ABRAMOVICH AWEKEWA VIKWAZO NA UINGEREZA
Serikali ya #Uingereza imezuia mali na kumuwekea marufuku ya kusafiri Mmiliki wa #Chelsea, Roman Abramovich na matajiri wengine saba
> Uingereza imesema haiwezi kuwa kimbilio kwa wanaounga uvamizi wa Urusi
Soma https://jamii.app/AbramovichVikwazo
Serikali ya #Uingereza imezuia mali na kumuwekea marufuku ya kusafiri Mmiliki wa #Chelsea, Roman Abramovich na matajiri wengine saba
> Uingereza imesema haiwezi kuwa kimbilio kwa wanaounga uvamizi wa Urusi
Soma https://jamii.app/AbramovichVikwazo
USHIRIKISHWAJI WANANCHI NI MSINGI WA #UTAWALABORA
Ushirikishwaji wa Umma unalenga kuhakikisha Wananchi wanatoa michango yenye maana katika mchakato wa kufanya maamuzi ambayo wanayategemea katika maisha yao
Pia, unatoa fursa ya Mawasiliano kati ya Taasisi zinazofanya maamuzi na Umma
Soma - https://jamii.app/UshirikiRaia
Ushirikishwaji wa Umma unalenga kuhakikisha Wananchi wanatoa michango yenye maana katika mchakato wa kufanya maamuzi ambayo wanayategemea katika maisha yao
Pia, unatoa fursa ya Mawasiliano kati ya Taasisi zinazofanya maamuzi na Umma
Soma - https://jamii.app/UshirikiRaia
MDAU: UMUHIMU WA MAZOEZI KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI
Anasema ni muhimu kwa Watoto wenye Ulemavu huo kufanya Mazoezi ambayo hutolewa na '#Physiotherapists'
Mazoezi ndio tiba pekee inayobaki na sio Imani potofu za kupeleka Watoto kwa Waganga
Soma - https://jamii.app/UlemavuWaAkili
Anasema ni muhimu kwa Watoto wenye Ulemavu huo kufanya Mazoezi ambayo hutolewa na '#Physiotherapists'
Mazoezi ndio tiba pekee inayobaki na sio Imani potofu za kupeleka Watoto kwa Waganga
Soma - https://jamii.app/UlemavuWaAkili
Wanajeshi 250 wa #Ukraine waliokuwa wakilinda amani DR-Congo wanatarajia kurejea #Ukraine na vifaa vyao
> Hivi karibuni Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy aliwataka walinda amani warejee ili kuitetea nchi yao
Soma https://jamii.app/UkraineDRC
> Hivi karibuni Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy aliwataka walinda amani warejee ili kuitetea nchi yao
Soma https://jamii.app/UkraineDRC
Magonjwa ya Figo yanaweza kuwa na dalili kadhaa ikiwemo kupungua/kukosa mkojo
Mambo yanayochochea uwezekano wa kupata Magonjwa ya Figo ni pamoja na Ulaji usiofaa, unene uliokithiri, kutofanya mazoezi, uvutaji sigara na unywaji pombe uliopitiliza
Soma - https://jamii.app/WKD22
#WorldKidneyDay
Mambo yanayochochea uwezekano wa kupata Magonjwa ya Figo ni pamoja na Ulaji usiofaa, unene uliokithiri, kutofanya mazoezi, uvutaji sigara na unywaji pombe uliopitiliza
Soma - https://jamii.app/WKD22
#WorldKidneyDay
KAMATI YAUNDWA KUCHUNGUZA MADAI YA SAMAKI KUFA KWA SUMU MTO MARA
Ni baada ya picha zinazodaiwa kuwa ni za Mto Mara zikionesha Samaki waliokufa kusambaa Mitandaoni, huku ikielezwa hali hiyo ni kutokana na kemikali za sumu zinazotoka Migodini
Soma - https://jamii.app/SumuMara
#JFLeo
Ni baada ya picha zinazodaiwa kuwa ni za Mto Mara zikionesha Samaki waliokufa kusambaa Mitandaoni, huku ikielezwa hali hiyo ni kutokana na kemikali za sumu zinazotoka Migodini
Soma - https://jamii.app/SumuMara
#JFLeo
KOREA KUSINI: MPINZANI ACHAGULIWA KUWA RAIS
Yoon Suk-yeol amemshinda mpinzani wake, Lee Jae-myung wa Chama cha Demokrasia kwa chini ya 1%
Waliojitokeza kupiga kura ni 77% ya wanaostahili. Wagombea wote walionekana kutopendwa muda wa kampeni
Soma - https://jamii.app/RaisKoreaKusini
Yoon Suk-yeol amemshinda mpinzani wake, Lee Jae-myung wa Chama cha Demokrasia kwa chini ya 1%
Waliojitokeza kupiga kura ni 77% ya wanaostahili. Wagombea wote walionekana kutopendwa muda wa kampeni
Soma - https://jamii.app/RaisKoreaKusini
KAYA 86 ZILIZO TAYARI KUHAMA NGORONGORO ZAJITOKEZA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amepokea majina 453 toka Kaya 86 zilizokubali kuondoka hifadhini
> Amesema Serikali imetenga Kilometa za Mraba 400,000 Wilayani Handeni kwaajili ya zoezi hilo
Soma https://jamii.app/NgorongoroHiari
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amepokea majina 453 toka Kaya 86 zilizokubali kuondoka hifadhini
> Amesema Serikali imetenga Kilometa za Mraba 400,000 Wilayani Handeni kwaajili ya zoezi hilo
Soma https://jamii.app/NgorongoroHiari
NDUGULILE: KUTOZA KODI BIASHARA ZA MTANDAONI MAPEMA KUTAUA AJIRA NYINGI
Mbunge wa Kigamboni, amesema Tanzania iko nyuma ktk biashara mtandao hivyo ni muhimu kuzilea
> Amesema hayo baada ya mbunge wa Viti Maalum, Neema Lugangira kusema biashara zenye mauzo zaidi ya Tsh. Milioni 4 zitozwe kodi
Soma https://jamii.app/ecommerceTax
Mbunge wa Kigamboni, amesema Tanzania iko nyuma ktk biashara mtandao hivyo ni muhimu kuzilea
> Amesema hayo baada ya mbunge wa Viti Maalum, Neema Lugangira kusema biashara zenye mauzo zaidi ya Tsh. Milioni 4 zitozwe kodi
Soma https://jamii.app/ecommerceTax
π1
UPDATES: Serikali ya #Ukraine imesema Raia wa Mji wa #Mariupol wameshindwa kuondoka baada ya Makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda kushindwa kutekelezwa
Jitihada za kupelekea Chakula, Maji na Dawa kwenye Mji huo zimeshindikana
Soma - https://jamii.app/RaiaMariupol
#JFLeo
Jitihada za kupelekea Chakula, Maji na Dawa kwenye Mji huo zimeshindikana
Soma - https://jamii.app/RaiaMariupol
#JFLeo
Kampuni ya Meta inayomiliki Mtandao wa Kijamii wa #Facebook na #Instagram imelegeza sera yake ili kuruhusu maneno ya chuki dhidi ya Urusi
Wataruhusu sentensi za chuki kama βDeath to Russian Invadersβ lakini hawataruhusu chuki dhidi ya raia
Soma - https://jamii.app/FacebookPolicy
#JFLeo
Wataruhusu sentensi za chuki kama βDeath to Russian Invadersβ lakini hawataruhusu chuki dhidi ya raia
Soma - https://jamii.app/FacebookPolicy
#JFLeo
Kumekuwa na mapungufu mbalimbali katika Utekelezaji wa Bajeti. Taasisi mbalimbali za Serikali zilifanya matumizi nje ya Bajeti Mwaka 2019/20
Matumizi ya Fedha za Umma nje ya Bajeti yanapelekea uwezekano wa kuwepo Ubadhirifu na vitendo vya Rushwa
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
Matumizi ya Fedha za Umma nje ya Bajeti yanapelekea uwezekano wa kuwepo Ubadhirifu na vitendo vya Rushwa
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
TRA: TUNAWAFUATILIA WATEJA WA WANAOFANYA BIASHARA MTANDAONI
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka wanaofanya Biashara Kidigitali wafike Ofisini kujisajili
Yasema kuna wenye Maghala makubwa ya bidhaa ila hawana Maduka na TIN
Soma - https://jamii.app/DigitalBusiness
#DigitalRights
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka wanaofanya Biashara Kidigitali wafike Ofisini kujisajili
Yasema kuna wenye Maghala makubwa ya bidhaa ila hawana Maduka na TIN
Soma - https://jamii.app/DigitalBusiness
#DigitalRights
MAREKANI YAOMBWA KUTOWEKA VIKWAZO KWA WATOA HUDUMA YA INTANETI URUSI
Asasi za Kiraia zimesema hatua ya Kampuni zinazotoa huduma ya Intaneti kuondoka Nchini Urusi kutokana na vikwazo inaweza kuathiri wenye Mawazo na Misimamo tofauti
Soma - https://jamii.app/InternetRussia
#DigitalRights
Asasi za Kiraia zimesema hatua ya Kampuni zinazotoa huduma ya Intaneti kuondoka Nchini Urusi kutokana na vikwazo inaweza kuathiri wenye Mawazo na Misimamo tofauti
Soma - https://jamii.app/InternetRussia
#DigitalRights
Wizara ya Afya Nchini #Kenya imelegeza masharti ya kupambana na #COVID19 ikiwemo kuondoa ulazima wa kuvaa Barakoa kwenye maeneo ya umma
Pia, Wagonjwa wasio na dalili hawatatengwa na hakutakuwa na ulazima wa kukaa Karantini kwa wenye virusi
Soma - https://jamii.app/COVID19Mask
#UVIKO3
Pia, Wagonjwa wasio na dalili hawatatengwa na hakutakuwa na ulazima wa kukaa Karantini kwa wenye virusi
Soma - https://jamii.app/COVID19Mask
#UVIKO3
JE, WAJUA? - KUTUMIA UGONJWA KUOMBA FEDHA BILA KIBALI NI KOSA KISHERIA
Wakili wa Kujitegemea, Justine Kaleb anasema Mgonjwa akitaka kuombaomba Mtaani lazima apate kibali maalum cha Serikali au Taasisi zinazotambua Ugonjwa wake
Kufanya tofauti na hivyo adhabu yake ni kifungo cha miaka mitatu jela au faini ya Tsh. milioni tano au vyote kwa pamoja
Soma - https://jamii.app/Ombaomba
#JFLeo
Wakili wa Kujitegemea, Justine Kaleb anasema Mgonjwa akitaka kuombaomba Mtaani lazima apate kibali maalum cha Serikali au Taasisi zinazotambua Ugonjwa wake
Kufanya tofauti na hivyo adhabu yake ni kifungo cha miaka mitatu jela au faini ya Tsh. milioni tano au vyote kwa pamoja
Soma - https://jamii.app/Ombaomba
#JFLeo
TANZIA: RAIS RUPIAH BANDA AFARIKI DUNIA
> Aliyewahi kuwa Rais wa #Zambia, Rupiah Banda amefariki dunia akiwa na miaka 85. Aligundulika kuwa na saratani ya utumbo
> Banda ni Rais wa 4 wa Zambia aliyechaguliwa kidemokrasia na aliongoza kuanzia mwaka 2008 hadi 2011
Soma https://jamii.app/RupiaBanda
#RIPBanda
> Aliyewahi kuwa Rais wa #Zambia, Rupiah Banda amefariki dunia akiwa na miaka 85. Aligundulika kuwa na saratani ya utumbo
> Banda ni Rais wa 4 wa Zambia aliyechaguliwa kidemokrasia na aliongoza kuanzia mwaka 2008 hadi 2011
Soma https://jamii.app/RupiaBanda
#RIPBanda
SERIKALI YAPENDEKEZA BAJETI YA TSH. TRILIONI 41 MWAKA 2022/23
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Tsh. Trilioni 28, sawa na 70% ya Mapato itatokana na makusanyo ya ndani
Bajeti itagusa Maendeleo ya Jamii hususani Sekta ya Kilimo
Soma - https://jamii.app/MapendekezoBajeti
#JFLeo
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Tsh. Trilioni 28, sawa na 70% ya Mapato itatokana na makusanyo ya ndani
Bajeti itagusa Maendeleo ya Jamii hususani Sekta ya Kilimo
Soma - https://jamii.app/MapendekezoBajeti
#JFLeo
UNHCR: WATU MILIONI 12.5 WAMEATHIRIKA NA MZOZO WA #URUSI NA #UKRAINE
Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) limeripoti watu zaidi ya milioni 4.4 wamelazimika kuhama makazi yao
> Walioathirika zaidi ni Wazee, Watoto na Wanawake
Soma https://jamii.app/AthariMzozo
Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) limeripoti watu zaidi ya milioni 4.4 wamelazimika kuhama makazi yao
> Walioathirika zaidi ni Wazee, Watoto na Wanawake
Soma https://jamii.app/AthariMzozo