ZANZIBAR: Rais Hussein Mwinyi atengua Uteuzi wa;
- Mkurugenzi Mkuu (Afya) Wizara ya Afya, Dkt. Abdulla Ali
- Mkurugenzi Mkuu wa Sekretarieti ya Tume ya Ushindani, Mohammed Jumanne
- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uhifadhi Mji Mkongwe, Madina Khamis
Soma https://jamii.app/Utenguzi3Znz
- Mkurugenzi Mkuu (Afya) Wizara ya Afya, Dkt. Abdulla Ali
- Mkurugenzi Mkuu wa Sekretarieti ya Tume ya Ushindani, Mohammed Jumanne
- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uhifadhi Mji Mkongwe, Madina Khamis
Soma https://jamii.app/Utenguzi3Znz
UFARANSA: Serikali imewaambia Raia wake waondoke Nchini #Urusi kutokana na mashambulizi ya kijeshi ya Taifa hilo yanayoendelea Nchini #Ukraine
> Uingereza na Marekani zimeshatoa tangazo la kuwaondoa Raia wake nchini humo
Soma - https://jamii.app/RussiaFrance
#RussiaUkraineCrisis
> Uingereza na Marekani zimeshatoa tangazo la kuwaondoa Raia wake nchini humo
Soma - https://jamii.app/RussiaFrance
#RussiaUkraineCrisis
MDAU: NI HATARI UMMA KUPOTEZA MAMLAKA YAKE KWA MUDA MREFU MPAKA UCHAGUZI
Anasema Demokrasia inakamilishwa na nguzo kuu nne; Kwanza ni lazima kuwe na mfumo wa kuchagua na kubadilisha Serikali kupitia Chaguzi Huru na za Haki
Pili, kuwe na ushiriki hai wa Watu (active participation of the people) katika michakato ya Kisiasa, Michakato ya Maamuzi na mwelekeo wa Nchi katika Maisha ya kila siku mbali na wakati wa Uchaguzi
Soma zaidi - https://jamii.app/MamlakaWananchi
#Democracy #HumanRights
Anasema Demokrasia inakamilishwa na nguzo kuu nne; Kwanza ni lazima kuwe na mfumo wa kuchagua na kubadilisha Serikali kupitia Chaguzi Huru na za Haki
Pili, kuwe na ushiriki hai wa Watu (active participation of the people) katika michakato ya Kisiasa, Michakato ya Maamuzi na mwelekeo wa Nchi katika Maisha ya kila siku mbali na wakati wa Uchaguzi
Soma zaidi - https://jamii.app/MamlakaWananchi
#Democracy #HumanRights
SINGIDA: Polisi inawashikilia Wanafunzi sita wa Shule ya Sekondari Mwenge kwa kuchoma moto pikipiki ya Mwalimu yenye Namba 'MC 653 BFS' na kufyeka mahindi shambani mwake baada ya kupewa adhabu kwa kukutwa na simu shuleni kinyume na Taratibu
Soma - https://jamii.app/Shule
Soma - https://jamii.app/Shule
TABORA: AMUUA BABA YAKE KWA SHOKA AKIMSHUTUMU KWA USHIRIKINA
Maiko Jacobo (25) mkazi wa Kijiji cha Upungu, Nzega anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Jacobo Lubela (88) kwa kumkata kichwani, shingoni na mikono yote miwili
Soma - https://jamii.app/TaboraMauaji
Maiko Jacobo (25) mkazi wa Kijiji cha Upungu, Nzega anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Jacobo Lubela (88) kwa kumkata kichwani, shingoni na mikono yote miwili
Soma - https://jamii.app/TaboraMauaji
MDAU: WATOTO WA NJE YA NDOA HUATHIRIKA KISAIKOLOJIA KWA KUKATALIWA
Anasema Watoto wa nje wanapata shida sana na kuathirika Kisakolojia hasa pale wanapohisi kukataliwa au kutokutambulika. Wengi huonekana kama Maadui na wezi wa Mali zilizotafutwa ndani ya Ndoa
Ameongeza, zipo sababu nyingi zinazopelekea kupatikana kwa Watoto wa nje ya Ndoa, ila Hisia zisitumike sana kwani huweza kuzalisha Uadui baina ya Watoto
Msome zaidi - https://jamii.app/WattNjeNdoa
#JamiiForums #Malezi
Anasema Watoto wa nje wanapata shida sana na kuathirika Kisakolojia hasa pale wanapohisi kukataliwa au kutokutambulika. Wengi huonekana kama Maadui na wezi wa Mali zilizotafutwa ndani ya Ndoa
Ameongeza, zipo sababu nyingi zinazopelekea kupatikana kwa Watoto wa nje ya Ndoa, ila Hisia zisitumike sana kwani huweza kuzalisha Uadui baina ya Watoto
Msome zaidi - https://jamii.app/WattNjeNdoa
#JamiiForums #Malezi
UKRAINE: KITUO CHA MITAMBO YA NYUKLIA CHASHAMBULIWA NA URUSI
Kituo cha Mtambo mkubwa wa Nishati ya Nyuklia Barani Ulaya, #Zaporizhia kimeshambuliwa usiku wa kuamkia leo
Ukraine yataka kusitishwa kwa mapigano ktk eneo hilo ili kuepusha Maafa
Soma - https://jamii.app/ZaporizhiaAttack
#JFLeo
Kituo cha Mtambo mkubwa wa Nishati ya Nyuklia Barani Ulaya, #Zaporizhia kimeshambuliwa usiku wa kuamkia leo
Ukraine yataka kusitishwa kwa mapigano ktk eneo hilo ili kuepusha Maafa
Soma - https://jamii.app/ZaporizhiaAttack
#JFLeo
UPDATES: Ukraine na #Russia zimekubaliana kutengeneza na kuweka maeneo salama ya kibinadamu ili kuruhusu Raia kuondolewa
Pande zote zimethibitisha Makubaliano hayo, lakini #Ukraine imesema bado haijapata matokeo inayohitaji
Soma - https://jamii.app/RussUkrAgree
#RussiaUkraineCrisis
Pande zote zimethibitisha Makubaliano hayo, lakini #Ukraine imesema bado haijapata matokeo inayohitaji
Soma - https://jamii.app/RussUkrAgree
#RussiaUkraineCrisis
Katika Ukaguzi wa Mapato ya Ndani ya Mamlaka za Serikali za Mitaa (MSM) 43 kwa kipindi cha 2017/18 - 2019/20, CAG alibaini kutokusanywa kwa Tsh. Bilioni 60.81 ambazo ni Mapato ya Ndani
Ukaguzi wa 2019/20 umeonesha kuongezeka kwa kutokusanywa kwa Mapato ya Ndani kwa kipindi cha 2016/17 - 2019/20.
#JamiiForums #JFUwajibikaji #Accountability #WAJIBU
Ukaguzi wa 2019/20 umeonesha kuongezeka kwa kutokusanywa kwa Mapato ya Ndani kwa kipindi cha 2016/17 - 2019/20.
#JamiiForums #JFUwajibikaji #Accountability #WAJIBU
#BURKINAFASO: JESHI LATEUA WAZIRI MKUU WA MPITO
Albert Ouedraogo ambaye ni Raia wa kawaida anatarajiwa kuunda Serikali Mpya ambayo jukumu lake kubwa litakuwa kudhibiti ghasia ambazo zimegharimu maisha ya maelfu, huku Mamilioni wakikimbia makazi
Soma - https://jamii.app/BurkinaPM
Albert Ouedraogo ambaye ni Raia wa kawaida anatarajiwa kuunda Serikali Mpya ambayo jukumu lake kubwa litakuwa kudhibiti ghasia ambazo zimegharimu maisha ya maelfu, huku Mamilioni wakikimbia makazi
Soma - https://jamii.app/BurkinaPM
#UKRAINE: Wanajeshi wa #Russia wameukamata Mji Muhimu wa Bandari na kuuzingira mwingine kama sehemu ya juhudi za kuitenganisha nchi hiyo na Pwani yake
> Pia, umeme na mawasiliano ya simu vimekatwa huku chakula na maji vikikosekana
Soma - https://jamii.app/Urusi
#RussiaUkraineCrisis
> Pia, umeme na mawasiliano ya simu vimekatwa huku chakula na maji vikikosekana
Soma - https://jamii.app/Urusi
#RussiaUkraineCrisis
KESI YA MBOWE: JAMHURI YAWASILISHA HATI YA KUFUTA KESI
Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) leo, Machi 4, 2022 amewasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake 3 ktk Mahakama Kuu
Soma - https://jamii.app/KufutaKesiMbowe
Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) leo, Machi 4, 2022 amewasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake 3 ktk Mahakama Kuu
Soma - https://jamii.app/KufutaKesiMbowe
FREEMAN MBOWE NA WENZAKE WAACHIWA HURU
Mahakama Kuu imemwachia huru M/Kiti wa CHADEMA Taifa pamoja na wenzake 3 waliokuwa wakikabiliwa na Mashtaka ya Ugaidi
Pia, Jaji kaagiza vielelezo vilivyowasilishwa Mahakamani wakati wa Kesi navyo kuachiwa
Soma - https://jamii.app/KufutaKesiMbowe
Mahakama Kuu imemwachia huru M/Kiti wa CHADEMA Taifa pamoja na wenzake 3 waliokuwa wakikabiliwa na Mashtaka ya Ugaidi
Pia, Jaji kaagiza vielelezo vilivyowasilishwa Mahakamani wakati wa Kesi navyo kuachiwa
Soma - https://jamii.app/KufutaKesiMbowe
MSUMBIJI: Rais Filipe Nyusi amemfukuza kazi aliyekuwa Waziri Mkuu, Carlos Agostinho do RosΓ‘rio na kumteua Adriano Afonso Maleiane ktk nafasi hiyo
> Ernesto Max Tonela anakuwa Waziri wa Fedha na Uchumi, Carlos Zacarias kuwa Waziri wa Nishati na Madini
Soma: https://jamii.app/Msumbiji
> Ernesto Max Tonela anakuwa Waziri wa Fedha na Uchumi, Carlos Zacarias kuwa Waziri wa Nishati na Madini
Soma: https://jamii.app/Msumbiji
MDAU: TUMJALI MTU ZAIDI PALE ANAPOKUWA MGONJWA KULIKO AKIWA MAREHEMU
Anasema Mtu akifariki kunakuwepo na michango na misaada mingi kwa ajili ya Msiba lakini Marehemu alipokuwa anaumwa huenda Ndugu na Marafiki hawakutoa msaada wowote
Aidha, baadhi ya wachangiaji wanasema kama Mtu huna ushirikiano mzuri na Watu hata unapopata matatizo pia utakosa wa kukupa msaada.
Una maoni gani?
Mjadala - https://jamii.app/KujaliWatu
#Maisha
Anasema Mtu akifariki kunakuwepo na michango na misaada mingi kwa ajili ya Msiba lakini Marehemu alipokuwa anaumwa huenda Ndugu na Marafiki hawakutoa msaada wowote
Aidha, baadhi ya wachangiaji wanasema kama Mtu huna ushirikiano mzuri na Watu hata unapopata matatizo pia utakosa wa kukupa msaada.
Una maoni gani?
Mjadala - https://jamii.app/KujaliWatu
#Maisha
URUSI: Bunge limepitisha Sheria inayoruhusu Mamlaka kuwafunga hadi miaka 15 watu walioshtakiwa kwa kusambaza makusudi taarifa zisizo na ukweli kuhusu Jeshi la Nchi hiyo. Sheria hiyo pia inafanya wito wa vikwazo dhidi ya Urusi kuwa Kosa la Jinai
Soma - https://jamii.app/JeshiUrusi
Soma - https://jamii.app/JeshiUrusi
SHINYANGA: Madirisha Kanyalu (60) amejiua kwa kujitumbukiza kisimani baada ya kumuua mtoto wake, Meshack Madirisha (miezi 11) na mkewe Evodia Nyerere (27), akimtuhumu mkewe kwa usaliti
> Tukio hilo limetokea Februari 2, 2022 ktk Kijiji cha Bulambila
Soma - https://jamii.app/Ajiua
> Tukio hilo limetokea Februari 2, 2022 ktk Kijiji cha Bulambila
Soma - https://jamii.app/Ajiua
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Donald J. Wright amesema kuachiwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo
Soma - https://jamii.app/USAMbowe
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/USAMbowe
#JamiiForums
SIKU YA KIMATAIFA YA UFAHAMU WA VIRUSI VYA PAPILLOMA - HPV
'Human Papilloma Virus' au #HPV ni kirusi ambacho husambaa kwa njia ya kujamiiana. Asilimia kubwa ya Watu wenye maambukizi ya HPV hupata vipele au #GenitalWarts, maumivu au Damu wakati wa Tendo, kuwashwa n.k
HPV huweza kusababisha aina mbalimbali za Saratani kwenye Mwili wa Binadamu ikiwemo Saratani ya Shingo ya Kizazi, Saratani Njia ya Haja kubwa n.k. Takriban Saratani zote za Shingo ya Kizazi hutokana na HPV za aina mbili, HPV16 na HPV18.
Soma - https://jamii.app/HPVDay2022
#Afya #Cancer
'Human Papilloma Virus' au #HPV ni kirusi ambacho husambaa kwa njia ya kujamiiana. Asilimia kubwa ya Watu wenye maambukizi ya HPV hupata vipele au #GenitalWarts, maumivu au Damu wakati wa Tendo, kuwashwa n.k
HPV huweza kusababisha aina mbalimbali za Saratani kwenye Mwili wa Binadamu ikiwemo Saratani ya Shingo ya Kizazi, Saratani Njia ya Haja kubwa n.k. Takriban Saratani zote za Shingo ya Kizazi hutokana na HPV za aina mbili, HPV16 na HPV18.
Soma - https://jamii.app/HPVDay2022
#Afya #Cancer
UKRAINE: WANAFUNZI WA KITANZANIA KUONDOLEWA KUPITIA URUSI
Ubalozi wa Tanzania Sweden na Ubalozi wa Tanzania #Moscow unawaondoa Wanafunzi waliopo Chuo cha Sumy kupitia mpaka wa Urusi
Zoezi hilo linaratibiwa na Serikali ya Urusi
Soma https://jamii.app/WatzSumy
#RussianUkrainianWar
Ubalozi wa Tanzania Sweden na Ubalozi wa Tanzania #Moscow unawaondoa Wanafunzi waliopo Chuo cha Sumy kupitia mpaka wa Urusi
Zoezi hilo linaratibiwa na Serikali ya Urusi
Soma https://jamii.app/WatzSumy
#RussianUkrainianWar