BANGLADESH: WATU TAKRIBAN 41 WADAIWA KUFARIKI KWA MAFURIKO
Ni kutokana na Mvua kubwa iliyonyesha kwa takriban wiki moja huku ikiacha mamilioni ya watu bila makazi
> Inaelezwa, baadhi ya Shule zimegeuzwa hifadhi za muda kwa waathirika
Soma - https://jamii.app/MafurikoBangladesh
Ni kutokana na Mvua kubwa iliyonyesha kwa takriban wiki moja huku ikiacha mamilioni ya watu bila makazi
> Inaelezwa, baadhi ya Shule zimegeuzwa hifadhi za muda kwa waathirika
Soma - https://jamii.app/MafurikoBangladesh
π’9π2π1
Marekani imetangaza chanjo ya #COVID19 kwa Watoto Wachanga na wanaosoma katika Shule za Awali kuanzia wiki ijayo
> Hatua ya awali itahusisha dozi ya Watoto milioni 18
Soma - https://jamii.app/ChanjoYaCovid19
#JamiiForums
> Hatua ya awali itahusisha dozi ya Watoto milioni 18
Soma - https://jamii.app/ChanjoYaCovid19
#JamiiForums
π4π2π©1
JUNI 19: SIKU YA UGONJWA WA SELIMUNDU DUNIANI
Ugonjwa wa #SickleCell husababishwa na mabadiliko ya chembe nyekundu za Damu
Kaulimbiu ya Mwaka 2022 ni #ShineTheLightOnSickleCell ikilenga kujenga uelewa na ufahamu ikiwemo kusahihisha fikra potofu
Soma - https://jamii.app/SikuYaSeliMundu
#WorldSickleCellDay
Ugonjwa wa #SickleCell husababishwa na mabadiliko ya chembe nyekundu za Damu
Kaulimbiu ya Mwaka 2022 ni #ShineTheLightOnSickleCell ikilenga kujenga uelewa na ufahamu ikiwemo kusahihisha fikra potofu
Soma - https://jamii.app/SikuYaSeliMundu
#WorldSickleCellDay
π3π1
Takwimu za 2021 za Shirika la Afya (WHO) zinaonesha zaidi ya Watoto 1,000 Duniani huzaliwa wakiwa na Selimundu kila siku
Nchini Tanzania, Watoto 11,000 huzaliwa na Ugonjwa huo kila Mwaka, sawa na Watoto 8 kati ya 1,000
Soma - https://jamii.app/TZSelimundu
#WorldSickleCellDay
Nchini Tanzania, Watoto 11,000 huzaliwa na Ugonjwa huo kila Mwaka, sawa na Watoto 8 kati ya 1,000
Soma - https://jamii.app/TZSelimundu
#WorldSickleCellDay
π5π2π’1
MDAU: Ikiwa umekopa mtu pesa au chochote ili utatue shida zako kwa makubaliano ya kurudisha, ikifika muda huo lipa na ikitokea umekwama, toa taarifa mapema
> Je, umewahi kumkopesha mtu akachelewa kukulipa?
Mjadala - https://jamii.app/LipaDeniKwaWakati
> Je, umewahi kumkopesha mtu akachelewa kukulipa?
Mjadala - https://jamii.app/LipaDeniKwaWakati
π18π1π₯1
TANZANIA YA 5 DUNIANI KWA WAGONJWA WA SELIMUNDU
Inashika nafasi hiyo ikiwa na watu 200,000 wenye ugonjwa huo. Watu 5 mpaka 7 kati ya 100 chini ya miaka mitano hufariki dunia kwa sababu mbalimbali kutokana na Selimundu
Soma - https://jamii.app/SikoseliTakwimu
#WorldSickleCellDay
Inashika nafasi hiyo ikiwa na watu 200,000 wenye ugonjwa huo. Watu 5 mpaka 7 kati ya 100 chini ya miaka mitano hufariki dunia kwa sababu mbalimbali kutokana na Selimundu
Soma - https://jamii.app/SikoseliTakwimu
#WorldSickleCellDay
π7π4
SIMBA 3-1 KMC
Simba imeshinda ktk Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa, leo Juni 19, 2022 ambapo mchezo huo ni wa mwisho kwa Larry Bwalya wa Simba
> Mabao ya Simba yamefungwa na Kibu Denis, Pape Sakho na Henock Inonga. Bao la KMC limefungwa na Hassan Kabunda
Soma - https://jamii.app/3Simba1KMC
Simba imeshinda ktk Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa, leo Juni 19, 2022 ambapo mchezo huo ni wa mwisho kwa Larry Bwalya wa Simba
> Mabao ya Simba yamefungwa na Kibu Denis, Pape Sakho na Henock Inonga. Bao la KMC limefungwa na Hassan Kabunda
Soma - https://jamii.app/3Simba1KMC
π9π5
MAAMBUKIZI YA COVID-19 YAPANDA KWA 9.9%
Watu 246 wamekutwa na maambukizi ya #COVID19 kati ya 2,484 waliofanyiwa vipimo ndani ya saa 24 zilizopita Nchini Kenya, huku Wizara ya Afya ikisema kuna ongezeko la 9.9% la maambukizi
Soma > https://jamii.app/KECovid
#JamiiForums
Watu 246 wamekutwa na maambukizi ya #COVID19 kati ya 2,484 waliofanyiwa vipimo ndani ya saa 24 zilizopita Nchini Kenya, huku Wizara ya Afya ikisema kuna ongezeko la 9.9% la maambukizi
Soma > https://jamii.app/KECovid
#JamiiForums
π6π2
UFARANSA: JITIHADA ZA MACRON KUDHIBITI BUNGE ZAGONGA MWAMBA
Rais Emmanuel Macron na Washirika wake wamekosa udhibiti wa Bunge baada ya kushindwa kupata Viti vya kutosha
Matokeo hayo yanaweza kuathiri mwelekeo wa Nchi ikiwa Macron hatoshirikiana na Vyama vingine
Soma - https://jamii.app/MacronBunge
Rais Emmanuel Macron na Washirika wake wamekosa udhibiti wa Bunge baada ya kushindwa kupata Viti vya kutosha
Matokeo hayo yanaweza kuathiri mwelekeo wa Nchi ikiwa Macron hatoshirikiana na Vyama vingine
Soma - https://jamii.app/MacronBunge
π11
CHELSEA YATAKA KUMSAJILI STERLING WA MAN. CITY
Chelsea ina imani itamsajili Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling, kama ada ya uhamisho itaafikiwa
Inadaiwa Kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel anaamini Sterling anafaa zaidi katika mfumo wa Chelsea kuliko Lukaku
Je, unadhani Sterling ataingβarisha safu ya ushambuliaji ya Chelsea?
#JFSports
Chelsea ina imani itamsajili Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling, kama ada ya uhamisho itaafikiwa
Inadaiwa Kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel anaamini Sterling anafaa zaidi katika mfumo wa Chelsea kuliko Lukaku
Je, unadhani Sterling ataingβarisha safu ya ushambuliaji ya Chelsea?
#JFSports
π15π4π4π4π©1
VIONGOZI EAC KUJADILI MZOZO WA DRC, RWANDA
Viongozi 7 wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanakutana leo Juni 20, 2022, Jijini Nairobi kutafuta utatuzi wa mgogoro wa DRC na Rwanda
> Kumekuwa na mapigano makali mpakani mwa nchi hizo
Soma - https://jamii.app/RwaDRC
#JamiiForums
Viongozi 7 wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanakutana leo Juni 20, 2022, Jijini Nairobi kutafuta utatuzi wa mgogoro wa DRC na Rwanda
> Kumekuwa na mapigano makali mpakani mwa nchi hizo
Soma - https://jamii.app/RwaDRC
#JamiiForums
π14π3π₯1
Siku ya Wakimbizi Duniani huadhimishwa kila Juni 20. Mwaka 2022, Maadhimisho yake yamejikita katika Haki ya kutafuta usalama
Wakati wowote Watu wanapolazimika kukimbia Makazi yao kutokana na vita au vurugu, wana Haki ya kulindwa
Soma - https://jamii.app/WRD2022
#WorldRefugeeDay
Wakati wowote Watu wanapolazimika kukimbia Makazi yao kutokana na vita au vurugu, wana Haki ya kulindwa
Soma - https://jamii.app/WRD2022
#WorldRefugeeDay
π6
Bajeti ya Serikali ya 2022/23, imeonesha kuwa Bunge limeongezewa kiasi cha Tsh. 5,000,000,000 kwa ajili ya βMatumizi Mengineyoβ ili kuwezesha utekelezaji wa majukumu yake, ikiwemo kuwajengea uwezo Wabunge ili waweze kuisimamia vizuri Serikali
Soma - https://jamii.app/BajetiKuuTz
Soma - https://jamii.app/BajetiKuuTz
π28π€¬6π4π©1
MBUNGE: TUNAFANYA MCHEZO NA MRADI WA LIGANGA-MCHUCHUMA
Deodatus Mwanyika amesema inaonekana hakuna Mkakati wowote kwani hakuna taarifa zinazotolewa kuhusu mazungumzo yalipofikia
Ameeleza, "Sisi Watanzania ni watu wa ajabu. Tuna Makaa ya Mawe ambayo bei yake ni nzuri lakini bado tunafanya mchezo"
Soma - https://jamii.app/MradiMbunge
Deodatus Mwanyika amesema inaonekana hakuna Mkakati wowote kwani hakuna taarifa zinazotolewa kuhusu mazungumzo yalipofikia
Ameeleza, "Sisi Watanzania ni watu wa ajabu. Tuna Makaa ya Mawe ambayo bei yake ni nzuri lakini bado tunafanya mchezo"
Soma - https://jamii.app/MradiMbunge
π13
#UKRAINE: Bunge limepiga kura 303 kuunga mkono kupiga marufuku baadhi ya muziki wa Urusi kwenye Vyombo vya Habari na maeneo ya Umma Nchini humo
> Marufuku hiyo itahusisha Wanamuziki na Watunzi ambao ni au walikuwa raia wa Urusi baada ya 1991
Soma - https://jamii.app/RussiaMusicBan
> Marufuku hiyo itahusisha Wanamuziki na Watunzi ambao ni au walikuwa raia wa Urusi baada ya 1991
Soma - https://jamii.app/RussiaMusicBan
π10π©1
Takwimu za UNHCR zinaonesha kuna idadi ya Wakimbizi duniani ni milioni 89.3, kati yao Wakimbizi milioni 27.1 wapo kwenye Vituo Rasmi vya Wakimbizi
> Nusu ya Wakimbizi walio katika Vituo Rasmi wana umri chini ya miaka 18
Soma - https://jamii.app/SikuYaWakimbizi
#WorldRefugeeDay
> Nusu ya Wakimbizi walio katika Vituo Rasmi wana umri chini ya miaka 18
Soma - https://jamii.app/SikuYaWakimbizi
#WorldRefugeeDay
π5π₯°1
TARIMBA: SERIKALI IANGALIE UTARATIBU MZURI WA KUPANUA WIGO WA WALIPAKODI
Mbunge wa Kinondoni amesema, "Tatizo lililopo hasa upande wa Serikali, wanamlenga Mlipakodi wanayemuona kama njia ya kupandisha Mapato"
Asema utaratibu huo ni mbaya, akishauri Mamlaka kuweka Kima kidogo ili watu wengi waweze kulipa Kodi
Soma - https://jamii.app/WigoKodi
Mbunge wa Kinondoni amesema, "Tatizo lililopo hasa upande wa Serikali, wanamlenga Mlipakodi wanayemuona kama njia ya kupandisha Mapato"
Asema utaratibu huo ni mbaya, akishauri Mamlaka kuweka Kima kidogo ili watu wengi waweze kulipa Kodi
Soma - https://jamii.app/WigoKodi
π15
Bajeti Kuu imeonesha ongezeko la Tsh. 20,000,000,000 kwenye bajeti ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali kwa ajili kugharamia Mashahidi wa Makosa ya Jinai na ujenzi wa Vituo Jumuishi 64 vya utoaji Haki na kutafsiri Sheria nchini
Soma - https://jamii.app/BajetiKuuTz
Soma - https://jamii.app/BajetiKuuTz
π€4
#KENYA: SERIKALI YAREJESHA KANUNI YA UVAAJI BARAKOA
Wakenya wamehimizwa kuvaa barakoa wakiwa katika mazingira mbalimbali ikiwemo Usafiri wa Umma, Ofisini na Nyumba za Ibada
Hivi karibuni Ripoti ya CDC Afrika ilitaja Kenya kuwa miongoni mwa Nchi zinazokabiliwa na Wimbi la Sita la #COVID19
Soma - https://jamii.app/MasksKenya
Wakenya wamehimizwa kuvaa barakoa wakiwa katika mazingira mbalimbali ikiwemo Usafiri wa Umma, Ofisini na Nyumba za Ibada
Hivi karibuni Ripoti ya CDC Afrika ilitaja Kenya kuwa miongoni mwa Nchi zinazokabiliwa na Wimbi la Sita la #COVID19
Soma - https://jamii.app/MasksKenya
π9π1
#ZIMBABWE: Mamia ya Watumishi wa Umma wa Sekta ya #Afya wamefanya Mgomo kutokana na mishahara midogo na mazingira duni ya Kazi
> Inaelezwa Serikali imetangaza kuongeza mishahara kufikia Mwezi Julai, kiwango ambacho bado wanadai hakiridhishi
Soma - https://jamii.app/MgomoZimbabwe
#JFLeo
> Inaelezwa Serikali imetangaza kuongeza mishahara kufikia Mwezi Julai, kiwango ambacho bado wanadai hakiridhishi
Soma - https://jamii.app/MgomoZimbabwe
#JFLeo
π10π₯1