MGOGORO WA #URUSI NA #UKRAINE: Serikali ya Tanzania imefafanua sababu ya kupiga Kura ya Kutofungamana ktk Baraza la Usalama la UN
> Imesema, kutafuta suluhu ktk meza ya mazungumzo ndilo tulilotaka lakini halikutokea
Soma > https://jamii.app/UkraineTZ
#RussiaUkraineCrisis
> Imesema, kutafuta suluhu ktk meza ya mazungumzo ndilo tulilotaka lakini halikutokea
Soma > https://jamii.app/UkraineTZ
#RussiaUkraineCrisis
BASATA: STEVEN NYERERE ALITEULIWA KIHALALI ILA ASIANZE KAZI
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo lina majukumu kisheria ya kusuluhisha migogoro ya Vyama vya Wasanii vilivyosajiliwa limesema Msemaji aliteuliwa kwa vikao vya Bodi ya Shirikisho
Soma https://jamii.app/SteveBASATA
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo lina majukumu kisheria ya kusuluhisha migogoro ya Vyama vya Wasanii vilivyosajiliwa limesema Msemaji aliteuliwa kwa vikao vya Bodi ya Shirikisho
Soma https://jamii.app/SteveBASATA
BALOZI WA DENMARK AITEMBELEA JAMIIFORUMS
Balozi wa #Denmark Nchini Tanzania, Mette Norgaard Spandet jana Machi 23, 2022 ametembelea Ofisi za #JamiiForums na kukutana na Watendaji na Mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi
Balozi Mette na timu yake wamepata kuelezwa namna JF inavyoendesha shughuli zake za uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora Nchini #Tanzania
Balozi wa #Denmark Nchini Tanzania, Mette Norgaard Spandet jana Machi 23, 2022 ametembelea Ofisi za #JamiiForums na kukutana na Watendaji na Mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi
Balozi Mette na timu yake wamepata kuelezwa namna JF inavyoendesha shughuli zake za uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora Nchini #Tanzania
#AFGHANISTAN: TALIBAN YAZUIA UFUNGUZI WA SHULE ZA WASICHANA
Wameamua kutozifungua tena Shule za Wasichana kinyume na ahadi walioitoa ya kuruhusu Wasichana kusoma
Uamuzi huo unarudisha nyuma juhudi za kutambuliwa Kimataifa na kupokea ufadhili
Soma https://jamii.app/GirlsTaliban
#JFLeo
Wameamua kutozifungua tena Shule za Wasichana kinyume na ahadi walioitoa ya kuruhusu Wasichana kusoma
Uamuzi huo unarudisha nyuma juhudi za kutambuliwa Kimataifa na kupokea ufadhili
Soma https://jamii.app/GirlsTaliban
#JFLeo
#Marekani: Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Madeleine Albright, Mwanamke wa kwanza kushika nafasi hiyo amefariki kwa #Saratani akiwa na miaka 84
Alikuwa Mtu muhimu ktk Utawala wa Bill Clinton ambapo alifanikisha NATO kujitanua ktk Mataifa mengi
Soma - https://jamii.app/StateSecretary
Alikuwa Mtu muhimu ktk Utawala wa Bill Clinton ambapo alifanikisha NATO kujitanua ktk Mataifa mengi
Soma - https://jamii.app/StateSecretary
#URUSI: Anatoly Chubais ambaye ni mmoja wa Washauri wa Rais Vladimir Putin, amejiuzulu nafasi yake kama Mjumbe wa Kimataifa anayeratibu Maendeleo Endelevu ya Urusi Kimatafa
> Inadaiwa kuwa kwa sasa Chubais na Mkewe wapo Nchini #Uturuki
Soma https://jamii.app/UrusiChubais
> Inadaiwa kuwa kwa sasa Chubais na Mkewe wapo Nchini #Uturuki
Soma https://jamii.app/UrusiChubais
RAIS SAMIA: DARAJA LA TANZANITE LIWEKWE ALAMA YA TANZANITE
Rais Samia Suluhu amesema alama ya Mwenge ktk Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waone inafananaje
> Amesema alama ya Tanzanite itakamilisha jina la Daraja
Soma https://jamii.app/Tanzanite
Rais Samia Suluhu amesema alama ya Mwenge ktk Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waone inafananaje
> Amesema alama ya Tanzanite itakamilisha jina la Daraja
Soma https://jamii.app/Tanzanite
#UGANDA: Mahakama imetoa hati ya kumkamata Mwandishi wa Vitabu, Kakwenza Rukirabashaija kwa kutofika Mahakamani
Alitoroka Nchi baada ya kushtakiwa kwa makosa ya kumtusi Rais Yoweri Museveni na mwanaye, Jenerali Muhoozi Kainerugaba
Soma - https://jamii.app/KakwenzaLawsuit
#FreeSpeech
Alitoroka Nchi baada ya kushtakiwa kwa makosa ya kumtusi Rais Yoweri Museveni na mwanaye, Jenerali Muhoozi Kainerugaba
Soma - https://jamii.app/KakwenzaLawsuit
#FreeSpeech
#UKRAINE: Rais Volodymyr Zelensky ameomba watu Duniani kuandamana kupinga Operasheni ya #Urusi Nchini Ukraine iliyoanza Februari 24, 2022
> Zelensky amesema kuunga mkono Ukraine ni kuunga mkono Uhuru na Maisha
Soma https://jamii.app/WorldProtest
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
> Zelensky amesema kuunga mkono Ukraine ni kuunga mkono Uhuru na Maisha
Soma https://jamii.app/WorldProtest
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
MODERNA KUOMBA KUTUMIKA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 6
Itawaomba wadhibiti wa Marekani na Ulaya, kuidhinisha dozi 2 ndogo kwa Watoto chini ya Miaka 6
Watoto milioni 18 Nchini Marekani walio chini ya Miaka 5, ndio kundi la umri ambalo halijapata Chanjo
Soma https://jamii.app/ModernaBabies
Itawaomba wadhibiti wa Marekani na Ulaya, kuidhinisha dozi 2 ndogo kwa Watoto chini ya Miaka 6
Watoto milioni 18 Nchini Marekani walio chini ya Miaka 5, ndio kundi la umri ambalo halijapata Chanjo
Soma https://jamii.app/ModernaBabies
BOTSWANA YAKATAA KUCHEZA MECHI YA KIRAFIKI NA TANZANIA
Chama cha Soka cha Botswana (BFA) kimesema Tanzania iliomba kucheza Michezo 3 huku viwango vya FIFA vikiwa ni michezo 2
> BFA imesema mchezo huo wa 3 usingekuwa na umuhimu kwao
Soma > https://jamii.app/TFFFIFA
#Sports
Chama cha Soka cha Botswana (BFA) kimesema Tanzania iliomba kucheza Michezo 3 huku viwango vya FIFA vikiwa ni michezo 2
> BFA imesema mchezo huo wa 3 usingekuwa na umuhimu kwao
Soma > https://jamii.app/TFFFIFA
#Sports
π1
BELEDWEYNE, SOMALIA: Shambulio la Bomu la kujitoa mhanga la Wanamgambo wa Al-Shabaab limesababisha vifo vya watu 15 akiwemo Mbunge, Amina Mohamed Abdi
> Baadhi ya ripoti zinaonesha idadi ya vifo inaweza kuwa kubwa kuliko inayotajwa sasa
Soma https://jamii.app/BomuMhanga
#JamiiForums
> Baadhi ya ripoti zinaonesha idadi ya vifo inaweza kuwa kubwa kuliko inayotajwa sasa
Soma https://jamii.app/BomuMhanga
#JamiiForums
KENYA: Wizara ya Afya nchini humo imetangaza kuisha kwa muda wa matumizi kwa zaidi ya dozi 800,000 za #COVID19 aina ya #AstraZeneca
> Wizara hiyo imesema kuanzia sasa itakuwa inapokea dozi zenye miezi 4 kabla ya muda wa kuisha matumizi
Soma https://jamii.app/Kenya800k
#JamiiForums
> Wizara hiyo imesema kuanzia sasa itakuwa inapokea dozi zenye miezi 4 kabla ya muda wa kuisha matumizi
Soma https://jamii.app/Kenya800k
#JamiiForums
#GHANA: Rais Nana Akufo-Addo na Mawaziri wake wamepunguza mishahara yao kwa 30% ili kupunguza matumizi ya Serikali
Safari za nje kwa Maafisa wa Serikali na uagizaji wa Magari umesitishwa ili kupambana na athari za vita ya Urusi na #Ukraine
Soma - https://jamii.app/30Mishahara
#JFLeo
Safari za nje kwa Maafisa wa Serikali na uagizaji wa Magari umesitishwa ili kupambana na athari za vita ya Urusi na #Ukraine
Soma - https://jamii.app/30Mishahara
#JFLeo
UNCTAD ilikadiria #Uchumi wa Dunia kukua kwa 3.6% Mwaka 2022 ila kutokana na vita ya Urusi na #Ukraine Uchumi utapungua kwa 2.6%
Ripoti inasema kiwango cha uharibifu wa Kijeshi kutadhoofisha afueni iliyoanza kupatikana baada ya #COVID19
Soma - https://jamii.app/VitaUchumi
#Economy
Ripoti inasema kiwango cha uharibifu wa Kijeshi kutadhoofisha afueni iliyoanza kupatikana baada ya #COVID19
Soma - https://jamii.app/VitaUchumi
#Economy
π1
MICHEZO: Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Yusuph Singo amesema Serikali ina imani na Bondia Twaha Kiduku ktk pambano lake na Alex Kabangu wa DRC litakalofanyika Machi 26, 2022 Mkoani Morogoro
Soma https://jamii.app/KidukuMach26
#JFSports
Soma https://jamii.app/KidukuMach26
#JFSports
Msanii wa Filamu, Steven Mengele (Steve Nyerere), leo Machi 25, 2022 ametangaza kujiuzulu nafasi ya Usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT)
Amesema βNimejiuzulu kwasababu sioni kama hizi kelele zina tija kwa Taifa. Nimeamua kuachiaβ
Soma - https://jamii.app/SteveResigns
#Sanaa
Amesema βNimejiuzulu kwasababu sioni kama hizi kelele zina tija kwa Taifa. Nimeamua kuachiaβ
Soma - https://jamii.app/SteveResigns
#Sanaa
Je, Unafahamu kwanini Kwenye usafirishaji haramu wa Binadamu wasafirishaji huwapeleka mbali waathirika ikiwemo kuwavukisha mipaka ya Mkoa au Nchi?
Lengo la kufanya hivi ni ili kumtenganisha Mwathirika na Mazingira aliyoyazoea. Ni vigumu kwa Waathirika kutafuta msaada kama hawajui Jiografia, Lugha, Utamaduni na mpangilio wa Mazingira mapya ili waendelee kunyonywa
Soma - https://jamii.app/BoardersHumanTraff
#HumanTrafficking
Lengo la kufanya hivi ni ili kumtenganisha Mwathirika na Mazingira aliyoyazoea. Ni vigumu kwa Waathirika kutafuta msaada kama hawajui Jiografia, Lugha, Utamaduni na mpangilio wa Mazingira mapya ili waendelee kunyonywa
Soma - https://jamii.app/BoardersHumanTraff
#HumanTrafficking