Maxence Melo: Nyanja za Kidigitali sasa hivi zinatoa nafasi kwa Watu kutoa maoni yao.
Tunaona hata Mamlaka za Serikali zikielekea huko kufahamu Wananchi wanasema nini
Hata Kesi za Mahakamani, sasa hivi Watu wanaweza kuzifuatilia kwa kutumia Uwanja wa Digitali
Soma zaidi > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Tunaona hata Mamlaka za Serikali zikielekea huko kufahamu Wananchi wanasema nini
Hata Kesi za Mahakamani, sasa hivi Watu wanaweza kuzifuatilia kwa kutumia Uwanja wa Digitali
Soma zaidi > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Maxence Melo: Tulipata changamoto sana kuhusu Sera yetu ya Faragha hata kufikishwa mahakamani lakini kwa sasa naona Serikali imesema wazi kuwa iko katika hatua za mwisho za uandaaji wa Muswada wa Ulinzi wa taarifa binafsi na faragha za Watanzania
#DemocracyTalkTz
#DemocracyTalkTz
Ungana nasi katika Mazungumzo ya Demokrasia Tanzania kupitia Digitali
Tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Maoni ya Wadau mbalimbali katika Mazungumzo ya Demokrasia Tanzania kupitia Digitali
#JamiiForums #DemocracyTalkTz
#JamiiForums #DemocracyTalkTz
Katika Mjadala wa Demokrasia, Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza, Aidan Eyakuze amesema ni muhimu kuzungumza kwa namna gani Serikali inaongeza Demokrasia kupitia uwanja wa kidigitali
Amesisitiza kuwa Serikali ya Kidigitali sio Demokrasia ya Kidigitali, na Ushiriki wa Watu Kidigitali nao haumaanishi Demokrasia
Soma > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Amesisitiza kuwa Serikali ya Kidigitali sio Demokrasia ya Kidigitali, na Ushiriki wa Watu Kidigitali nao haumaanishi Demokrasia
Soma > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
MWIGULU: MFUMUKO WA BEI HAUTOKANI NA UZEMBE WA SERIKALI
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kupanda kwa gharama za maisha na mfumuko wa bei kunatokana na majanga yanayoendelea kuikumba Dunia na sio matatizo ya Sera
Soma https://jamii.app/MfumkoWaBei
#JFUchumi
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kupanda kwa gharama za maisha na mfumuko wa bei kunatokana na majanga yanayoendelea kuikumba Dunia na sio matatizo ya Sera
Soma https://jamii.app/MfumkoWaBei
#JFUchumi
TAKUKURU YAINGILIA KATI SAKATA LA MAKONDA NA GHALIB SAID MOHAMED KUGOMBEA KIWANJA
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Salum Hamduni athibitisha wanafanyia kazi suala hilo
Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar, Idrisa Kayera amesema Mamlaka zinafanya Uchunguzi
Soma - https://jamii.app/MakondaGSM
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Salum Hamduni athibitisha wanafanyia kazi suala hilo
Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar, Idrisa Kayera amesema Mamlaka zinafanya Uchunguzi
Soma - https://jamii.app/MakondaGSM
PUTIN: OPERESHENI YA URUSI NCHINI UKRAINE IMEFANIKIWA
Rais wa #Urusi, Vladimir Putin amesema Operesheni ya Kijeshi Nchini #Ukraine imefanikiwa
> Amesema Benki Kuu ya Urusi haina haja ya kuchapisha pesa mpya
Soma > https://jamii.app/UkraineRussia
#JamiiForums #RussianUkraineWar
Rais wa #Urusi, Vladimir Putin amesema Operesheni ya Kijeshi Nchini #Ukraine imefanikiwa
> Amesema Benki Kuu ya Urusi haina haja ya kuchapisha pesa mpya
Soma > https://jamii.app/UkraineRussia
#JamiiForums #RussianUkraineWar
RAIS SAMIA: NAPENDA KUIONA TANZANIA YENYE #DEMOKRASIA YA KISTAARABU
Katika mahojiano na Mwananchi Digital, amesema anapenda kuiona #Tanzania yenye Raia wanaojielewa ktk kuitetea Nchi, sio wanaoambiwa waingie barabarani na kuharibu mali za watu
Soma - https://jamii.app/Wanaojielewa
Katika mahojiano na Mwananchi Digital, amesema anapenda kuiona #Tanzania yenye Raia wanaojielewa ktk kuitetea Nchi, sio wanaoambiwa waingie barabarani na kuharibu mali za watu
Soma - https://jamii.app/Wanaojielewa
MWANZA: Diana Bundala 'Mfalme Zumaridi' na wenzake 84 wamefikishwa Mahakamani kusomewa Maelezo ya awali katika mashtaka matatu yakiwemo usafirishaji haramu wa binadamu na kuzuia Maofisa wa Serikali kutimiza wajibu wao
Soma - https://jamii.app/Zumaridi
#JamiiForums #JFLeo
Soma - https://jamii.app/Zumaridi
#JamiiForums #JFLeo
NJOMBE: JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA MPWA WAKE WA MIAKA 15
Mahakama imemhukumu Furaha Samweli Ligate miaka 30 jela kwa kumbaka Mpwa wake aliyekuwa amehitimu Darasa la Saba mwaka 2021
Mshtakiwa alitishia endapo angesema anafanyiwa ukatili huo
Soma - https://jamii.app/UbakajiNjombe
#JFLeo
Mahakama imemhukumu Furaha Samweli Ligate miaka 30 jela kwa kumbaka Mpwa wake aliyekuwa amehitimu Darasa la Saba mwaka 2021
Mshtakiwa alitishia endapo angesema anafanyiwa ukatili huo
Soma - https://jamii.app/UbakajiNjombe
#JFLeo
NIGER: WATU 21 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO LA KIGAIDI
Watu waliokuwa na silaha nzito wanaodhaniwa kuwa ni magaidi wameshambulia basi na lori eneo la Tillaberi
Maafisa wa Polisi wawili wameuawa na mmoja kujeruhiwa katika shambulio hilo
Soma - https://jamii.app/Niger21
#JFLeo
Watu waliokuwa na silaha nzito wanaodhaniwa kuwa ni magaidi wameshambulia basi na lori eneo la Tillaberi
Maafisa wa Polisi wawili wameuawa na mmoja kujeruhiwa katika shambulio hilo
Soma - https://jamii.app/Niger21
#JFLeo
DAR: 14 MBARONI KWA TUHUMA ZA KUSAMBAZA VIDEO YA MGONJWA AKIWA ICU
Allen Samwel Mhina na wenzake 13 wanashikiliwa kwa tuhuma za kusambaza video Mitandaoni kinyume na Sheria
Video hiyo imemuonyesha Mgonjwa aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Muhimbili
Soma - https://jamii.app/PoliceDar
Allen Samwel Mhina na wenzake 13 wanashikiliwa kwa tuhuma za kusambaza video Mitandaoni kinyume na Sheria
Video hiyo imemuonyesha Mgonjwa aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Muhimbili
Soma - https://jamii.app/PoliceDar
DAR: WANANCHI WAHIMIZWA KUCHANGAMKIA CHANJO YA #COVID19
Mkuu wa Mkoa, Amos Makalla ametoa wito huo akisema mdau wa kwanza wa #Afya yako ni wewe mwenyewe
Aidha, ametaka Wananchi wahamasishwe kwa kupewa maarifa muhimu ili wawe na hiari ya kuchanja
Soma - https://jamii.app/DSMChanjo
Mkuu wa Mkoa, Amos Makalla ametoa wito huo akisema mdau wa kwanza wa #Afya yako ni wewe mwenyewe
Aidha, ametaka Wananchi wahamasishwe kwa kupewa maarifa muhimu ili wawe na hiari ya kuchanja
Soma - https://jamii.app/DSMChanjo
UN imesema zaidi ya Raia 700 wakiwemo Watoto 52 wameuawa Nchini #Ukraine tangu Urusi ilipoivamia wiki tatu zilizopita
WHO imethibitisha mashambulizi 43 dhidi ya Hospitali na Vituo vya Afya huku Watu 12 wakiuawa na 34 kujeruhiwa
Soma - https://jamii.app/700DeadUkraine
#RussiaUkraineWar
WHO imethibitisha mashambulizi 43 dhidi ya Hospitali na Vituo vya Afya huku Watu 12 wakiuawa na 34 kujeruhiwa
Soma - https://jamii.app/700DeadUkraine
#RussiaUkraineWar