Kauli za Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu #Katiba na Tume Huru ya Uchaguzi
#Demokrasia #Democracy #JamiiForums
#Demokrasia #Democracy #JamiiForums
Bunge la #Pakistan kukutana ili kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Imran Khan aliyeingia madarakani 2018
Mapema mwezi huu Muungano wa Vyama vya Upinzani uliwasilisha hoja ukisema Khan amepoteza idadi kubwa ya uungwaji mkono #Bungeni
Soma https://jamii.app/KuraImanPakistan
#JFLeo
Mapema mwezi huu Muungano wa Vyama vya Upinzani uliwasilisha hoja ukisema Khan amepoteza idadi kubwa ya uungwaji mkono #Bungeni
Soma https://jamii.app/KuraImanPakistan
#JFLeo
TANAPA YATANGAZA KIFO CHA FARU RAJABU (MTOTO WA FARU JOHN)
Imetangazwa kifo cha Faru Rajabu (43) leo Machi 21, 2022 katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti chanzo kikitajwa ni uzee
Rajabu alikuwa Mtoto wa Faru John aliyekufa Mwaka 2015
Soma > https://jamii.app/FaruRajabu
#JamiiForums
Imetangazwa kifo cha Faru Rajabu (43) leo Machi 21, 2022 katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti chanzo kikitajwa ni uzee
Rajabu alikuwa Mtoto wa Faru John aliyekufa Mwaka 2015
Soma > https://jamii.app/FaruRajabu
#JamiiForums
Chombo cha Habari cha #China (CCTV) kimeripoti kuanguka kwa Ndege ya #Boeing737 ktk Milima ya #Guangxi na kuwaka Moto
Ndege hiyo ilikuwa na Abiria wapatao 133. Bado haijajulikana madhara yaliyotokana na ajali hiyo
Soma - https://jamii.app/Boeing737Crash
#JFLeo
Ndege hiyo ilikuwa na Abiria wapatao 133. Bado haijajulikana madhara yaliyotokana na ajali hiyo
Soma - https://jamii.app/Boeing737Crash
#JFLeo
CAG alibaini Mamlaka za Maji 21 kati ya 23 zina kiwango kikubwa cha upotevu wa Maji ikilinganishwa na kiwango kinachokubalika kisichozidi 20% kutokana na Miundombinu chakavu
Mwaka 2019/20, upotevu wa Maji ulikuwa wa Tsh. Bilioni 74.29 sawa na 47% ikilinganishwa na Mwaka 2018/19 ambapo ulikuwa Tsh. Bilioni 65.45 sawa na 42%
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
Mwaka 2019/20, upotevu wa Maji ulikuwa wa Tsh. Bilioni 74.29 sawa na 47% ikilinganishwa na Mwaka 2018/19 ambapo ulikuwa Tsh. Bilioni 65.45 sawa na 42%
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
IRINGA: Mtoto (miaka 15) anayetuhumiwa kuwalawiti watoto (miaka 4-14) anatarajiwa kufikishwa Mahakamani wiki hii
> Mtuhumiwa anadaiwa kuwarubuni watoto wenzake kwa kuwapa pipi na pesa, kisha kuwaruhusu kuangalia Televisheni na ndipo alitimiza azma yake
Soma > https://jamii.app/Iringa
> Mtuhumiwa anadaiwa kuwarubuni watoto wenzake kwa kuwapa pipi na pesa, kisha kuwaruhusu kuangalia Televisheni na ndipo alitimiza azma yake
Soma > https://jamii.app/Iringa
UTAFITI: Shirika la Utafiti wa Jiolojia la Uingereza (BGS) limebaini Afrika ina maji chini ya ardhi yanayoweza tumika hadi miaka 50 ijayo
> Hayo yamesemwa katika mkesha wa kuamkia Machi 22 ambayo ni Siku ya Maji Duniani
Soma https://jamii.app/UndergroundWater
> Hayo yamesemwa katika mkesha wa kuamkia Machi 22 ambayo ni Siku ya Maji Duniani
Soma https://jamii.app/UndergroundWater
UINGEREZA YAPONGEZA UHURU WA HABARI TANZANIA
Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania asema Uingereza imeridhishwa na uimarikaji wa hali ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Tanzania
Pia, asema ushirikishwaji wa demokrasia ya Vyama vya Upinzani ni matumaini mema
Soma > https://jamii.app/UKTZ
Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania asema Uingereza imeridhishwa na uimarikaji wa hali ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Tanzania
Pia, asema ushirikishwaji wa demokrasia ya Vyama vya Upinzani ni matumaini mema
Soma > https://jamii.app/UKTZ
MACHI 22: SIKU YA MAJI DUNIANI
Takwimu zinaonesha Mtu 1 kati ya 3 anaishi bila Maji salama ya kunywa huku Watu bilioni 2.2 wanaishi bila kupata Maji salama
Ifikapo 2025, nusu ya Watu Duniani wataishi ktk maeneo yenye uhaba wa Maji
Soma https://jamii.app/WaterDay22
#WoldWaterDay2022
Takwimu zinaonesha Mtu 1 kati ya 3 anaishi bila Maji salama ya kunywa huku Watu bilioni 2.2 wanaishi bila kupata Maji salama
Ifikapo 2025, nusu ya Watu Duniani wataishi ktk maeneo yenye uhaba wa Maji
Soma https://jamii.app/WaterDay22
#WoldWaterDay2022
Idara ya Taifa ya kusimamia Maafa haikuweza kutumia Tsh. Bilioni 4.31 ambazo zilichangwa na Wadau mbalimbali ili kukabiliana na janga la #CoronaVirus kwa kuwa haikupata maelekezo kutoka Mamlaka zinazohusika
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #WAJIBU
URUSI: MAHAKAMA YASITISHA SHUGHULI ZA FACEBOOK NA INSTAGRAM
Ofisi ya Mwendesha Mashtaka imesema kumekuwa na machapisho makali kwenye Mitandao hiyo ya Kijamii, yakitoa wito wa vurugu dhidi ya raia wa Urusi na Wanajeshi wake walioko #Ukraine
Soma https://jamii.app/FBIGBanRussia
#DigitalRights
Ofisi ya Mwendesha Mashtaka imesema kumekuwa na machapisho makali kwenye Mitandao hiyo ya Kijamii, yakitoa wito wa vurugu dhidi ya raia wa Urusi na Wanajeshi wake walioko #Ukraine
Soma https://jamii.app/FBIGBanRussia
#DigitalRights
Waziri wa Utamaduni, #Sanaa na #Michezo, Mohamed Mchengerwa amelitaka BASATA kuwaita Viongozi wa Shirikisho la Muziki kushughulikia mgogoro unaoendelea baada ya Steven Mengele (Steve Nyerere) kuteuliwa kuwa Msemaji
Aidha, Steve amesema hawezi kujiuzulu nafasi hiyo bila utaratibu au kutokana na mashinikizo kutoka kwa Wasanii
Soma - https://jamii.app/BasataVsSteve
Aidha, Steve amesema hawezi kujiuzulu nafasi hiyo bila utaratibu au kutokana na mashinikizo kutoka kwa Wasanii
Soma - https://jamii.app/BasataVsSteve