MDAU: MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUCHAGUA WAZO LA BIASHARA
1. Chagua wazo unalolipenda na kulimudu: Kanuni mojawapo ya kufanikiwa ni kupenda kile unachokifanya
2. Zingatia upatikanaji wa Fedha: Hakikisha wazo unalolichagua utaweza kupata Fedha za kutosha ili kulitekeleza
3. Angalia uhitaji wa Soko: Unapoangalia uhitaji wa soko utachagua Biashara ambayo itauzika
Soma - https://jamii.app/BiasharaWazo
#Business
1. Chagua wazo unalolipenda na kulimudu: Kanuni mojawapo ya kufanikiwa ni kupenda kile unachokifanya
2. Zingatia upatikanaji wa Fedha: Hakikisha wazo unalolichagua utaweza kupata Fedha za kutosha ili kulitekeleza
3. Angalia uhitaji wa Soko: Unapoangalia uhitaji wa soko utachagua Biashara ambayo itauzika
Soma - https://jamii.app/BiasharaWazo
#Business
JE, WAJUA KUHUSU βSAA YA DUNIAβ?
Tangu 2007 Dunia hutumia Jumamosi ya Mwisho ya Machi kuadhimisha Saa ya Dunia, ambapo taa za umeme huzimwa kwa saa 1 kuanzia Saa mbili na nusu hadi saa tatu na nusu usiku
> Hii hufanywa kutambua umuhimu wa Asili
Soma https://jamii.app/EarthHour
Tangu 2007 Dunia hutumia Jumamosi ya Mwisho ya Machi kuadhimisha Saa ya Dunia, ambapo taa za umeme huzimwa kwa saa 1 kuanzia Saa mbili na nusu hadi saa tatu na nusu usiku
> Hii hufanywa kutambua umuhimu wa Asili
Soma https://jamii.app/EarthHour
TWAHA KIDUKU AMTWANGA MKONGO, ALEX KABANGU
Bondia wa Tanzania, Twaha Kassim amempiga kwa point Bondia wa DR-Congo, Alex Kabangu katika pambano la round nane
> Kwa Ushindi huo, Twaha amejitwalia mkanda wa UBO-Super Middle Weight ambao ulikuwa wazi
Soma https://jamii.app/TwahaVsKabangu
Bondia wa Tanzania, Twaha Kassim amempiga kwa point Bondia wa DR-Congo, Alex Kabangu katika pambano la round nane
> Kwa Ushindi huo, Twaha amejitwalia mkanda wa UBO-Super Middle Weight ambao ulikuwa wazi
Soma https://jamii.app/TwahaVsKabangu
UKRAINE: Waandishi wa Habari 12 wamefariki na 10 kujeruhiwa Nchini humo tangu kuzuka kwa Vita mwezi mmoja uliopita
Hadi sasa karibu Wawakilishi wa Vyombo vya Habari 56 wameshambuliwa ikiwa ni pamoja na Vyombo 15 vya kigeni
Soma - https://jamii.app/MediaDeathUkr
#RussiaUkraineWar
Hadi sasa karibu Wawakilishi wa Vyombo vya Habari 56 wameshambuliwa ikiwa ni pamoja na Vyombo 15 vya kigeni
Soma - https://jamii.app/MediaDeathUkr
#RussiaUkraineWar
KENYA: Rais Uhuru Kenyatta amesema Naibu wa Rais, William Ruto alikuwa akimuhujumu na kusimamia mipango ya kumfanyia hujuma ili ashitakiwe
> Kenyatta amesisitiza Raila Odinga ndiye mtu sahihi kwa Nafasi ya Urais ktk uchaguzi wa mwaka huu
Soma - https://jamii.app/Kenyatta
> Kenyatta amesisitiza Raila Odinga ndiye mtu sahihi kwa Nafasi ya Urais ktk uchaguzi wa mwaka huu
Soma - https://jamii.app/Kenyatta
UFARANSA: Wanafunzi Mjini Paris, wameandamana wakipinga Ujenzi wa Bomba la Mafuta la #Tanzania na #Uganda wakisema ni uharibifu wa mazingira
> Omar Elmawi ambaye ni Raia wa Kenya ameonekana kuwa kinara wa kampeni hiyo ya #StopEACOP
Soma https://jamii.app/BombaLaMafuta
> Omar Elmawi ambaye ni Raia wa Kenya ameonekana kuwa kinara wa kampeni hiyo ya #StopEACOP
Soma https://jamii.app/BombaLaMafuta
BIDEN ATOA KAULI KALI KWA PUTIN, IKULU YAINGILIA KUPOZA MAKALI
Rais wa Marekani, Joe #Biden amesema Rais Putin hatakiwi kuendelea kuwepo Madarakani
Ikulu ya Marekani imefafanua kuwa Biden hakumaanisha kushawishi mabadiliko Urusi
Soma - https://jamii.app/PutinBiden
#JamiiForums
Rais wa Marekani, Joe #Biden amesema Rais Putin hatakiwi kuendelea kuwepo Madarakani
Ikulu ya Marekani imefafanua kuwa Biden hakumaanisha kushawishi mabadiliko Urusi
Soma - https://jamii.app/PutinBiden
#JamiiForums
UNYANYASAJI WAFANYAKAZI PEPSI: UCHUNGUZI WAANZA
Serikali imekiri kutambua taarifa za madai ya unyanyasi na madhila kwa wafanyakazi wa Kiwanda cha #Pepsi (SBC LTD) Jijini Dar
Ukaguzi na uchunguzi unaendelea kiwandani hapo
Soma - https://jamii.app/UtuKazini
#JamiiForums #HumanRights
Serikali imekiri kutambua taarifa za madai ya unyanyasi na madhila kwa wafanyakazi wa Kiwanda cha #Pepsi (SBC LTD) Jijini Dar
Ukaguzi na uchunguzi unaendelea kiwandani hapo
Soma - https://jamii.app/UtuKazini
#JamiiForums #HumanRights
#KENYA: WASIOJULIKANA WAZIDI KUUA, IDADI YAFIKA 29
Miili miwili iliyopatikana ikielea Mto Yala imefikisha idadi ya Maiti za Watu 29 wanaodaiwa kuuawa tangu Oktoba 2021
Mwili mmoja umetobolewa Macho huku mwingine ukiwa umefungwa mfuko Kichwani
Soma - https://jamii.app/KenyaMauaji
Miili miwili iliyopatikana ikielea Mto Yala imefikisha idadi ya Maiti za Watu 29 wanaodaiwa kuuawa tangu Oktoba 2021
Mwili mmoja umetobolewa Macho huku mwingine ukiwa umefungwa mfuko Kichwani
Soma - https://jamii.app/KenyaMauaji
#Iraq imejenga ukuta kwenye mpaka wake na #Syria ili kuzuia wanajihadi wa kundi la Islamic State kuingia
Ukuta umejengwa Ninawi, eneo la #Sinjar na una urefu Kilometa 12 na Mita 3.5 kwenda juu. Ujenzi ulianza 2018 na haitambuliki lini utakamilika
Soma - https://jamii.app/UkutaIS
Ukuta umejengwa Ninawi, eneo la #Sinjar na una urefu Kilometa 12 na Mita 3.5 kwenda juu. Ujenzi ulianza 2018 na haitambuliki lini utakamilika
Soma - https://jamii.app/UkutaIS
π1
TANZIA: PROF. NGOWI AFARIKI DUNIA
Prof. Honest Ngowi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Mzumbe akiwa na Dereva wake wamefariki kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Mlandizi, Pwani wakiwa njiani kuelekea Morogoro
> Ajali imetokea Machi 28, 2022 asubuhi
Soma https://jamii.app/ProfNgowi
Prof. Honest Ngowi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Mzumbe akiwa na Dereva wake wamefariki kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Mlandizi, Pwani wakiwa njiani kuelekea Morogoro
> Ajali imetokea Machi 28, 2022 asubuhi
Soma https://jamii.app/ProfNgowi
π1
EL SALVADOR YATANGAZA HALI YA HATARI KUTOKANA NA MAUAJI YA MAGENGE
Vurugu za magenge zimeongezeka sana ambapo Watu 62 wameuawa Machi 26 pekee
Tangazo hilo linadhibiti Mikusanyiko huru, Uhuru wa Mawasiliano na linaruhusu ukamataji bila waranti
Soma - https://jamii.app/ElSavadorUnrest
Vurugu za magenge zimeongezeka sana ambapo Watu 62 wameuawa Machi 26 pekee
Tangazo hilo linadhibiti Mikusanyiko huru, Uhuru wa Mawasiliano na linaruhusu ukamataji bila waranti
Soma - https://jamii.app/ElSavadorUnrest
GEITA: Watoto watatu wa Darasa la Tatu (Wa familia moja) wamebakwa na kulawitiwa na Mfanyabiashara (Mwanafamilia) mwenye uwezo kifedha kwny familia yao
> Walimu walimgundua mmoja wa Watoto hao baada ya kwenda shule akiwa na maumivu makali
Soma https://jamii.app/WatotoWabakwa
> Walimu walimgundua mmoja wa Watoto hao baada ya kwenda shule akiwa na maumivu makali
Soma https://jamii.app/WatotoWabakwa
BURKINA FASO: Spika wa Zamani, Alassane Bala SakandΓ© amekamatwa na baadaye kuachiwa baada ya kuwaambia Waandishi wa Habari kwamba Rais aliyeondolewa Madarakani, Roch KaborΓ© hayuko kwenye kifungo cha Nyumbani bali yuko kizuizini
Soma - https://jamii.app/SakandeArrested
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/SakandeArrested
#JamiiForums
MBEYA: Kamanda wa Polisi, Ulrich Matei amesema βWatu waache kuzua taarifa zinazosasababisha taharuki. Ajali ya Machi 27, 2022 iliyotokana na Scania kufeli breki imesababisha vifo vya watu wawili tu ambao ni Jeremiah Mwasega na Suza Mbwiga.β
Soma - https://jamii.app/MbeyaAjali
Soma - https://jamii.app/MbeyaAjali
TANGA: MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI BAADA YA KUFUMANIA
Mohamed B. Lukindo (43) anatuhumiwa kumuua Athumani Dolly usiku wa kuamkia Machi 28, 2022 Mtaa wa Vunja Bei, Handeni
> Inadaiwa, Mtuhumiwa alimkuta Athuman akiwa na mkewe nyumbani kwake usiku
Soma https://jamii.app/TangaMauaji
Mohamed B. Lukindo (43) anatuhumiwa kumuua Athumani Dolly usiku wa kuamkia Machi 28, 2022 Mtaa wa Vunja Bei, Handeni
> Inadaiwa, Mtuhumiwa alimkuta Athuman akiwa na mkewe nyumbani kwake usiku
Soma https://jamii.app/TangaMauaji
NSONGWI, MBEYA: Jeshi la Polisi linamshikilia Fidelis Komba (42), ambaye ni Mganga wa Tiba Asili kwa tuhuma za kumiliki noti bandia zenye thamani ya Tsh. 3,340,000
> Mutuhumiwa alikamatwa akiwa na noti 219 za Tsh. 10,000 na noti 230 za Tsh. 5,000
Soma - https://jamii.app/Mganga
> Mutuhumiwa alikamatwa akiwa na noti 219 za Tsh. 10,000 na noti 230 za Tsh. 5,000
Soma - https://jamii.app/Mganga
#UKRAINE: Waziri wa Uchumi, Yulia Svyrydenko amesema vita inavyoendelea imegharimu Nchi yao Dola bilioni 564.9 (sawa na Tsh. trilioni 1,310)
> Inaelezwa kuwa, Kilomita 8,000 za barabara na mita za mraba milioni 10 za makazi zimeharibiwa
Soma https://jamii.app/WarCosts
> Inaelezwa kuwa, Kilomita 8,000 za barabara na mita za mraba milioni 10 za makazi zimeharibiwa
Soma https://jamii.app/WarCosts
MOROGORO: Jeshi la Polisi linamshikilia Abdilah Yassin (Mpigadebe) ktk Kituo Kikuu cha Mabasi cha Msamvu kwa kumuua kwa kumchoma kisu Tazani Mndeme (Mpigadebe) wakati wakigombea abiria
> Tukio hilo limetokea leo Machi 28, 2022, saa 12 asubuhi
Soma - https://jamii.app/MpigaDebe
> Tukio hilo limetokea leo Machi 28, 2022, saa 12 asubuhi
Soma - https://jamii.app/MpigaDebe