STORIES OF CHANGE: Maandiko yawasilishwe kuanzia Julai 15 hadi Septemba 14, 2022 kwenye Jukwaa la “JF Stories Of Change"
Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na zaidi anaweza kushiriki
Maelezo zaidi > https://jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange #SOC2022
Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na zaidi anaweza kushiriki
Maelezo zaidi > https://jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange #SOC2022
👍11
UPDATE: Waziri Mkuu wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe ambaye anakaimu nafasi ya Urais kwa sasa baada ya Rais Gotabaya Rajapaksa kukimbia, ametangaza Hali ya Hatari
Inaripotiwa kuwa, Ofisi yake imezingirwa na mamia ya Waandamanaji
Soma - https://jamii.app/SOESriLanka
#Democracy
Inaripotiwa kuwa, Ofisi yake imezingirwa na mamia ya Waandamanaji
Soma - https://jamii.app/SOESriLanka
#Democracy
👍12🔥2
UGONJWA USIOFAHAMIKA LINDI: Wizara ya Afya imesema kufikia Julai 12, 2022 kulikuwa na Wagonjwa 13, na 3 kati yao wamefariki dunia
Sampuli za awali zimeonesha Majibu Hasi kwa Magonjwa ya Ebola, Marburg na UVIKO-19, vipimo zaidi vinasubiriwa
Wenye dalili za Homa, Kuvuja Damu puani, kuumwa kichwa na mwili kuchoka wanaendelea kutafutwa
Soma - https://jamii.app/UgonjwaLindiWA
#JFAfya
Sampuli za awali zimeonesha Majibu Hasi kwa Magonjwa ya Ebola, Marburg na UVIKO-19, vipimo zaidi vinasubiriwa
Wenye dalili za Homa, Kuvuja Damu puani, kuumwa kichwa na mwili kuchoka wanaendelea kutafutwa
Soma - https://jamii.app/UgonjwaLindiWA
#JFAfya
🤔9👍7
RWANDA: AFISA WA ZAMANI WA SERIKALI AHUKUMIWA MIAKA 20 JELA KWA MAUAJI YA HALAIKI
Laurent Bucyibaruta aliyekuwa Gavana wa Gikongoro Kusini amekutwa na hatia ya mauaji ya mwaka 1994, akidaiwa kutumia ushawishi wa nafasi yake kuhimiza maelfu ya Watutsi kukimbilia Shule ya Ufundi ya Murambi kwa hifadhi ambapo waliuawa
Soma - https://jamii.app/RwandaGenocide
Laurent Bucyibaruta aliyekuwa Gavana wa Gikongoro Kusini amekutwa na hatia ya mauaji ya mwaka 1994, akidaiwa kutumia ushawishi wa nafasi yake kuhimiza maelfu ya Watutsi kukimbilia Shule ya Ufundi ya Murambi kwa hifadhi ambapo waliuawa
Soma - https://jamii.app/RwandaGenocide
👍8🤔1
MALI: Takriban Wanajeshi 50 wa Ivory Coast wanashikiliwa ikidaiwa ni Mamluki waliowasili Nchini humo kwa mgongo wa Umoja wa Mataifa (UN)
> UN imesema Wanajeshi hao waliingia Mali kwa kazi maalum ktk Mradi wa Sahelian Aviation Services
Soma https://jamii.app/WanajeshiWazuiwaMali
#Governance
> UN imesema Wanajeshi hao waliingia Mali kwa kazi maalum ktk Mradi wa Sahelian Aviation Services
Soma https://jamii.app/WanajeshiWazuiwaMali
#Governance
👍6😁1
KENYA: Baraza la Habari limetoa wito kwa Polisi kuchunguza kwa haraka mashambulizi dhidi ya Wanahabari siku chache baada ya kushambuliwa kwa Mwanahabari Ian Byron
> Anadaiwa kushambuliwa kufuatia kuandika habari kumhusu Mbunge, Junet Mohamed
Soma https://jamii.app/PressFreedom
#PressFreedom
> Anadaiwa kushambuliwa kufuatia kuandika habari kumhusu Mbunge, Junet Mohamed
Soma https://jamii.app/PressFreedom
#PressFreedom
👍8
TERAT, ARUSHA: Watu watatu wa familia moja wamefariki Dunia papo hapo kwa kugongwa na gari wakati wakitoka hospitalini wakiwa wamepanda pikipiki
> Waliofariki ni Ebenezer Mollel (1), Neema Mollel (27) na Agustino Mollel (24)
Soma https://jamii.app/AjaliArushaJulai
#JFMatukio
> Waliofariki ni Ebenezer Mollel (1), Neema Mollel (27) na Agustino Mollel (24)
Soma https://jamii.app/AjaliArushaJulai
#JFMatukio
😢12👍1👎1
MDAU: NAPITIA WAKATI MGUMU, NAANZIA WAPI KUTAFUTA PESA?
Anasema baada ya harakati zilizomleta Mjini kufeli, Kaka yake amemwambia atamsaidia malazi na kumtaka kujisimamia katika mahitaji mengine
Ndugu yake amemwambia, "Umeshakuwa mtu mzima, Mji umeujua hivyo uanze kujitafutia kipato badala ya kukaa tu nyumbani"
Ni ushauri/wazo gani unaweza kumpa kumsaidia?
Mjadala - https://jamii.app/UshauriMdau
Anasema baada ya harakati zilizomleta Mjini kufeli, Kaka yake amemwambia atamsaidia malazi na kumtaka kujisimamia katika mahitaji mengine
Ndugu yake amemwambia, "Umeshakuwa mtu mzima, Mji umeujua hivyo uanze kujitafutia kipato badala ya kukaa tu nyumbani"
Ni ushauri/wazo gani unaweza kumpa kumsaidia?
Mjadala - https://jamii.app/UshauriMdau
👍24
CHELSEA KUTANGAZA USAJILI WA KOULIBALY
Usajili wa Kalidou #Koulibaly kutoka Napoli kwenda Chelsea unatarajiwa kukamilika leo Julai 14, 2022
> Beki huyo anaweza kutangazwa baada ya kukamilisha Vipimo vya Afya
Soma https://jamii.app/KoulibalyChelsea
#JFSports
Usajili wa Kalidou #Koulibaly kutoka Napoli kwenda Chelsea unatarajiwa kukamilika leo Julai 14, 2022
> Beki huyo anaweza kutangazwa baada ya kukamilisha Vipimo vya Afya
Soma https://jamii.app/KoulibalyChelsea
#JFSports
👍15👏2
SRI LANKA: Watu 84 wamejeruhiwa na mmoja amefariki dunia kufuatia mvutano kati ya Maafisa wa Polisi na Waandamanaji karibu na jengo la Bunge na katika Ofisi ya Waziri Mkuu
Wananchi wanasubiri Rais Gotabaya Rajapaksa ajiuzulu rasmi, lakini bado barua yake haijawasilishwa
Soma - https://jamii.app/84InjuredSL
#Democracy
Wananchi wanasubiri Rais Gotabaya Rajapaksa ajiuzulu rasmi, lakini bado barua yake haijawasilishwa
Soma - https://jamii.app/84InjuredSL
#Democracy
👍8😢8👎1
Watanzania wengi wanaendelea kujiunga Mtandaoni, lakini kasi ya ukuaji wa Watumiaji hailingani na uelewa uliopo kuhusu Uhalifu wa Mitandaoni
Ripoti ya CIPESA inasema Watumiaji wengi wa Intaneti hawafahamu kuhusu uhalifu mtandaoni, au kwanini wanahitaji kulinda Faragha zao
Soma - https://jamii.app/CyberCrimesCPS
#DataPrivacy #DigitalRights
Ripoti ya CIPESA inasema Watumiaji wengi wa Intaneti hawafahamu kuhusu uhalifu mtandaoni, au kwanini wanahitaji kulinda Faragha zao
Soma - https://jamii.app/CyberCrimesCPS
#DataPrivacy #DigitalRights
👍7
LISANDRO MARTINEZ MBIONI KUTUA MANCHESTER UNITED
Man. Utd inakaribia kumsajili beki wa Ajax ya Uholanzi, Lisandro Martinez (23) kwa ada ya Pauni Milioni 46 (Tsh. 126,960,000,000)
Ajax imemuainisha Mykola Matvienko kutoka Shakhtar Donetsk kuwa mbadala wa Lisandro
#JFSports
Man. Utd inakaribia kumsajili beki wa Ajax ya Uholanzi, Lisandro Martinez (23) kwa ada ya Pauni Milioni 46 (Tsh. 126,960,000,000)
Ajax imemuainisha Mykola Matvienko kutoka Shakhtar Donetsk kuwa mbadala wa Lisandro
#JFSports
👍14🔥2
GAMBIA: Mahakama Kuu imemhukumu kifo Mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Taifa, Yankuba Badjie na Maafisa wengine wanne wa zamani wa Shirika hilo kwa mauaji ya Mwanachama wa Chama cha Upinzani cha United Democratic Party mnamo mwaka 2016
Soma - https://jamii.app/GambiaExSpies
#Governance
Soma - https://jamii.app/GambiaExSpies
#Governance
👍10🤔1
MWANZA: Waziri wa Ardhi ameagiza uchunguzi wa manunuzi ya eneo la Isamilo linalolalamikiwa na Wananchi wakidai lilichukuliwa bila wao kulipwa fidia na sasa limeuzwa kwa 'Vigogo wa Serikali' licha ya wao pia kujaza fomu za ununuzi
Soma - https://jamii.app/MgogoroArdhiMwanza
#JFUwajibikaji
Soma - https://jamii.app/MgogoroArdhiMwanza
#JFUwajibikaji
🤯7👍3👏2😁1
Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaksa anatarajiwa kusafiri kutoka Maldives alikokimbilia kuelekea Singapore anakotarajiwa kuwasili jioni ya leo Julai 14, 2022
> Bado hajakabidhi barua ya kujiuzulu Nafasi ya Urais
Soma https://jamii.app/SriLankaPresident
#Governance
> Bado hajakabidhi barua ya kujiuzulu Nafasi ya Urais
Soma https://jamii.app/SriLankaPresident
#Governance
😁12🤔6👍3
RAIS SAMIA: SEKTA BINAFSI ZINAKATISHWA TAMAA KUFANYA KAZI NA SERIKALI
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Serikali kushirikiana na Sekta Binafsi akisema kutofanya hivyo ni kuchelewesha maendeleo ya Nchi
Soma https://jamii.app/SektaBinafsiUshirikiano
#JFUwajibikaji #Governance
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Serikali kushirikiana na Sekta Binafsi akisema kutofanya hivyo ni kuchelewesha maendeleo ya Nchi
Soma https://jamii.app/SektaBinafsiUshirikiano
#JFUwajibikaji #Governance
👍20
UKRAINE: Makombora ya Urusi yaliyorushwa yameripotiwa kuua takriban Watu 20 wakiwemo watoto watatu huku wengine 90 wakijeruhiwa
> Imeelezwa kuwa, makombora hayo yalirushwa kutoka katika Nyambizi ya Urusi
Soma https://jamii.app/20KilledInUkraine
#RussiaUkraineWar
> Imeelezwa kuwa, makombora hayo yalirushwa kutoka katika Nyambizi ya Urusi
Soma https://jamii.app/20KilledInUkraine
#RussiaUkraineWar
😁13👍6😢3👎1
#JFAFYA: Shirika la Afya Duniani limeonya kuwa Afrika inakabiliwa na ongezeko la 60% la Magonjwa ambayo huenea kutoka kwa Wanyama hadi kwa Binadamu
> Miongoni mwa magonjwa hayo ni #Ebola, Magonjwa ya Kuvuja Damu, #Dengue, Kimeta na #MonkeyPox
Soma https://jamii.app/MagonjwaWHO
#PublicHealth
> Miongoni mwa magonjwa hayo ni #Ebola, Magonjwa ya Kuvuja Damu, #Dengue, Kimeta na #MonkeyPox
Soma https://jamii.app/MagonjwaWHO
#PublicHealth
👍5👎1
RAIS WA SRI LANKA AJIUZULU KWA BARUA PEPE
Rais Gotabaya Rajapaksa amewasilisha barua ya kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo kwa Spika wa Bunge kupitia Barua pepe
Inadaiwa ametuma Barua hiyo baada ya kuwasili Nchini Singapore
Soma - https://jamii.app/GotabayaOut
#Democracy
Rais Gotabaya Rajapaksa amewasilisha barua ya kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo kwa Spika wa Bunge kupitia Barua pepe
Inadaiwa ametuma Barua hiyo baada ya kuwasili Nchini Singapore
Soma - https://jamii.app/GotabayaOut
#Democracy
👍14😁10
CHELSEA YASITISHA MPANGO WA KUMSAJILI CRISTIANO RONALDO
Ni baada ya Kocha Thomas Tuchel kusema anataka mchezaji anayecheza kitimu na si kuangalia kipaji cha mmoja
Kufuatia kauli hiyo, itabidi Ronaldo abaki Man. Utd au atafute timu nyingine
Soma https://jamii.app/ChelseaCR7
#JFSports
Ni baada ya Kocha Thomas Tuchel kusema anataka mchezaji anayecheza kitimu na si kuangalia kipaji cha mmoja
Kufuatia kauli hiyo, itabidi Ronaldo abaki Man. Utd au atafute timu nyingine
Soma https://jamii.app/ChelseaCR7
#JFSports
👍42😁8🤩3👎2😱2❤1🤔1🤮1