BULGARIA: Waziri Mkuu, Kiril Petkov asema atamfuta kazi Waziri wa Ulinzi, Stefan Yanev baada ya Kiongozi huyo kusita kuelezea uvamizi wa Urusi dhidi ya #Ukraine kama vita akisisitiza "Waziri wangu hawezi kutumia neno operesheni badala ya vita"
Soma - https://jamii.app/BulgariaMD
Soma - https://jamii.app/BulgariaMD
SERIKALI YAONDOA TOZO YA TSH. 100 KWENYE MAFUTA
Tozo hiyo kwa kila Lita ya Dizeli, Petroli na Mafuta ya Taa yaondolewa kulinda Wananchi na athari za mabadiliko ya Bei za Mafuta
Bei zimepanda kutokana na sababu kadhaa ikiwemo vita ya Urusi & Ukraine
Soma https://jamii.app/TZTozoMafuta
Tozo hiyo kwa kila Lita ya Dizeli, Petroli na Mafuta ya Taa yaondolewa kulinda Wananchi na athari za mabadiliko ya Bei za Mafuta
Bei zimepanda kutokana na sababu kadhaa ikiwemo vita ya Urusi & Ukraine
Soma https://jamii.app/TZTozoMafuta
#BELARUS: RAIS LUKASHENKO AJIONGEZEA MUDA WA KUKAA MADARAKANI
Tume ya Uchaguzi imesema 65% ya Watu waliopiga kura wameridhia mabadiliko ya #Katiba
Mabadiliko yanampa Rais Lukashenko aliyeiongoza tangu 1994 muda zaidi Madarakani na kinga ya Maisha
Soma - https://jamii.app/LukashenkoPower
Tume ya Uchaguzi imesema 65% ya Watu waliopiga kura wameridhia mabadiliko ya #Katiba
Mabadiliko yanampa Rais Lukashenko aliyeiongoza tangu 1994 muda zaidi Madarakani na kinga ya Maisha
Soma - https://jamii.app/LukashenkoPower
UKRAINE YASAINI MAOMBI YA KUJIUNGA UMOJA WA ULAYA (EU)
Pia, Rais Volodymyr ameomba Umoja huo uiruhusu #Ukraine ipate Uanachama mapema iwezekanavyo, chini ya Utaratibu Maalum wakati ikijilinda dhidi ya mashambulizi ya Urusi
Soma - https://jamii.app/UkraineEU
#RussiaUkraineCrisis
Pia, Rais Volodymyr ameomba Umoja huo uiruhusu #Ukraine ipate Uanachama mapema iwezekanavyo, chini ya Utaratibu Maalum wakati ikijilinda dhidi ya mashambulizi ya Urusi
Soma - https://jamii.app/UkraineEU
#RussiaUkraineCrisis
URUSI YAENDELEA KUISHAMBULIA UKRAINE LICHA YA MAZUNGUMZO
Makombora yaua watu kadhaa #Kharkiv, na ving'ora vya mashambulizi ya anga vimesikika tena katika Mji Mkuu, #Kyiv
Rais Volodymyr asema shambulio la Urusi huko Kharkiv ni uhalifu wa kivita
Soma - https://jamii.app/RussiaAttacks
Makombora yaua watu kadhaa #Kharkiv, na ving'ora vya mashambulizi ya anga vimesikika tena katika Mji Mkuu, #Kyiv
Rais Volodymyr asema shambulio la Urusi huko Kharkiv ni uhalifu wa kivita
Soma - https://jamii.app/RussiaAttacks
#BURKINAFASO: JESHI LAIDHINISHWA KUONGOZA KWA MIAKA MITATU
Mkutano wa Kitaifa umepitisha Mkataba utakaoruhusu Utawala wa Kijeshi kuongoza kipindi hicho
Mkutano huo uliidhinisha Hati ambayo baadaye ilisainiwa na Luteni Kanali Henri-Paul Damiba
Soma - https://jamii.app/Jeshi3BurFaso
Mkutano wa Kitaifa umepitisha Mkataba utakaoruhusu Utawala wa Kijeshi kuongoza kipindi hicho
Mkutano huo uliidhinisha Hati ambayo baadaye ilisainiwa na Luteni Kanali Henri-Paul Damiba
Soma - https://jamii.app/Jeshi3BurFaso
AFGHANISTAN: Marufuku ya kusafiri nje ya Nchi imetolewa na Serikali ya #Taliban ikilenga kuwakinga Waafghanistan na ugumu wa Maisha nje ya Taifa hilo
Familia ambazo zinahitaji kuondoka zinahitaji kuwa na sababu muhimu kwa Mamlaka ya Uhamiaji
Soma - https://jamii.app/TravelBanTaliban
#HumanRights
Familia ambazo zinahitaji kuondoka zinahitaji kuwa na sababu muhimu kwa Mamlaka ya Uhamiaji
Soma - https://jamii.app/TravelBanTaliban
#HumanRights
Nguvu ya #Demokrasia halisi hutegemea Uhuru na Haki fulani za kimsingi. Uhuru na Haki hizi lazima vilindwe ili kuhakikisha Demokrasia inafaulu
Katika Nchi nyingi Haki za Msingi zinapatikana na kulindwa na #Katiba. Katiba huelezea Miundo na kazi za Serikali pamoja na kutoa Miongozo ya kuunda #Sheria nyingine
Kwa kawaida, Katiba inatakiwa kulindwa dhidi ya kufanyiwa marekebisho na Vigogo wa Serikali pasipo kuwasilisha mabadiliko yoyote kwa Wapigakura kupitia Kura ya Maamuzi/Maoni
#JamiiForums #Democracy
Katika Nchi nyingi Haki za Msingi zinapatikana na kulindwa na #Katiba. Katiba huelezea Miundo na kazi za Serikali pamoja na kutoa Miongozo ya kuunda #Sheria nyingine
Kwa kawaida, Katiba inatakiwa kulindwa dhidi ya kufanyiwa marekebisho na Vigogo wa Serikali pasipo kuwasilisha mabadiliko yoyote kwa Wapigakura kupitia Kura ya Maamuzi/Maoni
#JamiiForums #Democracy
MDAU: OFISI ZA SERIKALI ZIWE NA KIBAO CHA KURIPOTI UZEMBE KWENYE UTOAJI HUDUMA
Apendekeza kuwe na kibao kwenye kila Taasisi inayohudumia Wananchi chenye namba za kuripoti kukitokea Ucheleweshwaji wa Huduma bila sababu za Msingi, Urasimu, na Uzembe wowote ule
Anasema hii itasaidia kuwa na Taasisi zinazofanya Kazi kweli na Wafanyakazi watakuwa hawana longo longo kwenye Utoaji huduma.
Msome - https://jamii.app/UzembeHuduma
#StoriesOfChange #Accountability
Apendekeza kuwe na kibao kwenye kila Taasisi inayohudumia Wananchi chenye namba za kuripoti kukitokea Ucheleweshwaji wa Huduma bila sababu za Msingi, Urasimu, na Uzembe wowote ule
Anasema hii itasaidia kuwa na Taasisi zinazofanya Kazi kweli na Wafanyakazi watakuwa hawana longo longo kwenye Utoaji huduma.
Msome - https://jamii.app/UzembeHuduma
#StoriesOfChange #Accountability
UPDATES: Mamlaka Nchini #Ukraine zinasema shambulio la Urusi limeua Wanajeshi wapatao 70 kwenye Kitengo cha Kijeshi huko Okhtyrka, Mji ulioko kati ya Kharkiv na Kyiv
Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watu waliokimbia Ukraine imefikia 520,000
Soma - https://jamii.app/UrusiUkraine1
Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watu waliokimbia Ukraine imefikia 520,000
Soma - https://jamii.app/UrusiUkraine1
UFAHAMU UGONJWA WA POLIO (2)
Ugonjwa huu hauna tiba, na njia kuu ya kuuzuia ni kuwapatia watoto chanjo ya Polio ambayo hutolewa kwa Dozi Nne
Wataalamu wanasema ni muhimu Mtoto akamilishe ratiba ya Chanjo kama inavyotakiwa ili kupata kinga kamili
Soma - https://jamii.app/UgonjwaPolio
Ugonjwa huu hauna tiba, na njia kuu ya kuuzuia ni kuwapatia watoto chanjo ya Polio ambayo hutolewa kwa Dozi Nne
Wataalamu wanasema ni muhimu Mtoto akamilishe ratiba ya Chanjo kama inavyotakiwa ili kupata kinga kamili
Soma - https://jamii.app/UgonjwaPolio
LINDI: MGANGA ATUHUMIWA KUMBAKA MWANAFUNZI
Jeshi la Polisi Mkoani humo linamtafuta Mganga wa Kienyeji Juma Salumu maarufu 'Juma Kipanya' anayekabiliwa na tuhuma za kubaka na kumpa ujauzito Mwanafunzi (15) wa Darasa la Saba
Soma - https://jamii.app/LindiMganga
#HumanRightsViolations
Jeshi la Polisi Mkoani humo linamtafuta Mganga wa Kienyeji Juma Salumu maarufu 'Juma Kipanya' anayekabiliwa na tuhuma za kubaka na kumpa ujauzito Mwanafunzi (15) wa Darasa la Saba
Soma - https://jamii.app/LindiMganga
#HumanRightsViolations
URUSI: Kocha wa Klabu ya Lokomotiv Moscow, Markus Gisdol (52), amejiuzulu akipinga uvamizi wa Urusi kwa Ukraine
Asema βSiwezi kuwa kwenye uwanja wa mazoezi huko Moscow kufundisha wachezaji wakati umbali wa Kilomita chache yanatolewa maagizo yanayoleta mateso kwa watuβ
#JFSports
Asema βSiwezi kuwa kwenye uwanja wa mazoezi huko Moscow kufundisha wachezaji wakati umbali wa Kilomita chache yanatolewa maagizo yanayoleta mateso kwa watuβ
#JFSports
GENEVA: Zaidi ya Wajumbe 140 wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, leo Machi 1, 2022 walitoka nje ya ukumbi wakikataa kusikiliza hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergei Lavrov
> Wanapinga uvamizi wa Urusi Nchini Ukraine
Soma - https://jamii.app/UNRussia
> Wanapinga uvamizi wa Urusi Nchini Ukraine
Soma - https://jamii.app/UNRussia
ADIDAS YAVUNJA USHIRIKIANO NA URUSI
Adidas imesimamisha ushirikiano na Chama cha Soka cha Urusi baada ya nchi hiyo kuvamia Ukraine
Adidas ambayo ni Kampuni ya 2 kwa ukubwa kwa utengenezaji wa vifaa vya michezo, imesitisha udhamini wa jezi za Urusi ulioanza mwaka 2008
#JFSports
Adidas imesimamisha ushirikiano na Chama cha Soka cha Urusi baada ya nchi hiyo kuvamia Ukraine
Adidas ambayo ni Kampuni ya 2 kwa ukubwa kwa utengenezaji wa vifaa vya michezo, imesitisha udhamini wa jezi za Urusi ulioanza mwaka 2008
#JFSports
GHANA: Kundi la kwanza la Raia wa Ghana wakiwemo Wanafunzi limewasili Accra Nchini humo toka Ukraine ambapo kuna machafuko ya kushambuliwa na Urusi
> Inaelezwa kuwa, wengi wa Raia hao wanaelekea Slovakia, Hungary, Romania na Poland
Soma - https://jamii.app/GhanaUkraine
> Inaelezwa kuwa, wengi wa Raia hao wanaelekea Slovakia, Hungary, Romania na Poland
Soma - https://jamii.app/GhanaUkraine
UTEUZI: Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Yusuph Juma Mwenda kuwa Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB). Uteuzi wake unaanza leo Machi 01, 2022
Kabla ya kuteuliwa na Rais Mwinyi, Mwenda alikuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Soma - https://jamii.app/UteuziZRB
Kabla ya kuteuliwa na Rais Mwinyi, Mwenda alikuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Soma - https://jamii.app/UteuziZRB
MDAU: WAZAZI HUCHANGIA KUHARIBU NDOA ZA WATOTO WAO
Anasema Ndugu/Wazazi wanapokuja kukaa kwa Mtoto wao mwenye Ndoa huwa na Mitazamo tofauti ya namna wanavyotegemea Ndoa iwe na huweza hata kuleta mfarakano na kuharibu Uhusiano uliopo
Ikiwa Ndugu wanakuja kuishi nanyi ni vema kuwe na sababu zinazochangia kukaa na nyie ikiwemo Ugonjwa au Maisha magumu. Lakini kama Mzazi ana nguvu na anaweza kufanya kazi zake za kawaida ni makosa kuishi kwa Mwanao aliyeoa/aliyeolewa
Msome - https://jamii.app/WazaziNdoaMtoto
#Maisha #Mapenzi
Anasema Ndugu/Wazazi wanapokuja kukaa kwa Mtoto wao mwenye Ndoa huwa na Mitazamo tofauti ya namna wanavyotegemea Ndoa iwe na huweza hata kuleta mfarakano na kuharibu Uhusiano uliopo
Ikiwa Ndugu wanakuja kuishi nanyi ni vema kuwe na sababu zinazochangia kukaa na nyie ikiwemo Ugonjwa au Maisha magumu. Lakini kama Mzazi ana nguvu na anaweza kufanya kazi zake za kawaida ni makosa kuishi kwa Mwanao aliyeoa/aliyeolewa
Msome - https://jamii.app/WazaziNdoaMtoto
#Maisha #Mapenzi
π1
VISA NA MASTERCARD ZAFUNGIA TAASISI ZA FEDHA ZA URUSI
- Zimezifungia Taasisi hizo kutumia mifumo ya huduma zake ikiwa ni sehemu ya vikwazo kwa Urusi
- Pia, zimeahidi kutoa Dola za Kimarekani Milioni 2 kila moja kwa ajili ya kusaidia Ukraine
Soma https://jamii.app/VisaMastercard-Ur
#JFLeo
- Zimezifungia Taasisi hizo kutumia mifumo ya huduma zake ikiwa ni sehemu ya vikwazo kwa Urusi
- Pia, zimeahidi kutoa Dola za Kimarekani Milioni 2 kila moja kwa ajili ya kusaidia Ukraine
Soma https://jamii.app/VisaMastercard-Ur
#JFLeo