UGANDA: Benki ya Dunia imesema Pato la Mwananchi ni dola 850 (takriban Tsh. 1,979,650) kwa mwaka wa fedha 2022 na sio Tsh. 2,433,805 kama Rais Museveni alivyoeleza
> Pia, ukuaji wa Uchumi ni 3.7% ambayo ni chini ya kiwango cha Uchumi wa Kati
Soma - https://jamii.app/UgandaUchumi
> Pia, ukuaji wa Uchumi ni 3.7% ambayo ni chini ya kiwango cha Uchumi wa Kati
Soma - https://jamii.app/UgandaUchumi
π22π5π€3π1
RASMI: TOTTENHAM YAMSAJILI RICHARLISON KUTOKA EVERTON
Imemsajili Mshambuliaji huyo (25) kwa Β£60m (Tsh. 169,800,000,000) na amesaini mkataba wa miaka mitano
Ni mchezaji wa 4 kusajiliwa na Spurs katika dirisha hili baada ya Ivan Perisic, Fraser Forster na Yves Bissouma
#JFSports
Imemsajili Mshambuliaji huyo (25) kwa Β£60m (Tsh. 169,800,000,000) na amesaini mkataba wa miaka mitano
Ni mchezaji wa 4 kusajiliwa na Spurs katika dirisha hili baada ya Ivan Perisic, Fraser Forster na Yves Bissouma
#JFSports
π11π1
Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Tanzania hii haiwezi kusonga mbele kama sisi Wananchi na Viongozi wenu tutakuwa legelege kulinda yaliyo yetu"
Katika Tahariri aliyoandika, amesema anatamani kujenga jamii yenye Maridhiano na Maelewano pasipo kujali tofauti za kisiasa, kidini, kikabila na nyinginezo
Soma zaidi - https://jamii.app/TahaririRais
Katika Tahariri aliyoandika, amesema anatamani kujenga jamii yenye Maridhiano na Maelewano pasipo kujali tofauti za kisiasa, kidini, kikabila na nyinginezo
Soma zaidi - https://jamii.app/TahaririRais
π16π7
Dkt. Yonah Mwalwisi kutoka TMDA amesema matumizi ya dawa za kuongeza Nguvu za Kiume bila kuzingatia ushauri wa Wataalamu wa Afya yanaweza kuchangia uwepo wa madhara ya Kiharusi, Mshtuko wa Moyo, Kuzimia na hata Kifo
Soma - https://jamii.app/DawaBilaUtalam
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/DawaBilaUtalam
#JamiiForums
π13
KATAVI: Malalamiko 57 ya Rushwa yalifikishwa TAKUKURU kati ya Januari - Machi 2022. Pia, Malalamiko mengine 4 ambayo hayakuhusisha Rushwa yalipokelewa
Malalamiko mengi yameelekezwa TAMISEMI, Ardhi na Utawala. Unadhani ni kwasababu gani?
Soma https://jamii.app/RushwaKatavi
#KemeaRushwa
Malalamiko mengi yameelekezwa TAMISEMI, Ardhi na Utawala. Unadhani ni kwasababu gani?
Soma https://jamii.app/RushwaKatavi
#KemeaRushwa
π5π€2π€¬1
SERIKALI YASITISHA FOMU YA KUNUNULIA DAWA NJE YA HOSPITALI
Serikali imesitisha matumizi ya Fomu ya 2C katika Hospitali za Umma zinazotumia Bima ya Afya
Fomu hiyo inamwezesha mgonjwa kununua dawa nje ya hospitali kwa kutumia bima
Soma > https://jamii.app/FomuYa2C
#JamiiForums
Serikali imesitisha matumizi ya Fomu ya 2C katika Hospitali za Umma zinazotumia Bima ya Afya
Fomu hiyo inamwezesha mgonjwa kununua dawa nje ya hospitali kwa kutumia bima
Soma > https://jamii.app/FomuYa2C
#JamiiForums
π€6π4
UTAFITI: Wanasayansi nchini China, wamegundua Virusi vya #Zika na #Dengue huwaachia waathirika harufu inayotajwa kuvutia mbu, ambao huwauma na kubeba Virusi na kupeleka kwa mtu mwingine
> Hii imetoa jibu la sababu za magonjwa hayo kuenea kwa kasi
Soma - https://jamii.app/DengueNaZika
#JamiiForums
> Hii imetoa jibu la sababu za magonjwa hayo kuenea kwa kasi
Soma - https://jamii.app/DengueNaZika
#JamiiForums
π7π3π€2
MUHIMBILI: UPASUAJI WA PACHA UMEFANYIKA KWA MAFANIKIO
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imetangaza upasuaji wa kutenganisha Watoto waliokuwa wameungana umefanyika kwa mafanikio
> Watoto Rehema na Neema walikuwa wameungana Kifuani
Soma https://jamii.app/WatotoPacha
#JamiiForums
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imetangaza upasuaji wa kutenganisha Watoto waliokuwa wameungana umefanyika kwa mafanikio
> Watoto Rehema na Neema walikuwa wameungana Kifuani
Soma https://jamii.app/WatotoPacha
#JamiiForums
π24π15
WAKILI AJITOA KESI YA JOHN PIMA
Wakili Valentine Nyalu amejitoa kuwawakilisha aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dkt. John Pima na wenzake watatu katika kesi ya Uhujumu Uchumi
> Wakili huyo hajataja sababu ya kujitoa
Soma - https://jamii.app/KesiJohnPima
#JamiiForums
Wakili Valentine Nyalu amejitoa kuwawakilisha aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dkt. John Pima na wenzake watatu katika kesi ya Uhujumu Uchumi
> Wakili huyo hajataja sababu ya kujitoa
Soma - https://jamii.app/KesiJohnPima
#JamiiForums
π17π3
ARSENAL KUMREJESHA JACK WILSHERE
Arsenal inazungumza na Jack Wilshere (30) kuhusu kumpa nafasi ya ukocha wa timu yao ya vijana U23 na U18
Wilshere kwa sasa hana timu, pia wanazungumza na Per Mertesacker kuhusu nafasi hiyo
Soma > https://jamii.app/WilshereArsenal
#JamiiForums #JFSports
Arsenal inazungumza na Jack Wilshere (30) kuhusu kumpa nafasi ya ukocha wa timu yao ya vijana U23 na U18
Wilshere kwa sasa hana timu, pia wanazungumza na Per Mertesacker kuhusu nafasi hiyo
Soma > https://jamii.app/WilshereArsenal
#JamiiForums #JFSports
π11π2
LIBYA: RAIA WAANDAMANA, WADAIWA KUCHOMA SEHEMU YA JENGO LA BUNGE
Kumekuwa na Maandamano katika Miji mbalimbali Nchini humo kupinga ukatikaji umeme, ongezeko la bei na mkwamo wa kisiasa
#Libya imewahi kuwa na viwango bora vya maisha Afrika
Soma - https://jamii.app/2LibyaProtests
Kumekuwa na Maandamano katika Miji mbalimbali Nchini humo kupinga ukatikaji umeme, ongezeko la bei na mkwamo wa kisiasa
#Libya imewahi kuwa na viwango bora vya maisha Afrika
Soma - https://jamii.app/2LibyaProtests
π’11π8π3π₯2
MDAU: GESI YA JOKOFU HAITAKIWI KUISHA
Mfumo wa gesi unazunguka katika duara, ikivuja ndipo inapoisha, hivyo fundi anatakiwa kuziba, kuondoa hewa ya kawaida kisha kujaza gesi
> Mdau anasema mafundi wengi hawana uelewa wa mchakato huo
Soma zaidi - https://jamii.app/ElimuYaJokofu
Mfumo wa gesi unazunguka katika duara, ikivuja ndipo inapoisha, hivyo fundi anatakiwa kuziba, kuondoa hewa ya kawaida kisha kujaza gesi
> Mdau anasema mafundi wengi hawana uelewa wa mchakato huo
Soma zaidi - https://jamii.app/ElimuYaJokofu
π19π5
DAR: Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea dua Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili
> Anaamini hiyo itamuongezea Waziri Mkuu utulivu zaidi katika mizunguko yake
Soma - https://jamii.app/MajaliwaAombewa
> Anaamini hiyo itamuongezea Waziri Mkuu utulivu zaidi katika mizunguko yake
Soma - https://jamii.app/MajaliwaAombewa
π16π€¬8π5π5
MAGEREZA KUANZA KUWALIPA WAFUNGWA
Kamishna Jenerali wa Magereza amesema "Tumeanzisha vitenga uchumi vingi kila gereza Tanzania. Tunakoenda tutaanza kuwalipa, hii itasaidia pindi wanapotoka wanakuwa na kiasi cha kuanzia maisha"
Soma - https://jamii.app/MagerezaKulipa
Kamishna Jenerali wa Magereza amesema "Tumeanzisha vitenga uchumi vingi kila gereza Tanzania. Tunakoenda tutaanza kuwalipa, hii itasaidia pindi wanapotoka wanakuwa na kiasi cha kuanzia maisha"
Soma - https://jamii.app/MagerezaKulipa
π24π₯8π6
UCHAGUZI KENYA: Naibu Rais, William Ruto anayewania Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 2022 amesema endapo atashinda, ataunda Tume kuchunguza Sera na baadhi ya vitendo vilivyofanywa na Rais Uhuru Kenyatta
Soma - https://jamii.app/RutoKenyatta
#KenyaElections
Soma - https://jamii.app/RutoKenyatta
#KenyaElections
π9π8π₯1
RUMANDE KWA TUHUMA ZA KUMLAWITI MLEMAVU WA AKILI
Said Hassan Mabrouk βSaid Kingβ wa Chake Chake yupo rumande akituhumiwa kumlawiti mlemavu wa akili Mei 10, 2022
Mwathirika ametoa ushahidi Mahakamani akieleza ilivyotokea
Soma - https://jamii.app/TuhumaUlawiti
#HumanRights
Said Hassan Mabrouk βSaid Kingβ wa Chake Chake yupo rumande akituhumiwa kumlawiti mlemavu wa akili Mei 10, 2022
Mwathirika ametoa ushahidi Mahakamani akieleza ilivyotokea
Soma - https://jamii.app/TuhumaUlawiti
#HumanRights
π€―10π4
COVID-19 YAONGEZEKA KWA 30% UINGEREZA
Takwimu zimeonesha kuwa ongezeko hilo ni ndani ya wiki moja iliyopita na Watu milioni 3 wakiambukizwa
> Uingereza iliondoa masharti ya kujilinda na Corona ikiwemo kuvaa barakoa kwa lazima
Soma - https://jamii.app/UKCovid19
Takwimu zimeonesha kuwa ongezeko hilo ni ndani ya wiki moja iliyopita na Watu milioni 3 wakiambukizwa
> Uingereza iliondoa masharti ya kujilinda na Corona ikiwemo kuvaa barakoa kwa lazima
Soma - https://jamii.app/UKCovid19
π6π1
YANGA BINGWA WA ASFC
Yanga imetwaa ubingwa huo baada ya kuifunga Coastal Union kwa penati 4-1
Timu hizo zilimaliza dakika 120 zikiwa zimefungana goli 3-3 katika fainali iliyochezwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mkoani Arusha
Soma > https://jamii.app/YangaBingwaFA
#JamiiForums
Yanga imetwaa ubingwa huo baada ya kuifunga Coastal Union kwa penati 4-1
Timu hizo zilimaliza dakika 120 zikiwa zimefungana goli 3-3 katika fainali iliyochezwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mkoani Arusha
Soma > https://jamii.app/YangaBingwaFA
#JamiiForums
π24π8π₯5π4
RONALDO AOMBA KUONDOKA MAN UTD, MASHABIKI WASEMA βMUACHENI AENDE ZAKEβ
Cristiano Ronaldo ameomba kuondoka Manchester United, inadaiwa sababu ni timu hiyo kutofuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya na kutofanya usajili mzuri
Baadhi ya mashabiki wa United mitandaoni wamenukuliwa wakisema βmuacheni aendeβ
Soma https://jamii.app/RonaldoOut
#JamiiForums
Cristiano Ronaldo ameomba kuondoka Manchester United, inadaiwa sababu ni timu hiyo kutofuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya na kutofanya usajili mzuri
Baadhi ya mashabiki wa United mitandaoni wamenukuliwa wakisema βmuacheni aendeβ
Soma https://jamii.app/RonaldoOut
#JamiiForums
π30π8π3π3
ARGENTINA: WAZIRI WA UCHUMI AJIUZULU
Martin GuzmΓ‘n amejiuzulu wakati mdororo wa Kiuchumi ukiendelea kushika kasi Nchini humo
#Argentina inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo Mfumuko wa Bei na kupanda kwa bei za Chakula na Nishati
Soma - https://jamii.app/WaziriUchumiArg
Martin GuzmΓ‘n amejiuzulu wakati mdororo wa Kiuchumi ukiendelea kushika kasi Nchini humo
#Argentina inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo Mfumuko wa Bei na kupanda kwa bei za Chakula na Nishati
Soma - https://jamii.app/WaziriUchumiArg
π7π2