#KENYA: Wizara ya Afya imetangaza ongezeko kubwa la maambukizi ya #UKIMWI ambapo Watoto wa Kike 98 wenye Miaka 10 hadi 19 huambukizwa VVU kila wiki
Januari - Februari, Wasichana 45,724 wamekutwa na Mimba huku 2,196 wakikumbana na Unyanyasaji
Soma - https://jamii.app/VVUWatotoKE
#Afya
Januari - Februari, Wasichana 45,724 wamekutwa na Mimba huku 2,196 wakikumbana na Unyanyasaji
Soma - https://jamii.app/VVUWatotoKE
#Afya
π1
ALIYESHIRIKISHWA βEKWUEMEβ AFARIKI DUNIA
Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili wa Nigeria, Osinachi Nwachukwu aliyepata umaarufu kupitia wimbo wa #Ekwueme amefariki dunia
> Amefariki Aprili 8, 2022 baada ya kupambana na ugonjwa kwa muda mrefu
Soma - https://jamii.app/EkwuemeDeath
Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili wa Nigeria, Osinachi Nwachukwu aliyepata umaarufu kupitia wimbo wa #Ekwueme amefariki dunia
> Amefariki Aprili 8, 2022 baada ya kupambana na ugonjwa kwa muda mrefu
Soma - https://jamii.app/EkwuemeDeath
ELIMU: Imebainika zaidi ya asilimia 90 ya Watoto walio Mitaani Jijini Mwanza wana umri wa kwenda Shuleni
Kuanzia Januari - Aprili 2022 kuna Wanafunzi watoro 19,133 ktk Shule za Msingi huku za Sekondari Wanafunzi watoro wakiwa ni 7,594
Soma - https://jamii.app/UtoroShuleni
#HakiMtoto
Kuanzia Januari - Aprili 2022 kuna Wanafunzi watoro 19,133 ktk Shule za Msingi huku za Sekondari Wanafunzi watoro wakiwa ni 7,594
Soma - https://jamii.app/UtoroShuleni
#HakiMtoto
MBUNGE: TUME ILIYOKWENDA MTO MARA ICHUNGUZWE
Kasalali Mageni amesema Wataalamu wengi wana mazingira ya rushwa akisisitiza, "Nchi hii haiwezi kula Ripoti ya kupikwa"
Asema Uchunguzi unahitajika kufahamu chanzo cha Magonjwa ya Saratani Kanda ya Ziwa
Soma - https://jamii.app/TumeMtoMara
#JFLeo
Kasalali Mageni amesema Wataalamu wengi wana mazingira ya rushwa akisisitiza, "Nchi hii haiwezi kula Ripoti ya kupikwa"
Asema Uchunguzi unahitajika kufahamu chanzo cha Magonjwa ya Saratani Kanda ya Ziwa
Soma - https://jamii.app/TumeMtoMara
#JFLeo
π1
MWANZA: Walimu 250 wa Wilaya ya Nyamagana wadaiwa kuandamana kudai posho za kazi ya kuweka Alama za Anwani za Makazi waliyoifanya kwa siku tano
> Inaelezwa kuwa, kila Mtumishi anadai Tsh. 100,000 ambayo ndio malipo ya siku tano
Soma - https://jamii.app/MwanzaWalimu
#JamiiForums
> Inaelezwa kuwa, kila Mtumishi anadai Tsh. 100,000 ambayo ndio malipo ya siku tano
Soma - https://jamii.app/MwanzaWalimu
#JamiiForums
Rais Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Africa Road BuildersβBabacar Ndiaye Trophy Mwaka 2022
Tuzo hiyo hutolewa kwa Watu mashuhuri Afrika ambao wameonesha dhamira ya kuendeleza Sekta ya Miundombinu ya usafiri Barani
Soma - https://jamii.app/SamiaNdiayeTuzo
#JFLeo
Tuzo hiyo hutolewa kwa Watu mashuhuri Afrika ambao wameonesha dhamira ya kuendeleza Sekta ya Miundombinu ya usafiri Barani
Soma - https://jamii.app/SamiaNdiayeTuzo
#JFLeo
#PAKISTAN: WAZIRI MKUU, IMRAN KHAN AONDOLEWA MADARAKANI
Ni baada ya Bunge kupiga Kura ya kutokuwa na Imani naye
Khan anakuwa Waziri Mkuu wa kwanza kuondolewa kwa Kura ya kutokuwa na imani naye
Waziri Mkuu mpya kuchaguliwa Aprili 11, 2022
Soma - https://jamii.app/ImranKhanOut
#JFLeo
Ni baada ya Bunge kupiga Kura ya kutokuwa na Imani naye
Khan anakuwa Waziri Mkuu wa kwanza kuondolewa kwa Kura ya kutokuwa na imani naye
Waziri Mkuu mpya kuchaguliwa Aprili 11, 2022
Soma - https://jamii.app/ImranKhanOut
#JFLeo
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ni kosa kisheria kuvuta sigara hadharani au kwenye maeneo ya mikusanyiko
> Faini yake ni Tsh. 200,000 au kifungo miezi 6 jela
Soma > https://jamii.app/FainiSigara
#JamiiForums
> Faini yake ni Tsh. 200,000 au kifungo miezi 6 jela
Soma > https://jamii.app/FainiSigara
#JamiiForums
UGANDA: Rais Yoweri #Museveni amewataka Polisi kuwakamata wanaoandika kuwa Spika Jacob #Oulanyah amefariki kwa kupewa sumu
> Aidha, Naibu M/Kiti wa Chama cha NRM amesema Jacob alimjulisha kuwa alipewa sumu baada ya kushinda Uspika
Soma - https://jamii.app/SpikaSumuUganda
> Aidha, Naibu M/Kiti wa Chama cha NRM amesema Jacob alimjulisha kuwa alipewa sumu baada ya kushinda Uspika
Soma - https://jamii.app/SpikaSumuUganda
RONALDO AOMBA RADHI BAADA YA KUVUNJA SIMU YA SHABIKI WA EVERTON
Imetokea Aprili 9, 2022 baada ya Man. United kufungwa bao 1-0 na Everton ktk Uwanja wa Goodison Park
> Shabiki alimpiga Ronaldo picha wakati akirejea vyumbani baada ya mchezo
Soma - https://jamii.app/CR7AvunjaSimu
#JFSports
Imetokea Aprili 9, 2022 baada ya Man. United kufungwa bao 1-0 na Everton ktk Uwanja wa Goodison Park
> Shabiki alimpiga Ronaldo picha wakati akirejea vyumbani baada ya mchezo
Soma - https://jamii.app/CR7AvunjaSimu
#JFSports
BEN AFFLECK AMCHUMBIA TENA JENNIFER LOPEZ
Mwanamuziki, Jennifer #Lopez na Muigizaji, Ben Affleck wametangaza kuwa wachumba baada ya Ben kumvalisha pete Jennifer
Wawili hao walirudiana 2021 baada ya uchumba wao wa awali kuvunjika 2004
Soma - https://jamii.app/JloBenPete
Mwanamuziki, Jennifer #Lopez na Muigizaji, Ben Affleck wametangaza kuwa wachumba baada ya Ben kumvalisha pete Jennifer
Wawili hao walirudiana 2021 baada ya uchumba wao wa awali kuvunjika 2004
Soma - https://jamii.app/JloBenPete
Shirika la Afya Duniani limesema mbili ya tatu ya watu waliopo Afrika wameambukizwa COVID-19 ndani ya miaka miwili, ikiwa ni mara 97 ya takwimu zilizoripotiwa na Mamlaka husika
> Nchi iliyoripoti maambukizi mengi Afrika ni Afrika Kusini
Soma - https://jamii.app/Uviko-19Afrika
> Nchi iliyoripoti maambukizi mengi Afrika ni Afrika Kusini
Soma - https://jamii.app/Uviko-19Afrika
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema magari yaliyotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini
> Aidha, Waziri Mkuu ameiambia #TBS kuwa ina wajibu wa kujiridhisha na kuelimisha wanaoagiza magari
Soma - https://jamii.app/MagariBandarini
#JamiiForums
> Aidha, Waziri Mkuu ameiambia #TBS kuwa ina wajibu wa kujiridhisha na kuelimisha wanaoagiza magari
Soma - https://jamii.app/MagariBandarini
#JamiiForums
LIGI KUU: SIMBA SC YAAMBULIA POINTI MOJA KWA POLISI TANZANIA
Simba imepata pointi moja kwa matokeo ya 0-0 dhidi ya Polisi Tanzania, katika Uwanja wa Ushirika Moshi
Kocha wa Simba, Pablo Franco amesema uwanja haukuwa mzuri
Soma - https://jamii.app/PolisiSimba
#JamiiForums #Sports
Simba imepata pointi moja kwa matokeo ya 0-0 dhidi ya Polisi Tanzania, katika Uwanja wa Ushirika Moshi
Kocha wa Simba, Pablo Franco amesema uwanja haukuwa mzuri
Soma - https://jamii.app/PolisiSimba
#JamiiForums #Sports
#UKRAINE: UCHUMI KUPOROMOKA KWA 45.1% KUTOKANA NA VITA
Benki ya Dunia inasema uvamizi wa Urusi umelazimisha biashara kufungwa na kupunguza mauzo ya nje
Pato la Taifa la #Russia Mwaka 2022 linatarajiwa kushuka kwa 11.2% kutokana na vikwazo
Soma - https://jamii.app/VitaUchumiUkr
#JFLeo
Benki ya Dunia inasema uvamizi wa Urusi umelazimisha biashara kufungwa na kupunguza mauzo ya nje
Pato la Taifa la #Russia Mwaka 2022 linatarajiwa kushuka kwa 11.2% kutokana na vikwazo
Soma - https://jamii.app/VitaUchumiUkr
#JFLeo
JE, UNAJUA NINI KINACHELEWESHA UPATIKANAJI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA?
Ripoti ya Ukaguzi wa CAG Mwaka 2019/20, ilionesha zoezi la usajili na utoaji Vitambulisho vya Taifa linaathiriwa na uchapaji mdogo wa vitambulisho ikilinganishwa na wingi wa Wananchi walioandikishwa
#JFUwajibikaji #WAJIBU #Accountability
Ripoti ya Ukaguzi wa CAG Mwaka 2019/20, ilionesha zoezi la usajili na utoaji Vitambulisho vya Taifa linaathiriwa na uchapaji mdogo wa vitambulisho ikilinganishwa na wingi wa Wananchi walioandikishwa
#JFUwajibikaji #WAJIBU #Accountability
GWAJIMA: DIRA YA TAIFA INAHITAJIKA KUEPUSHA KILA RAIS KUANZA NA LAKE
Mbunge wa Kawe amesema Dira ni muhimu ili Rais anayeingia Madarakani asimamie maono ya Nchi na si yake binafsi
Asema hakuna Nchi inayoweza kuendelea ndani ya Utawala mmoja
Soma - https://jamii.app/TZDiraTaifa
Mbunge wa Kawe amesema Dira ni muhimu ili Rais anayeingia Madarakani asimamie maono ya Nchi na si yake binafsi
Asema hakuna Nchi inayoweza kuendelea ndani ya Utawala mmoja
Soma - https://jamii.app/TZDiraTaifa
BONDIA MWAKINYO AVULIWA MKANDA WA ABU
Baada ya Bondia Hassan Mwakinyo kuvuliwa Mkanda wa Ubingwa wa Mabara wa WBF, sasa amevuliwa Mkanda wa Ubingwa wa Afika (ABU)
> Sababu ni kwa kuwa hajapigana kuitetea ndani ya miezi sita
Soma > https://jamii.app/MwakinyoMikanda
#JamiiForums #JFSports
Baada ya Bondia Hassan Mwakinyo kuvuliwa Mkanda wa Ubingwa wa Mabara wa WBF, sasa amevuliwa Mkanda wa Ubingwa wa Afika (ABU)
> Sababu ni kwa kuwa hajapigana kuitetea ndani ya miezi sita
Soma > https://jamii.app/MwakinyoMikanda
#JamiiForums #JFSports
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Donald J. Wright amesema Upinzani wa Kisiasa ukiwa imara ni jambo jema kwenye Afya ya Demokrasia
> Amesema hayo leo Aprili 11, 2022 alipokutana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe
Soma - https://jamii.app/MboweUSA
#JamiiForums #Demokrasia
> Amesema hayo leo Aprili 11, 2022 alipokutana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe
Soma - https://jamii.app/MboweUSA
#JamiiForums #Demokrasia
π1
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Saratani ni moja kati ya visababishi vikubwa vya vifo japokuwa inaweza kutibiwa. Kuchelewa kugundua Saratani inatajwa kuwa sababu kubwa inayochangia vifo
Kwa Tanzania, Saratani zinazoongoza ni pamoja na Saratani ya Mlango wa Kizazi kwa Wanawake, Saratani ya Matiti na Saratani ya Tezi Dume
Soma - https://jamii.app/CancerTZ
#Afya
Kwa Tanzania, Saratani zinazoongoza ni pamoja na Saratani ya Mlango wa Kizazi kwa Wanawake, Saratani ya Matiti na Saratani ya Tezi Dume
Soma - https://jamii.app/CancerTZ
#Afya