VIONGOZI WA DINI: BUSARA ITUMIKE KUMALIZA KESI YA MBOWE
Wakiwa Ikulu, Dar wameomba Mamlaka husika kutumia busara na kuangalia namna ya kumaliza kesi hiyo
Pia, wamependekeza kuwe na Mjadala kuhusu Mfumo mpya wa Elimu utakaokidhi mahitaji ya sasa
Soma - https://jamii.app/ViongoziDiniIkulu
Wakiwa Ikulu, Dar wameomba Mamlaka husika kutumia busara na kuangalia namna ya kumaliza kesi hiyo
Pia, wamependekeza kuwe na Mjadala kuhusu Mfumo mpya wa Elimu utakaokidhi mahitaji ya sasa
Soma - https://jamii.app/ViongoziDiniIkulu
UKRAINE - UPDATES: Jeshi la Urusi linadaiwa kushambulia Shule 3 Mjini #Kharkiv. Pia inaripotiwa kuwa Majengo kadhaa ya Makazi ya Watu huko #Okhtyrka nayo yameharibiwa kutokana na mashambulizi yanayoendelea
Watu zaidi ya Milioni 1 wamekimbia #Ukraine
Soma https://jamii.app/UkraineUrusi
Watu zaidi ya Milioni 1 wamekimbia #Ukraine
Soma https://jamii.app/UkraineUrusi
MSUMBIJI: MAWAZIRI SITA WAONDOLEWA KAZINI
Rais Filipe Nyusi amewatoa kwenye nafasi zao Mawaziri sita wakiwemo Waziri wa Fedha na Waziri wa Madini na Nishati
Ni Mabadiliko makubwa ya pili kufanyika kwenye Baraza la Mawaziri miezi ya hivi karibuni
Soma - https://jamii.app/MinisterSackMoz
Rais Filipe Nyusi amewatoa kwenye nafasi zao Mawaziri sita wakiwemo Waziri wa Fedha na Waziri wa Madini na Nishati
Ni Mabadiliko makubwa ya pili kufanyika kwenye Baraza la Mawaziri miezi ya hivi karibuni
Soma - https://jamii.app/MinisterSackMoz
URUSI: Waziri wa Ulinzi, Meja Jenerali Igor Konashenkov amesema Wanajeshi wa #Urusi 498 wameuawa na 1,597 wamejeruhiwa ktk mapigano na #Ukraine
> Aidha, Rais wa Ukraine amesema Wanajeshi wa Urusi 7,000 wameuawa ktk mapigano hayo
Soma https://jamii.app/UrusiWapiganaji
#RussiaUkraineConflict
> Aidha, Rais wa Ukraine amesema Wanajeshi wa Urusi 7,000 wameuawa ktk mapigano hayo
Soma https://jamii.app/UrusiWapiganaji
#RussiaUkraineConflict
Machi 03, 2022 ni Siku ya Usikivu Duniani ambapo inaelezwa takriban Watu Bilioni 1.5 Duniani kote wanaishi na tatizo la usikivu. Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wanasema idadi hii inaweza kuongezeka hadi Bilioni 2.5 kufikia Mwaka 2030
Kaulimbiu ya Mwaka 2022 inasema, "Ili kusikia maisha yote, sikiliza kwa uangalifu!"
Soma - https://jamii.app/TatizoUsikivu
#WorldHearingDay2022
Kaulimbiu ya Mwaka 2022 inasema, "Ili kusikia maisha yote, sikiliza kwa uangalifu!"
Soma - https://jamii.app/TatizoUsikivu
#WorldHearingDay2022
DAR: Daniel Muga, mkazi wa Bombambili anasakwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa miaka mitatu kwa kumpiga na kitu kizito kichwani
> Kamanda wa Polisi Dar, ACP Muliro Jumanne Muliro amesema tukio hilo lilitokea Februari 28, 2022
Soma - https://jamii.app/Mauaji
> Kamanda wa Polisi Dar, ACP Muliro Jumanne Muliro amesema tukio hilo lilitokea Februari 28, 2022
Soma - https://jamii.app/Mauaji
AFYA: MAMBO UNAYOTAKIWA KUYAFAHAMU
KUHUSU KUCHANGIA DAMU
Huwezi kupata Maambukizi ya Magonjwa kwa kuchangia Damu kwasababu zoezi la kuchangia Damu ni salama na huendeshwa na Watumishi wenye ujuzi na vifaa vinavyotumika ni salama
Mtu mwenye #Afya ana wastani wa Lita 6 - 7 za Damu na anaweza kuchangia mara kwa mara, chupa moja ya Damu ina ujazo usiozidi Mililita 450. Pia, Mtu mwenye uzito wa Kilo 50 na kuendelea ana Damu ya kutosha kuweza kuchangia.
#JamiiForums #HealthCare #BloodDonation
KUHUSU KUCHANGIA DAMU
Huwezi kupata Maambukizi ya Magonjwa kwa kuchangia Damu kwasababu zoezi la kuchangia Damu ni salama na huendeshwa na Watumishi wenye ujuzi na vifaa vinavyotumika ni salama
Mtu mwenye #Afya ana wastani wa Lita 6 - 7 za Damu na anaweza kuchangia mara kwa mara, chupa moja ya Damu ina ujazo usiozidi Mililita 450. Pia, Mtu mwenye uzito wa Kilo 50 na kuendelea ana Damu ya kutosha kuweza kuchangia.
#JamiiForums #HealthCare #BloodDonation
Ripoti ya ukaguzi ya Mwaka 2019/20 inaonesha kati ya mapendekezo 15 yaliyotolewa na CAG Mwaka 2018/19, OR – TAMISEMI haikutekeleza pendekezo lolote kikamilifu
Ripoti hiyo pia inaonesha kati ya mapendekezo 3,126 yaliyotolewa Mwaka 2018/19, ni mapendekezo 1,071 sawa na 34% ndiyo yametekelezwa kikamilifu.
#JamiiForums #JFUwajibikaji #Accountability #WAJIBU #JFPartnership
Ripoti hiyo pia inaonesha kati ya mapendekezo 3,126 yaliyotolewa Mwaka 2018/19, ni mapendekezo 1,071 sawa na 34% ndiyo yametekelezwa kikamilifu.
#JamiiForums #JFUwajibikaji #Accountability #WAJIBU #JFPartnership
MDAU: VIJANA WASHIRIKISHWE ZAIDI KWENYE SHUGHULI ZA MAENDELEO
Asema nyenzo ya uhusishwaji/ushikishwaji Vijana ktk Mipango na Utekelezaji wa shughuli za Maendeleo isipotumika vizuri, inaweza kuchangia Vijana na Serikali kulaumiana
Soma https://jamii.app/VijanaSerikaliSOC
#StoriesOfChange
Asema nyenzo ya uhusishwaji/ushikishwaji Vijana ktk Mipango na Utekelezaji wa shughuli za Maendeleo isipotumika vizuri, inaweza kuchangia Vijana na Serikali kulaumiana
Soma https://jamii.app/VijanaSerikaliSOC
#StoriesOfChange
LIBYA HATARINI KUTUMBUKIA ZAIDI KWENYE MGOGORO WA KISIASA
Bunge linajiandaa kuapisha Serikali ya Fathi Bashagha huko Tobruk, Mashariki mwa #Libya lakini Waziri Mkuu aliye Madarakani, Abdulhamid al-Dbeibah ameapa kutoachia madaraka
Soma - https://jamii.app/SiasaLibya
#JFLeo
Bunge linajiandaa kuapisha Serikali ya Fathi Bashagha huko Tobruk, Mashariki mwa #Libya lakini Waziri Mkuu aliye Madarakani, Abdulhamid al-Dbeibah ameapa kutoachia madaraka
Soma - https://jamii.app/SiasaLibya
#JFLeo
WANACHAMA WA UN WAPIGA KURA YA MZOZO WA URUSI NA UKRAINE
Nchi 141 zimelaani #Russia na kuridhia kuwekewa vikwazo mbalimbali vya Kimaendeleo
Nchi 4 zimekubaliana na Urusi. Nchi 35 hazijafungamana na upande wowote ikiwemo #Tanzania, China na Uganda
Soma - https://jamii.app/UNVoteUkraine
Nchi 141 zimelaani #Russia na kuridhia kuwekewa vikwazo mbalimbali vya Kimaendeleo
Nchi 4 zimekubaliana na Urusi. Nchi 35 hazijafungamana na upande wowote ikiwemo #Tanzania, China na Uganda
Soma - https://jamii.app/UNVoteUkraine
ZANZIBAR: Rais Hussein Mwinyi atengua Uteuzi wa;
- Mkurugenzi Mkuu (Afya) Wizara ya Afya, Dkt. Abdulla Ali
- Mkurugenzi Mkuu wa Sekretarieti ya Tume ya Ushindani, Mohammed Jumanne
- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uhifadhi Mji Mkongwe, Madina Khamis
Soma https://jamii.app/Utenguzi3Znz
- Mkurugenzi Mkuu (Afya) Wizara ya Afya, Dkt. Abdulla Ali
- Mkurugenzi Mkuu wa Sekretarieti ya Tume ya Ushindani, Mohammed Jumanne
- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uhifadhi Mji Mkongwe, Madina Khamis
Soma https://jamii.app/Utenguzi3Znz
UFARANSA: Serikali imewaambia Raia wake waondoke Nchini #Urusi kutokana na mashambulizi ya kijeshi ya Taifa hilo yanayoendelea Nchini #Ukraine
> Uingereza na Marekani zimeshatoa tangazo la kuwaondoa Raia wake nchini humo
Soma - https://jamii.app/RussiaFrance
#RussiaUkraineCrisis
> Uingereza na Marekani zimeshatoa tangazo la kuwaondoa Raia wake nchini humo
Soma - https://jamii.app/RussiaFrance
#RussiaUkraineCrisis
MDAU: NI HATARI UMMA KUPOTEZA MAMLAKA YAKE KWA MUDA MREFU MPAKA UCHAGUZI
Anasema Demokrasia inakamilishwa na nguzo kuu nne; Kwanza ni lazima kuwe na mfumo wa kuchagua na kubadilisha Serikali kupitia Chaguzi Huru na za Haki
Pili, kuwe na ushiriki hai wa Watu (active participation of the people) katika michakato ya Kisiasa, Michakato ya Maamuzi na mwelekeo wa Nchi katika Maisha ya kila siku mbali na wakati wa Uchaguzi
Soma zaidi - https://jamii.app/MamlakaWananchi
#Democracy #HumanRights
Anasema Demokrasia inakamilishwa na nguzo kuu nne; Kwanza ni lazima kuwe na mfumo wa kuchagua na kubadilisha Serikali kupitia Chaguzi Huru na za Haki
Pili, kuwe na ushiriki hai wa Watu (active participation of the people) katika michakato ya Kisiasa, Michakato ya Maamuzi na mwelekeo wa Nchi katika Maisha ya kila siku mbali na wakati wa Uchaguzi
Soma zaidi - https://jamii.app/MamlakaWananchi
#Democracy #HumanRights
SINGIDA: Polisi inawashikilia Wanafunzi sita wa Shule ya Sekondari Mwenge kwa kuchoma moto pikipiki ya Mwalimu yenye Namba 'MC 653 BFS' na kufyeka mahindi shambani mwake baada ya kupewa adhabu kwa kukutwa na simu shuleni kinyume na Taratibu
Soma - https://jamii.app/Shule
Soma - https://jamii.app/Shule
TABORA: AMUUA BABA YAKE KWA SHOKA AKIMSHUTUMU KWA USHIRIKINA
Maiko Jacobo (25) mkazi wa Kijiji cha Upungu, Nzega anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Jacobo Lubela (88) kwa kumkata kichwani, shingoni na mikono yote miwili
Soma - https://jamii.app/TaboraMauaji
Maiko Jacobo (25) mkazi wa Kijiji cha Upungu, Nzega anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Jacobo Lubela (88) kwa kumkata kichwani, shingoni na mikono yote miwili
Soma - https://jamii.app/TaboraMauaji
MDAU: WATOTO WA NJE YA NDOA HUATHIRIKA KISAIKOLOJIA KWA KUKATALIWA
Anasema Watoto wa nje wanapata shida sana na kuathirika Kisakolojia hasa pale wanapohisi kukataliwa au kutokutambulika. Wengi huonekana kama Maadui na wezi wa Mali zilizotafutwa ndani ya Ndoa
Ameongeza, zipo sababu nyingi zinazopelekea kupatikana kwa Watoto wa nje ya Ndoa, ila Hisia zisitumike sana kwani huweza kuzalisha Uadui baina ya Watoto
Msome zaidi - https://jamii.app/WattNjeNdoa
#JamiiForums #Malezi
Anasema Watoto wa nje wanapata shida sana na kuathirika Kisakolojia hasa pale wanapohisi kukataliwa au kutokutambulika. Wengi huonekana kama Maadui na wezi wa Mali zilizotafutwa ndani ya Ndoa
Ameongeza, zipo sababu nyingi zinazopelekea kupatikana kwa Watoto wa nje ya Ndoa, ila Hisia zisitumike sana kwani huweza kuzalisha Uadui baina ya Watoto
Msome zaidi - https://jamii.app/WattNjeNdoa
#JamiiForums #Malezi
UKRAINE: KITUO CHA MITAMBO YA NYUKLIA CHASHAMBULIWA NA URUSI
Kituo cha Mtambo mkubwa wa Nishati ya Nyuklia Barani Ulaya, #Zaporizhia kimeshambuliwa usiku wa kuamkia leo
Ukraine yataka kusitishwa kwa mapigano ktk eneo hilo ili kuepusha Maafa
Soma - https://jamii.app/ZaporizhiaAttack
#JFLeo
Kituo cha Mtambo mkubwa wa Nishati ya Nyuklia Barani Ulaya, #Zaporizhia kimeshambuliwa usiku wa kuamkia leo
Ukraine yataka kusitishwa kwa mapigano ktk eneo hilo ili kuepusha Maafa
Soma - https://jamii.app/ZaporizhiaAttack
#JFLeo
UPDATES: Ukraine na #Russia zimekubaliana kutengeneza na kuweka maeneo salama ya kibinadamu ili kuruhusu Raia kuondolewa
Pande zote zimethibitisha Makubaliano hayo, lakini #Ukraine imesema bado haijapata matokeo inayohitaji
Soma - https://jamii.app/RussUkrAgree
#RussiaUkraineCrisis
Pande zote zimethibitisha Makubaliano hayo, lakini #Ukraine imesema bado haijapata matokeo inayohitaji
Soma - https://jamii.app/RussUkrAgree
#RussiaUkraineCrisis
Katika Ukaguzi wa Mapato ya Ndani ya Mamlaka za Serikali za Mitaa (MSM) 43 kwa kipindi cha 2017/18 - 2019/20, CAG alibaini kutokusanywa kwa Tsh. Bilioni 60.81 ambazo ni Mapato ya Ndani
Ukaguzi wa 2019/20 umeonesha kuongezeka kwa kutokusanywa kwa Mapato ya Ndani kwa kipindi cha 2016/17 - 2019/20.
#JamiiForums #JFUwajibikaji #Accountability #WAJIBU
Ukaguzi wa 2019/20 umeonesha kuongezeka kwa kutokusanywa kwa Mapato ya Ndani kwa kipindi cha 2016/17 - 2019/20.
#JamiiForums #JFUwajibikaji #Accountability #WAJIBU