CHELSEA KUTANGAZA USAJILI WA KOULIBALY
Usajili wa Kalidou #Koulibaly kutoka Napoli kwenda Chelsea unatarajiwa kukamilika leo Julai 14, 2022
> Beki huyo anaweza kutangazwa baada ya kukamilisha Vipimo vya Afya
Soma https://jamii.app/KoulibalyChelsea
#JFSports
Usajili wa Kalidou #Koulibaly kutoka Napoli kwenda Chelsea unatarajiwa kukamilika leo Julai 14, 2022
> Beki huyo anaweza kutangazwa baada ya kukamilisha Vipimo vya Afya
Soma https://jamii.app/KoulibalyChelsea
#JFSports
👍15👏2
SRI LANKA: Watu 84 wamejeruhiwa na mmoja amefariki dunia kufuatia mvutano kati ya Maafisa wa Polisi na Waandamanaji karibu na jengo la Bunge na katika Ofisi ya Waziri Mkuu
Wananchi wanasubiri Rais Gotabaya Rajapaksa ajiuzulu rasmi, lakini bado barua yake haijawasilishwa
Soma - https://jamii.app/84InjuredSL
#Democracy
Wananchi wanasubiri Rais Gotabaya Rajapaksa ajiuzulu rasmi, lakini bado barua yake haijawasilishwa
Soma - https://jamii.app/84InjuredSL
#Democracy
👍8😢8👎1
Watanzania wengi wanaendelea kujiunga Mtandaoni, lakini kasi ya ukuaji wa Watumiaji hailingani na uelewa uliopo kuhusu Uhalifu wa Mitandaoni
Ripoti ya CIPESA inasema Watumiaji wengi wa Intaneti hawafahamu kuhusu uhalifu mtandaoni, au kwanini wanahitaji kulinda Faragha zao
Soma - https://jamii.app/CyberCrimesCPS
#DataPrivacy #DigitalRights
Ripoti ya CIPESA inasema Watumiaji wengi wa Intaneti hawafahamu kuhusu uhalifu mtandaoni, au kwanini wanahitaji kulinda Faragha zao
Soma - https://jamii.app/CyberCrimesCPS
#DataPrivacy #DigitalRights
👍7
LISANDRO MARTINEZ MBIONI KUTUA MANCHESTER UNITED
Man. Utd inakaribia kumsajili beki wa Ajax ya Uholanzi, Lisandro Martinez (23) kwa ada ya Pauni Milioni 46 (Tsh. 126,960,000,000)
Ajax imemuainisha Mykola Matvienko kutoka Shakhtar Donetsk kuwa mbadala wa Lisandro
#JFSports
Man. Utd inakaribia kumsajili beki wa Ajax ya Uholanzi, Lisandro Martinez (23) kwa ada ya Pauni Milioni 46 (Tsh. 126,960,000,000)
Ajax imemuainisha Mykola Matvienko kutoka Shakhtar Donetsk kuwa mbadala wa Lisandro
#JFSports
👍14🔥2
GAMBIA: Mahakama Kuu imemhukumu kifo Mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Taifa, Yankuba Badjie na Maafisa wengine wanne wa zamani wa Shirika hilo kwa mauaji ya Mwanachama wa Chama cha Upinzani cha United Democratic Party mnamo mwaka 2016
Soma - https://jamii.app/GambiaExSpies
#Governance
Soma - https://jamii.app/GambiaExSpies
#Governance
👍10🤔1
MWANZA: Waziri wa Ardhi ameagiza uchunguzi wa manunuzi ya eneo la Isamilo linalolalamikiwa na Wananchi wakidai lilichukuliwa bila wao kulipwa fidia na sasa limeuzwa kwa 'Vigogo wa Serikali' licha ya wao pia kujaza fomu za ununuzi
Soma - https://jamii.app/MgogoroArdhiMwanza
#JFUwajibikaji
Soma - https://jamii.app/MgogoroArdhiMwanza
#JFUwajibikaji
🤯7👍3👏2😁1
Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaksa anatarajiwa kusafiri kutoka Maldives alikokimbilia kuelekea Singapore anakotarajiwa kuwasili jioni ya leo Julai 14, 2022
> Bado hajakabidhi barua ya kujiuzulu Nafasi ya Urais
Soma https://jamii.app/SriLankaPresident
#Governance
> Bado hajakabidhi barua ya kujiuzulu Nafasi ya Urais
Soma https://jamii.app/SriLankaPresident
#Governance
😁12🤔6👍3
RAIS SAMIA: SEKTA BINAFSI ZINAKATISHWA TAMAA KUFANYA KAZI NA SERIKALI
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Serikali kushirikiana na Sekta Binafsi akisema kutofanya hivyo ni kuchelewesha maendeleo ya Nchi
Soma https://jamii.app/SektaBinafsiUshirikiano
#JFUwajibikaji #Governance
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Serikali kushirikiana na Sekta Binafsi akisema kutofanya hivyo ni kuchelewesha maendeleo ya Nchi
Soma https://jamii.app/SektaBinafsiUshirikiano
#JFUwajibikaji #Governance
👍20
UKRAINE: Makombora ya Urusi yaliyorushwa yameripotiwa kuua takriban Watu 20 wakiwemo watoto watatu huku wengine 90 wakijeruhiwa
> Imeelezwa kuwa, makombora hayo yalirushwa kutoka katika Nyambizi ya Urusi
Soma https://jamii.app/20KilledInUkraine
#RussiaUkraineWar
> Imeelezwa kuwa, makombora hayo yalirushwa kutoka katika Nyambizi ya Urusi
Soma https://jamii.app/20KilledInUkraine
#RussiaUkraineWar
😁13👍6😢3👎1
#JFAFYA: Shirika la Afya Duniani limeonya kuwa Afrika inakabiliwa na ongezeko la 60% la Magonjwa ambayo huenea kutoka kwa Wanyama hadi kwa Binadamu
> Miongoni mwa magonjwa hayo ni #Ebola, Magonjwa ya Kuvuja Damu, #Dengue, Kimeta na #MonkeyPox
Soma https://jamii.app/MagonjwaWHO
#PublicHealth
> Miongoni mwa magonjwa hayo ni #Ebola, Magonjwa ya Kuvuja Damu, #Dengue, Kimeta na #MonkeyPox
Soma https://jamii.app/MagonjwaWHO
#PublicHealth
👍5👎1
RAIS WA SRI LANKA AJIUZULU KWA BARUA PEPE
Rais Gotabaya Rajapaksa amewasilisha barua ya kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo kwa Spika wa Bunge kupitia Barua pepe
Inadaiwa ametuma Barua hiyo baada ya kuwasili Nchini Singapore
Soma - https://jamii.app/GotabayaOut
#Democracy
Rais Gotabaya Rajapaksa amewasilisha barua ya kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo kwa Spika wa Bunge kupitia Barua pepe
Inadaiwa ametuma Barua hiyo baada ya kuwasili Nchini Singapore
Soma - https://jamii.app/GotabayaOut
#Democracy
👍14😁10
CHELSEA YASITISHA MPANGO WA KUMSAJILI CRISTIANO RONALDO
Ni baada ya Kocha Thomas Tuchel kusema anataka mchezaji anayecheza kitimu na si kuangalia kipaji cha mmoja
Kufuatia kauli hiyo, itabidi Ronaldo abaki Man. Utd au atafute timu nyingine
Soma https://jamii.app/ChelseaCR7
#JFSports
Ni baada ya Kocha Thomas Tuchel kusema anataka mchezaji anayecheza kitimu na si kuangalia kipaji cha mmoja
Kufuatia kauli hiyo, itabidi Ronaldo abaki Man. Utd au atafute timu nyingine
Soma https://jamii.app/ChelseaCR7
#JFSports
👍42😁8🤩3👎2😱2❤1🤔1🤮1
RIPOTI: Takriban Watoto Milioni 25 duniani walishindwa kupatiwa kwa wakati Chanjo muhimu zinazowalinda dhidi ya Magonjwa mbalimbali mwaka 2021
Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF) inasema hali hiyo ilitokana na utoaji wa huduma za Afya kuathiriwa na COVID-19
Soma - https://jamii.app/WatotoChanjo
#JFAfya
Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF) inasema hali hiyo ilitokana na utoaji wa huduma za Afya kuathiriwa na COVID-19
Soma - https://jamii.app/WatotoChanjo
#JFAfya
👍4🤔2
JULAI 15: SIKU YA UJUZI KWA VIJANA DUNIANI
Inakadiriwa kuwa, nafasi za kazi Milioni 600 zitahitajika kuundwa katika kipindi cha miaka 15 ijayo ili kukidhi mahitaji ya Ajira kwa Vijana
Idadi ya Vijana inatarajiwa kuongezeka kwa zaidi ya Milioni 78 kati ya 2021 - 2030, ikielezwa takriban nusu ya ongezeko hilo itakuwa katika Nchi masikini
Soma - https://jamii.app/UjuziVijana
#WYSD2022
Inakadiriwa kuwa, nafasi za kazi Milioni 600 zitahitajika kuundwa katika kipindi cha miaka 15 ijayo ili kukidhi mahitaji ya Ajira kwa Vijana
Idadi ya Vijana inatarajiwa kuongezeka kwa zaidi ya Milioni 78 kati ya 2021 - 2030, ikielezwa takriban nusu ya ongezeko hilo itakuwa katika Nchi masikini
Soma - https://jamii.app/UjuziVijana
#WYSD2022
👍6
Kwa mujibu wa Shirika la UNICEF, Vijana watatu kati ya wanne hawana Ujuzi unaohitajika kwenye Ajira
Waliopo Nchi masikini wana uwezekano mdogo zaidi wa kuwa na Ujuzi muhimu kwa fursa za Ajira/Ujasiriamali
Mifumo ya Elimu inatajwa kukwamisha Vijana na Watoto wengi, ikiwaacha bila Maarifa, Ujuzi na hamasa yoyote
Soma - https://jamii.app/UjuziVijana
#WYSD2022
Waliopo Nchi masikini wana uwezekano mdogo zaidi wa kuwa na Ujuzi muhimu kwa fursa za Ajira/Ujasiriamali
Mifumo ya Elimu inatajwa kukwamisha Vijana na Watoto wengi, ikiwaacha bila Maarifa, Ujuzi na hamasa yoyote
Soma - https://jamii.app/UjuziVijana
#WYSD2022
👍5😁3😢1
LUGHA: NINI KINASABABISHA WATU KUCHANGANYA MATUMIZI YA "R" NA "L"?
Mdau wa Jukwaa la Lugha anahoji ni nini kinapelekea makosa kwenye matumizi ya herufi "R" na "L" kuanzia kuyaandika mpaka kutamka?
Anatolea mfano maneno "Rakini" badala ya "Lakini", "Kalili" badala ya "Kariri"
Je, unapata changamoto kwenye matumizi ya herufi hizo?
Mjadala - https://jamii.app/MdauLughaRL
#JFLugha
Mdau wa Jukwaa la Lugha anahoji ni nini kinapelekea makosa kwenye matumizi ya herufi "R" na "L" kuanzia kuyaandika mpaka kutamka?
Anatolea mfano maneno "Rakini" badala ya "Lakini", "Kalili" badala ya "Kariri"
Je, unapata changamoto kwenye matumizi ya herufi hizo?
Mjadala - https://jamii.app/MdauLughaRL
#JFLugha
👍11
MAHAKAMA: ZUIO LA TWITTER NIGERIA LILIKIUKA SHERIA
Mahakama ya Haki ya ECOWAS imesema zuio hilo la mwaka 2021 lilikiuka Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na kunyima Wananchi Haki ya #UhuruWaKujieleza na kupata taarifa
Nigeria imetakiwa kuhakikisha marufuku kama hiyo haijirudii
Soma - https://jamii.app/TwitterBanNGR
#DigitalRights #FreedomOfExpression
Mahakama ya Haki ya ECOWAS imesema zuio hilo la mwaka 2021 lilikiuka Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na kunyima Wananchi Haki ya #UhuruWaKujieleza na kupata taarifa
Nigeria imetakiwa kuhakikisha marufuku kama hiyo haijirudii
Soma - https://jamii.app/TwitterBanNGR
#DigitalRights #FreedomOfExpression
👍6
Taasisi ya WAJIBU imezindua Ripoti za Uwajibikaji, Mapato na matumizi ya Fedha za Umma 2020/21 iliyotokana na ripoti za Ukaguzi za Mamlaka ya Serikali za Mitaa, Miradi ya Maendeleo, Mashirika ya Umma na Serikali Kuu zilizotolewa na CAG
Dhumuni ni kuwapatia Wananchi taarifa ya namna Serikali ilivyotekeleza Bajeti ya Taifa katika ukusanyaji wa Mapato na Matumizi ya fedha za Umma kwa mwaka
#JFUwajibikaji
Dhumuni ni kuwapatia Wananchi taarifa ya namna Serikali ilivyotekeleza Bajeti ya Taifa katika ukusanyaji wa Mapato na Matumizi ya fedha za Umma kwa mwaka
#JFUwajibikaji
👍8
10% PUNGUFU KWENYE MAKUSANYO: Mwaka 2020/21 Serikali ilipanga kukusanya Tsh. trilioni 34.8, hata hivyo ilikusanya Tsh. trilioni 31.3 (90% ya makadirio)
> Hili ni ongezeko la 5% ikilinganishwa na 2019/20 ambapo Serikali ilishindwa kukusanya Mapato iliyokadirikia kwa 5%
#JFUwajibikaji
> Hili ni ongezeko la 5% ikilinganishwa na 2019/20 ambapo Serikali ilishindwa kukusanya Mapato iliyokadirikia kwa 5%
#JFUwajibikaji
👍6🤔2🔥1
UPUNGUFU WA MAJENGO YA MAHABUSU NA WAFUNGWA
Gereza la Keko lilikuwa na msongamano mkubwa zaidi ambapo lilikuwa na Wafungwa 1,075 zaidi ya uwezo wake sawa na 194%
Magereza 8 kati ya 15 yaliyokaguliwa hayakuwa na huduma ya Maji Safi na Salama kutokana na kutolipia Huduma ya Maji kwa Mamlaka husika
#JFUwajibikaji
Gereza la Keko lilikuwa na msongamano mkubwa zaidi ambapo lilikuwa na Wafungwa 1,075 zaidi ya uwezo wake sawa na 194%
Magereza 8 kati ya 15 yaliyokaguliwa hayakuwa na huduma ya Maji Safi na Salama kutokana na kutolipia Huduma ya Maji kwa Mamlaka husika
#JFUwajibikaji
😢7🤔3👍2