Takwimu zilizotolewa na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins zimeonesha idadi ya Vifo vilivyotokana na #COVID19 vimefikia 5,999,158
Nchi nyingi zimelegeza masharti huku Safari na #Biashara zikianza kurejea. Aidha, kupata chanjo bado kunasisitizwa
Soma - https://jamii.app/COVID19Duniani
#UVIKO3
Nchi nyingi zimelegeza masharti huku Safari na #Biashara zikianza kurejea. Aidha, kupata chanjo bado kunasisitizwa
Soma - https://jamii.app/COVID19Duniani
#UVIKO3
#UGANDA: Gabriel Rwotomiya amefariki kwa kupigwa risasi wakati Polisi wakituliza vurugu za Wanafunzi wa Sekondari Gulu baada ya kuzuiwa kutazama Mechi ya Man City na Man U, Machi 6
Wanafunzi wamerejeshwa Nyumbani na Shule kufungwa kwa muda
Soma - https://jamii.app/Uganda
#JFLeo
Wanafunzi wamerejeshwa Nyumbani na Shule kufungwa kwa muda
Soma - https://jamii.app/Uganda
#JFLeo
Katika Mwaka wa Fedha 2019/20, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alipata taarifa za makusanyo ya Mapato katika Halmashauri 135
Alibaini Bilioni 18.77 zilikusanywa kutoka vyanzo mbalimbali, lakini hakuna ushahidi Mapato hayo yaliwasilishwa Benki
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
Alibaini Bilioni 18.77 zilikusanywa kutoka vyanzo mbalimbali, lakini hakuna ushahidi Mapato hayo yaliwasilishwa Benki
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
Katika kuadhimisha #InternationalWomensDay ni muhimu kuangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuhamasisha jitihada za kukomesha ukosefu wa #UsawaWaKijinsia
Leo, tunasherehekea na kutambua Uongozi, nguvu, uwezo, ujasiri na mchango walionao Wanawake wote katika Jamii
Maadhimisho ya Mwaka 2022 yanabeba Kaulimbiu isemayo, "Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu"
#JamiiForums #BreakTheBias #IWD2022
Leo, tunasherehekea na kutambua Uongozi, nguvu, uwezo, ujasiri na mchango walionao Wanawake wote katika Jamii
Maadhimisho ya Mwaka 2022 yanabeba Kaulimbiu isemayo, "Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu"
#JamiiForums #BreakTheBias #IWD2022
MDAU: WATUMISHI WAFUNDISHWE NAMNA BORA YA KUTUMIA MIKOPO WANAYOCHUKUA
Anasema Watumishi wa Serikali huvutiwa huchukua Mikopo wakiamini ni ya gharama nafuu hali inayowafanya wawe na madeni hadi wanastaafu
Ameshauri kiundwe chombo maalum cha kudhibiti usimamizi na uendeshaji wa Taasisi zote za Kifedha. Sheria ya Mafao iboreshwe ili kuwezesha Watumishi wanapostaafu wawe wanajengewe Nyumba za Makazi
Soma - https://jamii.app/WatumishiMadeni
#StoriesOfChange
Anasema Watumishi wa Serikali huvutiwa huchukua Mikopo wakiamini ni ya gharama nafuu hali inayowafanya wawe na madeni hadi wanastaafu
Ameshauri kiundwe chombo maalum cha kudhibiti usimamizi na uendeshaji wa Taasisi zote za Kifedha. Sheria ya Mafao iboreshwe ili kuwezesha Watumishi wanapostaafu wawe wanajengewe Nyumba za Makazi
Soma - https://jamii.app/WatumishiMadeni
#StoriesOfChange
Rushwa ya Ngono inatajwa kuwa tatizo linalowatafuna Wanawake ndani kwa ndani hasa maeneo ya Kazi
Utafiti wa Asasi ya Wanawake katika Habari Afrika (WIN) ulibaini 41% ya Wanawake wanahabari waliwahi kufanyiwa Unyanyasaji wa Kingono kazini
Soma - https://jamii.app/Womenday
#IWD2022
Utafiti wa Asasi ya Wanawake katika Habari Afrika (WIN) ulibaini 41% ya Wanawake wanahabari waliwahi kufanyiwa Unyanyasaji wa Kingono kazini
Soma - https://jamii.app/Womenday
#IWD2022
Rais Samia ametoa wito kwa Wananchi kujitokeza ktk zoezi la Sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu Anuani za Makazi
Asema hakutakuwa na swali kuhusu Dini kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Mwl. Nyerere
Soma - https://jamii.app/DiniSensa
#JFLeo
Asema hakutakuwa na swali kuhusu Dini kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Mwl. Nyerere
Soma - https://jamii.app/DiniSensa
#JFLeo
MDAU: JAMII HAIWEZI KUCHOCHEA USTAWI BILA MAWAZO HURU
Anasema kukabiliana na changamoto kutahitaji sauti, uwazi na ukweli hivyo walio Madarakani wanahitaji kukosolewa
Jamii ikifungwa, watu wake wanakuwa kama Watumishi waoga badala ya Raia huru
Soma - https://jamii.app/UhuruKujieleza
Anasema kukabiliana na changamoto kutahitaji sauti, uwazi na ukweli hivyo walio Madarakani wanahitaji kukosolewa
Jamii ikifungwa, watu wake wanakuwa kama Watumishi waoga badala ya Raia huru
Soma - https://jamii.app/UhuruKujieleza
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kupanda kwa bei ya Mafuta kwa kiasi inasababishwa na Mgogoro kati ya Urusi na #Ukraine
Amesema “#Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei, nauli zitapanda bei, thamani ya kila kitu itapanda juu"
Soma - https://jamii.app/WomanDay
#IWD2022
Amesema “#Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei, nauli zitapanda bei, thamani ya kila kitu itapanda juu"
Soma - https://jamii.app/WomanDay
#IWD2022
Balozi wa #Urusi katika Umoja wa Mataifa (UN), Vassily Nebenzia, amesema Nchi yake itasitisha mapigano ili kuruhusu raia waliopo Kiev, Cher-nigov, Sumy na Mariupol kuondoka bila masharti kwa raia wanaopitia Urusi
Soma - https://jamii.app/RaiaWapite
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
Soma - https://jamii.app/RaiaWapite
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
KILIMANJARO: Grace Pima anashikiliwa na Polisi akidaiwa kumchoma Moto Mtoto wake wa Miaka Mitano Mdomoni na Puani kwa kosa la kutukana
Alifanya unyama huo Februari 28 na kumfungia Mtoto ndani kwa Saa 48 akimtibu kwa Dawa za Asili.
Soma - https://jamii.app/MotoMtoto
#UkatiliMtoto
Alifanya unyama huo Februari 28 na kumfungia Mtoto ndani kwa Saa 48 akimtibu kwa Dawa za Asili.
Soma - https://jamii.app/MotoMtoto
#UkatiliMtoto
#ZANZIBAR: Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (ZURA) imetangaza kuanzia Machi 9, Petroli itauzwa Tsh. 2,459, Dizeli Tsh. 2,500 na Mafuta ya Taa Tsh. 1,811 kwa Lita
Ongezeko limetokana na kupungua thamani ya Shilingi na tozo za Serikali
Soma https://jamii.app/MafutaZanzibar
Ongezeko limetokana na kupungua thamani ya Shilingi na tozo za Serikali
Soma https://jamii.app/MafutaZanzibar
UPDATE: Ofisi ya #HakiZaBinadamu ya Umoja wa Mataifa inasema Raia wa #Ukraine wapatao 474 wameuawa tangu uvamizi wa Urusi kuanza, lakini inahofiwa idadi halisi inaweza kuwa kubwa zaidi
Ukraine imesema Vikosi vya Urusi vimeharibu takriban Hospitali 61
Soma - https://jamii.app/VifoUkraine
Ukraine imesema Vikosi vya Urusi vimeharibu takriban Hospitali 61
Soma - https://jamii.app/VifoUkraine
Mapungufu kadhaa kwenye ulipaji wa Mishahara kwa Watumishi katika Mamlaka za Serikali za Mitaa yaliainishwa na CAG Mwaka 2019/20
Miongoni mwao ni Mamlaka 46 kushindwa kuwasilisha Makato ya Kisheria ya Mishahara yenye thamani ya Tsh. Bilioni 5.08 kwa Taasisi husika zikiwemo TRA (Tsh. Milioni 149.9) na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (Tsh. Bilioni 3.92)
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
Miongoni mwao ni Mamlaka 46 kushindwa kuwasilisha Makato ya Kisheria ya Mishahara yenye thamani ya Tsh. Bilioni 5.08 kwa Taasisi husika zikiwemo TRA (Tsh. Milioni 149.9) na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (Tsh. Bilioni 3.92)
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
KAMPUNI ZAENDELEA KUSITISHA BIASHARA URUSI
Coca-Cola, Starbucks, Pepsi na McDonald's zasitisha Biashara kufuatia uvamizi wa #Ukraine
Kumekuwepo na shinikizo kutaka Kampuni za Biashara kuchukua hatua kama ishara ya kupinga mateso wanayopata Raia
Soma - https://jamii.app/BiasharaUrusi
Coca-Cola, Starbucks, Pepsi na McDonald's zasitisha Biashara kufuatia uvamizi wa #Ukraine
Kumekuwepo na shinikizo kutaka Kampuni za Biashara kuchukua hatua kama ishara ya kupinga mateso wanayopata Raia
Soma - https://jamii.app/BiasharaUrusi
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amesema ili kuikuza #Teknolojia ktk Uchumi wa Kidigitali ni lazima kuwa na mazingira wezeshi
Amesema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapaswa kuwa Mlezi badala ya Mdhibiti/Ubabe
Soma - https://jamii.app/MleziTCRA
#DigitalRights
Amesema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapaswa kuwa Mlezi badala ya Mdhibiti/Ubabe
Soma - https://jamii.app/MleziTCRA
#DigitalRights
MDAU: TAIFA LINALOONGOZWA KIDEMOKRASIA LAZIMA LIFUATE MISINGI YAKE
Anasema Nchi inayoongozwa kwa Misingi ya Demokrasia inalazimika kutoa nafasi kwa Wananchi kumchagua Kiongozi wanayemhitaji bila udanganyifu wowote
Mihimili mikuu inayojenga Serikali inapaswa kufanya kazi kwa Uhuru bila kuingiliana kimajukumu
Soma - https://jamii.app/DemocracySOC
#StoriesOfChange
Anasema Nchi inayoongozwa kwa Misingi ya Demokrasia inalazimika kutoa nafasi kwa Wananchi kumchagua Kiongozi wanayemhitaji bila udanganyifu wowote
Mihimili mikuu inayojenga Serikali inapaswa kufanya kazi kwa Uhuru bila kuingiliana kimajukumu
Soma - https://jamii.app/DemocracySOC
#StoriesOfChange
JE, WAJUA?: Kwenye Mgogoro wa #Ukraine na Urusi baadhi ya Watu wamebainika kuunga mkono vita kwa kutumia herufi ‘Z’ ikimaanisha ‘Za popedy’ yaani ushindi
Mwanariadha wa Kirusi, Ivan Kuliak anakabiliwa na kesi ya kinidhamu kwa kuonesha herufi hiyo
Soma - https://jamii.app/RussiaZ
Mwanariadha wa Kirusi, Ivan Kuliak anakabiliwa na kesi ya kinidhamu kwa kuonesha herufi hiyo
Soma - https://jamii.app/RussiaZ
SERIKALI YATOA TAHADHARI YA HOMA YA MANJANO
Waziri Ummy Mwalimu aagiza Maafisa wa Afya Mipakani kuhakikisha Wasafiri kutoka Nchi zenye Maambukizi wana vyeti vya Chanjo
Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kujua dalili za Ugonjwa huo
Soma - https://jamii.app/HomaManjano
#JFLeo
Waziri Ummy Mwalimu aagiza Maafisa wa Afya Mipakani kuhakikisha Wasafiri kutoka Nchi zenye Maambukizi wana vyeti vya Chanjo
Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kujua dalili za Ugonjwa huo
Soma - https://jamii.app/HomaManjano
#JFLeo
RIPOTI: BELARUS YAENDELEZA UKANDAMIZAJI DHIDI YA WAPINZANI NA VYOMBO VYA HABARI
Ripoti hiyo ya UN inaweka wazi ukiukwaji unaofanywa kwa wanaojaribu kutekeleza Haki zao za Msingi, lakini pia inaonesha namna wahanga wanavyoshindwa kupata Haki zao
Soma - https://jamii.app/UNRipotiBelarus
Ripoti hiyo ya UN inaweka wazi ukiukwaji unaofanywa kwa wanaojaribu kutekeleza Haki zao za Msingi, lakini pia inaonesha namna wahanga wanavyoshindwa kupata Haki zao
Soma - https://jamii.app/UNRipotiBelarus