Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
#JFAfya
Baadhi ya yaliyojadiliwa katika Mjadala na Wataalamu kuhusu Saratani kwa Watoto uliofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JFAfya
#JFAfya
DAR: Maila Majula (29) Mkazi wa Makongo Juu, anashikiliwa na Polisi kwa kudanganya kuibiwa Gari aina ya Toyota IST
Uchunguzi ulibaini alipewa Tsh. Milioni 10 na Kaka yake ili akaziweke Benki ila alizitumia na kuamua kutengeneza tukio hilo
Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi
#JFMatukio
Uchunguzi ulibaini alipewa Tsh. Milioni 10 na Kaka yake ili akaziweke Benki ila alizitumia na kuamua kutengeneza tukio hilo
Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi
#JFMatukio
KESI YA MBOWE: UPANDE WA MASHTAKA WAFUNGA USHAHIDI
Wakili wa Serikali, Robert Kidando amesema "Baada ya Ushahidi wa Shahidi wa 13 tunaialika Mahakama ione Washtakiwa wote 4 wana Kesi ya kujibu hivyo hatua nyingine kwa ajili ya kujitetea ifuate"
Soma - https://jamii.app/MboweKesiUshahidi
#JFSiasa
Wakili wa Serikali, Robert Kidando amesema "Baada ya Ushahidi wa Shahidi wa 13 tunaialika Mahakama ione Washtakiwa wote 4 wana Kesi ya kujibu hivyo hatua nyingine kwa ajili ya kujitetea ifuate"
Soma - https://jamii.app/MboweKesiUshahidi
#JFSiasa
NAPE: HAKUNA WIZI KWENYE 'BUNDLE' ZA SIMU
Amesema, "Malalamiko kwamba kuna 'Bundle' zinatumika bila Mtumiaji kuzitumia yamekuwepo. Uchambuzi umefanyika na Matokeo yanaonesha hakuna wizi uliotokea, isipokuwa kuna tatizo la matumizi ya simu za kisasa"
Soma - https://jamii.app/WiziBandoSimu
#DigitalRights
Amesema, "Malalamiko kwamba kuna 'Bundle' zinatumika bila Mtumiaji kuzitumia yamekuwepo. Uchambuzi umefanyika na Matokeo yanaonesha hakuna wizi uliotokea, isipokuwa kuna tatizo la matumizi ya simu za kisasa"
Soma - https://jamii.app/WiziBandoSimu
#DigitalRights
SERIKALI YASEMA MSIMAMO KUHUSU 'EPA' UKO PALEPALE
Serikali imekanusha suala la kusaini Economic Partnership Agreement 'EPA'
> EPA ni makubaliano yatakayoruhusu nchi za Ulaya kuingiza bidhaa ktk nchi zinazoendelea bila kutozwa kodi
Soma https://jamii.app/TanzaniaEPA
#JFUchumi
Serikali imekanusha suala la kusaini Economic Partnership Agreement 'EPA'
> EPA ni makubaliano yatakayoruhusu nchi za Ulaya kuingiza bidhaa ktk nchi zinazoendelea bila kutozwa kodi
Soma https://jamii.app/TanzaniaEPA
#JFUchumi
TABORA: Jeshi la Polisi limekamata Watu 9 ambao wametajwa kuhusika na tuhuma za Mauaji na mauziano ya viungo vya Binadamu
Huwachoma Watu na kitu chenye ncha kali Shingoni na kukinga Damu ambayo hununuliwa kwa Tsh. 600,000 kwa chupa.
Soma - https://jamii.app/SehemuZaSiri
#HumanRights #JFMatukio
Huwachoma Watu na kitu chenye ncha kali Shingoni na kukinga Damu ambayo hununuliwa kwa Tsh. 600,000 kwa chupa.
Soma - https://jamii.app/SehemuZaSiri
#HumanRights #JFMatukio
RIPOTI: UCHAFU HUSABABISHA TAKRIBAN VIFO MILIONI 9 KILA MWAKA
Ripoti ya UN imesema uchafuzi husababisha vifo vingi Duniani kuliko hata vitokanavyo na COVID-19
Uchafuzi umetajwa kusababisha ukiukwaji wa Haki ya kuishi katika Mazingira safi
Soma - https://jamii.app/PollutionDeaths
#JFAfya
Ripoti ya UN imesema uchafuzi husababisha vifo vingi Duniani kuliko hata vitokanavyo na COVID-19
Uchafuzi umetajwa kusababisha ukiukwaji wa Haki ya kuishi katika Mazingira safi
Soma - https://jamii.app/PollutionDeaths
#JFAfya
UTAFITI: WAENDA KWA MIGUU HUKWEPA MADARAJA KUTOKANA NA UREFU
Wanaovuka Barabara hukwepa kutumia Madaraja kutokana na urefu wa Madaraja, hofu ya Wizi na Uporaji
Hali hiyo ni changamoto kwani 30% ya Ajali zinazotokea zinahusisha watembea kwa Miguu
Soma - https://jamii.app/MadarajaYaJuu
Wanaovuka Barabara hukwepa kutumia Madaraja kutokana na urefu wa Madaraja, hofu ya Wizi na Uporaji
Hali hiyo ni changamoto kwani 30% ya Ajali zinazotokea zinahusisha watembea kwa Miguu
Soma - https://jamii.app/MadarajaYaJuu
KENYA: MWANAFUNZI MBARONI KWA KUMTUMIA MUME PICHA ZA FARAGHA ZA MKEWE
Stephen Kamande anakabiliwa na Mashtaka ya kutuma picha za utupu zinazodaiwa kuchukuliwa akiwa faragha na Mke wa Mtu
Pia anashtakiwa kwa kumsumbua Mwanamke huyo na kumtishia kifo
Soma https://jamii.app/StudPicsKE
#DataPrivacy #DataProtection
Stephen Kamande anakabiliwa na Mashtaka ya kutuma picha za utupu zinazodaiwa kuchukuliwa akiwa faragha na Mke wa Mtu
Pia anashtakiwa kwa kumsumbua Mwanamke huyo na kumtishia kifo
Soma https://jamii.app/StudPicsKE
#DataPrivacy #DataProtection
Rais wa #Algeria, Abdelmadjid Tebboune amesema Serikali itaanza kuwalipa Vijana wasio na Ajira kila Mwezi dinari 13,000 (Tsh. 230,000) kuanzia Machi 2022
Pia, Vijana hao watanufaika na Bima ya Afya na kuondolewa Kodi kwenye baadhi ya Bidhaa
Soma - https://jamii.app/UnemploymentBenefits
#Governance
Pia, Vijana hao watanufaika na Bima ya Afya na kuondolewa Kodi kwenye baadhi ya Bidhaa
Soma - https://jamii.app/UnemploymentBenefits
#Governance
👍1
MOROGORO: MTOTO AUAWA KWA MAPANGA NA BINAMU YAKE
Faidhati Ibrahim (13) ameuawa kwa kukatwa na mapanga na Kaka yake ambaye ni Binamu aitwaye Shomari Malima
Ugomvi kati ya Mama wa Marehemu na Mama wa Mtuhumiwa umetajwa kuwa sababu
Soma - https://jamii.app/MtotoMauaji
#JFMatukio
Faidhati Ibrahim (13) ameuawa kwa kukatwa na mapanga na Kaka yake ambaye ni Binamu aitwaye Shomari Malima
Ugomvi kati ya Mama wa Marehemu na Mama wa Mtuhumiwa umetajwa kuwa sababu
Soma - https://jamii.app/MtotoMauaji
#JFMatukio