa mkono na Wananchi wengi
Soma - https://jamii.app/UraisKuraSL
#Democracy
👍14😁1
ANGOLA: Hatimaye Watoto wa Rais wa zamani, José Eduardo dos Santos wamekubali baba yao azikwe Mjini Luanda lakini baada ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 24, 2022
> Hapo awali familia hiyo ilisema Rais huyo alitaka kuzikwa Mjini Barcelona-Uhispania
Soma https://jamii.app/FamiliaDosSantos
> Hapo awali familia hiyo ilisema Rais huyo alitaka kuzikwa Mjini Barcelona-Uhispania
Soma https://jamii.app/FamiliaDosSantos
👍8😁1
SRI LANKA: Bunge limepiga Kura na kumpitisha rasmi Ranil Wickremesinghe ambaye amehudumu kama Waziri Mkuu kwa mara 6 kuwa Rais wa Nchi hiyo, akimshinda Mpinzani wake mkuu, Dullas Alahapperuma kwa Kura 134 - 82
Wabunge wamemchagua licha ya Raia wengi kuonesha wazi hawamuungi mkono
Soma - https://jamii.app/UraisKuraSL
#Democracy
Wabunge wamemchagua licha ya Raia wengi kuonesha wazi hawamuungi mkono
Soma - https://jamii.app/UraisKuraSL
#Democracy
👍13🤔2😁1