SCHALKE O4 KUONDOA NEMBO YA KAMPUNI YA URUSI KWENYE JEZI
- Klabu hiyo ya Ujerumani imethibitisha kuondoa kwenye jezi zake nembo ya mdhamini mkuu wa Klabu, Kampuni ya Gazprom inayomilikiwa na Urusi
- Imesema sehemu ilipokuwa inakaa nembo yatawekwa maneno ‘Schalke 04’
#JFSports
- Klabu hiyo ya Ujerumani imethibitisha kuondoa kwenye jezi zake nembo ya mdhamini mkuu wa Klabu, Kampuni ya Gazprom inayomilikiwa na Urusi
- Imesema sehemu ilipokuwa inakaa nembo yatawekwa maneno ‘Schalke 04’
#JFSports
TANESCO: KUANZIA JULAI, UMEME UTAINGIA BILA KUANDIKA TOKEN KWENYE MITA
Kuanzia Julai, Smart Meters zitaanza kutumika. Umeme utawaka moja kwa moja kama ilivyo huduma za king'amuzi
Suala la Token liliwahi kulalamikiwa kupitia #StoriesOfChange ya JF
Soma - https://jamii.app/SmartMeters
Kuanzia Julai, Smart Meters zitaanza kutumika. Umeme utawaka moja kwa moja kama ilivyo huduma za king'amuzi
Suala la Token liliwahi kulalamikiwa kupitia #StoriesOfChange ya JF
Soma - https://jamii.app/SmartMeters
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
#UPDATES: Takriban Raia 10 na Wanajeshi 40 wa #Ukraine wameripotiwa kuuawa katika mashambulizi ya Anga yaliyofanywa na Urusi leo Februari 24, 2022 katika Mji wa #Odessa
Taarifa ya Vifo hivyo imetolewa na Msaidizi wa Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine alipozungumza na Waandishi.
#RussianInvasion #RussiaUkraine
Taarifa ya Vifo hivyo imetolewa na Msaidizi wa Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine alipozungumza na Waandishi.
#RussianInvasion #RussiaUkraine
MDAU: VITU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUHAMIA DAR
Anashauri wanaotaka kuhamia Dar wahakikishe wana Ujuzi na Nidhamu ya Fedha
Asema si tatizo Kijana wa Mkoani kuja Dar, lakini ni muhimu kujiuliza; Mambo yakienda tofauti utafanyaje?
Soma - https://jamii.app/DarKuhamia
#StoriesOfChange
Anashauri wanaotaka kuhamia Dar wahakikishe wana Ujuzi na Nidhamu ya Fedha
Asema si tatizo Kijana wa Mkoani kuja Dar, lakini ni muhimu kujiuliza; Mambo yakienda tofauti utafanyaje?
Soma - https://jamii.app/DarKuhamia
#StoriesOfChange
UKRAINE: Rais Volodymyr Zelensky ameagiza wanaume nchini humo wenye umri wa miaka 18-60 kuilinda nchi yao
> Taarifa zinasema Majeshi ya Urusi yameshauteka Uwanja wa Ndege wa Jeshi la Ukraine pamoja na Kinu cha Nyuklia cha Chernobil
Soma https://jamii.app/WanaumeUkraine
> Taarifa zinasema Majeshi ya Urusi yameshauteka Uwanja wa Ndege wa Jeshi la Ukraine pamoja na Kinu cha Nyuklia cha Chernobil
Soma https://jamii.app/WanaumeUkraine
Ukraine: Watu zaidi ya 137 wahofiwa kufariki baada ya mlipuko uliosikika katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Kyiv
Majeshi ya Urusi yameonekana kuendelea na mashambulizi mbali na kuwekewa vikwazo na Marekani na Ulaya
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
Majeshi ya Urusi yameonekana kuendelea na mashambulizi mbali na kuwekewa vikwazo na Marekani na Ulaya
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
GEITA: AUAWA KWA TUHUMA ZA KUJARIBU KUMBAKA MWANAFUNZI
Kijana mwenye umri kati ya miaka 18 - 22 ameuawa na kuchomwa moto akidaiwa kujaribu kubaka Mwanafunzi aliyekuwa akielekea Shuleni
M/kiti wa Mtaa anashikiliwa na Polisi kusaidia kubaini wahusika
Soma https://jamii.app/GeitaAuawa
Kijana mwenye umri kati ya miaka 18 - 22 ameuawa na kuchomwa moto akidaiwa kujaribu kubaka Mwanafunzi aliyekuwa akielekea Shuleni
M/kiti wa Mtaa anashikiliwa na Polisi kusaidia kubaini wahusika
Soma https://jamii.app/GeitaAuawa
❤1
#UPDATES: Mashirika ya Ndege ya Uingereza yamepigwa marufuku kutua katika Viwanja vya Ndege vya Urusi pamoja na kupita kwenye Anga lake
Uamuzi huo unafuatia uamuzi wa Uingereza kupiga marufuku Shirika la Ndege la Urusi, #Aeroflot kutua Nchini Uingereza.
#RussiaUkraineConflict
Uamuzi huo unafuatia uamuzi wa Uingereza kupiga marufuku Shirika la Ndege la Urusi, #Aeroflot kutua Nchini Uingereza.
#RussiaUkraineConflict
👍1
UEFA: FAINALI YA KLABU BINGWA ULAYA HAITAFANYIKA URUSI
- UEFA imehamisha fainali ya Klabu Bingwa Ulaya kutoka St. Petersburg, Urusi kwenda Paris, Ufaransa
- Fainali hiyo itakayochezwa Mei 28, 2022 itachezwa katika uwanja wa Stade de France badala ya Gazprom Arena
#JFSports
- UEFA imehamisha fainali ya Klabu Bingwa Ulaya kutoka St. Petersburg, Urusi kwenda Paris, Ufaransa
- Fainali hiyo itakayochezwa Mei 28, 2022 itachezwa katika uwanja wa Stade de France badala ya Gazprom Arena
#JFSports
👍1
SERIKALI: WATANZANIA WALIO UKRAINE WAWE WATULIVU
Wizara ya Mambo ya Nje imesema hakuna Mtanzania aliyepata madhara hadi sasa
Serikali imewashauri Watanzania wafuate maelekezo ya #Ukraine, na kuwasiliana na Ubalozi
Soma - https://jamii.app/UkraineWatanzania
#RussiaUkraineConflict
Wizara ya Mambo ya Nje imesema hakuna Mtanzania aliyepata madhara hadi sasa
Serikali imewashauri Watanzania wafuate maelekezo ya #Ukraine, na kuwasiliana na Ubalozi
Soma - https://jamii.app/UkraineWatanzania
#RussiaUkraineConflict
UKRAINE YAOMBA MSAADA WA MAJESHI YENYE NGUVU
Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelensky amelalamika Mataifa yenye nguvu kuwaacha wajipambanie huku wakitazama kwa mbali
> Amesema vikwazo vilivyowekwa havijamshawishi Rais Vladimir Putin kuacha mashambulizi
Soma https://jamii.app/UkraineYaombaMsaada
Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelensky amelalamika Mataifa yenye nguvu kuwaacha wajipambanie huku wakitazama kwa mbali
> Amesema vikwazo vilivyowekwa havijamshawishi Rais Vladimir Putin kuacha mashambulizi
Soma https://jamii.app/UkraineYaombaMsaada
KIGOMA: MGANGA ATUHUMIWA KUMUUA MTEJA ALIYETAKA KUZIKA FEDHA ZA BIASHARA
Dereva wa Pikipiki na Mganga wa Kienyeji wanatuhumiwa kumuua na kisha kumfukia Mwanamke aliyekuwa ameenda kuzindika Fedha za Biashara kiasi cha Tsh. Milioni 9
Soma - https://jamii.app/MtejaKifoZindiko
#HumanRights
Dereva wa Pikipiki na Mganga wa Kienyeji wanatuhumiwa kumuua na kisha kumfukia Mwanamke aliyekuwa ameenda kuzindika Fedha za Biashara kiasi cha Tsh. Milioni 9
Soma - https://jamii.app/MtejaKifoZindiko
#HumanRights
MAREKANI: ASKARI 3 WANAOTUHUMIWA KUMUUA GEORGE FLOYD WAKUTWA NA HATIA
Maafisa hao wa zamani wa #Minneapolis walishtakiwa kwa kumnyima Floyd Haki yake ya matibabu wakati Afisa Derek Chauvin alipomkandamiza kwa goti shingoni mnamo Mei 25, 2020
Soma - https://jamii.app/FloydCaseGuilt
Maafisa hao wa zamani wa #Minneapolis walishtakiwa kwa kumnyima Floyd Haki yake ya matibabu wakati Afisa Derek Chauvin alipomkandamiza kwa goti shingoni mnamo Mei 25, 2020
Soma - https://jamii.app/FloydCaseGuilt
#UKRAINE YATAKA MAZUNGUMZO NA URUSI
Rais Volodymyr Zelensky ametaka mazungumzo na Rais Vladimir Putin ili kunusuru Raia wasio na hatia
China imesema Urusi ipo tayari kwa mazungumzo baada ya Rais Putin kuongea na Rais Xi Jinping
Soma https://jamii.app/Mazungumzo
#RussiaUkraineConflict
Rais Volodymyr Zelensky ametaka mazungumzo na Rais Vladimir Putin ili kunusuru Raia wasio na hatia
China imesema Urusi ipo tayari kwa mazungumzo baada ya Rais Putin kuongea na Rais Xi Jinping
Soma https://jamii.app/Mazungumzo
#RussiaUkraineConflict
#KENYA: MWANAFUNZI AFUNGWA KWA VIFO VYA MOTO SHULENI
Msichana (18) amehukumiwa kifungo cha Miaka 5 jela kwa kuua bila kukusudia kufuatia kuwasha Moto katika Bweni la Shule na kuua wenzake tisa
Alitenda kosa hilo 2017 ktk Shule ya Wasichana ya Moi
Soma - https://jamii.app/JelaMotoShule
Msichana (18) amehukumiwa kifungo cha Miaka 5 jela kwa kuua bila kukusudia kufuatia kuwasha Moto katika Bweni la Shule na kuua wenzake tisa
Alitenda kosa hilo 2017 ktk Shule ya Wasichana ya Moi
Soma - https://jamii.app/JelaMotoShule
AFYA: 43% YA CHUMVI NCHINI HAICHANGANYWI NA MADINI JOTO
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi amesema 43% ya chumvi ni hatari kwa Afya kwa kuwa hazichanganywi na madini joto
Athari zake ni Magonjwa kama Goita na kujifungua Watoto Njiti
Soma - https://jamii.app/ChumviHatari
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi amesema 43% ya chumvi ni hatari kwa Afya kwa kuwa hazichanganywi na madini joto
Athari zake ni Magonjwa kama Goita na kujifungua Watoto Njiti
Soma - https://jamii.app/ChumviHatari
TONY RASHID AMKALISHA BONGANI MAHLANGU
Bondia wa #Tanzania, Tony Rashid arejesha ubingwa wa ABU-Super Bantam Weight baada ya kumpiga kwa point bondia wa Afrika Kusini, Bongani Mahlangu(Profesa) kwenye pambano la Marudio
Soma https://jamii.app/TonyRashid
#JFSports
Bondia wa #Tanzania, Tony Rashid arejesha ubingwa wa ABU-Super Bantam Weight baada ya kumpiga kwa point bondia wa Afrika Kusini, Bongani Mahlangu(Profesa) kwenye pambano la Marudio
Soma https://jamii.app/TonyRashid
#JFSports
#UKRAINE: MBUNGE ASEMA WANAWAKE WATAPIGANIA NCHI
Kira Rudik amechapisha picha akiwa ameshika bunduki na kusema anajifunza kuitumia ili kutetea ardhi yake dhidi ya Urusi
Amesema Wanawake watatetea Nchi yao kama Wanaume
Soma - https://jamii.app/WanawakeUkraine
#RussiaUkraineConflict
Kira Rudik amechapisha picha akiwa ameshika bunduki na kusema anajifunza kuitumia ili kutetea ardhi yake dhidi ya Urusi
Amesema Wanawake watatetea Nchi yao kama Wanaume
Soma - https://jamii.app/WanawakeUkraine
#RussiaUkraineConflict
RAIS WA UKRAINE AVAA GWANDA NA KUINGIA VITANI
Rais Volodymyr Zelensky ameingia "Uwanja wa Vita" kutetea Nchi yake
Awali, kulikuwa na tetesi Rais huyo amekimbia Nchi. Alijitokeza na kuomba Wananchi wapuuzie taarifa hizo
Soma - https://jamii.app/GwandaUkraine
#RussiaUkraineConflict
Rais Volodymyr Zelensky ameingia "Uwanja wa Vita" kutetea Nchi yake
Awali, kulikuwa na tetesi Rais huyo amekimbia Nchi. Alijitokeza na kuomba Wananchi wapuuzie taarifa hizo
Soma - https://jamii.app/GwandaUkraine
#RussiaUkraineConflict