Mjadala huu unatarajiwa kufanyika leo Februari 15, 2022 ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
ETHIOPIA: Kwa mara ya kwanza ndani ya Miezi sita, Shirika la Afya (WHO) limepata Kibali cha kusambaza vifaa vya matibabu Jimbo la #Tigray
Serikali ya #Ethiopia ilizuia karibu usambazaji wote wa misaada kufuatia miezi kadhaa ya mvutano wa Kisiasa
Soma - https://jamii.app/WHOTigrVifaa
#Governance
Serikali ya #Ethiopia ilizuia karibu usambazaji wote wa misaada kufuatia miezi kadhaa ya mvutano wa Kisiasa
Soma - https://jamii.app/WHOTigrVifaa
#Governance
Utafiti uliofanywa na Wataalamu umeonesha takriban robo tatu ya Watanzania waliopata #COVID19 wana umri sawa au chini ya miaka 60
Utafiti ulifanywa kwa miezi miwili na Wagonjwa 121 waliofika Hospitali mbili zenye hadhi ya rufaa walifuatiliwa
Soma https://jamii.app/COVID19Tanzania
#UVIKO3 #JFAfya
Utafiti ulifanywa kwa miezi miwili na Wagonjwa 121 waliofika Hospitali mbili zenye hadhi ya rufaa walifuatiliwa
Soma https://jamii.app/COVID19Tanzania
#UVIKO3 #JFAfya
INDIA YAZUIA UPATIKANAJI WA 'APPS' 54 ZA KICHINA
India inaamini Taarifa za Watumiaji zilikuwa zikitumwa #China kutumia 'App', kisha kutumika kwa namna inayoweza kuhatarisha Usalama wa Taifa
Tangu Mwaka 2020, #India imefuta Apps 321 za Kichina
Soma - https://jamii.app/ChinaAppsIndia
#DigitalRights
India inaamini Taarifa za Watumiaji zilikuwa zikitumwa #China kutumia 'App', kisha kutumika kwa namna inayoweza kuhatarisha Usalama wa Taifa
Tangu Mwaka 2020, #India imefuta Apps 321 za Kichina
Soma - https://jamii.app/ChinaAppsIndia
#DigitalRights
Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JamiiForums #CancerDay2022
#JFAfya
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JamiiForums #CancerDay2022
#JFAfya
DAR: Hussein Ramadhani (30) Mkazi wa Sinza, anatuhumiwa kuvaa sare za Polisi na kufanya uhalifu wa unyangβanyi wa kutumia nguvu
Amekutwa na buti za Polisi, kadi za Benki na NSSF zenye jina la Florence Victor Kiondo. Pia, amewahi kufungwa kwa wizi
Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi
#JFMatukio
Amekutwa na buti za Polisi, kadi za Benki na NSSF zenye jina la Florence Victor Kiondo. Pia, amewahi kufungwa kwa wizi
Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi
#JFMatukio
SERIKALI: MATUMIZI HOLELA YA P2 YANAWEZA KUSABABISHA UGUMBA NA SARATANI
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema wanatambua kuna matumizi mabaya ya Dawa hizo hasa kwa Watoto wa Shule akieleza, "Kwa sasa inaonekana wanaogopa zaidi mimba kuliko UKIMWI!"
Soma - https://jamii.app/SerikaliP2
#JFAfya
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema wanatambua kuna matumizi mabaya ya Dawa hizo hasa kwa Watoto wa Shule akieleza, "Kwa sasa inaonekana wanaogopa zaidi mimba kuliko UKIMWI!"
Soma - https://jamii.app/SerikaliP2
#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto?
Bonyeza > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto?
Bonyeza > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
#JFAfya
Baadhi ya yaliyojadiliwa katika Mjadala na Wataalamu kuhusu Saratani kwa Watoto uliofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JFAfya
#JFAfya