TUNISIA: RASIMU YA KATIBA ILIYOANDALIWA NA RAIS YADAIWA ITAFUTA UTAMBULISHO WA NCHI
Imedaiwa baadhi ya vifungu ktk Rasimu hiyo vinaweza kufungua njia kwa Utawala wa Kidikteta na ni tofauti na rasimu iliyopendekezwa na Kamati ya kuandaa Rasimu
Soma - https://jamii.app/KatibaTunisia
Imedaiwa baadhi ya vifungu ktk Rasimu hiyo vinaweza kufungua njia kwa Utawala wa Kidikteta na ni tofauti na rasimu iliyopendekezwa na Kamati ya kuandaa Rasimu
Soma - https://jamii.app/KatibaTunisia
👍5
RONALDO AKWAMA KUFIKA MAZOEZINI MAN UNITED
Mshambuliaji Cristiano Ronaldo hajaripoti mazoezini Manchester United, sababu ametaja ni matatizo ya kifamilia
Alitakiwa kurejea leo Julai 4, 2022 kuanza kazi
Soma > https://jamii.app/RonaldoUtd
#JFSports
Mshambuliaji Cristiano Ronaldo hajaripoti mazoezini Manchester United, sababu ametaja ni matatizo ya kifamilia
Alitakiwa kurejea leo Julai 4, 2022 kuanza kazi
Soma > https://jamii.app/RonaldoUtd
#JFSports
👍15🤔1
SRI LANKA YAISHIWA PETROLI
Serikali imesema Taifa hilo lina Petroli ya kutosha siku isiyozidi moja kwa mahitaji ya kawaida
Petroli nyingine inatarajiwa kati ya Julai 22 - 23, lakini Nchi hiyo haina Fedha za kutosha kulipia Mafuta hayo
Soma - https://jamii.app/PetroliSriLanka
Serikali imesema Taifa hilo lina Petroli ya kutosha siku isiyozidi moja kwa mahitaji ya kawaida
Petroli nyingine inatarajiwa kati ya Julai 22 - 23, lakini Nchi hiyo haina Fedha za kutosha kulipia Mafuta hayo
Soma - https://jamii.app/PetroliSriLanka
👍8🤔4🎉1
ERIKSEN AKUBALI KUJIUNGA NA MAN. UNITED
Kiungo Christian Eriksen anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka mitatu Man. United
> Eriksen (30) anajiunga akiwa mchezaji huru baada ya kuichezea Brentford msimu uliopita
Soma - https://jamii.app/EriksenManU
#JFSports
Kiungo Christian Eriksen anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka mitatu Man. United
> Eriksen (30) anajiunga akiwa mchezaji huru baada ya kuichezea Brentford msimu uliopita
Soma - https://jamii.app/EriksenManU
#JFSports
👍14
MAANDAMANO YAENDELEA LIBYA, VIJANA WAINGIA MTAANI
Kuongezeka kwa bei ya bidhaa na kuendelea kwa migogoro ya kisiasa ni baadhi ya sababu za maandamano
Kundi la Vijana la "Beltress" limesema litaendeleza maandamano Mjini #Tripoli
Soma > https://jamii.app/LibyaChaos
#JamiiForums
Kuongezeka kwa bei ya bidhaa na kuendelea kwa migogoro ya kisiasa ni baadhi ya sababu za maandamano
Kundi la Vijana la "Beltress" limesema litaendeleza maandamano Mjini #Tripoli
Soma > https://jamii.app/LibyaChaos
#JamiiForums
👍9
DAR: Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA, Madeni Kipande (66) amesomewa mashtaka ya kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Tsh. Bilioni 4.2 akiwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, leo Julai 4, 2022
Soma - https://jamii.app/BossTPA
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/BossTPA
#JamiiForums
🤔16👍8🔥1
CHELSEA YAANGALIA UWEZEKANO WA KUMSAJILI RONALDO
Inadaiwa Chelsea inafikiria kumnunua Cristiano Ronaldo wakati kukiwa na sintofahamu ya mustakabali wake katika klabu ya Man. Utd
Inaelezwa Ronaldo aliiambia klabu hiyo anataka kuondoka iwapo itapatikana ofa inayofaa
#JFSports
Inadaiwa Chelsea inafikiria kumnunua Cristiano Ronaldo wakati kukiwa na sintofahamu ya mustakabali wake katika klabu ya Man. Utd
Inaelezwa Ronaldo aliiambia klabu hiyo anataka kuondoka iwapo itapatikana ofa inayofaa
#JFSports
👍16🤮3
SUDAN: Kiongozi wa Mapinduzi, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan amesema Jeshi litajiondoa katika mazungumzo ya Siasa yanayoendelea, na kuyaachia Makundi ya Kisiasa na Kimapinduzi mchakato wa kuunda Serikali ya Mpito
Tangu Mapinduzi ya Oktoba 2021, kumekuwa na maandamano ya kupinga Utawala wa Kijeshi
Soma - https://jamii.app/JeshiSDN
Tangu Mapinduzi ya Oktoba 2021, kumekuwa na maandamano ya kupinga Utawala wa Kijeshi
Soma - https://jamii.app/JeshiSDN
👍13
INDIA: 'SERVICE CHARGE' ZAPIGWA MARUFUKU HOTELINI
Kufuatia malalamiko ya kulazimishwa kulipa, Hoteli na Migahawa zimezuiwa kuwatoza Wateja Gharama za Huduma (Service Charge)
Aidha, Migahawa imezuiwa kuwanyima Huduma wateja wanaokataa kutoa 'Tip'
Soma - https://jamii.app/SCHotelsIndia
Kufuatia malalamiko ya kulazimishwa kulipa, Hoteli na Migahawa zimezuiwa kuwatoza Wateja Gharama za Huduma (Service Charge)
Aidha, Migahawa imezuiwa kuwanyima Huduma wateja wanaokataa kutoa 'Tip'
Soma - https://jamii.app/SCHotelsIndia
👍13
Kiongozi Mkuu wa M23, Sultani Makenga amedaiwa kurejea toka mafichoni na kuungana na Wanamgambo wake huko Mashariki mwa DR Congo
> Inadaiwa kurejea kwake ni kutokana uwezekano wa Jeshi la Afrika Mashariki kuungana na Jeshi la DRC ktk kupambana na M23
Soma - https://jamii.app/KamandaM23
> Inadaiwa kurejea kwake ni kutokana uwezekano wa Jeshi la Afrika Mashariki kuungana na Jeshi la DRC ktk kupambana na M23
Soma - https://jamii.app/KamandaM23
😁13👍2🤔2
CAMEROON: Shirikisho la Soka Nchini humo linachunguza Wachezaji 44 kutoka katika Klabu 8 kwa tuhuma za kudanganya umri au utambulisho wao
> Iwapo watapatikana na hatia watakabiliwa na adhabu ya kufungiwa kwa miezi 6 kushiriki mechi
Soma - https://jamii.app/WachezajiWachunguzwa
#JFSports
> Iwapo watapatikana na hatia watakabiliwa na adhabu ya kufungiwa kwa miezi 6 kushiriki mechi
Soma - https://jamii.app/WachezajiWachunguzwa
#JFSports
👍10
RUTO: NILIMFANYA KENYATTA KUWA RAIS WA KENYA
Naibu Rais wa Kenya, William Ruto amesema kuwa Mahakama ilipoamuru Uchaguzi wa Marudio mwaka 2017, Kenyatta hakutaka kurudia ila yeye ndiye alimlazimisha kurudia uchaguzi huo na kumfanya kuwa Rais
Soma - https://jamii.app/RuttoVsKenyatta
Naibu Rais wa Kenya, William Ruto amesema kuwa Mahakama ilipoamuru Uchaguzi wa Marudio mwaka 2017, Kenyatta hakutaka kurudia ila yeye ndiye alimlazimisha kurudia uchaguzi huo na kumfanya kuwa Rais
Soma - https://jamii.app/RuttoVsKenyatta
👍16🤮5
MATOKEO KIDATO CHA 6: Watahiniwa 93,136 (98.97%) wamefaulu Mitihani, ikielezwa Wasichana ni 40,907 na Wavulana ni 52,229. Watahiniwa 83,877 (99.24%) wamefaulu katika Daraja 1 - 3
Ufaulu wa Masomo ya General Studies, Geography na Basic Applied Mathematics (BAM) umeshuka
Soma - https://jamii.app/MatokeoKidato6
Ufaulu wa Masomo ya General Studies, Geography na Basic Applied Mathematics (BAM) umeshuka
Soma - https://jamii.app/MatokeoKidato6
👍16
WAZIRI UMMY MWALIMU: NAPATA KIGUGUMIZI KUSEMA TUSIVAE BARAKOA
Amesema Nchi nyingine zimeondoa uvaaji barakoa kwasababu wamechanja watu zaidi ya 70%
Ameeleza, "Napata kigugumizi ninapoulizwa, tungekuwa tumechanja angalau 50% ningesema tuache"
Soma - https://jamii.app/UvaajiBarakoaTZ
Amesema Nchi nyingine zimeondoa uvaaji barakoa kwasababu wamechanja watu zaidi ya 70%
Ameeleza, "Napata kigugumizi ninapoulizwa, tungekuwa tumechanja angalau 50% ningesema tuache"
Soma - https://jamii.app/UvaajiBarakoaTZ
👍17👎3
DAR: Rais Samia Suluhu amefurahishwa na mpango wa Hospitali ya CCBRT kuwa na vyumba binafsi kwa ajili ya kujifungulia vinavyoruhusu Mwenza kuwepo wakati wa kujifungua
> Amesema "Hii itasaidia Waume zetu kuona kishindo tunachopambana nacho kule ndani"
Soma - https://jamii.app/CCBRTSamia
> Amesema "Hii itasaidia Waume zetu kuona kishindo tunachopambana nacho kule ndani"
Soma - https://jamii.app/CCBRTSamia
😁26👍6👏3❤2👎1
DAR: Rais Samia Suluhu Hassan amesema vifo vingi vya kina Mama na Watoto wakati wa kujifungua vinatokana na Watoa Huduma kutozingatia weledi, kuwa na dharau au uzembe
> Ameagiza Wizara ya Afya kufuatilia huduma katika Vituo vya Afya
Soma - https://jamii.app/CCBRTSamia
> Ameagiza Wizara ya Afya kufuatilia huduma katika Vituo vya Afya
Soma - https://jamii.app/CCBRTSamia
👍8
DAR: Rais Samia amesema inakadiriwa Wanawake 12,000 hadi 18,000 wana tatizo la fistula nchini. Watoto wa miaka 4-12 wana tatizo hilo huku sababu mojawapo ya tatizo hilo ikiwa ni Ubakaji
> Amesisitiza Jamii kutofumbia macho tatizo la Ubakaji
Soma - https://jamii.app/WagonjwaFistula
> Amesisitiza Jamii kutofumbia macho tatizo la Ubakaji
Soma - https://jamii.app/WagonjwaFistula
👍11
Uganda imegundua tani milioni 31 za dhahabu zenye thamani ya dola trilioni 12 katika Wilaya ya Busia na imeipa leseni Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu ya Kichina kuanza kuchimba bidhaa za dhahabu kwa miaka 21
Soma - https://jamii.app/UgandaGoldDeposit
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/UgandaGoldDeposit
#JamiiForums
👎20😁10🤔6👍3
RAIS SAMIA: TANGANYIKA PACKERS PAJENGWE KITUO CHA MICHEZO
Rais amesema, "Licha ya tatizo la umiliki wa eneo hilo lakini Wizara ya Michezo angalieni uwezekano wa kujenga Kituo cha Michezo eneo hilo la Kawe, Dar es Salaam"
Mbali na kuwa na Kituo cha Mabasi yaendayo maeneo mbalimbali Dar es Salaam, eneo hilo kwa sasa pia hutumika kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo maombi
Soma - https://jamii.app/SamiaUwanja
#JFSports
Rais amesema, "Licha ya tatizo la umiliki wa eneo hilo lakini Wizara ya Michezo angalieni uwezekano wa kujenga Kituo cha Michezo eneo hilo la Kawe, Dar es Salaam"
Mbali na kuwa na Kituo cha Mabasi yaendayo maeneo mbalimbali Dar es Salaam, eneo hilo kwa sasa pia hutumika kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo maombi
Soma - https://jamii.app/SamiaUwanja
#JFSports
👍3