SIMIYU: WATENDAJI WA SERIKALI WAKAMATWA KWA WIZI WA CHUPA ZA DAWA
Watu 12 wakiwamo Watendaji wa Serikali za Mtaa wamekamatwa wakidaiwa kuiba Chupa 434 za Dawa za kuua wadudu wa Pamba zilizotolewa na Serikali kwa Wakulima Wilayani Bariadi
Soma - https://jamii.app/WiziSimiyu
#JFLeo
Watu 12 wakiwamo Watendaji wa Serikali za Mtaa wamekamatwa wakidaiwa kuiba Chupa 434 za Dawa za kuua wadudu wa Pamba zilizotolewa na Serikali kwa Wakulima Wilayani Bariadi
Soma - https://jamii.app/WiziSimiyu
#JFLeo
URUSI YATOA MASHARTI YA KUACHA KUISHAMBULIA UKRAINE
Imeitaka Ukraine kuitambua #Crimea kama sehemu ya #Russia, na Donetsk and Luhansk kama Mataifa huru
Aidha, #Ukraine imetakiwa kubadili Katiba na kukataa kuingia katika kambi yoyote kama NATO
Soma - https://jamii.app/UrusiMasharti
Imeitaka Ukraine kuitambua #Crimea kama sehemu ya #Russia, na Donetsk and Luhansk kama Mataifa huru
Aidha, #Ukraine imetakiwa kubadili Katiba na kukataa kuingia katika kambi yoyote kama NATO
Soma - https://jamii.app/UrusiMasharti
WANAFUNZI WA KITANZANIA WATOKA SALAMA UKRAINE
Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula amesema Wanafunzi wapatao 150 wamevuka salama na kukimbilia nchi za Poland, #Hungary, Romania na #Denmark. 23 wamefanikiwa kurejea Tanzania
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaSalama
#JFLeo
Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula amesema Wanafunzi wapatao 150 wamevuka salama na kukimbilia nchi za Poland, #Hungary, Romania na #Denmark. 23 wamefanikiwa kurejea Tanzania
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaSalama
#JFLeo
#BURUDANI: Watu wengi hasa Vijana wanapenda kuangalia Filamu (#Movies). Filamu hizi huburudisha, huchangamsha na kutoa mafunzo kwa Jamii
Je, ni Filamu gani uliyowahi kuangalia zaidi ya mara moja na bado huichoki?
Mjadala - https://jamii.app/FilamuBurudani
#Entertainment #JamiiForums
Je, ni Filamu gani uliyowahi kuangalia zaidi ya mara moja na bado huichoki?
Mjadala - https://jamii.app/FilamuBurudani
#Entertainment #JamiiForums
SERIKALI: WATU 8 WAFARIKI DUNIA KWA #COVID19 NDANI YA MWEZI MMOJA
Visa vipya 290 viliripotiwa kuanzia Februari 5 - Machi 4, 2022. Wagonjwa 136 walilazwa na 128 kati yao hawakupata chanjo
Idadi ya waliopata dozi kamili ya chanjo Nchini ni 2,664,373
Soma https://jamii.app/8COVID19
Visa vipya 290 viliripotiwa kuanzia Februari 5 - Machi 4, 2022. Wagonjwa 136 walilazwa na 128 kati yao hawakupata chanjo
Idadi ya waliopata dozi kamili ya chanjo Nchini ni 2,664,373
Soma https://jamii.app/8COVID19
#UKRAINE YATAKA ZELENSKY NA PUTIN KUFANYA MKUTANO
Taifa hilo linataka mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Rais Volodymyr Zelensky na Rais wa #Russia, Vladimir Putin likisema linatambua maagizo yote yanatoka kwa Kiongozi huyo
Soma - https://jamii.app/ZelenskyPutin
#RussiaUkraineWar
Taifa hilo linataka mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Rais Volodymyr Zelensky na Rais wa #Russia, Vladimir Putin likisema linatambua maagizo yote yanatoka kwa Kiongozi huyo
Soma - https://jamii.app/ZelenskyPutin
#RussiaUkraineWar
Machi 8 ni Siku ya Wanawake Duniani
> Tunaungana na Watu wote kuadhimisha Siku hii, na tunawatakia Maadhimisho mema ya Siku ya Wanawake Duniani
#JamiiForums #IWD2022 #InternationalWomensDay
> Tunaungana na Watu wote kuadhimisha Siku hii, na tunawatakia Maadhimisho mema ya Siku ya Wanawake Duniani
#JamiiForums #IWD2022 #InternationalWomensDay
👍1
Takwimu zilizotolewa na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins zimeonesha idadi ya Vifo vilivyotokana na #COVID19 vimefikia 5,999,158
Nchi nyingi zimelegeza masharti huku Safari na #Biashara zikianza kurejea. Aidha, kupata chanjo bado kunasisitizwa
Soma - https://jamii.app/COVID19Duniani
#UVIKO3
Nchi nyingi zimelegeza masharti huku Safari na #Biashara zikianza kurejea. Aidha, kupata chanjo bado kunasisitizwa
Soma - https://jamii.app/COVID19Duniani
#UVIKO3
#UGANDA: Gabriel Rwotomiya amefariki kwa kupigwa risasi wakati Polisi wakituliza vurugu za Wanafunzi wa Sekondari Gulu baada ya kuzuiwa kutazama Mechi ya Man City na Man U, Machi 6
Wanafunzi wamerejeshwa Nyumbani na Shule kufungwa kwa muda
Soma - https://jamii.app/Uganda
#JFLeo
Wanafunzi wamerejeshwa Nyumbani na Shule kufungwa kwa muda
Soma - https://jamii.app/Uganda
#JFLeo
Katika Mwaka wa Fedha 2019/20, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alipata taarifa za makusanyo ya Mapato katika Halmashauri 135
Alibaini Bilioni 18.77 zilikusanywa kutoka vyanzo mbalimbali, lakini hakuna ushahidi Mapato hayo yaliwasilishwa Benki
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
Alibaini Bilioni 18.77 zilikusanywa kutoka vyanzo mbalimbali, lakini hakuna ushahidi Mapato hayo yaliwasilishwa Benki
#JamiiForums #WAJIBU #JFUwajibikaji #Accountability
Katika kuadhimisha #InternationalWomensDay ni muhimu kuangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuhamasisha jitihada za kukomesha ukosefu wa #UsawaWaKijinsia
Leo, tunasherehekea na kutambua Uongozi, nguvu, uwezo, ujasiri na mchango walionao Wanawake wote katika Jamii
Maadhimisho ya Mwaka 2022 yanabeba Kaulimbiu isemayo, "Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu"
#JamiiForums #BreakTheBias #IWD2022
Leo, tunasherehekea na kutambua Uongozi, nguvu, uwezo, ujasiri na mchango walionao Wanawake wote katika Jamii
Maadhimisho ya Mwaka 2022 yanabeba Kaulimbiu isemayo, "Kizazi cha Haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu"
#JamiiForums #BreakTheBias #IWD2022
MDAU: WATUMISHI WAFUNDISHWE NAMNA BORA YA KUTUMIA MIKOPO WANAYOCHUKUA
Anasema Watumishi wa Serikali huvutiwa huchukua Mikopo wakiamini ni ya gharama nafuu hali inayowafanya wawe na madeni hadi wanastaafu
Ameshauri kiundwe chombo maalum cha kudhibiti usimamizi na uendeshaji wa Taasisi zote za Kifedha. Sheria ya Mafao iboreshwe ili kuwezesha Watumishi wanapostaafu wawe wanajengewe Nyumba za Makazi
Soma - https://jamii.app/WatumishiMadeni
#StoriesOfChange
Anasema Watumishi wa Serikali huvutiwa huchukua Mikopo wakiamini ni ya gharama nafuu hali inayowafanya wawe na madeni hadi wanastaafu
Ameshauri kiundwe chombo maalum cha kudhibiti usimamizi na uendeshaji wa Taasisi zote za Kifedha. Sheria ya Mafao iboreshwe ili kuwezesha Watumishi wanapostaafu wawe wanajengewe Nyumba za Makazi
Soma - https://jamii.app/WatumishiMadeni
#StoriesOfChange
Rushwa ya Ngono inatajwa kuwa tatizo linalowatafuna Wanawake ndani kwa ndani hasa maeneo ya Kazi
Utafiti wa Asasi ya Wanawake katika Habari Afrika (WIN) ulibaini 41% ya Wanawake wanahabari waliwahi kufanyiwa Unyanyasaji wa Kingono kazini
Soma - https://jamii.app/Womenday
#IWD2022
Utafiti wa Asasi ya Wanawake katika Habari Afrika (WIN) ulibaini 41% ya Wanawake wanahabari waliwahi kufanyiwa Unyanyasaji wa Kingono kazini
Soma - https://jamii.app/Womenday
#IWD2022
Rais Samia ametoa wito kwa Wananchi kujitokeza ktk zoezi la Sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu Anuani za Makazi
Asema hakutakuwa na swali kuhusu Dini kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Mwl. Nyerere
Soma - https://jamii.app/DiniSensa
#JFLeo
Asema hakutakuwa na swali kuhusu Dini kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Mwl. Nyerere
Soma - https://jamii.app/DiniSensa
#JFLeo
MDAU: JAMII HAIWEZI KUCHOCHEA USTAWI BILA MAWAZO HURU
Anasema kukabiliana na changamoto kutahitaji sauti, uwazi na ukweli hivyo walio Madarakani wanahitaji kukosolewa
Jamii ikifungwa, watu wake wanakuwa kama Watumishi waoga badala ya Raia huru
Soma - https://jamii.app/UhuruKujieleza
Anasema kukabiliana na changamoto kutahitaji sauti, uwazi na ukweli hivyo walio Madarakani wanahitaji kukosolewa
Jamii ikifungwa, watu wake wanakuwa kama Watumishi waoga badala ya Raia huru
Soma - https://jamii.app/UhuruKujieleza
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kupanda kwa bei ya Mafuta kwa kiasi inasababishwa na Mgogoro kati ya Urusi na #Ukraine
Amesema “#Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei, nauli zitapanda bei, thamani ya kila kitu itapanda juu"
Soma - https://jamii.app/WomanDay
#IWD2022
Amesema “#Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei, nauli zitapanda bei, thamani ya kila kitu itapanda juu"
Soma - https://jamii.app/WomanDay
#IWD2022
Balozi wa #Urusi katika Umoja wa Mataifa (UN), Vassily Nebenzia, amesema Nchi yake itasitisha mapigano ili kuruhusu raia waliopo Kiev, Cher-nigov, Sumy na Mariupol kuondoka bila masharti kwa raia wanaopitia Urusi
Soma - https://jamii.app/RaiaWapite
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
Soma - https://jamii.app/RaiaWapite
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
KILIMANJARO: Grace Pima anashikiliwa na Polisi akidaiwa kumchoma Moto Mtoto wake wa Miaka Mitano Mdomoni na Puani kwa kosa la kutukana
Alifanya unyama huo Februari 28 na kumfungia Mtoto ndani kwa Saa 48 akimtibu kwa Dawa za Asili.
Soma - https://jamii.app/MotoMtoto
#UkatiliMtoto
Alifanya unyama huo Februari 28 na kumfungia Mtoto ndani kwa Saa 48 akimtibu kwa Dawa za Asili.
Soma - https://jamii.app/MotoMtoto
#UkatiliMtoto
#ZANZIBAR: Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (ZURA) imetangaza kuanzia Machi 9, Petroli itauzwa Tsh. 2,459, Dizeli Tsh. 2,500 na Mafuta ya Taa Tsh. 1,811 kwa Lita
Ongezeko limetokana na kupungua thamani ya Shilingi na tozo za Serikali
Soma https://jamii.app/MafutaZanzibar
Ongezeko limetokana na kupungua thamani ya Shilingi na tozo za Serikali
Soma https://jamii.app/MafutaZanzibar
UPDATE: Ofisi ya #HakiZaBinadamu ya Umoja wa Mataifa inasema Raia wa #Ukraine wapatao 474 wameuawa tangu uvamizi wa Urusi kuanza, lakini inahofiwa idadi halisi inaweza kuwa kubwa zaidi
Ukraine imesema Vikosi vya Urusi vimeharibu takriban Hospitali 61
Soma - https://jamii.app/VifoUkraine
Ukraine imesema Vikosi vya Urusi vimeharibu takriban Hospitali 61
Soma - https://jamii.app/VifoUkraine