MAREKANI: RAIS BIDEN ATEUA MWANAMKE MWEUSI KUWA JAJI WA MAHAKAMA YA JUU
Ketanji Jackson anakuwa Mwanamke wa kwanza Mweusi kwenye Mahakama ya juu kabisa ambayo awali ilitangaza hastahili kupata Uraia wa Marekani kutokana na rangi ya Ngozi yake
Soma https://jamii.app/KentanjiSupreme
#JFLeo
Ketanji Jackson anakuwa Mwanamke wa kwanza Mweusi kwenye Mahakama ya juu kabisa ambayo awali ilitangaza hastahili kupata Uraia wa Marekani kutokana na rangi ya Ngozi yake
Soma https://jamii.app/KentanjiSupreme
#JFLeo
RELI, DARAJA VYASOMBWA NA MAJI. ABIRIA WAKWAMA MOROGORO
Mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani Morogoro zimesababisha uharibifu wa Miundombinu ya Reli ya kati na Barabara ambapo Daraja la Kidete limekatika na kupelekea Treni kusimamisha safari zake
Soma - https://jamii.app/AbiriaKilosa
Mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani Morogoro zimesababisha uharibifu wa Miundombinu ya Reli ya kati na Barabara ambapo Daraja la Kidete limekatika na kupelekea Treni kusimamisha safari zake
Soma - https://jamii.app/AbiriaKilosa
URUSI: Mtandao wa #Facebook unaomilikiwa na Kampuni ya Meta umezuiwa Nchini Urusi kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kupishana ktk Masharti ya vitu vya kuweka Mitandaoni wakati huu wa vita na #Ukraine
Soma - https://jamii.app/FBBanRussia
#DigitalRights #RussiaUkraineConflict #PressFreedom
Soma - https://jamii.app/FBBanRussia
#DigitalRights #RussiaUkraineConflict #PressFreedom
RAIS SAMIA AKUTANA NA MTAWALA WA DUBAI
Rais Samia amezungumza na Makamu wa Rais ambaye ni Waziri Mkuu wa UAE na Mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
> Ni baada ya kuhutubia katika Maonesho ya Dubai Expo 2020 Mjini Dubai
Soma https://jamii.app/RaisSamiaDubai
#JFLeo
Rais Samia amezungumza na Makamu wa Rais ambaye ni Waziri Mkuu wa UAE na Mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
> Ni baada ya kuhutubia katika Maonesho ya Dubai Expo 2020 Mjini Dubai
Soma https://jamii.app/RaisSamiaDubai
#JFLeo
POLAND KUKATAA KUCHEZA NA URUSI MECHI YA KUFUZU KOMBE LA DUNIA
- Poland imesema itakataa kucheza mchezo huo wa Machi 25, 2022 baada ya Urusi kuivamia Ukraine
- Pia itakuwa mwenyeji wa michezo yote ambayo Ukraine ilitakiwa kuwa mwenyeji ila itashindwa kutokana na vita
#JFSports
- Poland imesema itakataa kucheza mchezo huo wa Machi 25, 2022 baada ya Urusi kuivamia Ukraine
- Pia itakuwa mwenyeji wa michezo yote ambayo Ukraine ilitakiwa kuwa mwenyeji ila itashindwa kutokana na vita
#JFSports
SERIKALI YATOA TAHADHARI YA MLIPUKO WA POLIO
Serikali kupitia Wizara ya Afya imesisitiza Wazazi kuhakikisha Watoto wanapatiwa dozi kamili ya chanjo #Polio
> Hatua hii imekuja baada ya Malawi kuripoti kisa cha kwanza baada ya muda mrefu
Soma https://jamii.app/MlipukoPolio
#JFAfya
Serikali kupitia Wizara ya Afya imesisitiza Wazazi kuhakikisha Watoto wanapatiwa dozi kamili ya chanjo #Polio
> Hatua hii imekuja baada ya Malawi kuripoti kisa cha kwanza baada ya muda mrefu
Soma https://jamii.app/MlipukoPolio
#JFAfya
PWANI: MELI YA MAFUTA YAUNGUA
Meli ndogo iliyokuwa na Mafuta imeungua ikiwa kwenye maegesho ya Bandari ya Nyamisati. Meli hiyo ilikuwa na safari ya kuelekea Kisiwa cha Mafia kupeleka mafuta hayo
Soma - https://jamii.app/MeliNdogo
#JamiiForums #JFLeo
Meli ndogo iliyokuwa na Mafuta imeungua ikiwa kwenye maegesho ya Bandari ya Nyamisati. Meli hiyo ilikuwa na safari ya kuelekea Kisiwa cha Mafia kupeleka mafuta hayo
Soma - https://jamii.app/MeliNdogo
#JamiiForums #JFLeo
UKRAINE: MASHAMBULIZI YAPELEKEA MAELFU KUKIMBILIA NCHI JIRANI
Zaidi ya Raia 150,000 wa #Ukraine wamevuka Mipaka kuingia Mataifa jirani katika upande wa Magharibi kutafuta usalama, wakati Urusi ikishambulia Mji Mkuu wa Nchi hiyo pamoja na Miji mingine kwa mashambulizi ya angani
Soma - https://jamii.app/UkraineUsalama
#RussiaUkraineConflict
Zaidi ya Raia 150,000 wa #Ukraine wamevuka Mipaka kuingia Mataifa jirani katika upande wa Magharibi kutafuta usalama, wakati Urusi ikishambulia Mji Mkuu wa Nchi hiyo pamoja na Miji mingine kwa mashambulizi ya angani
Soma - https://jamii.app/UkraineUsalama
#RussiaUkraineConflict
SWEDEN YAUNGANA NA POLAND KUKATAA KUCHEZA NA URUSI
- Sweden imeungana na Poland kukataa kucheza na Urusi katika mchezo wa kufuzu kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar
- Mshindi wa mchezo kati ya Poland na Urusi angekutana na Mshindi kati ya Sweden na Jamhuri ya Czech
#JFSports
- Sweden imeungana na Poland kukataa kucheza na Urusi katika mchezo wa kufuzu kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar
- Mshindi wa mchezo kati ya Poland na Urusi angekutana na Mshindi kati ya Sweden na Jamhuri ya Czech
#JFSports
BILIONEA ABRAMOVICH AJIWEKA KANDO CHELSEA LAKINI BADO NI MMILIKI
Mmiliki wa Chelsea FC ametangaza kujiweka kando na majukumu ya Uongozi ndani ya Klabu hiyo na kukabidhi kwa Bodi ya Wadhamini ambapo yeye ataendelea kubaki katika nafasi ya umiliki
Soma - https://jamii.app/ChelseaUnrest
Mmiliki wa Chelsea FC ametangaza kujiweka kando na majukumu ya Uongozi ndani ya Klabu hiyo na kukabidhi kwa Bodi ya Wadhamini ambapo yeye ataendelea kubaki katika nafasi ya umiliki
Soma - https://jamii.app/ChelseaUnrest
SERIKALI KUSAIDIA WATANZANIA WALIO UKRAINE KURUDI NCHINI
Serikali inawasaidia Watanzania takriban 300 waliopo #Ukraine kuingia Poland na Romania ambapo kuna utulivu ili waweze kurejea Nchini
Hadi sasa, hakuna madhara yaliyoripotiwa kwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaUkraine
Serikali inawasaidia Watanzania takriban 300 waliopo #Ukraine kuingia Poland na Romania ambapo kuna utulivu ili waweze kurejea Nchini
Hadi sasa, hakuna madhara yaliyoripotiwa kwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaUkraine
UKRAINE: WAFUNGWA WENYE UZOEFU WA KIJESHI KUACHWA HURU
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali asema wataachwa huru ili wasaidie kuipigania Nchi yao
Aidha, Wanawake wamesema watapambana kwa kuchangia damu ili kunusuru majeruhi
Soma - https://jamii.app/MilitaryExperience
#RussiaUkraineConflict
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali asema wataachwa huru ili wasaidie kuipigania Nchi yao
Aidha, Wanawake wamesema watapambana kwa kuchangia damu ili kunusuru majeruhi
Soma - https://jamii.app/MilitaryExperience
#RussiaUkraineConflict
MWANZA: 'MFALME ZUMARIDI' AKAMATWA NA POLISI
Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi anakabiliwa na tuhuma za usafirishaji haramu wa binadamu na unyonyaji. Amesafirisha watu 149 wakiwemo Watoto 24
Amekuwa akiwaaminisha watu kuwa yeye ni Mungu
Soma - https://jamii.app/MfalmeZumaridi
Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi anakabiliwa na tuhuma za usafirishaji haramu wa binadamu na unyonyaji. Amesafirisha watu 149 wakiwemo Watoto 24
Amekuwa akiwaaminisha watu kuwa yeye ni Mungu
Soma - https://jamii.app/MfalmeZumaridi
MPANGO WA VIBERENGE MLIMA KILIMANJARO WAINGIA DOA, WAZIRI MKUU AUKOSOA
Ametaka tathmini ya kina kufanyika akisema, "Nasikia mnataka kuweka kiberenge cha kupanda Mlima Kilimanjaro, mnataka kuua Mlima? Mkiweka machuma ya kupanda Mlima mtaharibu"
Soma - https://jamii.app/PMKili
Ametaka tathmini ya kina kufanyika akisema, "Nasikia mnataka kuweka kiberenge cha kupanda Mlima Kilimanjaro, mnataka kuua Mlima? Mkiweka machuma ya kupanda Mlima mtaharibu"
Soma - https://jamii.app/PMKili
#Ukraine imeonesha utayari wa kufanya mazungumzo na #Urusi mpakani mwa nchi hizo mbili ili kupunguza athari kwa raia wasio na hatia
Hatua imekuja baada ya Urusi kuonesha kuwa ingeweza kutumia Bomu la Nyuklia kuipiga Ukraine
Soma https://jamii.app/MazungumzoVita
#RussiaUkraineConflict
Hatua imekuja baada ya Urusi kuonesha kuwa ingeweza kutumia Bomu la Nyuklia kuipiga Ukraine
Soma https://jamii.app/MazungumzoVita
#RussiaUkraineConflict
UMOJA WA ULAYA (EU) WAPIGA MARUFUKU NDEGE ZA URUSI
Hii inamaanisha Ndege za Urusi hazitoweza kutua, kuruka au kupita juu ya anga la Nchi yoyote ya Umoja huo
Pia, umepiga marufuku Vyombo vya Habari vya Sputnik na Russia Today
Soma https://jamii.app/EURussiaBan
#RussiaUkraineCrisis
Hii inamaanisha Ndege za Urusi hazitoweza kutua, kuruka au kupita juu ya anga la Nchi yoyote ya Umoja huo
Pia, umepiga marufuku Vyombo vya Habari vya Sputnik na Russia Today
Soma https://jamii.app/EURussiaBan
#RussiaUkraineCrisis
#UPDATES - UKRAINE: Shirika la UNHCR limesema idadi ya wanaokimbia Vita Nchini #Ukraine imefikia Watu 368,000
Makadirio ya Jumamosi tu zaidi ya Watu 150,000 wamekimbilia #Poland, na Mataifa mengine ikiwemo #Hungary na #Romania
Soma https://jamii.app/RefugeesUkraine
#RussiaUkraineConflict
Makadirio ya Jumamosi tu zaidi ya Watu 150,000 wamekimbilia #Poland, na Mataifa mengine ikiwemo #Hungary na #Romania
Soma https://jamii.app/RefugeesUkraine
#RussiaUkraineConflict
DR CONGO: Boti ya mizigo imewaka moto Bandarini na kuua watu 20, huku wengine 11 wakiungua vibaya
Serikali imepiga marufuku abiria kupanda boti za mizigo lakini wengi hutumia usafiri huo kutokana na Miundombinu duni ya Barabara
Soma - https://jamii.app/20DeadDRC
#JamiiForums
Serikali imepiga marufuku abiria kupanda boti za mizigo lakini wengi hutumia usafiri huo kutokana na Miundombinu duni ya Barabara
Soma - https://jamii.app/20DeadDRC
#JamiiForums
MICHEZO: Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeiamuru Urusi kucheza Mechi bila Bendera na Wimbo wa Taifa katika viwanja visivyoegemea upande wowote, ikionya huenda Nchi hiyo ikaondolewa kwenye mashindano ikiwa hali ya #Ukraine haitaimarika
Soma https://jamii.app/FIFARussia
#JFSports
Soma https://jamii.app/FIFARussia
#JFSports
MICHEZO: Wajumbe wa Bodi ya Udhamini ya Chelsea hawajakubali maombi ya Roman Abramovich kukabidhi majukumu ya kuiongoza timu kwa bodi hiyo huku yeye akibaki kuwa Mmiliki
> Inaelezwa, hofu ya Wajumbe hao ni kuonekana wanatumia klabu kwa malengo binafsi
Soma - https://jamii.app/31/Chelsea
> Inaelezwa, hofu ya Wajumbe hao ni kuonekana wanatumia klabu kwa malengo binafsi
Soma - https://jamii.app/31/Chelsea